Warning: Undefined variable $user_id in /home/ackyshine/personal/sidebar.php on line 36
Sidebar with Floating Button
AckySHINE 🔁
AckyShine

Misemo 17 ya kuchekesha

Featured Image

1) gari la kuvutwa halina overtake
2) kisigino hakikakai mbele
3) wimbo wa taifa haupgwi disko
4) feni haiwashwi beach
5) mshkaki hauchomwi kwa jiko la ges
6) mganga haagiz tembele
7) hata bibi alikuwa bint
8) mke wa mtu sumu,mume wamtu maziwa
9) kipara bila pesa ni kovu
10) mbwa hanenepi migiuu
11) picha ya rais haina bodyguard
12) mjini shule kijiji tuition
13) saa ya ukutani haivaliwi mkonon
14) heshima pesa shkamoo makelele
15) ulinz pesa bastora mzgo
16) kuku ni kuku jogoo mbwembwe
17) kusoma kuelewa kukesha mbwembwe

AckySHINE Solutions

Comments

Please log in or register to leave a comment or reply.

Alex Nyamweya (Guest) on July 21, 2024

😂 Sijacheka hivi kwa muda mrefu sana!

Guest (Guest) on January 5, 2026

KIHESHIMU
1.kiheshimu kidogo ulichokipata kama njia yakwenda kwenye kikubwa huwezi kusonga ugar kabra hujapika mboga
2.kaheshimu hatakama wataona hakana samani kumbuka kaufunguo nikadogo sana
ira ukikapoteza kanaweza kufanya ukalala nje kwakitu kikubwa
3.haijalishi we nimdogo kwao ira cheo kitabaki pale pale fikilia nyumba ilivyo kubwa ira mlinziwake kufuri
4.kipend nakukithamin hatakama nikichafu mana utakapokuwa unazarau vichafu kunasiku utaipita dhahabu yenye matope
5.ishi kama mfungwa ujekuwa mfalme
6.kama yeye yuko juu bas alianzia chini ulipo wewe huwez kupanda ghorofa bira kuanzia chini
7.mjari naumpend aliechiniyako usitumie ulichonacho kama fimbo kwake naukasahau maisha kinyonga maisha kama siti yadaladala leo umekaa wewe kesho ameka huyu itakuwa mbaya kwako kama aliishi kwakisasi 8.mpende baba namama mana wao ndo wamefanya ukaitwa baba wao ndo wamefanya ukaitwa mama
by
msomaji pongezi zangu zathat ziende kwamuaandishi*_"_* namtunziwetu..ABU MAHEMBE

Guest (Guest) on January 5, 2026

awa watoto waefumbili bwana sipati picha watoto wafutatu watakuwaje kipindiicho wanatamba watoto wafutatu watoto wafumbili makaburi yashaota hadi nyasi hehehe maisha aya ndo mana mi sifagili sana mamb yaujana we mwaka 3000 utakuwepo

Guest (Guest) on January 4, 2026

jamani awa madem wanatolewaga bikra nawakinanani
mbona kira mwanaume anasema hajawahi kupata dem bikra eeeh

Guest (Guest) on January 2, 2026

abu mahembe 2026 mmenichokoza nimerud tena ety jamani katiyenu kunamtu anatumia kipajichangu kutimiza ndoto zake acheni ujinga unajua umu mi napost jf bure ila kunamchekeshaji nimemwona amenikopy live jamani kama we nimchekeshaj au mwigizaji umeishiwa swaga unataka vionjo vichekesho nitafute humu nikupe swaga 0681305278 utanichangia kidogotu

Guest (Guest) on January 4, 2026

MWAKA 2026
kauli mbiu yetu
no.kudindisha
nazima hisia
nawasha akili
nimeokoka
mimi namwamposa mwamposa namimi
by
ABU-MAHEMBE

