Warning: Undefined variable $user_id in /home/ackyshine/personal/sidebar.php on line 36
Sidebar with Floating Button
AckySHINE πŸ”
☰
AckyShine

Kuna watu makauzu ila huyu kazidi.. Soma hii!

Featured Image

Kakubaliana vizuri na msichana fulani hivi kuwa aibuke gheto, mchizi kajipanga vizuri kabisa…. mara saa nne hivi mdada kasema hana nauli.
Mshkaji kajikunja kamtumia Elfu tano maana mwenye shida alikuwa ni yeye……
Baada ya nusu saa yule dada akamtumia meseji.
"Jamani mpenzi, kumbe baba hatoki nilijua atatoka… sorry bae sitaweza kuja kwa leo… sooo sorry!"
Mshkaji jiii! hajajibu kitu…..

Baada ya muda kidogo meseji ikaingia katika simu ya binti, akajua mchizi kajibu. Mh! kutazama ni meseji kutoka Mpesa.

"CA90F0511 IMETHIBITISHWA Tshs 5000 ILIYOTUMWA KIMAKOSA KATIKA ACCOUNT YAKO IMETOLEWA SALIO LAKO NI Tshs 5"

Halafu ndo ikaingia meseji ya mshkaji.
"BASI POA SIKU NYINGINE KAMA VIPI"

#dada wa watu mashavu yakamshuka… hakuamini kilichotokea…. yaani jamaa keshawapigia Voda na pesa fasta imezuiliwa……

AckySHINE Solutions

Comments

Please log in or register to leave a comment or reply.

Victor Kamau (Guest) on July 13, 2024

πŸ˜„ Hii ni ubunifu wa hali ya juu!

Joy Wacera (Guest) on June 30, 2024

πŸ˜„ Kali sana!

Tabu (Guest) on June 29, 2024

😁 Hii ni dhahabu!

Victor Mwalimu (Guest) on June 14, 2024

πŸ˜‚πŸ€£πŸ˜ŠπŸ˜…

Andrew Mahiga (Guest) on May 22, 2024

πŸ˜… Nilihitaji hii!

Rehema (Guest) on May 1, 2024

Nimependa hii! Endelea kuzileta! 😁

Alice Jebet (Guest) on April 12, 2024

Nimecheka hadi nimesahau shida zangu! πŸ˜…πŸ˜Š

Susan Wangari (Guest) on March 30, 2024

Kweli mnajua kuchekesha watu! πŸ€£πŸ˜‚

Jane Muthoni (Guest) on March 23, 2024

Nimecheka hadi machozi yanatoka! 🀣😭

Francis Mrope (Guest) on March 23, 2024

πŸ˜† Ninakufa hapa!

Monica Adhiambo (Guest) on March 14, 2024

🀣 Hii imenigonga vizuri!

Faith Kariuki (Guest) on March 11, 2024

πŸ˜† Hii imenigonga kweli!

James Kawawa (Guest) on March 4, 2024

Hii ni dhahabu ya vichekesho! πŸ˜„

Irene Makena (Guest) on February 1, 2024

Nimecheka kwa sauti! 🀣🀣

Zuhura (Guest) on January 27, 2024

πŸ˜‚ Lazima nihifadhi hii!

Linda Karimi (Guest) on January 23, 2024

Nimecheka hadi nina furaha sana! 🀣😊

Anthony Kariuki (Guest) on January 17, 2024

Asante Ackyshine

Kenneth Murithi (Guest) on January 14, 2024

Hii imenifurahisha hadi nacheka kwa sauti! πŸ€£πŸ˜…

James Kawawa (Guest) on January 8, 2024

😁 Hii imenifanya siku yangu iwe bora!

Janet Mwikali (Guest) on January 3, 2024

Hii imenifurahisha sana! πŸ˜‚πŸ˜‚

Ali (Guest) on October 20, 2023

πŸ˜‚ Siwezi kuacha kucheka na hii!

