Warning: Undefined variable $user_id in /home/ackyshine/personal/sidebar.php on line 36
Sidebar with Floating Button
AckySHINE πŸ”
☰
AckyShine

Huyu mtoto kaongea point kweli, angalia anachomwambia baba yake

Featured Image

Mtoto alimwuuliza baba yake,
Mtoto: Baba unaweza kumwachia hilo gari lako house boy/girl akaliendesha?
Baba: siwezi kumwachia gari langu hili aliendeshe ni ghali sana.
Mtoto: je mnaweza kumwachia chumba chenu house boy/girl kikiwa wazi na mkaenda kazini?
Baba: haiwezekani kamwe kuna vitu vya gharama na pia heshima haitakuwepo.

Mtoto: unaweza ukampa house boy/girl ATM CARD yako na namba ya siri ukakuchulie pesa?

Baba: mtoto unatafuta balaa sasa, unataka siku akiiba hii card akachukue pesa zote tuwe maskini, sithubutu.

Mtoto: aahaaaaaa, kumbe hauwezi kumkabidhi chochote chenye thamani house boy/ girl, sasa kwa nini mnanikabidhi mimi kwa house boy/girl na nyie mnaenda kazini mpaka mnarudi kumbe mimi sina thamani kwenu eeeeh!

AckySHINE Solutions

Comments

Please log in or register to leave a comment or reply.

Josephine Nduta (Guest) on July 21, 2024

πŸ˜† Siwezi kuacha kucheka!

Yusuf (Guest) on July 12, 2024

πŸ˜‚ Nacheka hadi nalia!

Nancy Komba (Guest) on May 8, 2024

🀣 Hii kichekesho ni nzuri sana!

Leila (Guest) on April 12, 2024

πŸ˜† Hiyo punchline!

Nancy Kawawa (Guest) on March 10, 2024

πŸ˜‚ Ninashiriki mara moja!

Peter Mbise (Guest) on February 8, 2024

Ucheshi wenu ni wa hali ya juu sana! πŸ‘πŸ€£

Grace Majaliwa (Guest) on January 14, 2024

Hii imenikuna! πŸ˜†πŸ˜Š

Betty Kimaro (Guest) on January 13, 2024

πŸ˜† Bado nacheka!

Elizabeth Mrope (Guest) on January 8, 2024

Nimecheka kwa sauti! 🀣🀣

Lucy Mushi (Guest) on December 4, 2023

Nimecheka hadi machozi 🀣😭

Abdullah (Guest) on November 30, 2023

Haha! Sijacheka hivi kwa muda mrefu! 🀣

Thomas Mtaki (Guest) on November 18, 2023

πŸ˜‚ Ninaihifadhi hii!

John Mushi (Guest) on November 3, 2023

Hii imenifurahisha kweli! πŸ˜†πŸ˜‚

Kenneth Murithi (Guest) on October 27, 2023

Nimefurahia hii sana! πŸ˜†πŸ˜Š

Agnes Sumaye (Guest) on October 25, 2023

Kweli mna ucheshi! πŸ˜‚πŸ€£

Josephine Nekesa (Guest) on October 25, 2023

Hii imenichekesha sana! πŸ˜„πŸ˜‚

Peter Mwambui (Guest) on September 29, 2023

πŸ˜‚ Siwezi kuacha kucheka!

Stephen Mushi (Guest) on September 15, 2023

πŸ˜‚ Lazima nihifadhi hii!

Anna Malela (Guest) on September 8, 2023

Hii imenikumbusha enzi zile! πŸ˜…πŸ˜‚

Stephen Kangethe (Guest) on July 17, 2023

πŸ˜‚πŸ€£πŸ˜ŠπŸ˜…

Mwanahawa (Guest) on July 15, 2023

🀣 Ninashiriki hii sasa hivi!

Abubakari (Guest) on July 3, 2023

πŸ˜‚ Hii kichekesho imenifurahisha siku nzima!

Peter Mugendi (Guest) on June 20, 2023

Hii imenichekesha sana! πŸ€£πŸ˜†

Michael Onyango (Guest) on April 12, 2023

πŸ˜† Naihifadhi hii!