Guest (Guest) on January 2, 2026

mkulima harisi ndoanaujua uchungu wanamba saba7

Guest (Guest) on November 9, 2025

abu misemo
mama wakambo simama mana akikaa ndo utasema mama wakambo siurale

Guest (Guest) on November 9, 2025

ABU sido misemo
usiombe siku mpenziwako agombane nampenziwake

Guest (Guest) on October 14, 2025

"mala paaa tunaenda "mbinguni alafu tunaambiwa " sadaka
"ulizokua unatoa
"duniani ndo
matumizi yako uku
mbinguni mh
haki yamungu kunawengine tutakua omba omba jamani tutoweni sadaka
abu apa 0681305278

Guest (Guest) on January 2, 2026

mvuvi haring akiwa njiani cjui mara ngoja nishuke nikakojoe

Guest (Guest) on October 7, 2025

"TANGAZO TANGAZO masika imefika "kwawalewote wanaotaka kupanda ndege lengi loizi loizi " "mabasi pg 0683015278 mbegu zake ninazo NIABU APA MTOTO WAMIKIDADI SAIDI BY

Guest (Guest) on October 17, 2025

OK

Guest (Guest) on October 7, 2025

kila lenyemwanzo halikosi mwisho hata mwisho nao unamwishowake

Guest (Guest) on October 8, 2025

kila lenyemwanzo halikosi mwisho hata mwisho pia unamwishowake hata boss pia anaboss wake hatami abu mikidadi naishi2 ila namwishowangu

Guest (Guest) on August 9, 2025

MISEMO

Guest (Guest) on January 2, 2026

kumbuka kunakijana nakileo sasa mimi nikileo mnaojiita vijana mimi nishatokaga ukwo ubaki jana paka ln njoo leo

Guest (Guest) on November 9, 2025

ety jamani% kipi niujinga kati yahivi
%kumkimbia simba polini wakati ulikua unaenda kujinyonga

"kutoa mimba alafu unalala namdori

"kumpenda mtu alafu unaogopa kumambia

"kufuta namba yampenzi wako kwahasira wakati unayo kichwani

"kwenda dukani kununua sum unywe ujiuwe alafu unasubili chenchi

nipeni jibu 0681305278 ABU APA MAHEMBE NDOKWETU KGM TZ

Guest (Guest) on November 9, 2025

ety jamani% kipi niujinga kati yahivi
%kumkimbia simba polini wakati ulikua unaenda kujinyonga

"kutoa mimba alafu unalala namdori

"kumpenda mtu alafu unaogopa kumambia

"kufuta namba yampenzi wako kwahasira wakati unayo kichwani

"kwenda dukani kununua sum unywe ujiuwe alafu unasubili chenchi

nipeni jibu 0681305278 ABU APA MAHEMBE NDOKWETU KGM TZ

Guest (Guest) on November 9, 2025

ety jamani% kipi niujinga kati yahivi
%kumkimbia simba polini wakati ulikua unaenda kujinyonga

"kutoa mimba alafu unalala namdori

"kumpenda mtu alafu unaogopa kumambia

"kufuta namba yampenzi wako kwahasira wakati unayo kichwani

"kwenda dukani kununua sum unywe ujiuwe alafu unasubili chenchi

nipeni jibu 0681305278 ABU APA MAHEMBE NDOKWETU KGM TZ

Guest (Guest) on October 8, 2025

acha kazi uwone kazi inavokua kazi kupata kazi


ABU AP 0681305278

Guest (Guest) on October 7, 2025

ukiona maisha nimagum pambana nahaliyako wekausha2 hatagali lazima moto kunamda huwa linaungua (ABU)(mikidadi)apa

Guest (Guest) on October 7, 2025

ukiona maisha nimagum pambana nahaliyako wekausha2 hatagali lazima moto kunamda huwa linaungua

Guest (Guest) on August 20, 2025

Dah: mnachekesha kweli ety

Guest (Guest) on November 9, 2025

ABU MAHEMBE KGM TZ SIDO SAMIRU SIDO KGM TZ MISEMO ITAKAYO KUACHA HOI NAKICHEKO
.
"%mtoto kaambiwa %nababayake hongera mwanangu umemariza chuo kikuu chagua zawadi yoyote uwipendayo dg akajibu "naomba hela nikamuowe bibi mana kila siku ananita mmewake " baba akajibu mshenzi mkubwa wewe %huwezi kumuowa yule nimamayangu mzazi %dg akajibu mbona wewe umemuowa mamayangu mzazi sijasema kitu kumbe inaumaee kama nivo nenda kwamayako namimi nibaki namamayangu kilamtu abaki namayake ungekuwa niwewe ungemjibu nini huyu dg hahahahahahahahaha

