Warning: Undefined variable $user_id in /home/ackyshine/personal/sidebar.php on line 36
Sidebar with Floating Button
AckySHINE πŸ”
☰
AckyShine

Cheki huyu kiherehere alivyojibiwa

Featured Image

Za asubuhi?

Nzur sjui huko?

Huku kwema tuu

VP si ulimaliza chuo ww?

Ndio kwani vp?

Mbona hatuoni matunda yake?

Kwani mi nlienda na miche ya mipapai au miembe au umeambiwa TIA, IFM na IAA wanakodisha Mashamba ya nyanya ????????

Hamna sio hvyo umeenda mbali kaka

Kama kilomita ngapi?

Haya yaishe bhana…

Ukome kwa kiherehere

Nitukane tuu unakumbuka kuna SKU nlkupa buku ya nauli?

Nitajie namba yako ya tgo pesa nkuwekee hyo buku

Kwani mi nimesema unilipe

Utajua mwenyewe ila nakutumia kwenye namba uliyonitext wee si umefanya ujinga mi nafanya upumbavu

Simple lyke dat Viherehere huwa tunawajbu HVOβ€¦β€¦πŸ˜†πŸ˜†πŸ˜†πŸ˜†πŸ˜†πŸ˜†πŸ˜†πŸ˜†πŸ˜†πŸ˜†πŸ˜†πŸ˜†πŸ˜†πŸ˜†πŸ˜†πŸ˜†πŸ˜†πŸ˜†πŸ˜†πŸ˜†πŸ˜†πŸ˜†πŸ˜†πŸ˜†πŸ˜†πŸ˜†

AckySHINE Solutions

Comments

Please log in or register to leave a comment or reply.

Hashim (Guest) on June 9, 2024

πŸ˜† Naihifadhi hii!

John Malisa (Guest) on June 6, 2024

😁 Hii ni dhahabu!

Abdillah (Guest) on May 6, 2024

πŸ˜‚ Hii ni kali sana!

Andrew Odhiambo (Guest) on April 3, 2024

Hii imenipa kicheko cha siku! πŸ˜ŠπŸ˜†

Peter Tibaijuka (Guest) on March 8, 2024

Haha, hii ni ya kuhifadhi! πŸ“Œ

Moses Mwita (Guest) on March 8, 2024

πŸ˜† Bado nacheka, siwezi kuacha!

Elizabeth Mtei (Guest) on February 12, 2024

πŸ˜‚πŸ€£

Joyce Nkya (Guest) on January 5, 2024

πŸ˜‚ Nitaiiba hii bila shaka!

Anthony Kariuki (Guest) on December 29, 2023

Kweli mnajua kuchekesha watu! πŸ€£πŸ˜‚

Isaac Kiptoo (Guest) on December 28, 2023

πŸ˜„ Sikutarajia hiyo ikitokea!

George Ndungu (Guest) on December 19, 2023

🀣 Hii imenifanya siku yangu iwe bora kabisa!

Nora Kidata (Guest) on November 12, 2023

Nimefurahia sana hii! πŸ˜…πŸ˜Š

Elizabeth Mrema (Guest) on November 2, 2023

πŸ˜ŠπŸ˜‚πŸ€£

Josephine Nekesa (Guest) on October 14, 2023

Napenda jokes zenu! πŸ˜ŠπŸ˜…

Frank Macha (Guest) on October 10, 2023

πŸ˜†πŸ˜‚πŸ‘

Bahati (Guest) on September 24, 2023

Nilihitaji kicheko hiki, asante kwa kushiriki! πŸ˜…

Philip Nyaga (Guest) on September 20, 2023

Ucheshi wenu unanifurahisha! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Kheri (Guest) on September 8, 2023

πŸ˜† Ninakufa hapa!

Mwinyi (Guest) on August 16, 2023

πŸ˜‚ Hii ni ya kuhifadhi!

John Lissu (Guest) on August 8, 2023

🀣 Ninashiriki hii sasa hivi!

