Warning: Undefined variable $user_id in /home/ackyshine/personal/sidebar.php on line 36
Sidebar with Floating Button
AckySHINE πŸ”
☰
AckyShine

Mambao ya saluni ni shida, cheki kilichotokea kwa huyu

Featured Image

DADA alienda Salon wakati anasukwa akaingia
MKAKA mtanashati,
DADA akaamua kujaribu bahati yake.
DADA:Mambo? KAKA:Poa.
DADA:Mimi na wewe tunaweza kuongea baade?
KAKA:Kuhusu nini?
DADA:Nimekupenda nataka nikutoe out.
KAKA:Sawa ila nitamwambia nini
MKE wangu?
DADA:Aah ilo sio tatizo mdanganye tu,mwambie unakwenda kumtembelea rafiki yako hospitalini.
KAKA:Mwambie mwenyewe huyo hapo anayekusuka.

Β 

Unajua nn kiliendelea?

AckySHINE Solutions

Comments

Please log in or register to leave a comment or reply.

George Tenga (Guest) on April 21, 2024

πŸ˜†πŸ˜‚πŸ˜Š

Stephen Malecela (Guest) on April 8, 2024

πŸ˜‚ Lazima nihifadhi hii!

Selemani (Guest) on March 27, 2024

Hii ni kichekesho kali sana, ninashiriki na kila mtu! πŸ˜‚

Mariam Kawawa (Guest) on March 17, 2024

Asante Ackyshine

Hassan (Guest) on February 28, 2024

πŸ˜„ Dhahabu ya vichekesho!

Nancy Akumu (Guest) on February 26, 2024

Hii imenifurahisha sana! πŸ˜ŠπŸ˜…

Thomas Mtaki (Guest) on February 15, 2024

Hii ni kali kabisa! Siwezi kushiba! πŸ˜‚

Peter Mbise (Guest) on January 9, 2024

Ucheshi wenu ni wa hali ya juu sana! πŸ‘πŸ€£

Emily Chepngeno (Guest) on December 28, 2023

Ucheshi wenu unanifurahisha! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Alex Nakitare (Guest) on December 27, 2023

Kweli mna kipaji cha ucheshi! πŸ‘πŸ€£

Moses Mwita (Guest) on December 27, 2023

Nimecheka hadi nina furaha sana! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Josephine Nduta (Guest) on December 19, 2023

Nimecheka hadi nimepata furaha! πŸ˜ŠπŸ˜†

Victor Malima (Guest) on December 16, 2023

Hii ni ya kufurahisha! πŸ˜„πŸ˜…

Mwachumu (Guest) on December 11, 2023

🀣 Hii imewaka moto!

Ruth Wanjiku (Guest) on December 8, 2023

Kweli mna ucheshi wa kipekee! πŸ˜‚πŸ€£

Josephine Nekesa (Guest) on December 7, 2023

Hii imenifurahisha sana! πŸ˜‚πŸ˜‚

David Sokoine (Guest) on December 4, 2023

πŸ˜ŠπŸ˜‚πŸ˜…πŸ‘

Joseph Kitine (Guest) on November 23, 2023

Nimeipenda hii joke! πŸ˜„πŸ˜‚

Kazija (Guest) on November 9, 2023

Hii imeniboresha wakati wangu wa mapumziko! β˜•πŸ˜†

Mary Kendi (Guest) on October 17, 2023

Hii imenifurahisha hadi ninacheka kwa sauti! πŸ˜„πŸ˜…

Henry Sokoine (Guest) on October 12, 2023

Huyu alikuwa na point! πŸ˜‚πŸ‘Œ

Agnes Lowassa (Guest) on September 29, 2023

😁 Hii imenifanya siku yangu iwe bora!

Alice Mrema (Guest) on September 8, 2023

Hii ni joke ya kipekee sana! πŸ˜ŠπŸ‘

Baraka (Guest) on August 22, 2023

Hii ni aina ya kichekesho usichosahau! πŸ˜‚

Zawadi (Guest) on July 3, 2023

πŸ˜‚ Ninashiriki mara moja!

