Kinga ya mwili ni nini?
Date: April 17, 2022
Author: SW - Melkisedeck Shine
Kinga ya mwili ni mpangilio wa mwili kujikinga na maradhi. Chembechembe nyeupe zilizopo katika damu ya mwili mzima wa binadamu zina kazi maalum katika kuhakikisha kinga ya mwili i i ipo. Kama askari jeshi wanaolinda nchi yao, chembechembe hizo kwa pamoja zinalinda mwili dhidi ya magonjwa. Hivyo, kama chembeche-mbe hizo zikishambuliwa, mwili hauwezi kujikinga na maradhi au magonjwa.
Please log in or register to leave a comment or reply.
Related Posts
Hapana, ukila na mtu mwenyemaambukizi ya Virusi vya UKIMWI huwezi kuambukizwa Virusi vya UKIMWI w...
Read More
Katika mazingira fulani, baba anapomuona mtoto ana ngozi
nyeupe anakataa ya kwamba mtoto si ...
Read More
Kuna magonjwa mengi tofauti ya zinaa, lakini yale ambayo yameenea sana ni kisonono, kaswende, klamdi...
Read More
Jinsi ya Kutambua Ishara za Kuwa Tayari kwa Ngono π
Karibu kijana, leo tutaongelea jamb...
Read More
Je, kuna tofauti za umri katika ngono/kufanya mapenzi? Ndio, kuna tofauti nyingi sana! Hiyo ndiyo...
Read More
Ndoto nyevu ni kitu kinachowatokea vijana wakiwa usingizini. Haiwezekani kuzuiwa kwa sababu uko usin...
Read More
Tunatofautisha dawa za kulevya katika makundi mawili. Zile zinazokubalika na zile zisizokubalika ...
Read More
Jinsi ya Kukabiliana na Hisia za Hatia Baada ya Kufanya Ngono
Karibu vijana wapendwa! Leo,...
Read More
Ngozi ya Albino ina ukosefu wa rangi. Inaonekana kama ya watu
weupe ambao wana kiasi cha pig...
Read More
Wanawake wajawazito ambao hunywa pombe au kuvuta sigara
wanahatarisha afya na maisha ya mtot...
Read More
Sheria kuhusu utoaji
mimba zinatofautiana
kati ya nchi na nchi. Hapa
Tanzania utoa...
Read More
Habari zenu wapenzi wa blog hii! Leo tutaangazia swali moja la kuvutia sana ambalo huenda linawas...
Read More
No comments yet. Be the first to share your thoughts!