Warning: Undefined variable $user_id in /home/ackyshine/personal/sidebar.php on line 36
Sidebar with Floating Button
AckySHINE πŸ”
☰
AckyShine

Ulevi noma! Angalia huyu mlevi alichomfanyia huyu jamaa usiku! Ungekua wewe ungefanyaje?

Featured Image
Jamaa alikuwa amelaa na mkewe saa tisa ya usiku akastuka baada ya kusikia mtu anabisha hodi kwenda kufungua mlango Akamkuta jamaa kalewa sana mlangoni kwao JAMAA: Nini tena mheshimiwa kuamshana saa hizi? MLEVI: Naomba uje unisukume. Jamaa akiamini kuwa pengine kuna gari la huyu mlevi limezima jirani akamwambia subiri nikavae viatu. Baada ya kuvaa viatu akatoka na wakaanza kusindikizana na mlevi. Mlevi akaongoza njia mpaka kwenye mabembea ya jirani akakaa kwenye bembea moja na kumgeukia jamaa na kumwambia.. Okay nisukume basi.
AckySHINE Solutions

Comments

Please log in or register to leave a comment or reply.

Director J (User) on April 17, 2025

Daaah! Huyu mlevi msenge kwelii kweli 🀣🀣😁

SHAYU (User) on February 16, 2025

du!Β‘ kipig kinamuhusu kutoa pombe iy

Peter Tibaijuka (Guest) on July 20, 2024

Nimecheka hadi nimesahau shida zangu! πŸ˜‚πŸ˜…

Josephine Nduta (Guest) on July 18, 2024

Hizi jokes zinanifanya nicheke kila siku! πŸ˜„πŸ˜†

David Chacha (Guest) on June 14, 2024

🀣 Hii kichekesho ni nzuri sana!

Linda Karimi (Guest) on June 12, 2024

Siwezi kusubiri kuieleza kwenye sherehe yangu inayofuata! πŸŽ‰

Ruth Kibona (Guest) on June 5, 2024

Hii imenipa kicheko cha siku! πŸ˜‚πŸ€£

Elizabeth Mrema (Guest) on June 4, 2024

πŸ˜‚ Ninahitaji kuihifadhi hii milele!

Zubeida (Guest) on May 23, 2024

Nilikuwa na siku mbaya hadi niliposoma hii! πŸ˜…

Richard Mulwa (Guest) on May 9, 2024

Hii imenifurahisha hadi nacheka kwa sauti! πŸ˜‚πŸ€£

Stephen Mushi (Guest) on April 30, 2024

πŸ˜‚πŸ‘πŸ˜…πŸ€£

Mwanaidi (Guest) on April 19, 2024

Hii kichekesho imenifurahisha sanaβ€”imebamba! 🀣

Michael Mboya (Guest) on April 7, 2024

Huu ucheshi hauna kifani! 🀣πŸ”₯

John Malisa (Guest) on March 31, 2024

Ucheshi wa hali ya juu! πŸ˜‚πŸ‘

Elizabeth Mrope (Guest) on March 28, 2024

Sikutarajia hiyo punchlineβ€”kichekesho! 🀣

Catherine Mkumbo (Guest) on March 23, 2024

πŸ˜… Nilihitaji kicheko hicho!

Abubakari (Guest) on March 9, 2024

Bado nacheka, hiyo ilikuwa nzuri sana! 🀣

Mercy Atieno (Guest) on March 4, 2024

Hii imenichekesha sana! πŸ˜„πŸ˜‚

Faiza (Guest) on March 4, 2024

Hii kichekesho itaingia moja kwa moja kwenye vipendwa vyangu! πŸ˜‚

Grace Minja (Guest) on January 20, 2024

πŸ˜…πŸ˜‚πŸ˜„

Grace Mushi (Guest) on January 9, 2024

Ucheshi wenu ni wa hali ya juu sana! πŸ‘πŸ˜‚

Anna Malela (Guest) on November 16, 2023

Hii imenichekesha sana! πŸ€£πŸ˜†

Nancy Akumu (Guest) on October 29, 2023

Hii imenifurahisha hadi nacheka kwa sauti! πŸ€£πŸ˜‚

Monica Lissu (Guest) on October 26, 2023

Hii ni joke ya kipekee sana! πŸ˜‚πŸ‘

Lucy Mushi (Guest) on September 30, 2023

Kweli ni jokes za ukweli! πŸ‘πŸ˜†

Alice Jebet (Guest) on September 27, 2023

πŸ˜‚ Lazima nihifadhi hii!

