Warning: Undefined variable $user_id in /home/ackyshine/personal/sidebar.php on line 36
Sidebar with Floating Button
AckySHINE πŸ”
☰
AckyShine

Alichojibu dalali baada ya kufumwa na mke wa mtu ndani ya nyumba ya kupanga

Featured Image
Dalali aliwatafutia jamaa chumba Buguruni karibu na reli, nyumba nzuri sana. Jamaa na mkewe wakahamia kwa furaha, lakini furaha yao iliisha walipokuja gudundua nyumba ile iko karibu mno na reli treni ikipita mpaka kitanda kinacheza. Siku hiyo dalali akapita mke akamwita na kumwambia tatizo wakati treni inapita, wakaanza kubishana, yule mama akamwambia dalali kwa kuwa kuna treni itapita sasa hivi… njoo ndani uone mwenyewe. Bahati mbaya wakiwa wamejilaza kitandani ili dalali aone adhabu wanayopata, Mzee mwenye mali alirudi ghafla, akauliza, 'Nyie mnafanya nini hapa?' Masikini dalali kwa woga mkubwa akajibu' Tunangoja treni'
AckySHINE Solutions

Comments

Please log in or register to leave a comment or reply.

Mariam Hassan (Guest) on July 9, 2024

Nimecheka hadi machozi yanatoka! 🀣😭

Guest (Guest) on September 11, 2025

Huyo dalali hana akili

Shamim (Guest) on July 5, 2024

Hii ni kali kabisa! Siwezi kushiba! πŸ˜‚

Jane Muthui (Guest) on May 24, 2024

Hii ni bomba sana! πŸ€£πŸ‘

Kassim (Guest) on May 22, 2024

Lazima niihifadhi hii, ni kichekesho kali sana! πŸ˜†

John Mwangi (Guest) on April 23, 2024

Hii imenichekesha sana! πŸ€£πŸ˜†

Grace Njuguna (Guest) on April 13, 2024

πŸ˜‚πŸ‘πŸ˜…πŸ€£

Alex Nakitare (Guest) on January 23, 2024

🀣 Hiyo twist mwishoni, ingawa!

Jackson Makori (Guest) on January 5, 2024

Lazima nikumbuke hii kwa baadaye! πŸ˜†

Saidi (Guest) on January 4, 2024

πŸ˜‚ Hii ni kali sana!

Henry Mollel (Guest) on December 31, 2023

Hizi jokes ni za kipekee sana! πŸ˜†πŸ˜Š

Sarah Karani (Guest) on December 8, 2023

πŸ˜‚ Hii kichekesho imenifurahisha siku nzima!

Rabia (Guest) on November 18, 2023

🀣 Sikutarajia hiyo!

Fadhili (Guest) on October 19, 2023

πŸ˜† Siwezi kuacha kucheka!

Stephen Mushi (Guest) on October 3, 2023

πŸ€£πŸ€£πŸ‘πŸ˜†

Grace Mligo (Guest) on September 22, 2023

πŸ˜„ Umenishika vizuri!

Zakia (Guest) on September 18, 2023

Hii kichekesho ilikuwa bora! Nimeipenda! 🎯

Rose Lowassa (Guest) on September 13, 2023

Hizi jokes zinabamba sana! πŸ˜†πŸ˜‚

Zainab (Guest) on September 11, 2023

Wow, hizi kichekesho ni dhahabu kabisa! πŸ’°

Grace Minja (Guest) on August 30, 2023

Ucheshi wenu unanifurahisha kila siku! πŸ˜†πŸ˜‚

Elijah Mutua (Guest) on August 28, 2023

Hii imenikuna hadi nina furaha! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Raphael Okoth (Guest) on August 20, 2023

πŸ˜‚πŸ€£πŸ˜†πŸ‘

Chris Okello (Guest) on August 15, 2023

πŸ˜…πŸ˜ŠπŸ˜‚πŸ‘

Nora Kidata (Guest) on August 15, 2023

Hii ni joke ya kufurahisha sana! πŸ‘πŸ˜†

Sharon Kibiru (Guest) on August 6, 2023

Huu ucheshi hauna kifani! 🀣πŸ”₯

Jane Muthoni (Guest) on August 1, 2023

🀣 Hii imenifanya siku yangu iwe bora kabisa!

