Uwezekano wa kuambukizwa virusi vya UKIMWI kwa kunyonyana ndimi ni mdogo sana. Kwa kubadilishana mate wakati wa kubusiana tu, haiwezekani maambukizi ya virusi vya UKIMWI kutokea. Lakini kama mmoja kati ya wapenzi ana vidonda / michubuko mdomoni, uwezekano wa kuambukizana huongezeka.
Kunyonyana ulimi kunaweza kuchangia kupata virusi vya UKIMWI?
Date: April 17, 2022
Author: SW - Melkisedeck Shine
Comments
Please log in or register to leave a comment or reply.
Related Posts
Vidokezo vya Kufanya Msichana Aone Thamani Yako
Vidokezo vya Kufanya Msichana Aone Thamani Yako
Mara nyingi, kama wanaume, tunataka kuonye... Read More
Jinsi ya Kuepuka Kujihusisha na Ngono Kwa Shinikizo la Wenzako
Jinsi ya Kuepuka Kujihusisha na Ngono Kwa Shinikizo la Wenzako
Habari kijana! Leo tunajadi... Read More
Vidokezo vya Kuonyesha Shukrani kwa Msichana Wako
Kumwonyesha shukrani msichana wako ni njia moja ya kumfanya ajisikie muhimu na kupendwa. Kwa hiyo... Read More
Je, kuna umuhimu wa kujifunza kuhusu anatomi ya mwili wakati wa ngono/kufanya mapenzi?
Je, kuna umuhimu wa kujifunza kuhusu anatomi ya mwili wakati wa ngono/kufanya mapenzi? Ndiyo! Kwa... Read More
Je, mawasiliano ni muhimu katika kuboresha uzoefu wa ngono/kufanya mapenzi?
Je, wewe na mwenzi wako mnahisi kama hamjawai kufurahia tendo la ndoa? Kila wakati mnafikiri kuwa... Read More
Je, watu wanapendelea kujaribu mbinu za kuleta msisimko wa kihisia wakati wa ngono/kufanya mapenzi?
Leo, tutazungumzia kuhusu mbinu za kuleta msisimko wa kihisia wakati wa ngono/kufanya mapenzi. Ni... Read More
Njia za Kufanya Msichana Amevutiwa na Wewe kwa Muda Mrefu
Habari wapendwa, leo tutazungumzia njia za kufanya msichana amevutiwa na wewe kwa muda mrefu. Kun... Read More
Je, ni wanadamu tu ndiyo wameathirika na ualbino?
Hapana. Ualbino ni hali
inayoweza kutokea kwa
wanadamu na wanyama wa
kundi la mama...
Read More
Je, ni kweli kwamba uvutaji wa bangi hupunguza mawazo?
Bangi hupunguza mawazo kwa muda mfupi kwani huleta hisia za furaha na utulivu. Lakini hata hivyo ... Read More
Nini matokeo ya unusaji/uvutaji wa petroli kwa vijana?
Kama kijana akinusa au kuvuta petroli kupitia puani au mdomoni, petroli hiyo huingia kwenye mapaf... Read More
Je, Ni Sahihi Kutumia Dawa za Kuzuia Mimba?
Je, Ni Sahihi Kutumia Dawa za Kuzuia Mimba? πΌπ
Tunaelewa kwamba vijana wetu ni kikun... Read More
Je, kuna mambo ya haramu katika ngono/kufanya mapenzi?
Je, kuna mambo ya haramu katika ngono/kufanya mapenzi? Hili ni swali ambalo linaweza kuwa na maji... Read More
No comments yet. Be the first to share your thoughts!