Warning: Undefined variable $user_id in /home/ackyshine/personal/sidebar.php on line 36
Sidebar with Floating Button
AckySHINE πŸ”
☰
AckyShine

Kichekesho cha mwalimu na wanafunzi

Featured Image

Mtoto: Mwalimu mimi nataka nisome darasa la nne kwani hili la3 halinifai.

Mwalimu: Kwa nini unasema hivyo?

Mtoto: Nina akili…

Basi mwalimu akamueleza mkuu wa shule na mkuu kaitisha interview kwa dogo. Maswali ni haya….

Mwalimu: Kwenye ndege kuna matofali 20 tukitoa moja tukalidondosha chini yatabaki mangapi?

Dogo: Yatabaki 19.

Mwalimu: Nipe hatua za kumuweka tembo kwenye friji.

Dogo: Unafungua friji unamuweka tembo kisha unafunga.

Mwalimu: Nipe hatua za kumuweka nyani kwenye friji.

Dogo: Unafungua friji unamtoa tembo ulemuweka..unamueka nyani kisha unafunga friji.

Mwalimu: Kuna sherehe ya siku ya kuzaliwa kwa simba, wanyama wote wameenda kasoro mmoja. Ni nani na kwa nini?

Dogo: Ni nyani kwa sababu tumemuweka kwenye friji.

Mwalimu: Bibi kizee amevuka mto unaokuwaga na mamba na viboko wakali, aliwezaje?

Dogo: Aliweza kwani mamba na viboko nao walienda kwenye sherehe ya kuzaliwa kwa simba.

Mwalimu: Ingawa bibi kizee alivuka mto, baadae alikufa. Unadhani ni kwanini alikufa?

Dogo: Alidondokewa na lile tofali tulotoa kwenye ndege na kutupa chini.

Mwalimu mkuu: Huyu dogo akasome chuo kikuu….
πŸ˜†πŸ˜†πŸ˜†πŸ˜†πŸ˜†πŸ˜†πŸ˜†πŸ˜†

AckySHINE Solutions

Comments

Please log in or register to leave a comment or reply.

Sharon Kibiru (Guest) on July 15, 2024

Napenda vile mnaweka jokes kila siku! πŸ˜†πŸ‘

George Ndungu (Guest) on June 20, 2024

🀣 Hii imenifanya siku yangu iwe bora kabisa!

Sarah Mbise (Guest) on June 19, 2024

Kweli mna ucheshi wa hali ya juu! πŸ˜‚πŸ€£

Patrick Akech (Guest) on June 1, 2024

Hii imenipa furaha ya siku! πŸ˜†πŸ‘Œ

Halima (Guest) on May 26, 2024

🀣 Ninaituma sasa hivi!

Jane Muthoni (Guest) on May 24, 2024

πŸ˜… Bado ninacheka!

Peter Mwambui (Guest) on May 22, 2024

πŸ€£πŸ˜†πŸ˜ŠπŸ˜‚

Victor Kimario (Guest) on May 17, 2024

Kweli mna ucheshi wa kipekee! πŸ˜‚πŸ€£

Victor Malima (Guest) on May 4, 2024

Hii imenifurahisha hadi ninacheka kwa sauti! πŸ˜„πŸ˜…

Catherine Naliaka (Guest) on May 2, 2024

Kweli mna kipaji cha ucheshi! πŸ‘πŸ˜†

Chris Okello (Guest) on April 2, 2024

Kweli mna ucheshi! πŸ˜‚πŸ€£

Brian Karanja (Guest) on March 27, 2024

Hii imenibamba sana! πŸ˜‚πŸ˜…

Violet Mumo (Guest) on February 19, 2024

Ucheshi wa hali ya juu! πŸ˜‚πŸ‘

Kiza (Guest) on February 16, 2024

πŸ˜„ Sikutarajia hiyo ikitokea!

Issa (Guest) on February 8, 2024

Bado nacheka, hiyo ilikuwa nzuri sana! 🀣

Betty Kimaro (Guest) on January 26, 2024

πŸ˜‚ Siwezi kuacha kucheka na hii!

Betty Cheruiyot (Guest) on January 5, 2024

Kweli ni jokes za ukweli! πŸ‘πŸ˜†

Guest (Guest) on January 16, 2026

NDIO MNAJUA SANA 2

Mzee (Guest) on December 21, 2023

πŸ˜† Bado nacheka!

