Warning: Undefined variable $user_id in /home/ackyshine/personal/sidebar.php on line 36
Sidebar with Floating Button
AckySHINE πŸ”
☰
AckyShine

Kizungu nacho ni sheeeedeer

Featured Image

Mtalii: Do you have vegetables here.
Mtafsiri: Mnavyo vijimeza hapa.
Waiter: Vijimeza vidogo hatuna.
Mtafsiri: No sir, they don't have.
Mtalii: OK, fine, do you have hot dogs.
Mtafsiri: Sawa, je mnao mbwa wa moto.
Waiter: Loh! Bwana we, hatupiki mbwa hapa.
Mtafsiri: They don't cook here
Mtalii: What type of snacks do you have here.
Mtafsiri: Aina ngapi ya nyoka mnao hapa,
Waiter: We bwana we hapa hatupiki aina yeyote
ya nyoka, mwache akale nyumbani kwao.
Mtafsiri: They don't cook any type of snacks
here,
maybe you can go back and eat at home.
Mtalii: OK, at least give us a cocktail juice.
Mtafsiri: OK, tupatie hata juisi ya mkia wa jogoo.
Waiter: Hebu tokeni na bangi zenu hapa, tena
sasa hivi kabla sijakasirika.
Mtafsiri: Lets get out of here
πŸ˜πŸ˜πŸ˜πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
Usicheke pekeyako

AckySHINE Solutions

Comments

Please log in or register to leave a comment or reply.

Lydia Mahiga (Guest) on July 7, 2024

🀣 Hii imenifanya siku yangu iwe bora kabisa!

Latifa (Guest) on June 30, 2024

🀣 Hii kichekesho ni nzuri sana!

Masika (Guest) on June 28, 2024

Nitaeleza hii kwa marafiki zangu bila shaka! πŸ˜„

Chris Okello (Guest) on June 19, 2024

πŸ˜† Ninakufa hapa!

Janet Wambura (Guest) on June 16, 2024

Ucheshi wenu unanifurahisha kila siku! πŸ˜†πŸ˜„

Peter Mbise (Guest) on June 12, 2024

Hii imenigonga vizuri, punchline gani! πŸ˜†

Joseph Njoroge (Guest) on June 8, 2024

🀣 Ujuzi wa hali ya juu!

Francis Njeru (Guest) on June 8, 2024

Ucheshi wenu ni wa hali ya juu sana! πŸ‘πŸ˜‚

Shamsa (Guest) on May 28, 2024

Hii ni dhahabu ya vichekesho! πŸ˜„

Mtumwa (Guest) on April 22, 2024

Brilliant! Muda wake ulikuwa kamili! ⏰

Alex Nakitare (Guest) on April 21, 2024

πŸ˜‚ Ninashiriki mara moja!

Samuel Were (Guest) on April 14, 2024

πŸ€£πŸ˜†πŸ˜ŠπŸ˜‚

Joy Wacera (Guest) on March 17, 2024

Hii kichekesho imenifurahisha sanaβ€”imebamba! 🀣

Elizabeth Mrope (Guest) on February 11, 2024

Nimecheka hadi machozi 🀣😭

Joseph Njoroge (Guest) on February 7, 2024

πŸ˜†πŸ˜‚πŸ‘

Shani (Guest) on January 21, 2024

Hii kichekesho ilikuwa bora! Nimeipenda! 🎯

Fikiri (Guest) on January 16, 2024

πŸ˜‚ Hii kichekesho imenifurahisha siku nzima!

Bahati (Guest) on January 14, 2024

🀣 Hii imenigonga vizuri!

Rose Lowassa (Guest) on January 12, 2024

Lazima nikumbuke hii kwa baadaye! πŸ˜†

Peter Tibaijuka (Guest) on January 3, 2024

πŸ˜† Bado nacheka!

Mwalimu (Guest) on January 1, 2024

Haha, mbavu zangu zinauma kwa kucheka sana! 🀣

Maida (Guest) on December 28, 2023

πŸ˜‚ Ninaihifadhi hii!