Miriam Mchome (Guest) on April 7, 2023

😁 Hii ni hazina ya kichekesho!

Selemani (Guest) on March 27, 2023

Wow, hii kichekesho ni mshindi kamili! πŸ†

Betty Kimaro (Guest) on March 1, 2023

Hii imenifurahisha hadi nacheka kwa sauti! πŸ˜‚πŸ€£

Francis Mrope (Guest) on February 19, 2023

Kweli mna ucheshi wa hali ya juu sana! πŸ‘πŸ˜†

George Tenga (Guest) on February 13, 2023

πŸ˜† Nacheka hadi chini!

Peter Mugendi (Guest) on February 9, 2023

πŸ˜‚πŸ‘πŸ˜…πŸ€£

Joy Wacera (Guest) on February 7, 2023

Siwezi kuamini jinsi hii ni kichekesho! πŸ˜‚

Anna Sumari (Guest) on January 28, 2023

πŸ˜„ Umeshinda mtandao leo!

Mary Mrope (Guest) on January 24, 2023

Hii imeniboresha wakati wangu wa mapumziko! β˜•πŸ˜†

Nicholas Wanjohi (Guest) on January 18, 2023

Nimecheka hadi nimemiss kicheko! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Mazrui (Guest) on January 5, 2023

Hii kichekesho itaingia moja kwa moja kwenye vipendwa vyangu! πŸ˜‚

Agnes Lowassa (Guest) on January 3, 2023

πŸ˜‚πŸ‘Œ

Alex Nyamweya (Guest) on December 21, 2022

πŸ€£πŸ€£πŸ‘πŸ˜†

Rahim (Guest) on December 21, 2022

πŸ˜„ Hii ni ubunifu wa hali ya juu!

Elizabeth Malima (Guest) on November 15, 2022

πŸ˜‚ Ninahitaji kuihifadhi hii milele!

Nora Lowassa (Guest) on October 9, 2022

Hii ni kali sana! πŸ˜‚πŸ€£

Stephen Kangethe (Guest) on October 6, 2022

πŸ˜‚ Siwezi kusubiri kushiriki hii!

Mercy Atieno (Guest) on September 29, 2022

Kweli mna kipaji cha ucheshi! πŸ‘πŸ˜†

Henry Mollel (Guest) on September 25, 2022

Hii ni joke ya kufurahisha sana! πŸ‘πŸ˜†

David Ochieng (Guest) on September 24, 2022

Huyu mtu ni mcheshi sana! πŸ˜‚πŸ˜‚

Mwajabu (Guest) on June 10, 2022

πŸ˜‚ Siwezi kuacha kucheka na hii!

David Ochieng (Guest) on June 9, 2022

πŸ˜†πŸ˜‚πŸ˜Š

Anthony Kariuki (Guest) on May 24, 2022

Hizi jokes zinabamba sana! πŸ˜†πŸ˜‚

Isaac Kiptoo (Guest) on April 28, 2022

Hii ni kali kabisa! Siwezi kushiba! πŸ˜‚

Joyce Aoko (Guest) on April 19, 2022

Ucheshi wenu unanifurahisha kila siku! πŸ˜†πŸ˜„

Margaret Mahiga (Guest) on March 25, 2022

Kweli mna ucheshi wa kipekee sana! πŸ˜„πŸ˜‚

Charles Mboje (Guest) on March 3, 2022

Kweli mna ucheshi wa kipekee! πŸ˜‚πŸ€£

Kassim (Guest) on February 17, 2022

πŸ˜‚ Siwezi kuacha kucheka!

Nancy Kawawa (Guest) on January 6, 2022

πŸ˜‚πŸ€£

Mercy Atieno (Guest) on December 18, 2021

πŸ˜…πŸ˜‚πŸ‘ŒπŸ˜Š

Ruth Mtangi (Guest) on December 15, 2021

Hii imenifurahisha sana! 🀣😊

Rose Kiwanga (Guest) on December 9, 2021

πŸ˜„ Kichekesho kamili!

