Sidebar with Floating Button
AckySHINE 🔁
AckyShine

Angalia nilivyoingizwa mjini na ujanja wangu wote

Featured Image
236 💬 ⬇️

Ulevi noma! Angalia huyu mlevi alichomfanyia huyu jamaa usiku! Ungekua wewe ungefanyaje?

Featured Image
Jamaa alikuwa amelaa na mkewe saa tisa ya usiku akastuka baada ya kusikia mtu anabisha hodi kwenda kufungua mlango Akamkuta jamaa kalewa sana mlangoni kwao JAMAA: Nini tena mheshimiwa kuamshana saa hizi?
238 💬 ⬇️

Angalia huyu mwanafunzi anachomjibu huyu mwalimu wake

Featured Image

1. Ticha:"Punda ni mnyama anaefugwa nyumbani,lakini akiwa mwituni anaitwa pundamilia….Je sungura anayeishi mwituni anaitwaje?"

ZUZU:"Sunguramilia."

2.Ticha:"Rais wa kwanza wa kenya aliitwa KENYATTA…Je rais wa kwanza wa
Tanzania aliitwaje?"
ZUZU:"TANZANIATTA."

3. Ticha:"Kuku yuko katika jamii ya NDEGE…Je samaki yuko katika jamii ya nini?"

ZUZU:"MELI."

 

237 💬 ⬇️

Kilichompata huyu jamaa mroho wa nyama, Hata kaa arudie tena

Featured Image

Jamaa kaenda kumtembelea rafiki yake Levi, kule sehemu za kwetu, akakaribishwa bonge ya ugali na nyama nyingi tu, wakati anakula akagundua kuwa shemeji yake, mke wa rafiki yake hali nyama;

JAMAA: Aise hili ni bonge ya lanchi hii, lakini Levi mbona

236 💬 ⬇️

Kilichotokea nikiiwa namsaidia mtoto home work

Featured Image
236 💬 ⬇️

Huyu mama mkwe kazidi sasa

Featured Image
236 💬 ⬇️

Utani wa wachaga

Featured Image
236 💬 ⬇️

Cheki kilichonipata sasa, ungekua wewe ungefanyaje?

Featured Image
Siku moja katika pitapita zangu nikakutana na mtoto mmoja mkali baraa yaani ni mzuri sanaaaa, moyo ukanituma nimuimbishe mtoto akakubali kwamba nitafute siku tukae tuongee vizuri akasema nimpe namba yangu ya simu.
236 💬 ⬇️

Nilichokifanya kwa rafiki yangu

Featured Image
236 💬 ⬇️

Haya nayo ni maajabu mengine kwa wazazi wa mabinti

Featured Image
236 💬 ⬇️
🏠 Home 📖 Reading 🖼️ Gallery 💬 AI Chat 📘 About