Warning: Undefined variable $user_id in /home/ackyshine/personal/sidebar.php on line 36
Sidebar with Floating Button
AckySHINE πŸ”
☰
AckyShine

Angalia kilichonikuta nilipoenda kwa mganga

Featured Image

Usije ukaenda kwa mganga, mwenzako yamenikuta, yani masharti niliyopewa, acha tu,
yalikua hivi:-

1.Jasho la nyoka.
2.Manyoya ya mende.
3.Sisimizi Shoga.
4.Mbwa mjane.
5.Kuku aliye single.
6.Samaki mwenye miaka miwili bila kuoga
7.Mti wenye ujauzito.
8.Mbavu za Nzi.
9.Nywele za Kiroboto.
10.Mwanya wa Mbu.
Duuh..!! mwanangu kwa hali hii mbona itakula kwako.
Wengine wanasemaga
IGA UFE! Rizik anagawa Mungu tu shetan simuelew!

AckySHINE Solutions

Comments

Please log in or register to leave a comment or reply.

sam (User) on June 17, 2025

Hatari wanaoenda kwa waganga

sam (User) on June 17, 2025

Hatari wanaoenda kwa waganga ukale mbwa anayeongea kizungu

Grace Minja (Guest) on July 15, 2024

πŸ˜‚ Hii ni ya kuhifadhi!

Grace Minja (Guest) on July 1, 2024

Nimecheka hadi nimesahau shida zangu! πŸ˜…πŸ˜Š

David Sokoine (Guest) on June 15, 2024

Nimecheka hadi machozi 🀣😭

Aziza (Guest) on May 29, 2024

πŸ˜‚ Nacheka hadi nalia!

Janet Sumari (Guest) on May 9, 2024

πŸ˜‚ Nimeipenda kabisa hii!

Mwachumu (Guest) on May 4, 2024

Wow, hii kichekesho ni mshindi kamili! πŸ†

John Mwangi (Guest) on May 4, 2024

Hii imenifurahisha kweli! πŸ˜†πŸ˜‚

Grace Majaliwa (Guest) on April 24, 2024

πŸ€£πŸ‘πŸ‘Œ

Khatib (Guest) on April 10, 2024

πŸ˜† Nacheka hadi chini!

Daniel Obura (Guest) on March 22, 2024

Hii kichekesho ni ya kuhifadhi bila shaka! 😁

Samson Tibaijuka (Guest) on March 4, 2024

Ucheshi wenu unanifurahisha kila siku! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Frank Macha (Guest) on March 1, 2024

🀣 Ujuzi wa hali ya juu!

John Lissu (Guest) on January 18, 2024

Mna talent ya jokes! πŸ‘πŸ˜‚

Mustafa (Guest) on December 17, 2023

πŸ˜† Hiyo punchline!

Andrew Odhiambo (Guest) on November 26, 2023

Hii imenikumbusha enzi zile! πŸ˜…πŸ˜‚

Binti (Guest) on November 20, 2023

πŸ˜‚ Sijacheka hivi kwa muda mrefu sana!

Esther Cheruiyot (Guest) on November 2, 2023

Hii imenifurahisha hadi nacheka kwa sauti! πŸ€£πŸ˜‚

Joyce Aoko (Guest) on October 17, 2023

Nimecheka hadi mbavu zinauma πŸ˜‚πŸ˜‚

Mwanaidha (Guest) on October 4, 2023

🀣 Kichekesho bora kabisa!

Ramadhan (Guest) on October 3, 2023

🀣 Hii imewaka moto!

Rashid (Guest) on September 25, 2023

🀣 Hii imenigonga vizuri!