Rose Lowassa (Guest) on September 12, 2023

Ucheshi wenu unanifurahisha sana! πŸ˜‚πŸ‘

Bahati (Guest) on August 29, 2023

πŸ˜„ Sikutarajia hiyo ikitokea!

Lydia Mahiga (Guest) on August 3, 2023

πŸ˜‚πŸ€£πŸ˜†πŸ‘

Peter Otieno (Guest) on August 2, 2023

πŸ˜† Hiyo punchline!

Grace Majaliwa (Guest) on July 20, 2023

Hii kichekesho ni ya kuhifadhi bila shaka! 😁

Grace Njuguna (Guest) on July 15, 2023

Mna talent ya jokes! πŸ‘πŸ˜‚

Frank Macha (Guest) on June 22, 2023

Asante Ackyshine

Martin Otieno (Guest) on June 21, 2023

😁 Hakika hii ni kichekesho changu kipya!

Catherine Mkumbo (Guest) on June 5, 2023

Nimecheka hadi machozi yanatoka! 🀣😭

Dorothy Mwakalindile (Guest) on May 26, 2023

Hii imenifurahisha hadi ninacheka kwa sauti! πŸ˜„πŸ˜…

Nassor (Guest) on May 15, 2023

πŸ˜‚ Ninaihifadhi hii!

Vincent Mwangangi (Guest) on April 23, 2023

🀣 Ninashiriki hii na kila mtu!

Janet Mwikali (Guest) on April 7, 2023

Hii imenigonga vizuri, punchline gani! πŸ˜†

Dorothy Mwakalindile (Guest) on March 17, 2023

Hii ni kali kabisa! Siwezi kushiba! πŸ˜‚

Hawa (Guest) on March 5, 2023

🀣 Hiyo punchline ilikuwa haikutarajiwa!

Rehema (Guest) on February 25, 2023

πŸ˜‚ Nitaiiba hii bila shaka!

Susan Wangari (Guest) on February 17, 2023

πŸ˜† Ninaihifadhi kwa baadaye!

Wilson Ombati (Guest) on February 11, 2023

Hii ni bomba sana! πŸ€£πŸ‘

Nancy Komba (Guest) on January 23, 2023

πŸ€£πŸ‘πŸ‘Œ

Patrick Akech (Guest) on January 20, 2023

🀣πŸ”₯😊

Simon Kiprono (Guest) on December 27, 2022

Lazima niihifadhi hii, ni kichekesho kali sana! πŸ˜†

Henry Mollel (Guest) on December 25, 2022

Mna kipaji cha ucheshi! πŸ‘πŸ˜‚

Carol Nyakio (Guest) on December 9, 2022

πŸ˜„ Kichekesho gani!

Sharon Kibiru (Guest) on November 18, 2022

πŸ€£πŸ˜­πŸ˜†

Anthony Kariuki (Guest) on November 11, 2022

Nimecheka kwa sauti! 🀣🀣

Linda Karimi (Guest) on November 7, 2022

πŸ˜ƒ Hali imeboreshwa papo hapo!

Binti (Guest) on October 22, 2022

πŸ˜† Ninacheka sana sasa hivi!

