Warning: Undefined variable $user_id in /home/ackyshine/personal/sidebar.php on line 36
Sidebar with Floating Button
AckySHINE πŸ”
☰
AckyShine

Ushauri kuhusu mwanamke wa kufaa kuoa

Featured Image

Nawaandikia ninyi vijana wa kiume na wanaume wote, maana mna nguvu na mmejaliwa na mwenyezi Mungu utashi, hekima na busara. Yote hayo ni ili muweze kutawala kila kitu tokea kuumbwa kwa misingi ya ulimwengu huu. Wekeni wivu pembeni na Yafuateni haya;

1. Oa mwanamke ambae unaweza KUSALI nae na sio kwa sababu anajua KUFANYA MAPENZI vema.

2. Mwanaume bora KAMWE hapimwi kwa idadi ya wanawake alionao au aliotembea nao BALI kwa idadi ya wanawake aliowaambia "Mimi ni mume wa mtu" au ninae mtu tayari.

3. Kuna aina ya wanawake unatakiwa kuwaepuka kabisa kwa gharama yoyote ile, "wanawake wamaodhani uzuri wao ndio bora zaidi kuliko tabia zao"

4. Kila mwanamke anavutia akivaa nguo fupi inayoonesha maungo yake wazi, ila kama utakuta mwanamke amevaa nguo ndefu au za kusitiri mwili wake na bado anavutia, huyu ni dhahabu! Anathamini mali za mumewe!

5. Kamwe usimpe mwanamke mimba ya mtoto kabla hujampa mimba ya malengo na ukayatimiza.

6. Tafuta mwanamke ambae atakupa challenge ya maisha na kuongeza uwezo wako wa kufikiri na sio mwanamke wa kila kitu Ndio mzee!

7. Wanawake wakamilifu hawapatikani popote duniani, ila wanawake bora wapo kila mahali.

8. Mwanamke anaweza kukusaliti, ila Mungu hawezi kukusaliti, hivyo basi kabla hujapata mwanamke Mpate Mungu kwanza. Kuna raha sana kuwa ndani ya Mungu asikwambie mtu!

9. Kama unajijua umefikisha miaka 25 na kuendelea epuka mambo ya kivulana, kuvaa suruali katikati ya makalio, kuvaa hereni, kubadili badili wanawake kama unachambua mitumba ya karume etc

10. Usitumie kichwa chako kunyoa kiduku, tumia kichwa chako kuwaza mambo yenye tija ikiwemo kutafuta pesa na kuongeza hazina ya maarifa.
MBARIKIWE SANA WANAUME WOTE WENYE BUSARA..

Kama Mwanamme Download Kitabu cha SIRI ZA MWANAMKE ili uweze kuwafahamu zaidi wanawake
[products columns="2" ids="30827"]
AckySHINE Solutions

Comments

Please log in or register to leave a comment or reply.

No comments yet. Be the first to share your thoughts!

Related Posts

Kuweka Mazingira ya Kufurahisha na Amani katika Familia Yako

Kuweka Mazingira ya Kufurahisha na Amani katika Familia Yako

Kuishi katika familia yenye amani na furaha ni jambo la muhimu sana kwa afya na ustawi wa kila mm... Read More

Kujifunza Mafanikio ya Kufanya Mapenzi ya Muda Mrefu: Sifa na Njia za Ushirikiano

Kujifunza Mafanikio ya Kufanya Mapenzi ya Muda Mrefu: Sifa na Njia za Ushirikiano

Kujifunza Mafanikio ya Kufanya Mapenzi ya Muda Mrefu: Sifa na Njia za Ushirikiano

Kufanya ... Read More

Je, kuna umuhimu wa kujadili masuala ya afya ya uzazi katika uhusiano?

Je, kuna umuhimu wa kujadili masuala ya afya ya uzazi katika uhusiano?

Je, kuna umuhimu wa kujadili masuala ya afya ya uzazi katika uhusiano? Jibu ni ndio, kwa kweli! M... Read More

Jinsi ya kujua kama mwanamke anakupenda kweli kwa dhati

Jinsi ya kujua kama mwanamke anakupenda kweli kwa dhati

Yafuatayo ni maswali ya kujiuliza ili kujua kama mwanamke anakupenda kweli.

Anajitoa kwa ... Read More

Kuweka Kipaumbele cha Kusawazisha Majukumu na Kupanga Ratiba katika Familia Yako

Kuweka Kipaumbele cha Kusawazisha Majukumu na Kupanga Ratiba katika Familia Yako

Hakuna jambo bora kuliko kuwa na familia yenye maadili, mshikamano, na usawa. Kuweka kipaumbele c... Read More

Kuweka Kipaumbele cha Furaha na Ustawi wa Familia yako

Kuweka Kipaumbele cha Furaha na Ustawi wa Familia yako

Mafanikio ya maisha yako yanategemea sana furaha na ustawi wa familia yako. Familia yenye afya na... Read More

Je, kuna tofauti za umri katika ngono/kufanya mapenzi?

Je, kuna tofauti za umri katika ngono/kufanya mapenzi?

Je, kuna tofauti za umri katika ngono/kufanya mapenzi? Ndio, kuna tofauti nyingi sana! Hiyo ndiyo... Read More

Jinsi ya Kujenga Uaminifu na Kuimarisha Ushirikiano katika Familia Yako

Jinsi ya Kujenga Uaminifu na Kuimarisha Ushirikiano katika Familia Yako

Kujenga Uaminifu na Kuimarisha Ushirikiano katika Familia Yako ni muhimu sana kwa ustawi wa famil... Read More

Namna ya Kujenga Mazoea ya Shukrani na Furaha na mke wako

Namna ya Kujenga Mazoea ya Shukrani na Furaha na mke wako

Kujenga mazoea ya shukrani na furaha na mke wako ni muhimu sana katika kuimarisha uhusiano wenu. Hap... Read More
Kuweka Kipaumbele cha Kuelimisha na Kukuza Maarifa katika Familia Yako

Kuweka Kipaumbele cha Kuelimisha na Kukuza Maarifa katika Familia Yako

Kuweka Kipaumbele cha Kuelimisha na Kukuza Maarifa katika Familia Yako

Familia ni kitovu c... Read More

Jinsi ya Kulea Watoto Wanaojiamini na Wanaofaulu: Mwongozo kwa Wazazi

Jinsi ya Kulea Watoto Wanaojiamini na Wanaofaulu: Mwongozo kwa Wazazi

Kama mzazi, unataka kumlea mtoto wako kwa njia ambayo atajiamini na kufaulu katika maisha yake. H... Read More

Mambo 6 ambayo ni siri ya mwanamke na sio rahisi kukwambia

Mambo 6 ambayo ni siri ya mwanamke na sio rahisi kukwambia

1. Idadi ya wapenzi wake wa zamani

Wanaume wengi hupenda kujua wao ni wangapi kuwa na mw... Read More

πŸ“– Explore More Articles
🏠 Home πŸ“– Reading πŸ–ΌοΈ Gallery πŸ’¬ AI Chat πŸ“˜ About