Grace Njuguna (Guest) on September 12, 2023

Nimecheka hadi nimesahau shida zangu! πŸ˜ŠπŸ˜…

Dorothy Majaliwa (Guest) on August 22, 2023

πŸ˜‚πŸ‘ŒπŸ˜†πŸ˜Š

Betty Kimaro (Guest) on August 8, 2023

Nimefurahia hii sana! πŸ˜†πŸ˜Š

Elizabeth Malima (Guest) on July 8, 2023

Hii imenipa kicheko cha siku! πŸ˜‚πŸ€£

Chris Okello (Guest) on July 1, 2023

Nimecheka hadi nina furaha sana! 🀣😊

Wilson Ombati (Guest) on July 1, 2023

Ucheshi wenu unanifurahisha! πŸ˜ŠπŸ˜‚

David Musyoka (Guest) on June 15, 2023

Nimefurahia sana hii joke! πŸ˜…πŸ˜‚

Mustafa (Guest) on June 14, 2023

🀣 Sikutarajia hiyo!

Francis Njeru (Guest) on June 13, 2023

Nimecheka hadi machozi yanatoka! 🀣😭

Ann Wambui (Guest) on June 2, 2023

πŸ˜†πŸ˜‚πŸ˜Š

Lydia Wanyama (Guest) on June 1, 2023

πŸ€£πŸ˜­πŸ˜†

Catherine Mkumbo (Guest) on May 26, 2023

πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ€£

Jane Muthoni (Guest) on May 25, 2023

πŸ˜† Hii imenigonga kweli!

Victor Kamau (Guest) on April 18, 2023

Ninashiriki hii na marafiki zangu mara moja! πŸ˜†

Thomas Mwakalindile (Guest) on March 6, 2023

πŸ˜‚πŸ€£πŸ˜†πŸ˜…

Alice Jebet (Guest) on March 2, 2023

Hii imenibamba sana! πŸ˜…πŸ€£

John Mushi (Guest) on February 16, 2023

Huyu mtu ni mcheshi sana! πŸ˜‚πŸ˜‚

George Tenga (Guest) on February 15, 2023

πŸ€£πŸ€£πŸ˜‚

Nancy Kabura (Guest) on February 8, 2023

Hii ni ya maana sana! πŸ˜‚πŸ‘Œ

Monica Nyalandu (Guest) on February 2, 2023

Huu ucheshi hauna kifani! 🀣πŸ”₯

Anna Malela (Guest) on January 31, 2023

πŸ˜‚πŸ€£πŸ˜ŠπŸ˜…

Nicholas Wanjohi (Guest) on January 6, 2023

Hii imenifurahisha hadi nacheka kwa sauti! πŸ€£πŸ˜…

Abdullah (Guest) on December 25, 2022

🀣 Hii imenifanya siku yangu iwe bora kabisa!

Henry Sokoine (Guest) on December 19, 2022

Hii joke ni ya kufurahisha! 🀣🀣

Christopher Oloo (Guest) on December 12, 2022

πŸ˜† Kali sana!

Mohamed (Guest) on November 30, 2022

Sikutarajia hiyo punchlineβ€”kichekesho! 🀣

Peter Mbise (Guest) on October 16, 2022

Huyu alikuwa na point! πŸ˜‚πŸ‘Œ

Miriam Mchome (Guest) on September 27, 2022

Nimecheka hadi nimesahau shida! πŸ€£πŸ˜†

Mwajabu (Guest) on August 22, 2022

πŸ˜‚ Ninahitaji kuihifadhi hii milele!

Janet Sumari (Guest) on August 17, 2022

Umetisha! πŸ‘ŒπŸ˜‚

James Kimani (Guest) on August 7, 2022

πŸ˜‚πŸ‘Œ

Wilson Ombati (Guest) on July 28, 2022

Hii imenifurahisha sana! 🀣😊

Ibrahim (Guest) on July 25, 2022

Hii kichekesho ilikuwa bora! Nimeipenda! 🎯

Hellen Nduta (Guest) on July 6, 2022

😁 Hii imenifanya siku yangu iwe bora!

