Warning: Undefined variable $user_id in /home/ackyshine/personal/sidebar.php on line 36
Sidebar with Floating Button
AckySHINE πŸ”
☰
AckyShine

Angalia huyu boyfriend alivyomuweza huyu msichana wake

Featured Image
Siku moja msichana alikuwa anapita maeneo ya A.T.M gafla akamuona boyfriend wake anatoa pesa kwenye A.T.M binti akaamua kujificha na kumtumia boyfriend wake sms ya kimahaba "Honey kama upo nyumbani umelala naomba unitumie ndoto zako, Kama unakula nitumie chakula, Kama unacheka nitumie kicheko chako, Kama unalia nitumie machozi yako,Kama unatoa pesa kwenye A.T.M nitumie pesa." Boyfriend akajibu "NIKO CHOONI LABDA NIKUTUMIE KINYESI MPENZI!!
AckySHINE Solutions

Comments

Please log in or register to leave a comment or reply.

Frank Sokoine (Guest) on July 15, 2024

πŸ˜‚πŸ˜…

Alice Jebet (Guest) on July 8, 2024

Hii ndio nilihitaji leo! Asante! 😜

Peter Mbise (Guest) on July 1, 2024

Huu ucheshi hauna kifani! 🀣πŸ”₯

Mgeni (Guest) on June 22, 2024

Lazima niihifadhi hii, ni kichekesho kali sana! πŸ˜†

Carol Nyakio (Guest) on June 6, 2024

Hii ni joke ya ukweli kabisa! πŸ˜‚πŸ€£

Lucy Mahiga (Guest) on May 28, 2024

πŸ€£πŸ˜†πŸ˜ŠπŸ˜‚

Victor Malima (Guest) on May 19, 2024

πŸ˜„ Kali sana!

Joy Wacera (Guest) on April 16, 2024

Nimecheka hadi nina furaha sana! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Lucy Mushi (Guest) on April 15, 2024

Kweli mnajua kuchekesha! πŸ˜‚πŸ˜‚

Josephine Nduta (Guest) on March 24, 2024

Wow, hii kichekesho ni mshindi kamili! πŸ†

Faiza (Guest) on March 21, 2024

πŸ˜ƒ Hii imenichekesha kwa sauti kweli!

Anna Sumari (Guest) on January 18, 2024

Nimecheka hadi machozi 🀣😭

Faith Kariuki (Guest) on December 29, 2023

Kweli mna ucheshi wa hali ya juu! πŸ˜‚πŸ€£

Monica Adhiambo (Guest) on December 18, 2023

πŸ€£πŸ˜­πŸ˜†

Paul Ndomba (Guest) on December 11, 2023

πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ€£

Lucy Mahiga (Guest) on November 25, 2023

🀣 Sikutarajia hiyo!

Janet Sumari (Guest) on October 15, 2023

Hii kichekesho itaingia moja kwa moja kwenye vipendwa vyangu! πŸ˜‚

George Ndungu (Guest) on September 15, 2023

Nimefurahia sana hii! πŸ˜…πŸ˜Š

Nancy Kabura (Guest) on August 28, 2023

Hii imenibamba sana! πŸ˜‚πŸ˜…

Robert Ndunguru (Guest) on August 27, 2023

Hii kichekesho ni ya kuhifadhi bila shaka! 😁

Nicholas Wanjohi (Guest) on August 21, 2023

πŸ˜„ Hii ni ubunifu wa hali ya juu!

Peter Mugendi (Guest) on August 14, 2023

Huyu alikuwa na point! πŸ˜‚πŸ‘Œ

Elijah Mutua (Guest) on July 30, 2023

🀣 Ninashiriki hii na kila mtu!

Patrick Kidata (Guest) on July 7, 2023

Kweli mna kipaji cha ucheshi! πŸ‘πŸ€£

Violet Mumo (Guest) on July 6, 2023

Kweli mnajua kuchekesha watu! πŸ€£πŸ˜‚

Philip Nyaga (Guest) on June 16, 2023

Nimefurahia hii sana! πŸ˜†πŸ˜Š

Kevin Maina (Guest) on May 7, 2023

πŸ˜†πŸ‘πŸ˜‚πŸ˜„

Rose Mwinuka (Guest) on May 5, 2023

🀣 Nalia kwa kicheko kweli!

Tambwe (Guest) on April 16, 2023

Siwezi kusubiri kuieleza kwenye sherehe yangu inayofuata! πŸŽ‰

Mwakisu (Guest) on April 10, 2023

🀣 Hii imenifanya siku yangu iwe bora kabisa!

Richard Mulwa (Guest) on March 18, 2023

πŸ˜‚ Sijacheka hivi kwa muda mrefu sana!

Joseph Njoroge (Guest) on March 2, 2023

Ucheshi wenu unanifurahisha kila siku! πŸ˜†πŸ˜‚

John Malisa (Guest) on January 22, 2023

πŸ˜‚ Nitaiiba hii bila shaka!

Rukia (Guest) on January 13, 2023

Wow, hizi kichekesho ni dhahabu kabisa! πŸ’°

Brian Karanja (Guest) on January 10, 2023

Hizi jokes ni za kipekee sana! πŸ˜†πŸ˜Š

Josephine Nekesa (Guest) on January 6, 2023

Bado nacheka, hiyo ilikuwa nzuri sana! 🀣

Robert Ndunguru (Guest) on January 1, 2023

🀣 Hiyo twist mwishoni, ingawa!

