Warning: Undefined variable $user_id in /home/ackyshine/personal/sidebar.php on line 36
Sidebar with Floating Button
AckySHINE πŸ”
☰
AckyShine

Huyu mchungaji ni noma, cheki alichomwambia pedeshe

Featured Image
Mchungaji kamfuata pedeshe moja maarufu kwa kumwaga pesa kwenye kumbi za muziki; MCHUNGAJI: Kijana, tuko katika harakati za kujenga kanisa, jitafutie nafasi katika ufalme wa mbingu kwa kuchangia ujenzi huu. Na Mungu atakubariki zaidi PEDESHE: Samahani Mchungaji haitakuwa vizuri mimi kuchangia kanisa, fedha zangu ni haramu, huwa nazipata kwa utapeli na kuuza madawa ya kulevya. MCHUNGAJI: Yote ni heri, pesa yako tutatumia kwa kujenga eneo la choo we toa tu!!!
AckySHINE Solutions

Comments

Please log in or register to leave a comment or reply.

Kenneth Murithi (Guest) on June 10, 2024

πŸ˜‚πŸ€£

Victor Kimario (Guest) on May 3, 2024

Kila siku napenda jokes zenu! πŸ˜†πŸ˜‚

Samuel Omondi (Guest) on April 19, 2024

πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ€£

Moses Kipkemboi (Guest) on April 15, 2024

πŸ˜† Siwezi kuacha kucheka!

Omari (Guest) on February 19, 2024

Nimependa hii! Endelea kuzileta! 😁

Bernard Oduor (Guest) on December 30, 2023

Bado nacheka, hiyo ilikuwa nzuri sana! 🀣

Carol Nyakio (Guest) on December 1, 2023

πŸ˜… Bado nacheka!

Charles Mchome (Guest) on November 28, 2023

Hii kichekesho imenifurahisha sanaβ€”imebamba! 🀣

Nicholas Wanjohi (Guest) on November 27, 2023

Hii ni kichekesho kali sana, ninashiriki na kila mtu! πŸ˜‚

Victor Kimario (Guest) on November 20, 2023

πŸ˜†πŸ˜‚πŸ˜Š

Peter Tibaijuka (Guest) on November 16, 2023

Nimecheka hadi nimesahau shida zangu! πŸ˜‚πŸ˜…

Frank Macha (Guest) on October 29, 2023

πŸ˜† Bado nacheka, siwezi kuacha!

Mariam (Guest) on October 29, 2023

πŸ˜„ Kichekesho kamili!

Jane Muthoni (Guest) on October 19, 2023

πŸ˜„ Kali sana!

Warda (Guest) on August 10, 2023

πŸ˜† Ninakufa hapa!

Sarah Karani (Guest) on August 4, 2023

πŸ˜„ Sikutarajia hiyo ikitokea!

Charles Wafula (Guest) on July 31, 2023

Nimefurahia hii sana! πŸ˜†πŸ˜Š

Chris Okello (Guest) on July 26, 2023

Hii imenibamba sana! πŸ˜…πŸ€£

Janet Wambura (Guest) on July 21, 2023

Hii imenipa kicheko cha siku! πŸ˜‚πŸ€£

Victor Kimario (Guest) on July 4, 2023

Hii ni joke ya kipekee sana! πŸ˜‚πŸ‘

Diana Mallya (Guest) on June 13, 2023

Nimecheka hadi nimesahau shida zangu! πŸ˜…πŸ˜Š

Janet Mwikali (Guest) on May 23, 2023

Kweli mna kipaji cha ucheshi! πŸ‘πŸ˜†

John Lissu (Guest) on May 6, 2023

πŸ˜†πŸ˜‚πŸ‘

Andrew Odhiambo (Guest) on April 22, 2023

Umesema kweli! πŸ‘ŒπŸ˜‚

Dorothy Nkya (Guest) on April 17, 2023

πŸ˜‚πŸ€£πŸ˜†πŸ‘

George Wanjala (Guest) on April 11, 2023

πŸ˜‚ Lazima nihifadhi hii!

James Kawawa (Guest) on April 9, 2023

Hii ni ya kufurahisha! πŸ˜„πŸ˜…

Mhina (Guest) on March 22, 2023

🀣 Kichekesho bora kabisa!

Moses Mwita (Guest) on March 13, 2023

🀣 Hii imenifanya siku yangu iwe bora kabisa!

Esther Cheruiyot (Guest) on March 13, 2023

Nimecheka hadi nimepata furaha! πŸ˜ŠπŸ˜†

Alice Mwikali (Guest) on March 2, 2023

πŸ˜‚πŸ˜‚

Chris Okello (Guest) on January 11, 2023

Kama kawaida! Bado nacheka! πŸ˜„

Anna Sumari (Guest) on December 18, 2022

πŸ˜ƒ Hali imeboreshwa papo hapo!

Francis Mrope (Guest) on December 15, 2022

Kweli mna kipaji cha ucheshi! πŸ‘πŸ€£

Mwakisu (Guest) on December 12, 2022

Hii imeniboresha wakati wangu wa mapumziko! β˜•πŸ˜†

Samson Mahiga (Guest) on December 8, 2022

Hii ni kali! Itaingia kwenye vipendwa vyangu! πŸ˜„

Josephine (Guest) on December 8, 2022

πŸ˜… Bado nacheka!

Anna Kibwana (Guest) on December 7, 2022

Hii imenikumbusha enzi zile! πŸ˜…πŸ˜‚

Catherine Naliaka (Guest) on September 25, 2022

Nimeipenda hii joke! πŸ˜„πŸ˜‚

Benjamin Kibicho (Guest) on September 12, 2022

πŸ˜‚ Siwezi kusubiri kushiriki hii!

