Warning: Undefined variable $user_id in /home/ackyshine/personal/sidebar.php on line 36
Sidebar with Floating Button
AckySHINE πŸ”
☰
AckyShine

Wabongo ni noma! Angalia huyu mbongo anachokifanya

Featured Image
Basi juzi kati hapa sehemu ndogo ya ukuta wa Ikulu ya Magogoni ilianguka!.. Wakapelekwa contractors watatu ili achaguliwe mmoja atakayejenga vzr na kwa bei nafuu!.. Wakwanza alikuwa MUHINDI, wa pili MCHINA na MBONGO!… MUHINDI: "ntajenga kwa milioni 90!.., 40 za vifaa, 40 za mafundi na milioni 10 faida yangu" MCHINA: "mi ntajenga kwa milioni 70!.., 30 za vifaa, 30 za mafundi na milioni 10 faida yangu" MBONGO kuona vile akamvuta chemba msimamizi wa Magogoni!.. MBONGO: "mi ntajenga kwa milioni 270" MSIMAMIZI WA MAGOGONI: "we una wazimu nn!.. yaani unathubutu kusema hivyo na unaona wenzako wametaja kiwango kidogo?!." MBONGO: "milioni 100 zako, 100 zangu alafu hiyo milioni 70 tunaajiri yule mchina"
AckySHINE Solutions

Comments

Please log in or register to leave a comment or reply.

Peter Mwambui (Guest) on July 20, 2024

Lazima nikumbuke hii kwa baadaye! πŸ˜†

Guest (Guest) on October 13, 2025

Hahahahahahahahahahahahahahahahaha! Wabongo inatosha jaman

Isaac Kiptoo (Guest) on July 10, 2024

πŸ˜‚ Siwezi kuacha kucheka!

Richard Mulwa (Guest) on July 3, 2024

πŸ˜‚πŸ‘ŒπŸ˜†πŸ˜Š

Ndoto (Guest) on July 2, 2024

πŸ˜† Siwezi kuacha kucheka!

Anna Mahiga (Guest) on June 23, 2024

Napenda vile mnaweka jokes kila siku! πŸ˜†πŸ‘

Alice Wanjiru (Guest) on June 10, 2024

πŸ˜…πŸ˜‚πŸ˜„

Bernard Oduor (Guest) on June 5, 2024

Hii imenifurahisha hadi nacheka kwa sauti! πŸ˜‚πŸ€£

Monica Adhiambo (Guest) on June 4, 2024

πŸ˜† Ninacheka sana sasa hivi!

David Sokoine (Guest) on May 27, 2024

😁 Imeongezwa kwenye vipendwa!

Lydia Wanyama (Guest) on March 27, 2024

Nimecheka hadi nina furaha sana! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Emily Chepngeno (Guest) on February 22, 2024

Huu ucheshi hauna kifani! 🀣πŸ”₯

Josephine Nduta (Guest) on December 9, 2023

Nimecheka hadi nimesahau shida! πŸ€£πŸ˜†

Grace Mligo (Guest) on November 21, 2023

Hii imenifurahisha hadi nacheka kwa sauti! πŸ€£πŸ˜‚

Jamila (Guest) on November 17, 2023

πŸ˜† Kali sana!

David Nyerere (Guest) on October 2, 2023

Hii imenipa furaha ya siku! πŸ˜†πŸ‘Œ

Yusuf (Guest) on September 18, 2023

πŸ˜‚ Nacheka hadi nalia!

Chum (Guest) on September 14, 2023

Nilihitaji kicheko hiki, asante kwa kushiriki! πŸ˜…

Grace Majaliwa (Guest) on August 24, 2023

Nimefurahia hii sana! πŸ˜†πŸ˜Š

Rose Kiwanga (Guest) on August 5, 2023

😁 Hii imenifanya siku yangu iwe bora!

Miriam Mchome (Guest) on July 12, 2023

πŸ˜‚πŸ€£

Grace Majaliwa (Guest) on July 5, 2023

Nimecheka hadi nimemiss kicheko! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Asha (Guest) on June 14, 2023

πŸ˜† Bado nacheka!