Alice Wanjiru (Guest) on December 20, 2023

πŸ€£πŸ‘πŸ‘Œ

Maida (Guest) on November 16, 2023

Haha, mbavu zangu zinauma kwa kucheka sana! 🀣

Stephen Mushi (Guest) on November 5, 2023

πŸ˜‚πŸ˜…

Alex Nakitare (Guest) on November 5, 2023

πŸ˜‚πŸ€£πŸ˜†

Jaffar (Guest) on October 15, 2023

🀣 Kichekesho bora kabisa!

Raha (Guest) on September 28, 2023

🀣 Hii kichekesho ni nzuri sana!

Faith Kariuki (Guest) on September 27, 2023

Hii imenifurahisha hadi nacheka kwa sauti! πŸ€£πŸ˜‚

Lydia Mahiga (Guest) on September 21, 2023

πŸ˜† Hiyo punchline!

David Sokoine (Guest) on September 10, 2023

πŸ˜‚ Nacheka hadi nalia!

Jamal (Guest) on September 10, 2023

Asante Ackyshine

Mwanaidi (Guest) on August 28, 2023

πŸ˜† Hii imenigonga kweli!

Joy Wacera (Guest) on July 17, 2023

Hii imenikuna sana! πŸ˜†πŸ˜…

Peter Mwambui (Guest) on July 15, 2023

Hii ni kali kabisa! Siwezi kushiba! πŸ˜‚

Farida (Guest) on June 27, 2023

Umeimaliza kabisa, kichekesho gani! πŸ˜„

Raphael Okoth (Guest) on June 23, 2023

Hizi jokes zinabamba sana! πŸ˜†πŸ˜‚

Mary Kendi (Guest) on June 9, 2023

πŸ˜†πŸ˜‚πŸ˜Š

Jane Malecela (Guest) on May 5, 2023

Kweli mnajua kuchekesha! πŸ˜‚πŸ˜‚

Peter Mugendi (Guest) on April 11, 2023

Nimefurahia sana hii! πŸ˜…πŸ˜Š

Anna Kibwana (Guest) on April 8, 2023

πŸ€£πŸ˜­πŸ˜†

John Lissu (Guest) on March 30, 2023

Bado nacheka, hiyo ilikuwa nzuri sana! 🀣

Joy Wacera (Guest) on March 28, 2023

πŸ˜† Ninaihifadhi kwa baadaye!

Patrick Kidata (Guest) on March 16, 2023

Hii imenifurahisha hadi nacheka kwa sauti! πŸ˜‚πŸ€£

John Lissu (Guest) on March 5, 2023

Nimecheka hadi nimesahau shida zangu! πŸ˜…πŸ˜Š

Elijah Mutua (Guest) on February 8, 2023

Ucheshi wenu unanifurahisha sana! πŸ˜‚πŸ‘

Ruth Kibona (Guest) on February 6, 2023

🀣 Hii imewaka moto!

Benjamin Masanja (Guest) on January 28, 2023

Umesema kweli! πŸ‘ŒπŸ˜‚

Stephen Kikwete (Guest) on January 28, 2023

Ucheshi wenu unanifurahisha kila siku! πŸ˜†πŸ˜‚

Hellen Nduta (Guest) on January 19, 2023

🀣 Hiyo twist mwishoni, ingawa!

Ruth Wanjiku (Guest) on December 27, 2022

Ucheshi wenu ni wa hali ya juu sana! πŸ‘πŸ€£

Lucy Mahiga (Guest) on December 20, 2022

🀣 Hii imenigonga vizuri!

Janet Sumari (Guest) on December 11, 2022

πŸ˜† Ninacheka sana sasa hivi!

Benjamin Kibicho (Guest) on November 29, 2022

Kweli mna ucheshi wa hali ya juu sana! πŸ‘πŸ˜†

Edith Cherotich (Guest) on October 4, 2022

πŸ˜‚ Siwezi kuacha kucheka!

Grace Mushi (Guest) on September 18, 2022

πŸ˜„ Umenishika vizuri!