Violet Mumo (Guest) on September 11, 2022

πŸ€£πŸ˜†πŸ˜ŠπŸ˜‚

Alice Jebet (Guest) on August 5, 2022

🀣 Sikutarajia hiyo!

Isaac Kiptoo (Guest) on July 21, 2022

Hizi jokes ni za ukweli! πŸ˜†πŸ‘

Rahma (Guest) on July 17, 2022

πŸ˜„ Umenishika vizuri!

Andrew Odhiambo (Guest) on July 9, 2022

😊🀣πŸ”₯

Agnes Njeri (Guest) on June 16, 2022

Hii imenifurahisha sana! πŸ˜‚πŸ˜‚

Joseph Kiwanga (Guest) on June 10, 2022

😁 Hii ni hazina ya kichekesho!

Nchi (Guest) on June 6, 2022

πŸ˜„ Dhahabu ya vichekesho!

Fredrick Mutiso (Guest) on May 31, 2022

Hii ndio nilihitaji leo! Asante! 😜

Mazrui (Guest) on May 12, 2022

πŸ˜… Nilihitaji hii!

James Malima (Guest) on May 10, 2022

Haha, hii ni ya kuhifadhi! πŸ“Œ

Mjaka (Guest) on April 26, 2022

Lazima niihifadhi hii, ni kichekesho kali sana! πŸ˜†

Christopher Oloo (Guest) on April 12, 2022

Kweli mna ucheshi wa hali ya juu! πŸ˜‚πŸ€£

Daniel Obura (Guest) on April 8, 2022

😁 Hii imenifanya siku yangu iwe bora!

Vincent Mwangangi (Guest) on April 6, 2022

🀣πŸ”₯😊

Susan Wangari (Guest) on February 11, 2022

πŸ€£πŸ€£πŸ˜„πŸ˜†

Victor Sokoine (Guest) on December 12, 2021

πŸ˜† Naihifadhi hii!

Nora Kidata (Guest) on November 25, 2021

Hii imenipa furaha ya siku! πŸ˜†πŸ˜‚

Charles Mboje (Guest) on November 18, 2021

🀣 Hii imewaka moto!

Maimuna (Guest) on November 10, 2021

πŸ˜„ Umeimaliza kabisa!

Related Posts

Sifa 10 za mwanaume ambaye kila binti anayetaka aolewe angependa aolewe naye!!

Sifa 10 za mwanaume ambaye kila binti anayetaka aolewe angependa aolewe naye!!

1. Awe na pesa nyingi

2.Siyo lazima awe mzuri wa sura

3. Ajenge ukweni

4.Awe mp... Read More

Usichokijua kuhusu sungura, panya na jamii yao

Usichokijua kuhusu sungura, panya na jamii yao

JE WAJUA?

Sungura, panya na Jamii zao huwa na mwendo wa kukimbia na kuruka muda wote na umr... Read More

Chezea kufulia!

Chezea kufulia!

Huu Mwezi jinsi nilivyofulia yaani hata nikikuta mende wamesimama wawili najua wananisem... Read More

Huyu traffic noma, kweli ulevi mbaya

Huyu traffic noma, kweli ulevi mbaya

Trafik mlevi alisimamisha gari Mama akapaki pembeni akaona trafik anakuja akiwa anayumba! Alipofi... Read More

Kilichotokea nikiiwa namsaidia mtoto home work

Kilichotokea nikiiwa namsaidia mtoto home work

Kusaidia Mtoto wa Nursery Homework ni Ngumu. Unamuuliza "Nina Pipi Tano, nikiwagawia Wat... Read More

Dogo alivyomchomea dada wa kazi kwa mama yake kuhusu baba

Dogo alivyomchomea dada wa kazi kwa mama yake kuhusu baba

Dogo: mama hivi malaika si wanapaa? Mama: ndiyo wanapaa, kwanini umeniuliza hivyo? Dogo: nimesikia b... Read More
Cheki huyu mwanamke anavyomkomoa mme wake baada ya kumsaliti

Cheki huyu mwanamke anavyomkomoa mme wake baada ya kumsaliti

MKE: Mbona unanukia pafyumu ya kike?
MUME: Yaa kuna mwanam... Read More

Huyu mgeni wa huyu jamaa ni shida

Huyu mgeni wa huyu jamaa ni shida

Pale unapokuwa umefulia sana…

Mgeni anakutembelea Maskani kwako….Unaamua Kuchukua Ile S... Read More

Angalia anachojibu huyu babu. Wazee wengine bwana

Angalia anachojibu huyu babu. Wazee wengine bwana

Babu: Mjukuu wangu ngoja nikusimulie hadithi ya mimi babu yako kwenye vita ya kagera
Mjukuu:... Read More

Hyuyu daktari ni noma, cheki anachokisema

Hyuyu daktari ni noma, cheki anachokisema

Kuna Daktari wa Moyo alifariki wakamchongeaa jeneza lenye umbo la Moyo. Ghafla Daktari mwingine ... Read More

Wanawake wanavyopenda hela, hadi kutoka kwa nyani na ngedere

Wanawake wanavyopenda hela, hadi kutoka kwa nyani na ngedere

Kama Nyani na ngedere wangekuwa na pesa…

Trust me Kuna wanawa... Read More

Kilichowakuta boss, mke wake na mfanyakazi wao

Kilichowakuta boss, mke wake na mfanyakazi wao

Bakari ni house boy mara nyingi huiba wine ya boss wake na kisha kuongeza maji kwenye chupa ili b... Read More