Warning: Undefined variable $user_id in /home/ackyshine/personal/sidebar.php on line 36
Sidebar with Floating Button
AckySHINE ๐Ÿ”
โ˜ฐ
AckyShine

Sababu 5 zinazosababisha wanawake warembo wazuri wasiolewe

Featured Image

Wanawakeย wengi warembo husalia peke yao na kufa katika hali hiyo kutokana na sababu tofauti.

Wengi huwa na tabia za kuudhi hali ambayo huwafukuza wanaume walio na uwezo wa kuwaoa
Umewahi kushangaa sababu za wanawake warembo zaidi kutoolewa? Kuna sababu tano ambazo huwafanya wanawake warembo kusalia wapweke.

1. Tabia mbaya

Wanawake kama hao huwa na tabia mbaya na kuhatarisha nafasi yao ya kupata mume. Wanaume wengi huwa hawapendezwi na tabia za aina hiyo hata mwanamke awe mrembo kiasi gani.

2. Baadhi ya wanawake hao huwa na maringo sana

eti hawawezi kuosha nyumba kwa kuogopa kucha zao zisikatike. Wengine hawaju kupika na hawawezi kulea watoto kwa kuogopa kuchafuka.

3. Ghali kuwatunza

Wanawake warembo huwa ghali kuwatunza kwa sababu huwa na dhana kuwa wanafaa kupelekwa katika hoteli kubwa kubwa na maeneo yaliyo na bidhaa ghali. Huwa hawalegezi msimamo hasa kuhusu mahitaji yao na wanakotaka kwenda kununua bidhaa.

4. Wabinafsi na wenye chuki

Wanawake wa aina hiyo hufikiria dunia ni yao na kwamba wanafaa kuabudiwa na kila mwanamume. Wanaume wengi hupenda kuhusiana na wanawake wa aina hiyo, ambao huwadharau kutokana na kuwa โ€œwanapendwaโ€ na wanaume wengi.

Wasichojua ni kuwa wanaume huwatumia tu na kuwaacha kutokana na tabia zao ili kutafuta mwanamke mzuri wa kuoa.

5. Hawataki kuwa wazazi

Wanawake hao hupenda kusalia wakiwa wa kupendeza, hivyo huwa wanaogopa kuzaa wasipate mikunjo, wasinenepe au kuwa na matiti kulegea. Kwa kawaida, hakuna mwanamume anayependa kuoa mwanamke ambaye hawezi kumzalia, hasa kwa sababu ya utamaduni wa Kiafrika.

Kama una sifa za aina hiyo, huenda ni wakati wako kubadilika ikiwa unataka kupata mume.

AckySHINE Solutions

Comments

Please log in or register to leave a comment or reply.

No comments yet. Be the first to share your thoughts!

Related Posts

Kujenga Ushirikiano wenye Kuaminiana na Kuunda Amani na Furaha katika Familia

Kujenga Ushirikiano wenye Kuaminiana na Kuunda Amani na Furaha katika Familia

Kujenga ushirikiano wenye kuaminiana na kuunda amani na furaha katika familia ni muhimu sana kwa ... Read More

Jinsi ya Kuwa Msikivu: Sanaa ya Kusikiliza katika Mahusiano ya Familia

Jinsi ya Kuwa Msikivu: Sanaa ya Kusikiliza katika Mahusiano ya Familia

Kuwa msikivu ni moja ya sanaa muhimu sana katika mahusiano ya familia. Kuwa msikivu kunaweza kusa... Read More

Njia za Kukuza Shukrani na Kutambua Maana ya Ndoa

Njia za Kukuza Shukrani na Kutambua Maana ya Ndoa

Ndoa ni moja ya hatua kubwa na ya kipekee katika maisha ya kila mtu. Ni wakati wa kujitolea kwa m... Read More

Je, unafaa kujadili historia yako ya ngono/kufanya mapenzi na mwenza wako?

Je, unafaa kujadili historia yako ya ngono/kufanya mapenzi na mwenza wako?

Je, unafaa kujadili historia yako ya ngono/kufanya mapenzi na mwenza wako? Swali hili limekuwa li... Read More

Kuendeleza Upendo na Ushawishi katika Uhusiano wako

Kuendeleza Upendo na Ushawishi katika Uhusiano wako

Kuendeleza Upendo na Ushawishi katika Uhusiano wako

Kuendeleza upendo na ushawishi katika ... Read More

Jinsi ya Kujenga Mazingira ya Ushirikiano na Kuelimisha na mke wako

Jinsi ya Kujenga Mazingira ya Ushirikiano na Kuelimisha na mke wako

Kujenga mazingira ya ushirikiano na kuelimisha na mke wako ni muhimu sana kwa kukuza uhusiano wenu n... Read More
Njia za Kujenga Tabia ya Kushukuru na Kuwa na Amani na Furaha katika Familia

Njia za Kujenga Tabia ya Kushukuru na Kuwa na Amani na Furaha katika Familia

Familia ni muhimu sana katika maisha yetu. Ili kufurahia maisha na kuishi kwa amani, tabia ya kus... Read More

Je, ngono/kufanya mapenzi ni sehemu muhimu ya uhusiano wa kimapenzi?

Je, ngono/kufanya mapenzi ni sehemu muhimu ya uhusiano wa kimapenzi?

Je, ngono/kufanya mapenzi ni sehemu muhimu ya uhusiano wa kimapenzi?

Kwa wengi, kufanya ma... Read More

Jinsi ya Kuelewa na kukabiliana na changamoto za kukabiliana na msongo wa mawazo na mpenzi wako

Jinsi ya Kuelewa na kukabiliana na changamoto za kukabiliana na msongo wa mawazo na mpenzi wako

Hakuna kitu kibaya kama kuwa na mpenzi wako ambaye ana msongo wa mawazo. Inaweza kuwa ngumu kwa w... Read More

Jinsi ya Kusaidiana na mpenzi wako katika kujenga na kudumisha uhusiano wa karibu na ndugu na jamaa

Jinsi ya Kusaidiana na mpenzi wako katika kujenga na kudumisha uhusiano wa karibu na ndugu na jamaa

Kuhusiana na mahusiano ya familia, hakuna chochote kinachoweza kuwa juu ya upendo wa karibu na nd... Read More

Njia za Kuimarisha Ushirikiano wa Kijamii na Kuwa na Urafiki katika Familia

Njia za Kuimarisha Ushirikiano wa Kijamii na Kuwa na Urafiki katika Familia

Ushirikiano wa kijamii ni jambo muhimu sana katika maisha yetu. Ni muhimu kwa sababu inatupa furs... Read More

Kuweka Kipaumbele cha Kuendeleza Ushirikiano wa Kujenga katika Familia

Kuweka Kipaumbele cha Kuendeleza Ushirikiano wa Kujenga katika Familia

Kuendeleza ushirikiano katika familia ni muhimu sana kwa ustawi wa kila mwanafamilia. Kwa kufanya... Read More

๐Ÿ“– Explore More Articles
๐Ÿ  Home ๐Ÿ“– Reading ๐Ÿ–ผ๏ธ Gallery ๐Ÿ’ฌ AI Chat ๐Ÿ“˜ About