Guest (Guest) on December 30, 2025

Hahaha

Guest (Guest) on October 8, 2025

ya ni abu apa kutoka sido nilikua naomb mniunge namimi niwe natupia misemo watu walike

Guest (Guest) on November 9, 2025

ABU MAHEMBE KGM TZ
HIi NIKWA MABEST Frend wote
H£LO B£ST Frend
WAMBI£ SISI NIMABEST FRENDI
WATASEMA SANA SISI BADOTUPO T£NA TUPOSANA HAWAJUI KAMA MANENO YAO NDO TAMBIKORA YANAZIDI KUKOR£ZA URAFIKIWE TENA WAKAZANE

Guest (Guest) on August 15, 2025

Balaaaa

Wande (Guest) on July 21, 2024

😆 Hiyo punchline ilikuwa kali!

Guest (Guest) on October 11, 2025

"ofa ofa
"kwanzia kesho "nakuendea selekar
"imeluhusu wavuta bangi wote mvutie bangi hazala vituo vya polic kambi zajexhi maeneo yaikulu kote ukwo bangi inukie kama pilau

hahahahaha kitakacho wakuta zawad milini 5
abu

Guest (Guest) on October 8, 2025

"sikumoja PADR na sister "waliwa "wakifanya "mapenzi chini yamti "kumbe juu " yaule mtii palikua "na mvuta bangi "walipomaliza "sister akauliza ulitumia kinga "PADR hapana " sistel sasa itakuaje nikipata mimba "PADRI akajibu "yote tumuachie aliejuu "yule mvuta bang akajua niyeye akajibu kwasaut pumbavu yani mapenzi mfanye nyie mimba mniachie mimi PADRI na sister inamana yote tuliyofanya apa umena aaaaaaaaa? hahahahaha STOR imetoka kwangu abu wamiki apa by

Guest (Guest) on September 22, 2025

Hahahaha mnanikumbuxha enzi zang

Guest (Guest) on August 20, 2025

Zote kali

Guest (Guest) on October 8, 2025

"unasema beby wako "anakupenda sasa fanya "ivi chukua gunia la hela "nawewe mkae apo "alafu umwambie beby "chagu kitu ukipendacho "kati yaiili gunia lahela namimi alafu "tuone ABU APA niulize mimi nambayangu iyapa0681305278

Guest (Guest) on December 2, 2025

DUAKA

John Mwangi (Guest) on July 7, 2024

Bado nacheka, hiyo ilikuwa nzuri sana! 🤣

Guest (Guest) on October 8, 2025

niungen

Fredrick Mutiso (Guest) on July 5, 2024

🤣 Sikutarajia hiyo!

David Sokoine (Guest) on June 14, 2024

😆 Ninaihifadhi kwa baadaye!

Mary Njeri (Guest) on June 7, 2024

Hii imenichekesha sana! 🤣😆

Mary Sokoine (Guest) on April 27, 2024

Ucheshi wenu unanifurahisha! 😊😂

Peter Mugendi (Guest) on April 17, 2024

Hii ndio nilihitaji leo! Asante! 😜

Janet Sumari (Guest) on April 10, 2024

Hii imenipa kicheko cha siku! 😂😆

Francis Njeru (Guest) on March 24, 2024

Ucheshi wa hali ya juu! 😂👏

John Lissu (Guest) on March 13, 2024

Hizi jokes ni za kipekee sana! 😆😊

Jackson Makori (Guest) on March 11, 2024

😂 Nimeipenda kabisa hii!

