Warning: Undefined variable $user_id in /home/ackyshine/personal/sidebar.php on line 36
Sidebar with Floating Button
AckySHINE πŸ”
☰
AckyShine

Kilichowakuta boss, mke wake na mfanyakazi wao

Featured Image

Bakari ni house boy mara nyingi huiba wine ya boss wake na kisha kuongeza maji kwenye chupa ili boss asigundue.
Mara kadhaa boss alihisi ladha tofauti anapokunywa wine hivyo kuhisi kuna mchezo mchafu alihisi tu Bakari anahusika.
Ilikua ni bahati tu alimvizia na
kumbamba Bakari akichakachua wine, kwa kuwa mkewe alikua
anamtetea Bakari, ili kumthibitishia mkewe kuwa Bakari ndo culprit, boss alianza kwa kumuuliza Bakari maswali.
Siku hiyo Bakari alikua jikoni, boss na mkewe walikua sebuleni.

Boss: Bakariiii!
Bakari: Naam baba!
Boss: nani anakunywa wine yangu?
Bakari kimyaaaa hajibu kitu!
Boss: Bakariiiii !
Bakari: naam baba!
Boss: nauliza nani anakunywa wine yangu halafu anajazia majiii!
Bakari kimyaaaaa!

Boss akaamua amfuate hukohuko jikoni.
Boss: Kwanini nikikuita unaitikia, nikikuuliza unanyamaza?
Bakari: baba huku jikoni ndo kulivyo, unasikia jina tu likiitwa lakini maneno menginehusikii, na kama huamini baki jikoni mi niende sebuleni.

Bakari akaenda sebuleni akaanza kuita.
Bakari:Babaa!
Boss: naam Bakari!
Bakari: Saa sita usiku huwa unaenda kufanya nini chumba cha house girl?

Boss kimyaaaa!
Bakari: Baba babaa!
Boss:ndio Bakari!
Bakari: Nauliza hivii, chumbani kwa house girl saa sita za usiku huwa wafuata nini?

Boss kimyaaaaaaa!
Boss akatoka nje: Bakari huku jikoni ni kweli husikii kitu zaidi ya jina!

Mke wa Boss akaingilia kati
Mama: nyie msinitanie kabisa mnasemaje?
Bakari: kweli mama ukiwa jikoni husikii kitu nenda uone

Mama akaenda na Bakari akaanza

Bakari: mamaaaa!
Mama: abeee!
Bakari: hebu niambie hiyo mimba ni ya baba au yangu?
Mama kimya

Bakari: mamaaaa!
Mama: abeeee!
Bakari: hebu niambie ukweli hiyo mimba ni ya baba au yangu??
Mama kimya

Mama akatoka nje: kweli humu jikoni kuna tatizo nilikuwa nasikia jina tu

AckySHINE Solutions

Comments

Please log in or register to leave a comment or reply.

Mary Kidata (Guest) on July 18, 2024

Nimecheka hadi nina furaha sana! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Chiku (Guest) on May 2, 2024

🀣 Hii kichekesho ni nzuri sana!

Shamsa (Guest) on April 27, 2024

πŸ˜ƒ Hii imenichekesha kwa sauti kweli!

Ann Wambui (Guest) on April 24, 2024

Nimecheka hadi nimesahau shida zangu! πŸ˜…πŸ˜Š

Patrick Mutua (Guest) on April 14, 2024

Hii ni ya kufurahisha! πŸ˜„πŸ˜…

Joseph Njoroge (Guest) on April 9, 2024

Hii imenifurahisha hadi nacheka kwa sauti! πŸ˜‚πŸ€£

Jane Muthui (Guest) on April 2, 2024

Ucheshi wenu unanifurahisha kila siku! πŸ˜†πŸ˜‚

Guest (Guest) on January 13, 2026

12

Ruth Kibona (Guest) on March 24, 2024

πŸ˜„ Kichekesho gani!

Irene Makena (Guest) on March 22, 2024

πŸ˜… Bado nacheka!

Patrick Kidata (Guest) on March 16, 2024

πŸ˜‚πŸ€£πŸ˜‚πŸ˜…

Diana Mumbua (Guest) on February 15, 2024

Lazima nikumbuke hii kwa baadaye! πŸ˜†

Lucy Wangui (Guest) on February 14, 2024

Nimecheka hadi machozi yanatoka! 🀣😭

Stephen Kikwete (Guest) on February 12, 2024

Hii ni joke ya kufurahisha sana! πŸ‘πŸ˜†

Sharifa (Guest) on January 27, 2024

πŸ˜… Nilihitaji hii!