Grace Mushi (Guest) on November 26, 2021

πŸ˜„ Umenishika vizuri!

Sarah Achieng (Guest) on November 20, 2021

Ucheshi wenu unanifurahisha kila siku! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Majid (Guest) on November 19, 2021

Nilihitaji kicheko hiki, asante kwa kushiriki! πŸ˜…

Binti (Guest) on November 13, 2021

Hii ni aina ya kichekesho usichosahau! πŸ˜‚

Related Posts

Cheki huyu jamaa alivyoumbuka akiwa ndani ya dala dala baada ya kupokea simu ya mkewe

Cheki huyu jamaa alivyoumbuka akiwa ndani ya dala dala baada ya kupokea simu ya mkewe

Jamaa kapokea simu kutoka kwa mke wake ndani ya daladala

jamaa: hellow hellow ( jamaa ak... Read More

Kilichotokea wakati mchungaji akifungisha ndoa ya Mashoga

Kilichotokea wakati mchungaji akifungisha ndoa ya Mashoga

Mchungaji mmoja baada ya kuwafungisha ndoa "MASHOGA" wawili alipata wakati mgumu kutamka kuwa "sasa ... Read More
Nilichokifanya jana baada ya kushuka kwenye basi Ubungo

Nilichokifanya jana baada ya kushuka kwenye basi Ubungo

Jana nateremka kwenye BASI UBUNGO nataka nichukue TEKSI hadi KIMARA naambiwa sh.15,000/=.
Wa... Read More

Angalia huyu jamaa alivyoachika na msichana wake kwa kujidai kuongea kingereza na mwishowe kuchanganya maneno

Angalia huyu jamaa alivyoachika na msichana wake kwa kujidai kuongea kingereza na mwishowe kuchanganya maneno

MSICHANA: Mbona jana nimekupigia simu hujapokea?
JAMAA: please beby forget me.
MSichAnA... Read More

Ulishawahi kukutana na hii? Maana yake ni nini?

Ulishawahi kukutana na hii? Maana yake ni nini?

Ulishawahi kutana na hii….
Issa: mambo
Jeni:poa vp
Issa:poa nambie:

Jeni:p... Read More

Hakuna siku mbaya maishani kama hii

Hakuna siku mbaya maishani kama hii

Hakuna siku mbaya maishan kuona mtu uliyesoma naye darasa moja, anakupita na private car,, afu w... Read More

Angalia kilichomkuta huyu msanii wa mziki na mashabiki wake

Angalia kilichomkuta huyu msanii wa mziki na mashabiki wake

Msanii mmoja anaitwa ''KINYA'' alikuwa ana perfom jukwaan..!!!
Kawaida kila msanii lazima aj... Read More

Aina mojawapo ya watoto ambao ni hasara kuwa nao

Aina mojawapo ya watoto ambao ni hasara kuwa nao

Alipelekwa Hospitali na baba yake, baada ya vipimo Doctor akawa anamuandikia dawa, baba yake akatoka... Read More
Huyu ndo mwanamke

Huyu ndo mwanamke

Akikuta PESA wakati anafua atapiga kimya kimya, sasa ngoja akute umeacha CONDOM ndo utajua kama u... Read More

Kilichotokea Leo mahakamani

Kilichotokea Leo mahakamani

Leo nimeenda mahakamani, mara judge akasema..
Order! Order…
Mimi na kiherehere changu... Read More

Hali za ndoa

Hali za ndoa

Kuna kijana alikua anajua kuwa mke wake anatoka nje ya ndoa basi akamwuliza mke, mkewe akakataa, aka... Read More
Mwizi kawezwa ki kwelii

Mwizi kawezwa ki kwelii

Et jana usiku mwiz kavunja mlango kwangu akaanza kutafuta kitu kila kona ikabid na mie niamke nam... Read More

πŸ“– Explore More Articles
🏠 Home πŸ“– Reading πŸ–ΌοΈ Gallery πŸ’¬ AI Chat πŸ“˜ About