George Tenga (Guest) on October 18, 2023

πŸ˜‚πŸ˜‚

Charles Mchome (Guest) on October 9, 2023

Haha! Sijacheka hivi kwa muda mrefu! 🀣

Agnes Njeri (Guest) on October 5, 2023

πŸ˜…πŸ˜ŠπŸ˜‚πŸ‘

Elizabeth Mrope (Guest) on October 5, 2023

Hii imenipa kicheko cha siku! πŸ˜‚πŸ€£

Moses Kipkemboi (Guest) on September 30, 2023

πŸ˜‚ Siwezi kusubiri kushiriki hii!

Victor Kimario (Guest) on September 7, 2023

Napenda jinsi mnavyofikiria! πŸ€”πŸ˜†

Shani (Guest) on August 22, 2023

😁 Hii ni hazina ya kichekesho!

Anna Kibwana (Guest) on August 18, 2023

Huyu alikuwa na point! πŸ˜‚πŸ‘Œ

Miriam Mchome (Guest) on July 5, 2023

Hii imenikuna hadi nina furaha! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Nicholas Wanjohi (Guest) on June 28, 2023

Ucheshi wenu ni wa hali ya juu sana! πŸ‘πŸ€£

Jackson Makori (Guest) on June 17, 2023

Mna kipaji cha ucheshi! πŸ‘πŸ˜‚

Jackson Makori (Guest) on June 17, 2023

πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ€£

Peter Mbise (Guest) on June 11, 2023

πŸ˜… Bado nacheka!

Fikiri (Guest) on May 31, 2023

🀣 Ninashiriki hii sasa hivi!

Rahma (Guest) on May 25, 2023

πŸ˜„ Kichekesho kamili!

Jane Muthui (Guest) on May 17, 2023

Hii imenikumbusha kicheko cha zamani! πŸ˜‚πŸ˜…

Edward Chepkoech (Guest) on May 5, 2023

πŸ˜‚πŸ‘ŒπŸ˜†πŸ˜Š

James Kawawa (Guest) on May 1, 2023

πŸ€£πŸ€£πŸ‘πŸ˜†

Catherine Naliaka (Guest) on April 22, 2023

Hii kichekesho itaingia moja kwa moja kwenye vipendwa vyangu! πŸ˜‚

Diana Mallya (Guest) on April 12, 2023

πŸ˜‚πŸ€£πŸ˜†πŸ˜…

Mwafirika (Guest) on March 25, 2023

Hii kichekesho imenifurahisha sanaβ€”imebamba! 🀣

Joseph Kawawa (Guest) on March 18, 2023

Hii imenipa kicheko cha siku! πŸ˜‚πŸ˜†

Nancy Kabura (Guest) on March 11, 2023

🀣 Hiyo twist mwishoni, ingawa!

Lucy Kimotho (Guest) on March 4, 2023

🀣 Hii kichekesho ni nzuri sana!

Raphael Okoth (Guest) on February 2, 2023

πŸ˜„ Sikutarajia hiyo ikitokea!

Grace Mligo (Guest) on January 31, 2023

πŸ˜† Bado nacheka!

Esther Cheruiyot (Guest) on January 6, 2023

Umesema kweli! πŸ‘ŒπŸ˜‚

James Mduma (Guest) on December 23, 2022

πŸ˜† Hiyo punchline!

Edward Lowassa (Guest) on December 16, 2022

Mna talent ya jokes! πŸ‘πŸ˜‚

Samson Mahiga (Guest) on November 26, 2022

Haha, hii ni ya kuhifadhi! πŸ“Œ

Alice Mwikali (Guest) on November 25, 2022

πŸ˜†πŸ‘πŸ˜‚πŸ˜„

Hamida (Guest) on November 24, 2022

Nilihitaji kicheko hiki, asante kwa kushiriki! πŸ˜…

Irene Makena (Guest) on November 4, 2022

Hii imeniboresha wakati wangu wa mapumziko! β˜•πŸ˜†

Agnes Njeri (Guest) on October 14, 2022

Ninashiriki hii na marafiki zangu mara moja! πŸ˜†

James Kimani (Guest) on September 15, 2022

πŸ˜‚πŸ€£πŸ˜†

Grace Njuguna (Guest) on August 13, 2022

Nimecheka hadi nina furaha sana! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Elizabeth Malima (Guest) on July 16, 2022