Elizabeth Mrope (Guest) on July 24, 2023

Nimecheka hadi nina furaha sana! πŸ˜†πŸ˜‚

Margaret Mahiga (Guest) on July 17, 2023

Hii ni kali! Itaingia kwenye vipendwa vyangu! πŸ˜„

Faith Kariuki (Guest) on July 15, 2023

Hii imenipa kicheko cha siku! πŸ˜‚πŸ€£

Janet Mbithe (Guest) on July 13, 2023

Kweli ni jokes za ukweli! πŸ‘πŸ˜†

Janet Sumaye (Guest) on July 7, 2023

Hii ni ya kufurahisha sana! πŸ˜ŠπŸ˜„

Patrick Mutua (Guest) on July 3, 2023

πŸ˜† Hiyo punchline!

Mary Mrope (Guest) on July 2, 2023

πŸ˜„ Umenishika vizuri!

Michael Mboya (Guest) on June 25, 2023

Nimecheka hadi nimesahau shida zangu! πŸ€£πŸ˜†

Rose Waithera (Guest) on June 23, 2023

🀣 Hii kichekesho ni nzuri sana!

Warda (Guest) on June 11, 2023

Hii kichekesho itaingia moja kwa moja kwenye vipendwa vyangu! πŸ˜‚

Zakaria (Guest) on June 4, 2023

πŸ˜… Nilihitaji hii!

Victor Kimario (Guest) on May 28, 2023

Nimefurahia sana hii! πŸ˜…πŸ˜Š

Maneno (Guest) on May 13, 2023

Haha, mbavu zangu zinauma kwa kucheka sana! 🀣

David Chacha (Guest) on April 23, 2023

πŸ˜‚ Siwezi kuacha kucheka na hii!

Sarah Karani (Guest) on April 16, 2023

Hii imenibamba sana! πŸ˜‚πŸ˜…

Irene Akoth (Guest) on April 2, 2023

Hii ni ya kufurahisha! πŸ˜„πŸ˜…

Diana Mallya (Guest) on March 18, 2023

Hii imenifurahisha hadi nacheka kwa sauti! πŸ€£πŸ˜‚

Catherine Naliaka (Guest) on March 17, 2023

πŸ˜† Naihifadhi hii!

Victor Kamau (Guest) on February 23, 2023

🀣 Ninashiriki hii sasa hivi!

Josephine Nekesa (Guest) on February 19, 2023

Nimecheka hadi nimemiss kicheko! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Agnes Njeri (Guest) on January 28, 2023

πŸ˜… Ilibidi nishiriki hii na kila mtu!

Grace Minja (Guest) on January 21, 2023

πŸ˜‚ Lazima nihifadhi hii!

Zuhura (Guest) on January 12, 2023

Nitaeleza hii kwa marafiki zangu bila shaka! πŸ˜„

Diana Mumbua (Guest) on December 31, 2022

πŸ˜† Kali sana!

Nancy Komba (Guest) on December 23, 2022

Nimecheka hadi nimesahau shida! πŸ€£πŸ˜†

Omar (Guest) on December 4, 2022

πŸ˜‚ Ninaituma hii kwa kila mtu ninayemjua!

Mazrui (Guest) on November 23, 2022

πŸ˜† Hii imenigonga kweli!

Stephen Amollo (Guest) on November 22, 2022

Hii imenipa furaha ya siku! πŸ˜†πŸ˜‚

Patrick Akech (Guest) on November 16, 2022

Ucheshi wenu unanifurahisha kila siku! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Sharon Kibiru (Guest) on November 5, 2022

Hii imenipa kicheko cha siku! πŸ˜ŠπŸ˜†

Shukuru (Guest) on October 28, 2022

πŸ˜‚ Siwezi kusubiri kushiriki hii!