John Mushi (Guest) on January 14, 2024

Napenda jinsi mnavyofikiria! πŸ€”πŸ˜†

Mariam Hassan (Guest) on January 13, 2024

Hii ni bomba sana! πŸ€£πŸ‘

John Lissu (Guest) on January 11, 2024

Ucheshi wenu ni wa hali ya juu sana! πŸ‘πŸ€£

Maimuna (Guest) on December 24, 2023

🀣 Hiyo twist mwishoni, ingawa!

Elizabeth Mtei (Guest) on December 23, 2023

Hii imenifurahisha hadi nacheka kwa sauti! πŸ€£πŸ˜…

Monica Nyalandu (Guest) on December 10, 2023

πŸ˜‚πŸ€£πŸ˜†πŸ‘

Zainab (Guest) on December 6, 2023

Hii kichekesho ilikuwa bora! Nimeipenda! 🎯

Hellen Nduta (Guest) on October 31, 2023

πŸ˜‚ Hii ni ya kuhifadhi!

Edwin Ndambuki (Guest) on July 20, 2023

Kweli mna kipaji cha ucheshi! πŸ‘πŸ˜†

John Mushi (Guest) on July 10, 2023

Hizi jokes ni za ukweli! πŸ˜†πŸ‘

Zainab (Guest) on June 23, 2023

🀣 Hii imenigonga vizuri!

Muslima (Guest) on June 21, 2023

Kama kawaida! Bado nacheka! πŸ˜„

Francis Njeru (Guest) on June 19, 2023

Nimefurahia hii sana! πŸ˜†πŸ˜Š

Henry Mollel (Guest) on June 17, 2023

πŸ˜ƒ Hali imeboreshwa papo hapo!

Moses Mwita (Guest) on June 12, 2023

🀣 Ninashiriki hii sasa hivi!

Edwin Ndambuki (Guest) on June 1, 2023

Kila siku napenda jokes zenu! πŸ˜†πŸ˜‚

Agnes Njeri (Guest) on June 1, 2023

Ucheshi wenu unanifurahisha! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Khamis (Guest) on May 29, 2023

πŸ˜„ Umenishika vizuri!

Sultan (Guest) on May 17, 2023

Wow, hii kichekesho ni mshindi kamili! πŸ†

James Kimani (Guest) on May 16, 2023

πŸ˜… Ilibidi nishiriki hii na kila mtu!

Dorothy Mwakalindile (Guest) on March 21, 2023

Kweli mna ucheshi wa hali ya juu! πŸ˜‚πŸ€£

Joseph Kawawa (Guest) on March 10, 2023

🀣 Ninashiriki hii na kila mtu!

Michael Onyango (Guest) on February 23, 2023

🀣 Ninaituma sasa hivi!

Anna Sumari (Guest) on February 3, 2023

πŸ˜‚πŸ€£πŸ˜†

Dorothy Mwakalindile (Guest) on January 21, 2023

🀣πŸ”₯😊

Jane Muthui (Guest) on January 18, 2023

Hizi jokes zinabamba sana! πŸ˜†πŸ˜‚

Dorothy Nkya (Guest) on January 3, 2023

πŸ˜‚ Ninahitaji kuihifadhi hii milele!

John Lissu (Guest) on December 30, 2022

Hii imenichekesha sana! πŸ€£πŸ˜†

Khamis (Guest) on November 25, 2022

πŸ˜… Nilihitaji kicheko hiki, asante!

Sharon Kibiru (Guest) on November 21, 2022

Hii ni aina ya kichekesho usichosahau! πŸ˜‚

Sumaya (Guest) on November 18, 2022

πŸ˜† Kali sana!

Philip Nyaga (Guest) on October 23, 2022

Asante Ackyshine

Mwanais (Guest) on October 7, 2022

😁 Hii imenifanya siku yangu iwe bora!

John Lissu (Guest) on September 22, 2022

Hii ni ya maana sana! πŸ˜‚πŸ‘Œ

Mgeni (Guest) on September 13, 2022

πŸ˜† Hiyo punchline ilikuwa kali!

Betty Akinyi (Guest) on August 26, 2022

πŸ˜†πŸ‘πŸ˜‚πŸ˜„

George Ndungu (Guest) on July 29, 2022

🀣 Nalia kwa kicheko kweli!

