Hapana, hii si kweli! Vijana wanaoamini kwamba wana uwezo wa kufikiri baada ya kuvuta bangi kwa sababu inawapa hisia ya kuzoea mihemko ya kusikia vizuri au kufahamu kwa haraka. Lakini ni kawaida kwamba uvutaji wa bangi unaathiri shule, kazi na shughuli nyingine kinyume na matarajio ya mafanikio. Siku zote vijana wavutaji bangi wanapoteza ari shuleni au mafunzoni. Wanashindwa kuweka malengo ya maisha yao ya baadaye.
Je, ni kweli kwamba kuvuta bangi kunaongeza akili na uwezo wa kufikiri?
Date: April 17, 2022
Author: SW - Melkisedeck Shine
Comments
Please log in or register to leave a comment or reply.
Related Posts
Madhara ya dawa za kulevya yanadumu kwa muda gani?
Ni vigumu sana kujibu swali hili kwa sababu muda wa madhara hutegemea sababu mbalimbali kama vile... Read More
Je, kuna umuhimu wa kujadili masuala ya afya ya uzazi katika uhusiano?
Je, kuna umuhimu wa kujadili masuala ya afya ya uzazi katika uhusiano? Jibu ni ndio, kwa kweli! M... Read More
Kuna aina ngapi za dawa za kulevya?
Tunatofautisha dawa za kulevya katika makundi mawili. Zile zinazokubalika na zile zisizokubalika ... Read More
Njia za Kupata Msichana Anayeshiriki Maslahi yako na Malengo
Kupata msichana ambaye anashiriki malengo yako na ana maslahi sawa nawe ni muhimu sana kwa mafani... Read More
Je, kuna umuhimu wa kufanya mazoezi ya kuboresha nguvu na stamina wakati wa ngono/kufanya mapenzi?
Je, kuna umuhimu wa kufanya mazoezi ya kuboresha nguvu na stamina wakati wa ngono/kufanya mapenzi... Read More
Je, kuna umuhimu wa kujadili masuala ya hisia na utambuzi katika uhusiano wa ngono/kufanya mapenzi?
Habari rafiki yangu! Leo tuzungumzie suala muhimu sana ambalo linapaswa kujadiliwa katika uhusian... Read More
Jinsi ya Kukabiliana na Ushinikizaji wa Kufanya Ngono kabla ya Wakati
Jinsi ya Kukabiliana na Ushinikizaji wa Kufanya Ngono kabla ya Wakati
Karibu vijana wapend... Read More
Je, nini imani ya watu katika kufanya mazoezi ya kujenga ujasiri wakati wa ngono/kufanya mapenzi?
Leo tutazungumzia jambo la muhimu sana, ambalo ni kujenga ujasiri wakati wa ngono. Hivi karibuni,... Read More
Je, nini imani ya watu katika kufanya mazoezi ya kujiongeza nguvu wakati wa ngono/kufanya mapenzi?
Habari za leo rafiki yangu! Leo tutazungumzia jambo muhimu sana kwenye uhusiano wa mapenzi, ambal... Read More
Je, sigara ni mojawapo ya dawa za kulevya?
Sigara siyo dawa za kulevya, kwa maana ya kwamba ni haramu,
lakini hata hivyo, sigara ina ni...
Read More
Je, ni kweli kwamba uvutaji wa bangi hukufanya uwe na nguvu?
Si kweli kabisa! Baada ya kuvuta bangi mtu hujiona kama jasiri sana na mwenye nguvu. Lakini madha... Read More
Dawa za kulevya ni nini?
Tunaposema dawa za kulevya ina maana ni matumizi mabaya ya dawa na hasa pale yatumikapo kinyume c... Read More
No comments yet. Be the first to share your thoughts!