Mariam Hassan (Guest) on October 8, 2022

πŸ€£πŸ€£πŸ˜‚

George Ndungu (Guest) on October 7, 2022

🀣 Ninaituma sasa hivi!

Zuhura (Guest) on October 5, 2022

πŸ˜‚ Nalia kwa kweli hapa!

Related Posts

Kilichotokea baada ya bibi na babu kukumbukia mahaba ya ujanani

Kilichotokea baada ya bibi na babu kukumbukia mahaba ya ujanani

Mzee wa miaka 60 alimwambia mkewe, leo nataka tukumbukie enzi zetu kutongozana, mke akajibu sawa, in... Read More
Angalia huyu mgeni anachokifanya, wageni wengine ni hatari

Angalia huyu mgeni anachokifanya, wageni wengine ni hatari

Hata kama ni Mgeni this is too much. Mwenyeji: Karibu mgeni karibu ukae,utapenda chai au soda? Mgeni... Read More
Utoto raha..! Angalia hawa watoto wanachokifanya sasa

Utoto raha..! Angalia hawa watoto wanachokifanya sasa

Leo nimepulizia Air Fresh yenye Harufu ya Pilau nyumbani kwangu sasa watoto wa Jirani wamehamia ... Read More

Hili nalo neno kwa wavulana

Hili nalo neno kwa wavulana

Hili nalo neno

Demu wako anakuja kwako kasuka nywele za 30,000 na hujampa hata mia,we unaka... Read More

Cheki huyu mzee alichomfanyia muuzaji wa pharmacy

Cheki huyu mzee alichomfanyia muuzaji wa pharmacy

Mzee kaingia pharmacy, MZEE: Mambo mwanangu, kuna kitu naomba uonje nitakulipa MFAMASIA: Kitu gani?β... Read More
Cheka na methali

Cheka na methali

1.Simba mwendapole =Huyo ni Sharobaro
2.Asiyefunzwa na Mamae= Ujue Mama hajapitia Ualimu
Read More

Walevi wana Mambo! Angalia wanachokisema

Walevi wana Mambo! Angalia wanachokisema

WALEVI WAWILI KATIKA MAZUNGUMZO YAO

MLEVI 1Β hivi rafiki ... Read More

Sifa mbaya: Cheki kilichompata huyu mwanaume mpenda sifa

Sifa mbaya: Cheki kilichompata huyu mwanaume mpenda sifa

SIFA MBAYA…
Jamaa alikuwa ndani ya daladala Mara simu ikaita alikuwa ni mkewe kwa sifa jam... Read More

Hii ndiyo bongo sasa!!

Hii ndiyo bongo sasa!!

Hii ndio Bongo

Ilikuwa Ijumaa mida ya saa 10 jioni, mzee mmoja aliingia na kibinti kizuri k... Read More

Ikitokea hii kwenye chumba cha mtihani

Ikitokea hii kwenye chumba cha mtihani

Upo kwenye chumba cha mtihani,
maswalii yamekupiga kinyama
Unaamua kuchukua smartphone ... Read More

Cheki kilichotokea stesheni ya treni, mambo mengine ukipaniki inakula kwako kama huyu jamaa

Cheki kilichotokea stesheni ya treni, mambo mengine ukipaniki inakula kwako kama huyu jamaa

Jamaa Wawili Walifika Stesheni, wakakuta Treni ndo kwanza inaondoka. Wakaanza Kuikimbiza. Mmoja a... Read More

Madhara ya kubeba nauli kamili tuu. Cheki kilichonipata

Madhara ya kubeba nauli kamili tuu. Cheki kilichonipata

Kubeba nauli kamili nayo ni shida
Yani nimepanda daladala
Kondakta mmoja akaingia kweny... Read More

πŸ“– Explore More Articles
🏠 Home πŸ“– Reading πŸ–ΌοΈ Gallery πŸ’¬ AI Chat πŸ“˜ About