James Kawawa (Guest) on July 15, 2022

🀣 Ujuzi wa hali ya juu!

Benjamin Kibicho (Guest) on July 1, 2022

Siwezi kusubiri kuieleza kwenye sherehe yangu inayofuata! πŸŽ‰

Lydia Wanyama (Guest) on June 27, 2022

πŸ˜„ Hii ni ubunifu wa hali ya juu!

Fadhili (Guest) on May 31, 2022

Hii ni kali! Itaingia kwenye vipendwa vyangu! πŸ˜„

Lydia Mzindakaya (Guest) on May 27, 2022

Nimecheka hadi nimesahau shida! πŸ€£πŸ˜†

Grace Mligo (Guest) on May 15, 2022

Nimecheka hadi mbavu zinauma πŸ˜‚πŸ˜‚

Peter Mugendi (Guest) on May 7, 2022

πŸ˜‚πŸ‘ŒπŸ˜†πŸ˜Š

Peter Otieno (Guest) on May 5, 2022

Haha, hii ni ya kuhifadhi! πŸ“Œ

Related Posts

Madhara ya kubeba nauli kamili tuu. Cheki kilichonipata

Madhara ya kubeba nauli kamili tuu. Cheki kilichonipata

Kubeba nauli kamili nayo ni shida
Yani nimepanda daladala
Kondakta mmoja akaingia kweny... Read More

Upendo wa kweli ni nini?

Upendo wa kweli ni nini?

*Upendo wa kweli ni nini?*
*πŸ‘‰Upendo wa kweli ni pale mwanaume anapomfumania mwanamke wake... Read More

Duh, hii sasa kazi

Duh, hii sasa kazi

Wakati unafikiria dingi yako afe ili urithi nyumba, dingi nae anafikiria uanze kufa ili apangishe... Read More

Jamaa amkomesha boss wake

Jamaa amkomesha boss wake

Kuna jamaa alifutwa kazi…

Ikawa kila siku anaenda nyumbani kwa boss wake na kunya mlango ... Read More

Breaking news

Breaking news

Breaking news πŸ’₯

Watu wasiojulikana wamevamia jengo lisilojulikana na

Kufanya ... Read More

Mvua zazua kasheshe! Soma hii..

Mvua zazua kasheshe! Soma hii..

Baba- : Halloo mke wangu.. yaani ni shida sitaweza kurudi nyumban, daraja limevunjika na kutoka m... Read More

Watoto wa siku hizi ni shida! Angalia huyu mtoto anachomwambia baba yake

Watoto wa siku hizi ni shida! Angalia huyu mtoto anachomwambia baba yake

Ka ni wewe? DOGO: baba mi siendi tena shule inaonekana walimu hawana uhakika na majibu yao. BABA: ... Read More
Analia kilichompata huyu jamaa baada ya kubadili jinsia yake kichawi

Analia kilichompata huyu jamaa baada ya kubadili jinsia yake kichawi

Jamaa alimpa ujauzito mwanafunzi akashtakiwa kumbe yule jamaa ana bibi yake mtaalam wamambo yetu ... Read More

Kwa nini vitu vunavyoanza na "K" ni vitamu sana?

Kwa nini vitu vunavyoanza na "K" ni vitamu sana?

Zuzu kaniuliza, "Anko, unajua vitu vinavyoanzia na K ni vitamu sana." Nikashtuka, "Astaghafilulah we... Read More
Utajuaje kama unachoangalia ni filamu ya kibongo!!!!

Utajuaje kama unachoangalia ni filamu ya kibongo!!!!

Angalia hivi

-Mlinzi wa Getini lazima awe chizi
-Mtu yupo kijijini, maisha magumu ana ... Read More

Wadada lenu hili. Mimi sipo

Wadada lenu hili. Mimi sipo

Wadada kama una sura mbaya subiri NEEMA YA BWANA..Sio kutuambia mna uzuri wa Ndani usioonekana..... Read More

Cheki huyu dingi alivyo mnoko

Cheki huyu dingi alivyo mnoko

Unamtumia baba ako meseji ukiwa shule "Baba naomba unitumie 100,000 ya pckt mny" anakuuliza "pck... Read More

πŸ“– Explore More Articles
🏠 Home πŸ“– Reading πŸ–ΌοΈ Gallery πŸ’¬ AI Chat πŸ“˜ About