Warning: Undefined variable $user_id in /home/ackyshine/personal/sidebar.php on line 36
Sidebar with Floating Button
AckySHINE πŸ”
☰
AckyShine

Nani Mkali Hapa kati ya DEMU na MSHIKAJI?

Featured Image

"MAENEO FLANI ya KISHUA"

-Mshikaji kamwona demu mkali
anakatiza kitaa akamkubali akaamua
amfuate amtemee cheche

MSHIKAJI- mambo dada?

DEMU- pouwa

MSHIKAJI-
umependezaa!!!

DEMU- asante.

MSHIKAJI- unaweza ukanisaidia
namba
yako ya simu……..
maana duh
nmekukubali
kinyama.

Demu baada ya kuambiwa vile
akazama kwenye pochi lake akatoa
noti ya
sh.10000 akaandika namba yake
kwenye
noti akampa mshikaji.

Mshikaji kapokea ile noti kachana
sehem
iliyoandikwa namba halafu
kamrudishia
Demu noti yake..!!!

NANI ANA DHARAU
NA NANI JEURI..
DEMU AU MSHIKAJI??!

AckySHINE Solutions

Comments

Please log in or register to leave a comment or reply.

George Tenga (Guest) on June 16, 2024

Kila siku napenda jokes zenu! πŸ˜†πŸ˜‚

Sarah Achieng (Guest) on May 29, 2024

🀣 Ninaituma sasa hivi!

Issack (Guest) on May 24, 2024

πŸ˜… Nilihitaji kicheko hiki, asante!

Mary Kendi (Guest) on May 14, 2024

🀣 Hii kichekesho ni nzuri sana!

Lucy Mahiga (Guest) on April 25, 2024

Umetisha! πŸ‘ŒπŸ˜‚

Guest (Guest) on December 26, 2025

Duuh ni hatarii!!!

Nora Lowassa (Guest) on March 9, 2024

πŸ˜„ Umeshinda mtandao leo!

Brian Karanja (Guest) on February 23, 2024

πŸ€£πŸ˜†πŸ˜ŠπŸ˜‚

Joseph Kiwanga (Guest) on February 21, 2024

🀣 Sikutarajia hiyo!

Philip Nyaga (Guest) on February 11, 2024

πŸ€£πŸ€£πŸ˜‚

Kiza (Guest) on February 9, 2024

πŸ˜† Hiyo punchline ilikuwa kali!

Anthony Kariuki (Guest) on January 21, 2024

Kweli mna ucheshi wa kipekee sana! πŸ˜„πŸ˜‚

Sarah Achieng (Guest) on December 18, 2023

Hii imenifurahisha sana! πŸ˜‚πŸ˜‚

Jane Muthui (Guest) on December 12, 2023

πŸ˜…πŸ˜‚πŸ‘ŒπŸ˜Š

James Mduma (Guest) on October 19, 2023

Hii imenikumbusha enzi zile! πŸ˜…πŸ˜‚

James Mduma (Guest) on October 6, 2023

🀣 Sikutarajia hiyo!

Lucy Mahiga (Guest) on September 25, 2023

Hii imenikuna! πŸ˜†πŸ˜Š

Fredrick Mutiso (Guest) on September 23, 2023

Kweli mna ucheshi wa kipekee! πŸ˜‚πŸ€£

Emily Chepngeno (Guest) on September 17, 2023

πŸ˜…πŸ˜‚πŸ˜„

Rahma (Guest) on August 29, 2023

🀣 Ninashiriki hii na kila mtu!

Mgeni (Guest) on August 27, 2023

Hii kichekesho itaingia moja kwa moja kwenye vipendwa vyangu! πŸ˜‚

Mercy Atieno (Guest) on August 12, 2023

Hii ni ya maana sana! πŸ˜‚πŸ‘Œ

Salma (Guest) on August 6, 2023

πŸ˜„ Hii ni ubunifu wa hali ya juu!

Alice Wanjiru (Guest) on July 16, 2023

Napenda vile mnaweka jokes kila siku! πŸ˜†πŸ‘

Guest (Guest) on December 26, 2025

So what?

Victor Kimario (Guest) on June 18, 2023

πŸ˜‚ Nitaiiba hii bila shaka!

Shamsa (Guest) on June 10, 2023

🀣 Ninashiriki hii sasa hivi!

Grace Minja (Guest) on June 8, 2023

πŸ˜‚πŸ˜‚

Edward Chepkoech (Guest) on May 21, 2023

Hii imenifurahisha hadi nacheka kwa sauti! πŸ€£πŸ˜‚

Zubeida (Guest) on May 3, 2023

πŸ˜† Bado nacheka, siwezi kuacha!

James Kimani (Guest) on May 2, 2023

Nimecheka hadi nimesahau shida! πŸ€£πŸ˜†

Thomas Mtaki (Guest) on April 28, 2023

Nimecheka hadi nimesahau shida zangu! πŸ˜ŠπŸ˜…

Grace Wairimu (Guest) on April 22, 2023

Nimecheka hadi nimesahau shida zangu! πŸ˜…πŸ˜Š

Alex Nyamweya (Guest) on March 18, 2023

πŸ˜‚ Siwezi kuacha kucheka na hii!

Mercy Atieno (Guest) on February 19, 2023

Kweli mnajua kuchekesha watu! πŸ€£πŸ˜‚

Miriam Mchome (Guest) on February 15, 2023

Ninashiriki hii na marafiki zangu mara moja! πŸ˜†

Elizabeth Mrema (Guest) on January 21, 2023

Hii imenikuna hadi nina furaha sana! πŸ˜ŠπŸ˜‚

George Wanjala (Guest) on January 17, 2023

πŸ˜‚ Nalia kwa kweli hapa!