John Kamande (Guest) on July 20, 2023

Ucheshi wenu ni wa hali ya juu! πŸ‘πŸ€£

Tabu (Guest) on June 16, 2023

Hii imeniboresha wakati wangu wa mapumziko! β˜•πŸ˜†

Peter Otieno (Guest) on June 14, 2023

Nimefurahia sana hii joke! πŸ˜…πŸ˜‚

Halimah (Guest) on May 29, 2023

πŸ˜… Nilihitaji kicheko hiki, asante!

Lucy Mahiga (Guest) on April 16, 2023

πŸ˜‚πŸ€£πŸ˜†πŸ˜…

Joseph Njoroge (Guest) on April 14, 2023

Hii ni aina ya kichekesho usichosahau! πŸ˜‚

Guest (Guest) on August 27, 2025

NI TAMU

David Chacha (Guest) on March 23, 2023

Hii ni joke ya kipekee sana! πŸ˜ŠπŸ‘

Mary Sokoine (Guest) on March 21, 2023

πŸ˜‚πŸ€£πŸ˜‚πŸ˜…

Kahina (Guest) on March 16, 2023

🀣 Sikutarajia hiyo!

Josephine Nduta (Guest) on March 13, 2023

Hii ni kali! Itaingia kwenye vipendwa vyangu! πŸ˜„

Richard Mulwa (Guest) on March 12, 2023

Ucheshi wenu unanifurahisha kila siku! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Grace Minja (Guest) on March 10, 2023

Hii ni kali kabisa! Siwezi kushiba! πŸ˜‚

Ruth Kibona (Guest) on February 28, 2023

πŸ˜‚πŸ‘ŒπŸ˜†πŸ˜Š

Shabani (Guest) on February 26, 2023

Hii kichekesho imenifurahisha sanaβ€”imebamba! 🀣

Abdillah (Guest) on January 12, 2023

πŸ˜† Ninaihifadhi kwa baadaye!

Patrick Akech (Guest) on January 4, 2023

Hii ni ya maana sana! πŸ˜‚πŸ‘Œ

Elizabeth Mrope (Guest) on December 29, 2022

Hii ni joke ya kipekee sana! πŸ˜‚πŸ‘

Joyce Aoko (Guest) on December 15, 2022

πŸ˜†πŸ˜…πŸ˜‚

Anna Sumari (Guest) on November 30, 2022

Umesema kweli! πŸ‘ŒπŸ˜‚

Nicholas Wanjohi (Guest) on November 29, 2022

πŸ˜… Ilibidi nishiriki hii na kila mtu!

Victor Mwalimu (Guest) on November 29, 2022

πŸ˜‚ Siwezi kuacha kucheka na hii!

Carol Nyakio (Guest) on October 28, 2022

πŸ˜„ Kichekesho gani!

Elizabeth Mtei (Guest) on October 6, 2022

Hii ni joke ya ukweli kabisa! πŸ˜‚πŸ€£

George Mallya (Guest) on September 24, 2022

πŸ˜‚πŸ˜†

Mwafirika (Guest) on September 14, 2022

😁 Hii ni hazina ya kichekesho!

Safiya (Guest) on August 20, 2022

Lazima niihifadhi hii, ni kichekesho kali sana! πŸ˜†

Rabia (Guest) on August 20, 2022

πŸ˜† Siwezi kuacha kucheka!

Sharon Kibiru (Guest) on July 26, 2022

Hii ni ya kufurahisha! πŸ˜„πŸ˜…

Carol Nyakio (Guest) on July 14, 2022

Wow, hii kichekesho ni mshindi kamili! πŸ†

John Lissu (Guest) on June 12, 2022

πŸ˜† Kali sana!

Frank Macha (Guest) on April 29, 2022

Napenda vile mnaweka jokes kila siku! πŸ˜†πŸ‘

Patrick Mutua (Guest) on April 29, 2022

Hii imenibamba sana! πŸ˜…πŸ€£

Nancy Kabura (Guest) on April 27, 2022

Siwezi kusubiri kuieleza kwenye sherehe yangu inayofuata! πŸŽ‰

Andrew Mahiga (Guest) on April 13, 2022

Hii imenipa kicheko cha siku! πŸ˜‚πŸ€£

Vincent Mwangangi (Guest) on March 20, 2022

Hii imenikuna sana! πŸ˜†πŸ˜…

Irene Akoth (Guest) on March 2, 2022

πŸ˜‚ Nimeipenda kabisa hii!