Mercy Atieno (Guest) on December 22, 2023

πŸ˜„ Hii ni ubunifu wa hali ya juu!

Joseph Kiwanga (Guest) on December 20, 2023

Hii imenipa kicheko cha siku! πŸ˜‚πŸ˜†

Susan Wangari (Guest) on December 17, 2023

Nimecheka kwa sauti! 🀣🀣

James Kimani (Guest) on November 23, 2023

Hii imenikumbusha kicheko cha zamani! πŸ˜‚πŸ˜…

Kijakazi (Guest) on September 17, 2023

πŸ˜‚ Nacheka hadi nalia!

Samson Tibaijuka (Guest) on September 15, 2023

πŸ˜„ Umeimaliza kabisa!

Dorothy Majaliwa (Guest) on August 26, 2023

Hii imenifurahisha sana! 🀣😊

David Kawawa (Guest) on August 18, 2023

Napenda jokes zenu! πŸ˜ŠπŸ˜…

Nancy Komba (Guest) on July 30, 2023

Nimefurahia sana hii! πŸ˜…πŸ˜Š

Hellen Nduta (Guest) on July 28, 2023

πŸ˜… Nilihitaji kicheko hiki, asante!

Agnes Sumaye (Guest) on July 24, 2023

Napenda jinsi mnavyofikiria! πŸ€”πŸ˜†

Violet Mumo (Guest) on July 1, 2023

Huu ucheshi hauna kifani! 🀣πŸ”₯

Husna (Guest) on June 28, 2023

πŸ˜† Hii imenigonga kweli!

Ann Awino (Guest) on May 11, 2023

πŸ˜†πŸ˜‚πŸ˜Š

Brian Karanja (Guest) on May 10, 2023

πŸ€£πŸ‘πŸ‘Œ

Victor Mwalimu (Guest) on April 26, 2023

πŸ˜† Nacheka hadi chini!

Grace Mushi (Guest) on April 18, 2023

πŸ˜‚πŸ€£πŸ˜ŠπŸ˜…

Martin Otieno (Guest) on April 16, 2023

πŸ˜† Kali sana!

Joyce Nkya (Guest) on March 31, 2023

Kweli mna ucheshi wa kipekee! πŸ˜‚πŸ€£

Agnes Lowassa (Guest) on March 25, 2023

πŸ˜‚ Nitaiiba hii bila shaka!

Andrew Mchome (Guest) on March 14, 2023

Kweli mna kipaji cha ucheshi! πŸ‘πŸ€£

Jackson Makori (Guest) on March 11, 2023

πŸ˜‚ Nimeipenda kabisa hii!

Catherine Naliaka (Guest) on March 3, 2023

Ucheshi wenu ni wa hali ya juu sana! πŸ‘πŸ€£

Joseph Kawawa (Guest) on March 2, 2023

Wow, hizi kichekesho ni dhahabu kabisa! πŸ’°

Vincent Mwangangi (Guest) on February 14, 2023

Nimecheka hadi nina furaha sana! 🀣😊

Robert Ndunguru (Guest) on February 4, 2023

πŸ˜‚πŸ€£πŸ˜†πŸ‘

Betty Akinyi (Guest) on January 29, 2023

Umetisha! πŸ‘ŒπŸ˜‚

Isaac Kiptoo (Guest) on January 11, 2023

Nimecheka hadi nimesahau shida zangu! πŸ€£πŸ˜†

Mohamed (Guest) on January 4, 2023

Ninashiriki hii na marafiki zangu mara moja! πŸ˜†

Joyce Mussa (Guest) on December 28, 2022

πŸ˜‚ Siwezi kusubiri kushiriki hii!

Janet Sumari (Guest) on December 23, 2022

Hii ni kali! Itaingia kwenye vipendwa vyangu! πŸ˜„

Nancy Komba (Guest) on December 10, 2022

Kweli mna ucheshi wa kipekee sana! πŸ˜„πŸ˜‚

Irene Makena (Guest) on December 8, 2022

Nimecheka hadi nina furaha sana! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Brian Karanja (Guest) on November 14, 2022

Hii kichekesho imebadilisha kabisa hali yangu! πŸ˜ƒ

Mzee (Guest) on October 18, 2022

πŸ˜† Ninacheka sana sasa hivi!