Yusuf (Guest) on July 3, 2023

πŸ˜‚ Hii kichekesho imenifurahisha siku nzima!

Athumani (Guest) on June 27, 2023

πŸ˜„ Kichekesho gani!

Robert Okello (Guest) on May 8, 2023

πŸ˜‚ Siwezi kuacha kucheka!

Edward Lowassa (Guest) on April 2, 2023

Wow, hii kichekesho ni mshindi kamili! πŸ†

David Chacha (Guest) on March 29, 2023

Kila siku napenda jokes zenu! πŸ˜†πŸ˜‚

Grace Wairimu (Guest) on February 27, 2023

Napenda jinsi mnavyofikiria! πŸ€”πŸ˜†

Kiza (Guest) on February 3, 2023

Hii kichekesho imebadilisha kabisa hali yangu! πŸ˜ƒ

Joyce Mussa (Guest) on January 1, 2023

Hii imenifurahisha hadi nacheka kwa sauti! πŸ€£πŸ˜‚

Amani (Guest) on December 21, 2022

Hii ni kali! Itaingia kwenye vipendwa vyangu! πŸ˜„

Victor Mwalimu (Guest) on December 7, 2022

πŸ˜‚πŸ˜‚

Mariam Hassan (Guest) on November 30, 2022

😁 Hii imenifanya siku yangu iwe bora!

Moses Mwita (Guest) on November 26, 2022

πŸ‘πŸ€£πŸ˜†πŸ˜‚

Zakaria (Guest) on November 15, 2022

πŸ˜‚ Nalia kwa kweli hapa!

Ramadhan (Guest) on November 7, 2022

πŸ˜‚ Ninahitaji kuihifadhi hii milele!

Ibrahim (Guest) on November 1, 2022

🀣 Nalia kwa kicheko kweli!

Maneno (Guest) on September 27, 2022

πŸ˜† Hiyo punchline!

Carol Nyakio (Guest) on September 20, 2022

Hii ni kali sana! πŸ˜‚πŸ€£

Miriam Mchome (Guest) on September 3, 2022

πŸ˜„πŸ˜…πŸ‘πŸ˜‚

Grace Wairimu (Guest) on September 1, 2022

πŸ€£πŸ˜­πŸ˜†

George Mallya (Guest) on August 20, 2022

πŸ˜„ Umenishika vizuri!

Betty Akinyi (Guest) on July 18, 2022

Ucheshi wenu unanifurahisha kila siku! πŸ˜†πŸ˜‚

Lucy Wangui (Guest) on July 17, 2022

Nimefurahia sana hii joke! πŸ˜…πŸ˜‚

Jabir (Guest) on July 11, 2022

πŸ˜… Bado nacheka!

Betty Cheruiyot (Guest) on July 10, 2022

Nimecheka hadi nimesahau shida! πŸ€£πŸ˜†

Amani (Guest) on July 10, 2022

πŸ˜† Hii imenigonga kweli!

Alex Nyamweya (Guest) on July 8, 2022

Hii imenipa kicheko cha siku! πŸ˜‚πŸ€£

Stephen Amollo (Guest) on July 4, 2022

Hizi jokes zinabamba sana! πŸ˜†πŸ˜‚

Chiku (Guest) on May 21, 2022

Nilikuwa na siku mbaya hadi niliposoma hii! πŸ˜…

Mgeni (Guest) on May 17, 2022

πŸ˜‚ Nimeipenda kabisa hii!

Lucy Mahiga (Guest) on April 23, 2022

Hii ni bomba sana! πŸ€£πŸ‘

Jamila (Guest) on April 13, 2022

πŸ˜„ Siwezi hata kupumua, ni kichekesho sana!

Michael Mboya (Guest) on April 7, 2022

πŸ˜ƒ Hali imeboreshwa papo hapo!