Margaret Mahiga (Guest) on September 1, 2022

Hii imenifurahisha sana! πŸ˜ŠπŸ˜…

Richard Mulwa (Guest) on August 15, 2022

πŸ€£πŸ˜„πŸ˜Š

Neema (Guest) on August 12, 2022

πŸ˜‚ Siwezi kuacha kucheka!

Robert Ndunguru (Guest) on July 31, 2022

Hii ni joke ya kipekee! πŸ€£πŸ‘Œ

Joseph Njoroge (Guest) on July 18, 2022

πŸ˜… Nilihitaji kicheko hiki, asante!

Vincent Mwangangi (Guest) on July 6, 2022

πŸ˜‚πŸ€£πŸ˜†πŸ‘

Mwanakhamis (Guest) on July 3, 2022

Hii ni kali! Itaingia kwenye vipendwa vyangu! πŸ˜„

Related Posts

Hawa ndio wanaume wanaoweza kushinda vishawishi

Hawa ndio wanaume wanaoweza kushinda vishawishi

Wanaume wenye kushinda vishawishi ni;

Wanaume ambao mnaweza kula wali hadi mwisho bila kugu... Read More

Mme amemfuma fundi wa kitanda na mke wake, cheki walichokua wanafanya

Mme amemfuma fundi wa kitanda na mke wake, cheki walichokua wanafanya

Kuna mama mmoja ameolewa na wanapendana sana na mmeo. siku moja mme wake alisafiri kikazi (safari... Read More

Cheki huyu kiherehere alivyojibiwa

Cheki huyu kiherehere alivyojibiwa

Za asubuhi?

Nzur sjui huko?

Huku kwema tuu

VP si ulimaliza chuo ww?

Ndio ... Read More

Utani kwa wadada wembamba

Utani kwa wadada wembamba

πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚

Wadada wembamba hebu nenepeni basi mn... Read More

BREAKING NEWS: WAZIRI ANASWA KOFI

BREAKING NEWS: WAZIRI ANASWA KOFI

Mkazi wa Mbagala Kibondemaji, Waziri Salum (23) amejikuta akinaswa makofi baada ya kupishana kau... Read More

Cheki huyu mtoto anachosema

Cheki huyu mtoto anachosema

sijui hili toto langu nilipeleke wapi, Leo limetoka shule eti nikaliuliza BIBILIA kwa kingereza i... Read More

Nilichomfanyia huyu aliyenizingua nilipomuazimisha pasi

Nilichomfanyia huyu aliyenizingua nilipomuazimisha pasi

πŸ™„πŸ™„πŸ™„πŸ™„πŸ™„πŸ™„
Jana nimeenda kuazima pasi chumba jirani, ili ninyooshe nguo zangu,... Read More

Mzunguko wa elimu kiafrikaafrika

Mzunguko wa elimu kiafrikaafrika

01.πŸ‘‰ Wale wanafunzi walioongoza Mashuleni, wanaenda kwenye Engineering na Medical school.

<... Read More
Ungekua wewe ndio baba wa Huyu mtoto ungemjibu nini?

Ungekua wewe ndio baba wa Huyu mtoto ungemjibu nini?

MTOTO: Hivi Baba wewe umezaliwa wapi?????
BABA: Mbeya

<... Read More
Huu ndio uchawi unaweza kufanyika siku mpenzi wako akikutambulisha kwao

Huu ndio uchawi unaweza kufanyika siku mpenzi wako akikutambulisha kwao

πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
*UCHAWI* ni nini?

`Uchawi ni pale mpenzi wako anapokupeleka kwao ... Read More

Cheki huyu jamaa alivyoumbuka akiwa ndani ya dala dala baada ya kupokea simu ya mkewe

Cheki huyu jamaa alivyoumbuka akiwa ndani ya dala dala baada ya kupokea simu ya mkewe

Jamaa kapokea simu kutoka kwa mke wake ndani ya daladala

jamaa: hellow hellow ( jamaa ak... Read More

Angalia hawa wadada walivyoumbuliwa, Huyu kasuku jeuri kweli

Angalia hawa wadada walivyoumbuliwa, Huyu kasuku jeuri kweli

Kasuku alisimama mlango wa kuingia supermarket wakapita wanawake watatu akasema nyeupe, nyekundu, ki... Read More
πŸ“– Explore More Articles
🏠 Home πŸ“– Reading πŸ–ΌοΈ Gallery πŸ’¬ AI Chat πŸ“˜ About