Sarah Karani (Guest) on February 28, 2024

Nilihitaji kicheko hiki, asante kwa kushiriki! 😅

Chris Okello (Guest) on February 20, 2024

Hii kichekesho imenifurahisha sana—imebamba! 🤣

Ruth Mtangi (Guest) on February 8, 2024

Hii imenifurahisha hadi nacheka kwa sauti! 🤣😂

Richard Mulwa (Guest) on February 7, 2024

Ucheshi wenu ni wa hali ya juu sana! 👏🤣

Guest (Guest) on October 3, 2025

Nilikuwa nahalisha ila kwa hii nahisi nimepona

Guest (Guest) on December 30, 2025

Kapime acha ujinga 0749665164

Esther Nyambura (Guest) on January 25, 2024

🤣😭😆

Peter Mbise (Guest) on November 11, 2023

Hii imenipa kicheko cha siku! 😊😆

Josephine Nekesa (Guest) on November 11, 2023

Hii joke ni ya kufurahisha! 🤣🤣

Andrew Odhiambo (Guest) on November 5, 2023

😂👏😅🤣

Bernard Oduor (Guest) on October 29, 2023

😅 Bado nacheka!

Martin Otieno (Guest) on October 20, 2023

Kweli mnajua kuchekesha watu! 🤣😂

Related Posts

Ulishawahi kukutana na hii? Maana yake ni nini?

Ulishawahi kukutana na hii? Maana yake ni nini?

Ulishawahi kutana na hii….
Issa: mambo
Jeni:poa vp
Issa:poa nambie:

Jeni:p... Read More

Vituko vinavyoandikwa kwenye daladala

Vituko vinavyoandikwa kwenye daladala

Huwa naenjoy sana kusoma yaliyoandikwa nyuma ya daladala hasa ninapokuwa kwenye foleni. Misemo ma... Read More

Nilichokifanya jana baada ya kushuka kwenye basi Ubungo

Nilichokifanya jana baada ya kushuka kwenye basi Ubungo

Jana nateremka kwenye BASI UBUNGO nataka nichukue TEKSI hadi KIMARA naambiwa sh.15,000/=.
Wa... Read More

Wanaume ni noma, Angalia wanachokifanyaga wakimwona mwanamke

Wanaume ni noma, Angalia wanachokifanyaga wakimwona mwanamke

Wanaume ni viumbe WASTAARABU sana..Mdada anapokua kavaa BIKINI na BRA tu, 98% ya mwili wake unak... Read More

Cheki hawa washikaji wanachokifanya baada ya kuvuta bangi, Bangi si mchezo

Cheki hawa washikaji wanachokifanya baada ya kuvuta bangi, Bangi si mchezo

Kuna washikaji walikuwa wakivuta bangi… kiberiti kikawaishia… wakamtuma mwenzao akatafute ki... Read More

Hii sasa kali kweli kweli!!

Hii sasa kali kweli kweli!!

MCHUNGAJI alitangaza kila mwanaume aliye na mke atoe sadaka kulingana na uzuri wa mke wake…bac... Read More

Duh! Wanaume jamani…

Duh! Wanaume jamani…

Lakini sisi wanaume hatuko fair … Yani demu anang'ng'ana kujipodoa uso na sisi tunaang... Read More

Watu wana vimaneno

Watu wana vimaneno

Eti linalo jamba ni tumbo makalio ni spika tu

Dah!!

Nimecheka h... Read More

Huyu bibi kazidi sasa

Huyu bibi kazidi sasa

Bibi kapigwa mtama na Kibaka na kuporwa simu,

Kainuka na kuanza k... Read More

Angalia kilichojiri katika semina ya wanandoa kuhusu upendo

Angalia kilichojiri katika semina ya wanandoa kuhusu upendo

Kulikuwa na semina ya wanawake kuhusu namna ya kuishi kwa upendo katika ndoa.
Mwalimu aliwau... Read More

Hii mitoto mingine mijinga, cheki alichokifanya huyu

Hii mitoto mingine mijinga, cheki alichokifanya huyu

Nimeamka asubuhi nikiwa na elfu 1 tu mfukoni, nikamtuma mtoto wa jirani akaninunulie maa... Read More

Unakumbuka haya enzi za shule?

Unakumbuka haya enzi za shule?

Kama umesoma st Kayumba utakuwa una aidia na haya…

1.Unaenda shule umechelewa unakuta mwa... Read More