Susan Wangari (Guest) on October 17, 2022

Hii ni joke ya kipekee sana! πŸ˜‚πŸ‘

Brian Karanja (Guest) on September 4, 2022

πŸ˜‚πŸ‘πŸ˜…πŸ€£

Nancy Kabura (Guest) on August 22, 2022

Hii imenikuna! πŸ˜†πŸ˜Š

Related Posts

Duh, hii sasa kazi

Duh, hii sasa kazi

Wakati unafikiria dingi yako afe ili urithi nyumba, dingi nae anafikiria uanze kufa ili apangishe... Read More

Cheki tabia za kuandika vimaneno vya ajabuajabu kwenye pikipiki na bodaboda ilivyomponza huyu

Cheki tabia za kuandika vimaneno vya ajabuajabu kwenye pikipiki na bodaboda ilivyomponza huyu

Jamaa mmoja dereva wa bajaji alianguka, sasa bajaji ikawa imem'bana akawa anafurukuta bil... Read More

Kilichotokea wakati mchungaji akifungisha ndoa ya Mashoga

Kilichotokea wakati mchungaji akifungisha ndoa ya Mashoga

Mchungaji mmoja baada ya kuwafungisha ndoa "MASHOGA" wawili alipata wakati mgumu kutamka kuwa "sasa ... Read More
Huyu mchaga kazidi sasa, angalia anavyomfanya huyu mbuzi

Huyu mchaga kazidi sasa, angalia anavyomfanya huyu mbuzi

Mchaga alinunua mbuzi akamwambia mpishi Nyama nusu ipike pilau na ingine itie kwenye friza. Kichwa f... Read More
Duh! Angalia alichokula huyu mwizi! Wizi mwingine bwana!

Duh! Angalia alichokula huyu mwizi! Wizi mwingine bwana!

Baada ya mwizi kuvunja mlango huko Tarime, akaingia kwenye stoo akaona vinyama kwenye bakuli vik... Read More

Upendo wa kweli ni nini?

Upendo wa kweli ni nini?

*Upendo wa kweli ni nini?*
*πŸ‘‰Upendo wa kweli ni pale mwanaume anapomfumania mwanamke wake... Read More

Maajabu ya wananchi wa Tanzania, Je, wajua hili?

Maajabu ya wananchi wa Tanzania, Je, wajua hili?

JE WAJUA TANZANIA NI NCHI PEKEE AMBAYO WATU WANAPOANZA KUCHAT huanza kwa kiingereza 'morning' na... Read More

Angalia nilichomfanyia huyu dereva sasa

Angalia nilichomfanyia huyu dereva sasa

Tulikua kwa basi tunaelekea arusha,ile namcheki dereva kumbe ni best yangu na basi ilikua... Read More

Angalia haya mazungumzo ya msichana na mvulana, mapenzi ya ajabu haya

Angalia haya mazungumzo ya msichana na mvulana, mapenzi ya ajabu haya

Demu: Hny mambo jamani! Man: Safi nipe habari wangu wa moyo Demu:Wafanya kazi gani vile wangu? Man: ... Read More
Cheki kilichompata huyu dada!!

Cheki kilichompata huyu dada!!

NDOA inafungwa KANISANI Mchungaji akauliza-Yeyote mwenye Pingamizi La Ndoa hii kufungwa aje Mbel... Read More

Duh! Huyu kazidi sasa

Duh! Huyu kazidi sasa

Kuna jamaa kapita hapa kaniuliza et mbona umekunja sura nikamjibu nataka niweke kwenye begiπŸ˜‚π... Read More

Kilichowakuta boss, mke wake na mfanyakazi wao

Kilichowakuta boss, mke wake na mfanyakazi wao

Bakari ni house boy mara nyingi huiba wine ya boss wake na kisha kuongeza maji kwenye chupa ili b... Read More

πŸ“– Explore More Articles