Lucy Kimotho (Guest) on May 19, 2023

πŸ˜„ Kichekesho kamili!

Janet Sumaye (Guest) on May 2, 2023

Hii ni kali! Itaingia kwenye vipendwa vyangu! πŸ˜„

Nora Kidata (Guest) on April 27, 2023

Nimependa hii! Endelea kuzileta! 😁

Lucy Wangui (Guest) on April 27, 2023

Nimecheka hadi nimesahau shida zangu! πŸ€£πŸ˜†

Elizabeth Mrope (Guest) on April 4, 2023

Napenda jinsi mnavyofikiria! πŸ€”πŸ˜†

Diana Mumbua (Guest) on February 8, 2023

πŸ˜‚ Ninashiriki mara moja!

Carol Nyakio (Guest) on February 5, 2023

Hii imenipa kicheko cha siku! πŸ˜‚πŸ˜†

Mwanaisha (Guest) on February 3, 2023

Ninashiriki hii na marafiki zangu mara moja! πŸ˜†

Francis Mtangi (Guest) on January 25, 2023

Wow, hii kichekesho ni mshindi kamili! πŸ†

Charles Wafula (Guest) on December 18, 2022

Hii imeniboresha wakati wangu wa mapumziko! β˜•πŸ˜†

Tabitha Okumu (Guest) on December 16, 2022

πŸ˜ŠπŸ˜‚πŸ˜…πŸ‘

Anthony Kariuki (Guest) on December 9, 2022

Ucheshi wenu unanifurahisha sana! πŸ˜‚πŸ‘

Ruth Wanjiku (Guest) on November 20, 2022

Hii ni joke ya kufurahisha sana! πŸ‘πŸ˜†

Amina (Guest) on November 1, 2022

🀣 Sikutarajia hiyo!

Dorothy Majaliwa (Guest) on October 29, 2022

Ucheshi wenu unanifurahisha kila siku! πŸ˜ŠπŸ˜‚

John Malisa (Guest) on October 25, 2022

πŸ˜… Bado nacheka!

David Sokoine (Guest) on October 13, 2022

πŸ˜ƒ Hii imenichekesha kwa sauti kweli!

Kazija (Guest) on October 2, 2022

😁 Hii imenifanya siku yangu iwe bora!

Charles Mchome (Guest) on September 26, 2022

Nimecheka hadi nimesahau shida zangu! πŸ˜‚πŸ˜…

Nancy Kawawa (Guest) on July 15, 2022

Hii ni ya kufurahisha sana! πŸ˜ŠπŸ˜„

Elizabeth Malima (Guest) on June 21, 2022

Hii ni joke ya kipekee! πŸ€£πŸ‘Œ

Esther Nyambura (Guest) on June 9, 2022

Hii ni kali sana! πŸ˜‚πŸ€£

Nicholas Wanjohi (Guest) on May 27, 2022

Ucheshi wenu unanifurahisha kila siku! πŸ˜†πŸ˜„

Jane Muthui (Guest) on May 25, 2022

Hii imenikuna sana! πŸ˜†πŸ˜…

Samuel Omondi (Guest) on May 23, 2022

Ucheshi wa hali ya juu! πŸ˜‚πŸ‘

Agnes Lowassa (Guest) on May 1, 2022

πŸ˜† Ninaihifadhi kwa baadaye!

Joyce Aoko (Guest) on April 24, 2022

Hii imenifurahisha sana! 🀣😊

Joy Wacera (Guest) on April 24, 2022

πŸ˜…πŸ˜ŠπŸ˜‚πŸ‘

Esther Cheruiyot (Guest) on April 8, 2022

Kweli ni jokes za ukweli! πŸ‘πŸ˜†

Alice Wanjiru (Guest) on April 6, 2022

Hii joke imenikumbusha enzi zile! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Mwafirika (Guest) on March 21, 2022

😁 Hii ni dhahabu!

