Warning: Undefined variable $user_id in /home/ackyshine/personal/sidebar.php on line 36
Sidebar with Floating Button
AckySHINE πŸ”
☰
AckyShine

Ni kwa nini ni vigumu kuacha kuvuta sigara?

Featured Image

Ndiyo hatari kuu ya matumizi ya dawa za kulevya ambayo
unayazoea na kufikiri huwezi kufanya lolote bila ya kutumia.

Kwa upande wa sigara unaweza kuzoea hali yake ya kukutuliza na
hali ya kutamani kila unapojisikia. Kwa wengi hamu hiyo hutokea
baada ya kazi nzito, pamoja na pombe, au baada kula. Kwa hiyo,
kama unataka kuacha uvutaji wa sigara inabidi ubadili tabia na
kuepuka vishawishi na pia kupambana na nafsi na matamanio
yako. Hii ni hatua kubwa inayohitaji msimamo mkali.
Utakapoanza kupunguza matumizi ya sigara au kuacha kabisa
utajisikia mpweke au mkiwa. Hali hii inaweza ikawa mbaya na
kuumiza. Mara nyingi utajihisi kujawa na wasiwasi, utakosa
usikivu, utajisikia kusinzia ingawa utakosa usingizi usiku,
mapigo ya moyo hushuka na pia shinikizo. Hamu ya kula na
uzito kuongezeka iwapo utendaji wako wa kazi hupungua.
Ukishatawaliwa na sigara basi kuvuta kwako si tabia bali ni
ugonjwa. Watu wengi wanaotegemea nikotini hawavuti kwa
starehe inayoletwa na starehe ya uvutaji, bali kuepuka maumivu
yanayosababishwa na kuacha sigara.

AckySHINE Solutions

Comments

Please log in or register to leave a comment or reply.

No comments yet. Be the first to share your thoughts!

Related Posts

Je, kuna umuhimu wa ngono/kufanya mapenzi unabadilika wakati wa mzunguko wa maisha?

Je, kuna umuhimu wa ngono/kufanya mapenzi unabadilika wakati wa mzunguko wa maisha?

Habari za leo wapenzi wangu! Nami nina furaha sana kuwa hapa leo kuongelea kuhusu swala la ngono ... Read More

Jinsi ya Kuwa na Mvuto wa Kipekee kwa Msichana

Jinsi ya Kuwa na Mvuto wa Kipekee kwa Msichana

Kila mtu anataka kuwa na mvuto wa kipekee kwa msichana. Lakini je, unajua jinsi ya kuwa na mvuto ... Read More

Kutahiriwa kwa wanaume ni sawa na ukeketaji?

Kutahiriwa kwa wanaume ni sawa na ukeketaji?

Hapana. Ukeketaji na kutahiriwa kwa mwanaume havifanani.
Kama kutahiriwa kwa mwanamume ni sa... Read More

Je, mvulana anaweza akafikia mshindo kwa njia ya kusugua uume na vidole na kuna madhara gani ukisugua uume na vidole?

Je, mvulana anaweza akafikia mshindo kwa njia ya kusugua uume na vidole na kuna madhara gani ukisugua uume na vidole?

Ndiyo, mvulana anaweza akafikia mshindo kwa njia ya kusugua uume na vidole. Anaposuguliwa uume na... Read More

Vidokezo vya Kuwa na Mazungumzo ya Kina na Msichana

Vidokezo vya Kuwa na Mazungumzo ya Kina na Msichana

Kama kijana, kuna wakati unaweza kukutana na msichana na unataka kuzungumza naye kwa kina lakini ... Read More

Kwa nini Ni Lazima Kufanya Ngono na Mtu Mmoja Tu?

Kwa nini Ni Lazima Kufanya Ngono na Mtu Mmoja Tu?

Kwa nini Ni Lazima Kufanya Ngono na Mtu Mmoja Tu? 😊

Habari za leo vijana wangu! Leo tut... Read More

Je, nifanye nini ili kujikinga na maambukizi ya virusi vya UKIMWI na UKIMWI?

Je, nifanye nini ili kujikinga na maambukizi ya virusi vya UKIMWI na UKIMWI?

Hakuna chanjo dhidi ya maambukizi ya Virusi vya UKIMWI na UKIMWI, Lakini kuna mienendo ya tabia a... Read More

Je, ngono/kufanya mapenzi ni jambo la faragha au unajisikia huru kuzungumzia kuhusu hilo?

Je, ngono/kufanya mapenzi ni jambo la faragha au unajisikia huru kuzungumzia kuhusu hilo?

Jambo la faragha kabisa ni ngono au kufanya mapenzi. Kila mtu ana hisia tofauti kuhusu suala hili... Read More

Je, ni njia gani zinaweza kuleta hisia za kihisia wakati wa ngono/kufanya mapenzi?

Je, ni njia gani zinaweza kuleta hisia za kihisia wakati wa ngono/kufanya mapenzi?

Je, ni njia gani zinaweza kuleta hisia za kihisia wakati wa ngono/kufanya mapenzi? Swali hili lin... Read More

Je, ngono/kufanya mapenzi inaathiri furaha ya uhusiano wa kimapenzi?

Je, ngono/kufanya mapenzi inaathiri furaha ya uhusiano wa kimapenzi?

Je, ngono/kufanya mapenzi inaathiri furaha ya uhusiano wa kimapenzi?

Haya ni maswali mengi... Read More

Vidokezo vya Kuwa na Tarehe ya Kimapenzi na Msichana

Vidokezo vya Kuwa na Tarehe ya Kimapenzi na Msichana

Kama wewe ni miongoni mwa wanaume wanaotaka kuwa na tarehe ya kimapenzi na msichana, kuna vidokez... Read More

Kwa nini ni Lazima Kufanya Ngono na Mtu Mmoja Tu?

Kwa nini ni Lazima Kufanya Ngono na Mtu Mmoja Tu?

Kwa nini ni Lazima Kufanya Ngono na Mtu Mmoja Tu? 🌸

Asante kwa kujiunga nami katika mak... Read More

πŸ“– Explore More Articles
🏠 Home πŸ“– Reading πŸ–ΌοΈ Gallery πŸ’¬ AI Chat πŸ“˜ About