Michael Mboya (Guest) on July 5, 2022

πŸ˜… Nilihitaji kicheko hiki, asante!

Samuel Were (Guest) on April 15, 2022

Hii ni joke ya kipekee sana! πŸ˜‚πŸ‘

Fredrick Mutiso (Guest) on April 4, 2022

πŸ˜†πŸ‘πŸ˜‚πŸ˜„

Related Posts

Wazo la jioni hii

Wazo la jioni hii

πŸ“’WAZO LA JIONI HII πŸ“’

KAMA MWAKA JANA ULIPIGA HATUA NA HUJAFIKIA MALENGO MWAKA HUU... Read More

Hii ndiyo bongo sasa!!

Hii ndiyo bongo sasa!!

Hii ndio Bongo

Ilikuwa Ijumaa mida ya saa 10 jioni, mzee mmoja aliingia na kibinti kizuri k... Read More

Jinsi Baba na mtoto wanavyoweza kuwaziana

Jinsi Baba na mtoto wanavyoweza kuwaziana

Duh! Maisha

Ile time unawaza baba angekua MO DWEJI baba ako na ye anawaza mwanangu ... Read More

Dunia ina mambo! Angalia kilichotokea baada ya mgonjwa kuwekewa macho ya paka

Dunia ina mambo! Angalia kilichotokea baada ya mgonjwa kuwekewa macho ya paka

Kuna jamaa alipata ajali akapofuka machoπŸ‘€, akaenda hospital akawekewa macho ya paka🐈🐱, dokt... Read More
Wachaga wana mambo mbele ya hela, angalia hii bili ilivyomchanganya MASSAWE

Wachaga wana mambo mbele ya hela, angalia hii bili ilivyomchanganya MASSAWE

MASSAWE alienda na marafiki zake bar kunywa, baada ya kumaliza kutumia akal... Read More

Wazo la asubuh - penzi la kuku

Wazo la asubuh - penzi la kuku

Wazo la asubui

πŸ™ˆPenzi la kuku sekunde 2 ila vifaranga kibao.Lakini binadamu masaa kib... Read More

Ulevi noma! Angalia huyu mlevi alichomfanyia huyu jamaa usiku! Ungekua wewe ungefanyaje?

Ulevi noma! Angalia huyu mlevi alichomfanyia huyu jamaa usiku! Ungekua wewe ungefanyaje?

Jamaa alikuwa amelaa na mkewe saa tisa ya usiku akastuka baada ya kusikia mtu anabisha hodi kwenda k... Read More
Kilichompata huyu jammaa baada ya simu yake kuita msikitini

Kilichompata huyu jammaa baada ya simu yake kuita msikitini

Jamaa alisahau kuzima simu akiwa msikitini anaswali GHAFLA simu ikaita akaingiza mkono ili aikat... Read More

Angalia huyu bibi alichotufanyia kwenye gari

Angalia huyu bibi alichotufanyia kwenye gari

​tulikua kwenye gari kibao ad wengne mlangon likasmimama kituo kimoja kulikua kuna bibi anataka... Read More

Angalia huyu Jamaa alichomfanyia mke wake jana

Angalia huyu Jamaa alichomfanyia mke wake jana

Jana niligombana na mke wng, Akaniambia nibebe kila kitu changu niondoke, Bas kiustaarabu... Read More

Huyu jamaa kawaweza wapenda vya bure

Huyu jamaa kawaweza wapenda vya bure

Jamaa kaingia mgahawani kwa fujo
JAMAA :Β Nipe soda moja na kila mtu mpe ya... Read More

MAJIBU YA MAKONDA WA DALADALA ZETU GONGOLAMBOTO HUKU

MAJIBU YA MAKONDA WA DALADALA ZETU GONGOLAMBOTO HUKU

1. wewe Dada unaturingia nini na matiti yako mawili , mbwa pia ana matiti nane na haturingii eboo !!... Read More
πŸ“– Explore More Articles