Warning: Undefined variable $user_id in /home/ackyshine/personal/sidebar.php on line 36
Sidebar with Floating Button
AckySHINE πŸ”
☰
AckyShine

Angalia huyu jamaa anavyojiona msomi, huyu kamuotea, hapa amekwama

Featured Image

USIJIONE MJUAJI SAAAA…NA.
Jamaa kamaliza chuo anarudi nyumbani kwa wazee, kufika
nyumbani.

kwa furaha waliopata wazazi, mama aliamua
kurosti kuku WAWILI(2) kwa ajili yao.
Mezani jamaa akataka kuwadhihirishia kuwa yeye ni msomi,
akawaambia "hawa kuku unaona wako wawili ila kwa kutumia
sheria za arthematic na geometric kuna kuku watatu mezani"
mama"hee embu tuoneshe mwanangu"
jamaa akachukua kuku ya kwanza akainua juu "ngapi?"
wazazi"moja" akainua wa pili "ngapi?" wazazi "mbili"
akawarudisha akisema"wazee wangu nadhani japo shule
hamkwenda ila mnajua moja+mbili=tatu so tuna kuku watatu
mezani"
baba"mmh kweli mwanangu umesoma. SASA TUFANYE IVI
MIMI NACHUKUA KUKU MOJA NA MAMA YAKO WA PILI WE
UTAKULA UYO WA TATU ULIYOSEMA"

AckySHINE Solutions

Comments

Please log in or register to leave a comment or reply.

Monica Nyalandu (Guest) on June 14, 2024

πŸ˜‚πŸ˜‚

Muslima (Guest) on June 14, 2024

Haha, mbavu zangu zinauma kwa kucheka sana! 🀣

Mary Sokoine (Guest) on June 6, 2024

πŸ˜† Bado nacheka, siwezi kuacha!

Monica Adhiambo (Guest) on May 14, 2024

Nimecheka hadi machozi yanatoka! 🀣😭

David Chacha (Guest) on April 13, 2024

Hii ni joke ya maana sana! πŸ˜‚πŸ‘Œ

Jabir (Guest) on March 24, 2024

Lazima nikumbuke hii kwa baadaye! πŸ˜†

Catherine Mkumbo (Guest) on March 22, 2024

πŸ˜‚πŸ‘Œ

Stephen Kangethe (Guest) on March 4, 2024

Hii imenipa kicheko cha siku! πŸ˜‚πŸ€£

Anna Sumari (Guest) on February 12, 2024

πŸ˜…πŸ˜‚πŸ‘ŒπŸ˜Š

Victor Mwalimu (Guest) on February 11, 2024

πŸ˜„ Dhahabu ya vichekesho!

Jane Muthoni (Guest) on February 2, 2024

Huu ucheshi hauna kifani! 🀣πŸ”₯

Lydia Mahiga (Guest) on January 21, 2024

🀣 Ujuzi wa hali ya juu!

Nancy Kawawa (Guest) on January 6, 2024

Nimecheka hadi nimepata furaha! πŸ˜ŠπŸ˜†

Henry Sokoine (Guest) on December 19, 2023

Kweli mnajua kuchekesha watu! πŸ€£πŸ˜‚

Vincent Mwangangi (Guest) on December 19, 2023

Nimecheka hadi nimesahau shida zangu! πŸ€£πŸ˜†

Henry Sokoine (Guest) on December 2, 2023

Hii ndio nilihitaji leo! Asante! 😜

Lucy Mushi (Guest) on November 14, 2023

Napenda jokes zenu! πŸ˜ŠπŸ˜…

Lucy Wangui (Guest) on November 11, 2023

πŸ˜‚ Nacheka hadi nalia!

Christopher Oloo (Guest) on September 15, 2023

Nimecheka hadi nimesahau shida zangu! πŸ˜ŠπŸ˜…

Rehema (Guest) on August 16, 2023

🀣 Hii imewaka moto!

Thomas Mwakalindile (Guest) on July 2, 2023

πŸ˜‚ Ninaituma hii kwa kila mtu ninayemjua!

