Warning: Undefined variable $user_id in /home/ackyshine/personal/sidebar.php on line 36
Sidebar with Floating Button
AckySHINE πŸ”
☰
AckyShine

Je,niwasiliane na niishi vipi na watu wanaoishi na virusi vya UKIMWI na UKIMWI?

Featured Image

Mtu anayeishi na virusi vya UKIMWI na UKIMWI anahitaji ushauri na mara pale atakapohisi unamjali i i i i i i i ( unamheshimu) na kumjali, uzito wa ugonjwa unakuwa mwepesi. Mtu mwenye UKIMWI ni mgonjwa kama wagonjwa wengine, i isipokuwa anahitaji faraja zaidi kwa sababu ugonjwa wake hauna tiba.
Matunzo sahihi i kwa watu wanaoishi na Virusi vya UKIMWI na UKIMWI ni muhimu, Mtu anayeishi na Virusi vya UKIMWI apate lishe bora i ili aweze kuimarisha afya yake na awe msafi wa mwili, nguo, nyumba na vyakula. Pia apatiwe matibabu haraka na kwa ukamilifu kwa maradhi yote yatakayojitokeza na asaidiwe kufanya kazi nzito.
Mtu anayeishi na Virusi vya UKIMWI na UKIMWI ana haki za binadamu kama binadamu wengine. Kumbuka kwamba rafiki au ndugu yako mwenye Virusi vya UKIMWI na UKIMWI bado ni rafiki au ndugu yako!

AckySHINE Solutions

Comments

Please log in or register to leave a comment or reply.

No comments yet. Be the first to share your thoughts!

Related Posts

Jinsi ya Kuwa na Siku ya Kumbukumbu ya Kipekee na Msichana

Jinsi ya Kuwa na Siku ya Kumbukumbu ya Kipekee na Msichana

Kumbukumbu zetu ni muhimu sana katika maisha yetu. Siku ya kumbukumbu ni siku muhimu sana kwa sab... Read More

Haki za ujinsia na afya ya uzazi zinamhusu pia mtu anayeishi na ualbino?

Haki za ujinsia na afya ya uzazi zinamhusu pia mtu anayeishi na ualbino?

Haki za msingi; hasa zile zinazohusiana na kuthaminiwa na
kuheshimiwa kama binadamu zinawahu... Read More

Nikitafuta rafiki kwa nia ya kuoana (mchumba), je ni sifa gani niangalie kwa msichana/mvulana?

Nikitafuta rafiki kwa nia ya kuoana (mchumba), je ni sifa gani niangalie kwa msichana/mvulana?

Kuchagua mchumba ni moja ya maamuzi ambayo kijana anahitaji kuyafanya kwa uangalifu mkubwa sana. Kwa... Read More
Jinsi ya Kuepuka Kuingiliwa na Maswala ya Ngono katika Uhusiano

Jinsi ya Kuepuka Kuingiliwa na Maswala ya Ngono katika Uhusiano

Jinsi ya Kuepuka Kuingiliwa na Maswala ya Ngono katika Uhusiano

Karibu kwenye makala hii a... Read More

Kinga ya mwili ni nini?

Kinga ya mwili ni nini?

Kinga ya mwili ni mpangilio wa mwili kujikinga na maradhi. Chembechembe nyeupe zilizopo katika damu ... Read More
Je, watu wanapendelea kutumia kinga wakati wa kufanya ngono/kufanya mapenzi?

Je, watu wanapendelea kutumia kinga wakati wa kufanya ngono/kufanya mapenzi?

  1. Kutumia Kinga Hupunguza Hatari za Maambukizi ya Ngono Kutumia kinga ni hatua muhimu kat... Read More

Sheria kuhusu utoaji mimba

Sheria kuhusu utoaji mimba

Sheria kuhusu utoaji
mimba zinatofautiana
kati ya nchi na nchi. Hapa
Tanzania utoa... Read More

Je, kuna umuhimu wa kujadili mawazo na hisia wakati wa ngono/kufanya mapenzi?

Je, kuna umuhimu wa kujadili mawazo na hisia wakati wa ngono/kufanya mapenzi?

Kwa wengi, ngono inaonekana kama kitendo cha kimwili tu bila ya umuhimu wa kujadili mawazo na his... Read More

Vidokezo vya Kujenga Ukaribu na Msichana Wako

Vidokezo vya Kujenga Ukaribu na Msichana Wako

  1. Anza kwa kujenga urafiki mzuri Kabla ya kuwa na uhusiano wa kimapenzi, ni muhimu kujeng... Read More

Jinsia ya mtoto angali mimba

Jinsia ya mtoto angali mimba

Inakuwaje mtoto anakuwa wa kike au wa kiume?

Mwili wa mwanaume unatengeneza aina mbili za... Read More

Ndoa ya kulazimishwa

Ndoa ya kulazimishwa

Ndoa ya kulazimishwa ni ile ambayo mwanamume au mwanamke
anaozwa bila yeye mwenyewe kukubali... Read More

Je, Ni Sahihi Kutumia Mbinu za Asili za Kuzuia Mimba?

Je, Ni Sahihi Kutumia Mbinu za Asili za Kuzuia Mimba?

Je, ni sahihi kutumia mbinu za asili za kuzuia mimba? Hii ni swali ambalo vijana wengi hujikuta w... Read More

πŸ“– Explore More Articles
🏠 Home πŸ“– Reading πŸ–ΌοΈ Gallery πŸ’¬ AI Chat πŸ“˜ About