Warning: Undefined variable $user_id in /home/ackyshine/personal/sidebar.php on line 36
Sidebar with Floating Button
AckySHINE πŸ”
☰
AckyShine

Hawa Machizi wamezidi sasa

Featured Image

Chizi kakaa ukingoni mwa bahari analia kwa masikitiko na huku kakamata kijiko cha chai. Mwezake akamuuliza mbona unalia mwenzangu. Chizi akajibu nimetia vijiko vitatu vya sukari baharini, kila nikionja bado ina chumvi. Mwenzake akacheka sanaaaaaa akamwambia. Hujakoroga!!!!πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚

AckySHINE Solutions

Comments

Please log in or register to leave a comment or reply.

Azima (Guest) on May 31, 2024

🀣 Hii imenifanya siku yangu iwe bora kabisa!

Benjamin Kibicho (Guest) on May 23, 2024

Hizi jokes ni za ukweli! πŸ˜†πŸ‘

Anthony Kariuki (Guest) on April 27, 2024

πŸ˜… Nilihitaji kicheko hiki, asante!

Benjamin Masanja (Guest) on April 15, 2024

Ninashiriki hii na marafiki zangu mara moja! πŸ˜†

Carol Nyakio (Guest) on April 5, 2024

Kweli mnajua kuchekesha! πŸ˜‚πŸ˜‚

Ruth Kibona (Guest) on February 29, 2024

Hii joke imenikumbusha enzi zile! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Edward Chepkoech (Guest) on February 9, 2024

Kweli mna ucheshi wa kipekee! πŸ˜‚πŸ€£

Janet Mwikali (Guest) on February 9, 2024

🀣 Hii kichekesho ni nzuri sana!

Joseph Kiwanga (Guest) on January 31, 2024

πŸ˜… Nilihitaji kicheko hicho!

Umi (Guest) on January 1, 2024

πŸ˜„ Umeshinda mtandao leo!

Chiku (Guest) on January 1, 2024

πŸ˜… Bado nacheka!

Nancy Kawawa (Guest) on December 25, 2023

Hii kichekesho ilikuwa bora! Nimeipenda! 🎯

Esther Cheruiyot (Guest) on December 15, 2023

Hii imenikumbusha kicheko cha zamani! πŸ˜‚πŸ˜…

Irene Makena (Guest) on November 21, 2023

πŸ˜† Naihifadhi hii!

Anna Sumari (Guest) on November 14, 2023

Hii imenipa kicheko cha siku! πŸ˜‚πŸ€£

Mary Sokoine (Guest) on November 2, 2023

πŸ˜‚πŸ€£πŸ˜†πŸ‘

Victor Mwalimu (Guest) on October 22, 2023

πŸ˜‚πŸ‘Œ

Ann Awino (Guest) on October 19, 2023

Hizi jokes zinanifanya nicheke kila siku! πŸ˜„πŸ˜†

Daniel Obura (Guest) on October 6, 2023

πŸ˜‚πŸ€£πŸ˜‚πŸ˜…

Yahya (Guest) on September 22, 2023

πŸ˜… Ilibidi nishiriki hii na kila mtu!

Alice Jebet (Guest) on September 3, 2023

πŸ˜† Hii imenigonga kweli!

Anna Mahiga (Guest) on August 15, 2023

πŸ˜‚ Nimeipenda kabisa hii!

Rose Mwinuka (Guest) on August 4, 2023

πŸ˜…πŸ˜‚πŸ‘ŒπŸ˜Š

Mercy Atieno (Guest) on July 16, 2023

Hii ni bomba sana! πŸ€£πŸ‘

Rose Waithera (Guest) on July 9, 2023

πŸ˜‚πŸ€£πŸ˜ŠπŸ˜…

Nancy Akumu (Guest) on July 7, 2023

Huyu mtu ni mcheshi sana! πŸ˜‚πŸ˜‚

Mwanakhamis (Guest) on July 2, 2023

🀣 Hii imewaka moto!

Jacob Kiplangat (Guest) on June 19, 2023

Hii imenibamba sana! πŸ˜‚πŸ˜…

Ruth Kibona (Guest) on June 8, 2023

Hii imenifurahisha sana! πŸ˜‚πŸ˜‚

Makame (Guest) on April 28, 2023

Haha, hii ni ya kuhifadhi! πŸ“Œ

Alice Mrema (Guest) on March 27, 2023

Ucheshi wenu ni wa hali ya juu sana! πŸ‘πŸ€£

Grace Mushi (Guest) on March 7, 2023

Nilihitaji kicheko hiki, asante kwa kushiriki! πŸ˜…

Fredrick Mutiso (Guest) on February 22, 2023

Lazima nikumbuke hii kwa baadaye! πŸ˜†

Peter Tibaijuka (Guest) on February 21, 2023

Hii imenipa kicheko cha siku! πŸ˜‚πŸ€£

Janet Wambura (Guest) on February 3, 2023

πŸ˜†πŸ˜‚πŸ‘

Betty Akinyi (Guest) on January 19, 2023

Hii ni joke ya maana sana! πŸ˜‚πŸ‘Œ

Betty Akinyi (Guest) on January 11, 2023

Hii imenifurahisha hadi nacheka kwa sauti! πŸ€£πŸ˜…

Maida (Guest) on January 7, 2023

πŸ˜„ Umeimaliza kabisa!

Grace Wairimu (Guest) on December 8, 2022

Hii imenipa furaha ya siku! πŸ˜†πŸ˜‚

Rose Lowassa (Guest) on November 28, 2022

πŸ˜‚πŸ‘ŒπŸ˜†πŸ˜Š

Rehema (Guest) on November 18, 2022

πŸ˜ƒ Hali imeboreshwa papo hapo!