Hii imenipa kicheko cha siku! πŸ˜‚πŸ€£

Jane Malecela (Guest) on June 28, 2022

Hii ni joke ya kufurahisha sana! πŸ‘πŸ˜†

Sharon Kibiru (Guest) on June 21, 2022

Nimefurahia sana hii joke! πŸ˜…πŸ˜‚

Related Posts

Duh! Angalia alichokula huyu mwizi! Wizi mwingine bwana!

Duh! Angalia alichokula huyu mwizi! Wizi mwingine bwana!

Baada ya mwizi kuvunja mlango huko Tarime, akaingia kwenye stoo akaona vinyama kwenye bakuli vik... Read More

Hapo sasa!! Ni shida!!

Hapo sasa!! Ni shida!!

Umeshawahi saidiwa homework na mzazi halafu unapata zero?

Hapo ndio unajua shida siyo we... Read More

Duh! Huyu kazidi sasa

Duh! Huyu kazidi sasa

Kuna jamaa kapita hapa kaniuliza et mbona umekunja sura nikamjibu nataka niweke kwenye begiπŸ˜‚π... Read More

Madenge hakosi visa. Soma hii

Madenge hakosi visa. Soma hii

MADENGE
HAKOSI
VISA


baada ya kumaliza form four baba akamwambia achague zaw... Read More

Breaking news

Breaking news

Breaking news πŸ’₯

Watu wasiojulikana wamevamia jengo lisilojulikana na

Kufanya ... Read More

Watu wana vimaneno

Watu wana vimaneno

Eti linalo jamba ni tumbo makalio ni spika tu

Dah!!

Nimecheka h... Read More

Mvua zazua kasheshe! Soma hii..

Mvua zazua kasheshe! Soma hii..

Baba- : Halloo mke wangu.. yaani ni shida sitaweza kurudi nyumban, daraja limevunjika na kutoka m... Read More

Angalia sababu ya mke Mtarajiwa kuzimia kabla ya harusi

Angalia sababu ya mke Mtarajiwa kuzimia kabla ya harusi

*Jihadharini* na wachapaji wa kadi za harusi. Hakikisha unasoma maandishi yaliyochapwa kabla ya k... Read More

Duh, Ukisikia ngoma droo ndio hii

Duh, Ukisikia ngoma droo ndio hii

Ni noma!

Baada ya Talaka mke kamtumia mume meseji:- "Nasikitika kukujulisha kuwa bi... Read More

MAMBO KUMI YA KUFURAHISHA NA HUWEZI KUYAFANYA

MAMBO KUMI YA KUFURAHISHA NA HUWEZI KUYAFANYA

1. Huwezi kuosha Macho kwa Sabuni;
2. Huwezi kuhesabu Nywele zako;

3. Huwezi kupumua k... Read More

Kizungu nacho ni sheeeedeer

Kizungu nacho ni sheeeedeer

Mtalii: Do you have vegetables here.
Mtafsiri: Mnavyo vijimeza hapa.
Waiter: Vijimeza v... Read More

Kilichotokea baada ya bibi na babu kukumbukia mahaba ya ujanani

Kilichotokea baada ya bibi na babu kukumbukia mahaba ya ujanani

Mzee wa miaka 60 alimwambia mkewe, leo nataka tukumbukie enzi zetu kutongozana, mke akajibu sawa, in... Read More
πŸ“– Explore More Articles
🏠 Home πŸ“– Reading πŸ–ΌοΈ Gallery πŸ’¬ AI Chat πŸ“˜ About