Khalifa (Guest) on April 4, 2022

Siwezi kuamini jinsi hii ni kichekesho! πŸ˜‚

Nancy Kabura (Guest) on February 25, 2022

🀣πŸ”₯😊

Dorothy Nkya (Guest) on February 17, 2022

πŸ˜‚ Nitaiiba hii bila shaka!

Related Posts

Angalia huyu jamaa alivyoachika na msichana wake kwa kujidai kuongea kingereza na mwishowe kuchanganya maneno

Angalia huyu jamaa alivyoachika na msichana wake kwa kujidai kuongea kingereza na mwishowe kuchanganya maneno

MSICHANA: Mbona jana nimekupigia simu hujapokea?
JAMAA: please beby forget me.
MSichAnA... Read More

Dingi kauzu kuliko wote duniani ndiyo huyu hapa

Dingi kauzu kuliko wote duniani ndiyo huyu hapa

Mtoto:Β Baba nitumie pesa ya matumizi huku shuleni hali ni mbaya sana la sivyo ... Read More

Mbele ya hela binti usharobaro achia mbali

Mbele ya hela binti usharobaro achia mbali

Boy:- hallow
Dem:- hellow
Boy:- ivi jina lako nani vile
Dem:- am miss precious A. ... Read More

Mlevi kazua tafrani, angalia alichokifanya hapa

Mlevi kazua tafrani, angalia alichokifanya hapa

MLEVI mmoja aliingia baa akavuta kiti na kukaa mhudumu akatokea kumsikiliza.
MHUDUMU: Nikusa... Read More

Walevi wana Mambo! Angalia wanachokisema

Walevi wana Mambo! Angalia wanachokisema

WALEVI WAWILI KATIKA MAZUNGUMZO YAO

MLEVI 1Β hivi rafiki ... Read More

Padri Akimbia wakati wa kuungamisha, chanzo ni hiki

Padri Akimbia wakati wa kuungamisha, chanzo ni hiki

Padri alikuwa amekaa katika confession booth kanisani
peke yake.
Mara... Read More

Huyu mchaga kazidi sasa, angalia anavyomfanya huyu mbuzi

Huyu mchaga kazidi sasa, angalia anavyomfanya huyu mbuzi

Mchaga alinunua mbuzi akamwambia mpishi Nyama nusu ipike pilau na ingine itie kwenye friza. Kichwa f... Read More
Utani wa wahindi, cheka kidogo

Utani wa wahindi, cheka kidogo

Mhindi afaulu mtihani wa Kiswahili

(1) Mfa maji ?……………….. Tampa life jacket.Read More

Mtoto ni wa baba au wa mama? Angalia hoja za baba na mama kila mmoja anadai ni wake

Mtoto ni wa baba au wa mama? Angalia hoja za baba na mama kila mmoja anadai ni wake

Mtoto ni wa baba au wa mama? Mume alimpa mkewe talaka wakaenda mahakamani ili hakimu aamue nani aka... Read More
Huyu jamaa amekomeshwa, majambazi ni shida!

Huyu jamaa amekomeshwa, majambazi ni shida!

CHEKA KIDOGO
Majambaz waliliteka gar moja lililokua limeshehen abiria
Baada ya abiria k... Read More

Ulishawahi kupenda kwa namna hii??!!

Ulishawahi kupenda kwa namna hii??!!

Ushawai kumpenda dem na kumfia mazima kiasi kwmb anakwambia ye ana msela lkn we huelewi..unamkaz... Read More

Baada ya kuulizwa nani anapenda kwenda peponi, haya ndiyo yalikua majibu ya wanafunzi

Baada ya kuulizwa nani anapenda kwenda peponi, haya ndiyo yalikua majibu ya wanafunzi

Wanafunzi waliulizwa na mwalimu nani angependa kwenda peponi? Wote wakanyosha ila mmoja tu alipok... Read More

πŸ“– Explore More Articles
🏠 Home πŸ“– Reading πŸ–ΌοΈ Gallery πŸ’¬ AI Chat πŸ“˜ About