Josephine Nduta (Guest) on December 25, 2022

πŸ˜‚πŸ€£πŸ˜†πŸ˜…

Jane Muthoni (Guest) on December 21, 2022

Nimecheka hadi machozi yanatoka! 🀣😭

Joseph Kawawa (Guest) on December 17, 2022

πŸ˜ŠπŸ˜‚πŸ˜…πŸ‘

Bahati (Guest) on December 10, 2022

πŸ˜† Ninakufa hapa!

Francis Mtangi (Guest) on December 5, 2022

Hii imenifurahisha hadi nacheka kwa sauti! πŸ€£πŸ˜…

Mariam (Guest) on November 23, 2022

πŸ˜‚ Nacheka hadi nalia!

Charles Wafula (Guest) on November 23, 2022

πŸ˜‚ Ninashiriki mara moja!

Alice Wanjiru (Guest) on November 10, 2022

πŸ˜‚πŸ‘πŸ˜…πŸ€£

Henry Sokoine (Guest) on September 7, 2022

πŸ˜‚πŸ€£πŸ˜†

Victor Malima (Guest) on August 25, 2022

πŸ˜„ Dhahabu ya vichekesho!

Salima (Guest) on August 24, 2022

πŸ˜… Bado ninacheka!

Margaret Anyango (Guest) on August 23, 2022

Hii ni joke ya ukweli kabisa! πŸ˜‚πŸ€£

Athumani (Guest) on August 22, 2022

πŸ˜… Bado nacheka!

Benjamin Masanja (Guest) on July 11, 2022

Ucheshi wenu unanifurahisha kila siku! πŸ˜†πŸ˜‚

Diana Mumbua (Guest) on June 17, 2022

Hizi jokes ni za kipekee sana! πŸ˜†πŸ˜Š

Benjamin Kibicho (Guest) on April 19, 2022

πŸ˜…πŸ˜ŠπŸ˜‚πŸ‘

Esther Cheruiyot (Guest) on April 5, 2022

Hii ni bomba sana! πŸ€£πŸ‘

Binti (Guest) on March 21, 2022

πŸ˜„ Kichekesho kamili!

Josephine (Guest) on March 14, 2022

Hii imeniboresha wakati wangu wa mapumziko! β˜•πŸ˜†

John Mushi (Guest) on March 1, 2022

Wow, hii kichekesho ni mshindi kamili! πŸ†

Alice Jebet (Guest) on February 27, 2022

Nimecheka hadi nimesahau shida zangu! πŸ€£πŸ˜†

Related Posts

Baada ya kuumizwa kimapenzi haya ndiyo maneno

Baada ya kuumizwa kimapenzi haya ndiyo maneno

Mkishaumizwa ndo utasikia, Moyo sukuma damu sio mengine. wakati mnapenda mlizani moyo ul... Read More

Mtoto ni wa baba au wa mama? Angalia hoja za baba na mama kila mmoja anadai ni wake

Mtoto ni wa baba au wa mama? Angalia hoja za baba na mama kila mmoja anadai ni wake

Mtoto ni wa baba au wa mama? Mume alimpa mkewe talaka wakaenda mahakamani ili hakimu aamue nani aka... Read More
Angalia nilichomfanyia huyu mwizi

Angalia nilichomfanyia huyu mwizi

Et jana usiku mwiz kavunja mlango kwangu
akaanza kutafuta kitu kila kona ikabid
na mie ... Read More

Je hili ni kweli kuhusu mpenzi maskini na Tajiri?

Je hili ni kweli kuhusu mpenzi maskini na Tajiri?

Siku hizi kudekezwa na kupetiwa petiwa tunawaachia matajiri

Hakuna mwanamke yupo tayar kula... Read More

Mambo ya pesa haya..

Mambo ya pesa haya..

MAMBO YA FEDHA AISEE……. Kuna jamaa alipewa shilingi 983628763600/= …acha uvivu, najua hujas... Read More

Jinsi ya Kubana matumizi X-mass

Jinsi ya Kubana matumizi X-mass

Badala yakupika PILAU tutapika TAMBI kwenye Xmas maana tutakua tumeokoa sh.15,000/= Vitunguu swa... Read More

Sio kwa wivu huu

Sio kwa wivu huu

Wanawake nilianza kuwachukia tokea shule ya msingi.

Ni pale mwanamke wangu aliponiacha na k... Read More

Sababu ya girlfriend πŸ‘§ kuniblock

Sababu ya girlfriend πŸ‘§ kuniblock

Nimeblockiwa bila kosa X Girlfriend From no where kanitext eti Hi; Vp na huko kwenu mvua... Read More

Mbele ya hela binti usharobaro achia mbali

Mbele ya hela binti usharobaro achia mbali

Boy:- hallow
Dem:- hellow
Boy:- ivi jina lako nani vile
Dem:- am miss precious A. ... Read More

Cha kufanya msichana akikukimbia halafu atake kukurudia

Cha kufanya msichana akikukimbia halafu atake kukurudia

……… Kama msichana atakutupa kwa sababu huna pesa, na baadaye unapopata pesa akarudi tena ku... Read More

Kilichompata sista duu bishoo wakati akijidai kununua pete

Kilichompata sista duu bishoo wakati akijidai kununua pete

Mwanamke mmoja aliingia duka la vito vya thamani, akaona pete moja ya dhahabu nzuri sana amabayo ili... Read More
Kali ya mwaka iliyotokea Benki Baada ya wezi kuiba

Kali ya mwaka iliyotokea Benki Baada ya wezi kuiba

Kuishi kijijini kunahitaji moyo sana

..unaenda kuoga, unakumbuka k... Read More