Grace Mligo (Guest) on December 29, 2022

πŸ˜„ Umeimaliza kabisa!

Joyce Aoko (Guest) on December 19, 2022

πŸ˜†πŸ˜…πŸ˜‚

Paul Kamau (Guest) on December 6, 2022

πŸ˜† Naihifadhi hii!

Charles Wafula (Guest) on December 2, 2022

πŸ˜… Bado nacheka!

Violet Mumo (Guest) on November 18, 2022

Hii imenifurahisha sana! πŸ˜‚πŸ˜‚

Patrick Kidata (Guest) on October 18, 2022

Hii joke imenikumbusha enzi zile! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Janet Sumari (Guest) on October 18, 2022

🀣 Sikutarajia hiyo!

Kiza (Guest) on October 16, 2022

🀣 Ujuzi wa hali ya juu!

Wilson Ombati (Guest) on October 2, 2022

Ucheshi wenu ni wa hali ya juu sana! πŸ‘πŸ€£

Joyce Nkya (Guest) on September 23, 2022

🀣 Hii kichekesho ni nzuri sana!

Ruth Mtangi (Guest) on August 1, 2022

πŸ˜† Bado nacheka!

Josephine Nduta (Guest) on July 7, 2022

🀣 Hii kichekesho ni nzuri sana!

Jackson Makori (Guest) on June 16, 2022

Hii imenibamba sana! πŸ˜…πŸ€£

Andrew Mchome (Guest) on June 8, 2022

Nimecheka hadi nimesahau shida! πŸ€£πŸ˜†

Fadhili (Guest) on June 3, 2022

Nitaeleza hii kwa marafiki zangu bila shaka! πŸ˜„

Catherine Mkumbo (Guest) on May 20, 2022

πŸ˜‚ Nacheka hadi nalia!

Susan Wangari (Guest) on April 24, 2022

πŸ˜… Bado ninacheka!

Charles Mchome (Guest) on April 20, 2022

Haha, hii ni ya kuhifadhi! πŸ“Œ

Rahma (Guest) on April 5, 2022

😁 Imeongezwa kwenye vipendwa!

Catherine Mkumbo (Guest) on March 26, 2022

πŸ˜‚πŸ€£

Kassim (Guest) on March 22, 2022

Hii ni kali kabisa! Siwezi kushiba! πŸ˜‚

Aziza (Guest) on March 21, 2022

πŸ˜† Ninakufa hapa!

Nassar (Guest) on March 18, 2022

🀣 Hiyo punchline ilikuwa haikutarajiwa!

Related Posts

Januari kweli ngumu, soma hii

Januari kweli ngumu, soma hii

Januari kweli kiboko

Hii january sabuni za kuogea ni zile za kuoshea vyombo, yani u... Read More

Huyu mlinzi bwana

Huyu mlinzi bwana

High school Flashback!!
.
Watchman : Amkeni muende morning preps.
Allan : Mimi ni ... Read More

Cheki huyu jamaa alivyoumbuka kwenye harusi

Cheki huyu jamaa alivyoumbuka kwenye harusi

Jamaa mmoja alialikwa ktk harusi. Akafika mlango Wa 1 umeandikwa kulia ni ndugu Wa maharusi, kush... Read More

Angalia wanachokifanya Zuzu na msichana chumbani kwenye giza

Angalia wanachokifanya Zuzu na msichana chumbani kwenye giza

Zuzu: Mambo Anna!
Anna: Poa!
Zuzu: Kuna kitu nataka nikuonyeshe…
Anna: Kitu gan?... Read More

Tatizo la kukuta nywele kwenye chakula

Tatizo la kukuta nywele kwenye chakula

Hapa ni shida

KUKUTA NYWELE KWENYE CHAKULA SIO TATIZO,TATIZO NI KUWAZA ITAKUWA IMET... Read More

Angalia nilivyomkomoa huyu dogo

Angalia nilivyomkomoa huyu dogo

Kuna mtoto wa jirani ananibore sana kila nkimtuma kitu dukani lazima aonje,

... Read More
Huyu bibi kazidi sasa

Huyu bibi kazidi sasa

Bibi kapigwa mtama na Kibaka na kuporwa simu,

Kainuka na kuanza k... Read More

Angalia huyu mwanafunzi anachomjibu huyu mwalimu wake

Angalia huyu mwanafunzi anachomjibu huyu mwalimu wake

1. Ticha:"Punda ni mnyama anaefugwa nyumbani,lakini akiwa mwituni anaitwa pundamilia….Je sungur... Read More

Njia 3 rahisi za kuondoa kitambi

Njia 3 rahisi za kuondoa kitambi

JE, una KITAMBI na unataka kukiondoa?

FANYA HAYA;

1. Kopa mkopo mkubwa benkiRead More

Madenge hakosi visa. Soma hii

Madenge hakosi visa. Soma hii

MADENGE
HAKOSI
VISA


baada ya kumaliza form four baba akamwambia achague zaw... Read More

Angalia huyu Jamaa alichomfanyia mke wake jana

Angalia huyu Jamaa alichomfanyia mke wake jana

Jana niligombana na mke wng, Akaniambia nibebe kila kitu changu niondoke, Bas kiustaarabu... Read More

Sababu ya jamaa kujiita fara ugenini

Sababu ya jamaa kujiita fara ugenini

MZEE:"sasa huyu mgeni sijui alale wap?" MKE:"saa hizi ni usiku akalale na Bebi." jamaa akaona huyo B... Read More