Dorothy Nkya (Guest) on July 1, 2023

Kweli mnajua kuchekesha! πŸ˜‚πŸ˜‚

Patrick Mutua (Guest) on June 29, 2023

πŸ€£πŸ€£πŸ˜‚

Husna (Guest) on June 8, 2023

Hii kichekesho itaingia moja kwa moja kwenye vipendwa vyangu! πŸ˜‚

Zakaria (Guest) on May 21, 2023

πŸ˜† Naihifadhi hii!

Mwanakhamis (Guest) on May 20, 2023

Wow, hizi kichekesho ni dhahabu kabisa! πŸ’°

Stephen Malecela (Guest) on May 20, 2023

πŸ˜† Ninaihifadhi kwa baadaye!

Sarah Mbise (Guest) on May 9, 2023

Nimecheka hadi mbavu zinauma πŸ˜‚πŸ˜‚

Michael Onyango (Guest) on April 11, 2023

Hii imenifurahisha hadi ninacheka kwa sauti! πŸ˜„πŸ˜…

John Malisa (Guest) on March 20, 2023

Brilliant! Muda wake ulikuwa kamili! ⏰

Edward Lowassa (Guest) on February 11, 2023

Nimecheka hadi nina furaha sana! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Martin Otieno (Guest) on February 8, 2023

πŸ˜† Hiyo punchline!

Mary Kendi (Guest) on January 8, 2023

Hii ni joke ya kipekee sana! πŸ˜ŠπŸ‘

Elizabeth Malima (Guest) on January 7, 2023

πŸ˜‚ Hii ni ya kuhifadhi!

Khalifa (Guest) on December 12, 2022

🀣 Ninashiriki hii sasa hivi!

Agnes Lowassa (Guest) on December 10, 2022

Kweli mna ucheshi wa hali ya juu sana! πŸ‘πŸ˜†

Joyce Mussa (Guest) on November 28, 2022

πŸ˜„ Sikutarajia hiyo ikitokea!

Janet Mbithe (Guest) on November 12, 2022

Hii kichekesho ni ya kuhifadhi bila shaka! 😁

Kevin Maina (Guest) on October 22, 2022

πŸ˜† Nacheka hadi chini sasa hivi!

Lucy Mushi (Guest) on October 5, 2022

Nimecheka hadi nina furaha sana! πŸ˜†πŸ˜‚

Samson Mahiga (Guest) on September 29, 2022

πŸ˜† Siwezi kuacha kucheka!

Jane Muthoni (Guest) on September 29, 2022

Nimefurahia sana hii! πŸ˜…πŸ˜Š

Peter Tibaijuka (Guest) on September 18, 2022

πŸ˜„ Umeshinda mtandao leo!

George Ndungu (Guest) on September 8, 2022

πŸ˜† Hii imenigonga kweli!

Issack (Guest) on September 7, 2022

Nitaeleza hii kwa marafiki zangu bila shaka! πŸ˜„

Charles Mchome (Guest) on September 1, 2022

πŸ˜…πŸ˜ŠπŸ˜‚πŸ‘

John Lissu (Guest) on August 29, 2022

πŸ˜‚ Nalia kwa kweli hapa!

Edward Chepkoech (Guest) on August 23, 2022

Huyu alikuwa na point! πŸ˜‚πŸ‘Œ

Margaret Anyango (Guest) on August 14, 2022

Hii kichekesho imebadilisha kabisa hali yangu! πŸ˜ƒ

Violet Mumo (Guest) on August 6, 2022

πŸ˜‚πŸ€£πŸ˜‚πŸ˜…

Faiza (Guest) on July 18, 2022

πŸ˜ƒ Hali imeboreshwa papo hapo!

Janet Mbithe (Guest) on July 15, 2022

Ucheshi wenu unanifurahisha kila siku! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Maulid (Guest) on July 6, 2022

Haha, hii ni ya kuhifadhi! πŸ“Œ

Salum (Guest) on June 24, 2022

πŸ˜‚ Ninaihifadhi hii!