Rose Mwinuka (Guest) on November 12, 2022

Kweli mna ucheshi wa kipekee sana! πŸ˜„πŸ˜‚

Mhina (Guest) on October 25, 2022

Hii kichekesho imebadilisha kabisa hali yangu! πŸ˜ƒ

Alice Mrema (Guest) on October 24, 2022

Hii ni joke ya kipekee sana! πŸ˜ŠπŸ‘

Joseph Kawawa (Guest) on October 21, 2022

Nimecheka hadi nina furaha sana! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Alice Mwikali (Guest) on October 14, 2022

🀣 Hii imenigonga vizuri!

Benjamin Masanja (Guest) on September 4, 2022

Hii ni joke ya kufurahisha sana! πŸ‘πŸ˜†

Lucy Mahiga (Guest) on August 31, 2022

πŸ˜‚πŸ˜†

Charles Wafula (Guest) on August 17, 2022

Hii imenikuna! πŸ˜†πŸ˜Š

Ann Wambui (Guest) on August 12, 2022

πŸ€£πŸ‘πŸ‘Œ

Faith Kariuki (Guest) on July 27, 2022

Mna talent ya jokes! πŸ‘πŸ˜‚

Janet Mwikali (Guest) on July 10, 2022

Kweli mna kipaji cha ucheshi! πŸ‘πŸ˜†

Janet Sumari (Guest) on July 3, 2022

Hizi jokes zinabamba sana! πŸ˜†πŸ˜‚

Selemani (Guest) on June 30, 2022

Hii imeniboresha wakati wangu wa mapumziko! β˜•πŸ˜†

Charles Wafula (Guest) on June 27, 2022

😁 Imeongezwa kwenye vipendwa!

Rose Lowassa (Guest) on June 14, 2022

Nimependa hii! Endelea kuzileta! 😁

Edward Chepkoech (Guest) on June 14, 2022

Nimecheka hadi machozi 🀣😭

Baraka (Guest) on May 9, 2022

πŸ˜… Nilihitaji hii!

Tabitha Okumu (Guest) on April 17, 2022

Hii kichekesho ni ya kuhifadhi bila shaka! 😁

Amani (Guest) on March 5, 2022

Wow, hizi kichekesho ni dhahabu kabisa! πŸ’°

Related Posts

Huyu mke ni shida!

Huyu mke ni shida!

MUME: "Unajua mi unanishangaza sana, kila siku nakusikia mara useme TV yangu, gari yangu, chumban... Read More

Kweli shilingi yaua, Huyu jamaa kapatikana, angalia anachomjibu mke wake,

Kweli shilingi yaua, Huyu jamaa kapatikana, angalia anachomjibu mke wake,

Jamaa alikuwa anagombana na mkewe,hatimae akamwambia kwa ukali "Unajua nimechoka sasa, haya kusanya ... Read More
Hii ndiyo sababu ya kumfanya huyu jamaa kujiita fara

Hii ndiyo sababu ya kumfanya huyu jamaa kujiita fara

MZEE:"sasa huyu mgeni sijui alale wap?"
MKE:"saa hizi ni usiku akalale na Bebi."
jamaa ... Read More

Sababu ya girlfriend πŸ‘§ kuniblock

Sababu ya girlfriend πŸ‘§ kuniblock

Nimeblockiwa bila kosa X Girlfriend From no where kanitext eti Hi; Vp na huko kwenu mvua... Read More

Swali la kizushi kwa wadada wanaovaa mawigi

Swali la kizushi kwa wadada wanaovaa mawigi

Hivi wadada mnaovaa mawigi.

πŸ‘‰πŸ½Β Utajisikiaje siku Boyfriend ... Read More

Baada ya mwanamke kukataa kufungua mlango angalia kilichomkuta

Baada ya mwanamke kukataa kufungua mlango angalia kilichomkuta

MUME: Fungua mlango!

MKE: Leo sifungui! Nimechoshwa na ul... Read More

Nilichokifanya kwa rafiki yangu

Nilichokifanya kwa rafiki yangu

Nimekuja kwa Rafiki angu kumtembelea kaacha maji jikon yeye kaenda kununua unga. Huku mm nikaonge... Read More

Duh! Hii sababu ya huyu mwanaume kulewa ni shida

Duh! Hii sababu ya huyu mwanaume kulewa ni shida

πŸ‘§: "Mpenzi, nakuomba uache kulewa"

πŸ‘¨: "poa, na wewe acha ... Read More

Huyu jamaa kawaweza polisi watatu, cheki alichowaambia

Huyu jamaa kawaweza polisi watatu, cheki alichowaambia

Polisi::: hodi, hodi
Jamaa::: kimya
Polisi::: hodi, hodi
Jamaa::: ... Read More

Alichokijibu chizi baada ya kuanguka ghorofani

Alichokijibu chizi baada ya kuanguka ghorofani

Chizi kaanguka toka kwenye gorofa fasta watu wakamfuata kumsaidia wakamuulza VP IMEK... Read More

Ujinga wa ndoto ndio huu

Ujinga wa ndoto ndio huu

πŸ‘‰Ujinga wa ndoto ndiyo huu
β€’β€’Utaota umeokota dolla ukiamka empty…
β€’β€’Utaota... Read More

Sio kwa wivu huu

Sio kwa wivu huu

Wanawake nilianza kuwachukia tokea shule ya msingi.

Ni pale mwanamke wangu aliponiacha na k... Read More