Nicholas Wanjohi (Guest) on September 24, 2022

Hii ni joke ya ukweli kabisa! πŸ˜‚πŸ€£

John Lissu (Guest) on September 24, 2022

Nimecheka hadi nimepata furaha! πŸ˜ŠπŸ˜†

Nancy Kawawa (Guest) on September 14, 2022

πŸ˜†πŸ˜…πŸ˜‚

Richard Mulwa (Guest) on September 6, 2022

Haha, mbavu zangu zinauma kwa kucheka sana! 🀣

Bernard Oduor (Guest) on August 30, 2022

Nimecheka hadi nimesahau shida zangu! πŸ˜ŠπŸ˜…

Grace Mushi (Guest) on August 23, 2022

😁 Hii imenifanya siku yangu iwe bora!

Rose Lowassa (Guest) on August 3, 2022

πŸ˜‚ Nacheka hadi nalia!

Related Posts

Angalia kilichonikuta nilipoenda kwa mganga

Angalia kilichonikuta nilipoenda kwa mganga

Usije ukaenda kwa mganga, mwenzako yamenikuta, yani masharti niliyopewa, acha tu,
yalikua hi... Read More

Hali za ndoa

Hali za ndoa

Kuna kijana alikua anajua kuwa mke wake anatoka nje ya ndoa basi akamwuliza mke, mkewe akakataa, aka... Read More
Nilichokifanya baada ya kualikwa na mchumba wangu kwao

Nilichokifanya baada ya kualikwa na mchumba wangu kwao

Mchumba wangu amenialika kwao nikawaone wazazi wake lakini akaniambia nisien... Read More

Kwa hiki kilichonikuta sitadanganya tena kuanzia leo

Kwa hiki kilichonikuta sitadanganya tena kuanzia leo

Juzi nikitoka church nilipanda kihiace na kulikuwa na mrembo mkali hujawahi kuona,kila kijana ali... Read More

BREAKING NEWS!!! Nyoka wa ajabu agundulika

BREAKING NEWS!!! Nyoka wa ajabu agundulika

HABARI MPASUKO..

jana katika taasisi ya wanyama pori ya Nat Geo ilitangazwa kuwa ametokea N... Read More

Angalia mtoto alivyowaumbua Baba na mama yake

Angalia mtoto alivyowaumbua Baba na mama yake

DOGO: Mama Jana Baba Alikuja Na Mwanamke Na
Akaanza Kumtoa Nguo Huku Akimuita Beib…
B... Read More

Usichokijua kuhusu shamba lako

Usichokijua kuhusu shamba lako

Je wajua?.. Shamba lako likipatikana na dhahabu ni mali ya serikali..ila likipatikana na... Read More

Kwa nini vitu vunavyoanza na "K" ni vitamu sana?

Kwa nini vitu vunavyoanza na "K" ni vitamu sana?

Zuzu kaniuliza, "Anko, unajua vitu vinavyoanzia na K ni vitamu sana." Nikashtuka, "Astaghafilulah we... Read More
Kilichompata sista duu bishoo wakati akijidai kununua pete

Kilichompata sista duu bishoo wakati akijidai kununua pete

Mwanamke mmoja aliingia duka la vito vya thamani, akaona pete moja ya dhahabu nzuri sana amabayo ili... Read More
Angalia huyu Jamaa alichomfanyia mke wake jana

Angalia huyu Jamaa alichomfanyia mke wake jana

Jana niligombana na mke wng, Akaniambia nibebe kila kitu changu niondoke, Bas kiustaarabu... Read More

Tatizo la kukuta nywele kwenye chakula

Tatizo la kukuta nywele kwenye chakula

Hapa ni shida

KUKUTA NYWELE KWENYE CHAKULA SIO TATIZO,TATIZO NI KUWAZA ITAKUWA IMET... Read More

Huyu Jamaa ubahili umezidi kwa hiki anachomwambia huyu dada

Huyu Jamaa ubahili umezidi kwa hiki anachomwambia huyu dada

Kama ni ubahili hapa umezidi

mdadaΒ Bby naomba hela nimpeleke mdogo wangu ... Read More

πŸ“– Explore More Articles