Chris Okello (Guest) on June 6, 2022

πŸ˜‚ Siwezi kuacha kucheka!

Ali (Guest) on May 14, 2022

Siwezi kuamini jinsi hii ni kichekesho! πŸ˜‚

Alex Nakitare (Guest) on April 21, 2022

Napenda jinsi mnavyofikiria! πŸ€”πŸ˜†

Sharon Kibiru (Guest) on April 18, 2022

Hii imenipa kicheko cha siku! πŸ˜‚πŸ€£

Grace Njuguna (Guest) on April 10, 2022

Nimecheka hadi nimesahau shida! πŸ€£πŸ˜†

Peter Mwambui (Guest) on March 26, 2022

πŸ˜†πŸ‘πŸ˜‚πŸ˜„

Related Posts

Duh, hii sasa kazi

Duh, hii sasa kazi

Wakati unafikiria dingi yako afe ili urithi nyumba, dingi nae anafikiria uanze kufa ili apangishe... Read More

Soma hii, kama wewe ndio mzazi wa huyu msichana ungefanyaje?

Soma hii, kama wewe ndio mzazi wa huyu msichana ungefanyaje?

Wewe ni mza... Read More

Huu mchezo hautaki makeup

Huu mchezo hautaki makeup

Mama mwenye nyumba anajipodoa anashinda saloon kujipodoa lakini house girl hata mafuta us... Read More

Njia 3 rahisi za kuondoa kitambi

Njia 3 rahisi za kuondoa kitambi

JE, una KITAMBI na unataka kukiondoa?

FANYA HAYA;

1. Kopa mkopo mkubwa benkiRead More

Mimi ndio nimeelewa hivi!

Mimi ndio nimeelewa hivi!

Leo nimepishana na Vitz imeandikwa, "Never trust women"

Nikajua huyu mtu lazima alikuaga... Read More

Baada ya mwanamke kukataa kufungua mlango angalia kilichomkuta

Baada ya mwanamke kukataa kufungua mlango angalia kilichomkuta

MUME: Fungua mlango!

MKE: Leo sifungui! Nimechoshwa na ul... Read More

Kilichotokea baada ya kichaa kumfumania mke wake na mwanamme mwingine

Kilichotokea baada ya kichaa kumfumania mke wake na mwanamme mwingine

Jay akaruhusiwa kwenda nyumbani kutoka hospital ya Vichaa, akapakiwa ktk ambulance hadi karibu na ny... Read More
Huyu traffic noma, kweli ulevi mbaya

Huyu traffic noma, kweli ulevi mbaya

Trafik mlevi alisimamisha gari Mama akapaki pembeni akaona trafik anakuja akiwa anayumba! Alipofi... Read More

Hii mitoto mingine mijinga, cheki alichokifanya huyu

Hii mitoto mingine mijinga, cheki alichokifanya huyu

Nimeamka asubuhi nikiwa na elfu 1 tu mfukoni, nikamtuma mtoto wa jirani akaninunulie maa... Read More

Baada ya kuulizwa nani anapenda kwenda peponi, haya ndiyo yalikua majibu ya wanafunzi

Baada ya kuulizwa nani anapenda kwenda peponi, haya ndiyo yalikua majibu ya wanafunzi

Wanafunzi waliulizwa na mwalimu nani angependa kwenda peponi? Wote wakanyosha ila mmoja tu alipok... Read More

Kilichotokea baada ya mzungu na mbongo kukaa siti moja, bongo wasanii wengi

Kilichotokea baada ya mzungu na mbongo kukaa siti moja, bongo wasanii wengi

Mzungu akamdharau sana Mbongo nakujiona anajua kila kitu duniani!, Akamwambia Mbongo waulizane maswa... Read More
Raha ya kuoa kijijini

Raha ya kuoa kijijini

Kuoa vijijini raha sana Hata ukiulizwa unafanya kazi gani ukiwaambia mimi ni admin basi ... Read More