Nora Lowassa (Guest) on March 11, 2022

Ucheshi wenu ni wa hali ya juu! πŸ‘πŸ€£

Benjamin Kibicho (Guest) on March 7, 2022

Haha, mbavu zangu zinauma kwa kucheka sana! 🀣

Elizabeth Malima (Guest) on March 6, 2022

πŸ€£πŸ€£πŸ˜‚

Joyce Aoko (Guest) on February 20, 2022

Nimecheka hadi nimesahau shida zangu! πŸ˜…πŸ˜Š

Ramadhan (Guest) on February 9, 2022

Lazima niihifadhi hii, ni kichekesho kali sana! πŸ˜†

Lucy Kimotho (Guest) on February 6, 2022

Huyu mtu ni mcheshi sana! πŸ˜‚πŸ˜‚

Related Posts

Cheki hiki kibabu kulivyowaacha watu hoi wakati mchungaji anafungisha ndoa

Cheki hiki kibabu kulivyowaacha watu hoi wakati mchungaji anafungisha ndoa

Mchungaji Kauliza:Β Yeyote mwenye pingamizi la haki kwa ndoa hii asimame na aje... Read More

Mambao ya saluni ni shida, cheki kilichotokea kwa huyu

Mambao ya saluni ni shida, cheki kilichotokea kwa huyu

DADA alienda Salon wakati anasukwa akaingia
MKAKA mtanashati,
DADA akaamua kujaribu bah... Read More

Kwa nini watu hawapendi hesabu!! Sababu hii hapa!

Kwa nini watu hawapendi hesabu!! Sababu hii hapa!

Sababu ni hii

AL-SHABAB
AL-QAEDA
Kwenye MATHEMATICS pia kuna kundi linaitwa

Read More
KICHEKESHO: Ukiona masikini Kachinja kuku

KICHEKESHO: Ukiona masikini Kachinja kuku

Ukiona masikin kachinja kuku basi kat ya kuku au yeye kuna mmoja atakua mgonjwa... Read More

Angalia nilichokifanya Jana kumkomoa x-wangu

Angalia nilichokifanya Jana kumkomoa x-wangu

Mwenzenu nilikatiwa umeme jana basi leo si nikaamua kwenda kununua luku ya 10,000. Kufika njiani ... Read More

Dunia ina mambo! Angalia kilichotokea baada ya mgonjwa kuwekewa macho ya paka

Dunia ina mambo! Angalia kilichotokea baada ya mgonjwa kuwekewa macho ya paka

Kuna jamaa alipata ajali akapofuka machoπŸ‘€, akaenda hospital akawekewa macho ya paka🐈🐱, dokt... Read More
Ungekua wewe ndio mama wa huyu mtoto ungemfanyaje?

Ungekua wewe ndio mama wa huyu mtoto ungemfanyaje?

Kuna mtoto mmoja aliamka kutoka usingizini alipokuwa kalala na mama yake na kupiga kelel... Read More

Makonda wana mambo, Kila mtu ni ndugu yao

Makonda wana mambo, Kila mtu ni ndugu yao

Hakuna m2 mwenye ndugu wengi kama konda wa daladala.

Utasikia,
"HAYA, DADA HAPO MBELE,... Read More

Angalia anachojibu huyu babu. Wazee wengine bwana

Angalia anachojibu huyu babu. Wazee wengine bwana

Babu: Mjukuu wangu ngoja nikusimulie hadithi ya mimi babu yako kwenye vita ya kagera
Mjukuu:... Read More

Mjini shule. Soma hii

Mjini shule. Soma hii

Kuna mdada nilimkopesha pesa kwa ahadi kuwa baada ya wiki moja atanirejeshea pesa zangu.

Ba... Read More

Kama simu yako ina wifi

Kama simu yako ina wifi

Kama simu yako ina Wi-fi ujue uko na mke wa mtuΒ πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ™ŒπŸ... Read More

Hapo sasa akili itakuja

Hapo sasa akili itakuja

Pale unapo gundua kuwa yule ulie mtukana kwenye bajaji ndio boss anaeenda kukufanyia inte... Read More

πŸ“– Explore More Articles