Charles Mchome (Guest) on February 17, 2022

πŸ€£πŸ€£πŸ˜‚

Francis Njeru (Guest) on January 20, 2022

Hii imenikuna! πŸ˜†πŸ˜Š

Tabitha Okumu (Guest) on January 10, 2022

Ucheshi wenu unanifurahisha sana! πŸ˜‚πŸ‘

Related Posts

Kilichotokea baada ya bibi na babu kukumbukia mahaba ya ujanani

Kilichotokea baada ya bibi na babu kukumbukia mahaba ya ujanani

Mzee wa miaka 60 alimwambia mkewe, leo nataka tukumbukie enzi zetu kutongozana, mke akajibu sawa, in... Read More
Kilichompata huyu jamaa akiwa anaangalia mpira mechi kali na mke wake

Kilichompata huyu jamaa akiwa anaangalia mpira mechi kali na mke wake

WIFE: Baibie, yule ni nani? Ni Chris Brown??
HUSBAND: Yule ni Theo Walco... Read More

Ungekua wewe ndio baba wa Huyu mtoto ungemjibu nini?

Ungekua wewe ndio baba wa Huyu mtoto ungemjibu nini?

MTOTO: Hivi Baba wewe umezaliwa wapi?????
BABA: Mbeya

<... Read More
Angalia huyu jamaa alivyowafanyia watu uhuni bar

Angalia huyu jamaa alivyowafanyia watu uhuni bar

Jamaa kaingia Bar;
Jamaa: Muhudumu, nipe kinywaji na mpe kila mtu humu ndani kinywaji, maana... Read More

Angalia nilivyomkomoa huyu dogo

Angalia nilivyomkomoa huyu dogo

Kuna mtoto wa jirani ananibore sana kila nkimtuma kitu dukani lazima aonje,

... Read More
Haya ndiyo madhara ya kutowapeleka watoto kanisani β›ͺ

Haya ndiyo madhara ya kutowapeleka watoto kanisani β›ͺ

MTOTO aliibiwa yeboyebo KANISANI akawa analia sana kwa uchungu mpaka MCHUNGAJI akamwambia usilie... Read More

Status za Whatsapp za Wazungu na Wabongo

Status za Whatsapp za Wazungu na Wabongo

STATUS ZA WAZUNGU kwenye Whatsapp vere vere kliaaa…
πŸ‘‰sick
πŸ‘‰at movie
Β... Read More

Analia kilichompata huyu jamaa baada ya kubadili jinsia yake kichawi

Analia kilichompata huyu jamaa baada ya kubadili jinsia yake kichawi

Jamaa alimpa ujauzito mwanafunzi akashtakiwa kumbe yule jamaa ana bibi yake mtaalam wamambo yetu ... Read More

Utani wa wahindi, cheka kidogo

Utani wa wahindi, cheka kidogo

Mhindi afaulu mtihani wa Kiswahili

(1) Mfa maji ?……………….. Tampa life jacket.Read More

SOMA HII: Kama wewe ndo baba au mama hapa ungefanyaje!???

SOMA HII: Kama wewe ndo baba au mama hapa ungefanyaje!???

Bakari ni house boy mara nyingi huiba wine ya boss wake na kisha kuongeza maji kwenye chupa ili b... Read More

Soma alichojibiwa huyu mzee baada ya kudai kutaka kumsikiliza Nyerere

Soma alichojibiwa huyu mzee baada ya kudai kutaka kumsikiliza Nyerere

Mzee: Dereva ongeza sauti tumsikilize Mwalimu Nyerere!!

Dereva: ungemsikiliza mwalimu wa... Read More

Kali ya mwaka iliyotokea Benki Baada ya wezi kuiba

Kali ya mwaka iliyotokea Benki Baada ya wezi kuiba

Kuishi kijijini kunahitaji moyo sana

..unaenda kuoga, unakumbuka k... Read More

πŸ“– Explore More Articles
🏠 Home πŸ“– Reading πŸ–ΌοΈ Gallery πŸ’¬ AI Chat πŸ“˜ About