Warning: Undefined variable $user_id in /home/ackyshine/personal/sidebar.php on line 36
Sidebar with Floating Button
AckySHINE ๐Ÿ”
โ˜ฐ
AckyShine

Mjini shule. Soma hii

Featured Image

Kuna mdada nilimkopesha pesa kwa ahadi kuwa baada ya wiki moja atanirejeshea pesa zangu.

Baada ya wiki moja nampigia simu hapokei simu zangu, nimempigia zaidi ya mara kumi (10) bila ya mafanikio!

Kila nikimpigia simu hajibu simu zangu, nikahamua kumwandikia message kwa WhatsAppโ€ฆ!

_Hello Mamu, Nakupigia simu sio kukudai pesa zangu, ila nataka kukwambia kuwa hapa Ubungo Plaza kuna wadada wawili walikuwa wanapigana kumgombea Mumeo (Baba Nang'oto). Ilikuwa vuta nikuvute na mumeo alikuwa kasimama tu anawaangalia akitabasamu. Baada ugomvi kwisha akaondoka na mmoja wao na kumwacha yule mwingine akitukana matusi kama ana akili nzuri._

โ€”
_*Kisha nikaituma ile message*_

Baada ya dakika kama mbili hivi, akanipigia simu nami wala sikupokea simu yakeโ€ฆ Akapiga tena na tena kama mara ishirini hivi wala sikupokea.

*Akatuma message akiniulizaโ€ฆ*

_Hao wanawake unawajuwa, โ€ฆmume wangu na huyo mwanamke wameelekea wapi, wewe unawajuwa hao wanawake waliopigana, yaani hapa nimechanganyikiwa kwa kweliโ€ฆ!_

Nikaisoma message yake wala sikuijibu, nikamchunia kimyaaaโ€ฆ!

Akanipigia tena simu mara tano, sikupokea simu zake, kimyaaaโ€ฆ! Akaniandikia message nyingineโ€ฆ.

*โ€ฆNakupigia jamani pokea simu basi nina pesa zako nataka nikupeโ€ฆ Naomba basi tukutane mjini unihadithie vizuriโ€ฆ!*

Nami nikamjibuโ€ฆ

_Nitumie hizo pesa kwenye Namba yangu ya Mpesa, ili nipitie sheli kujaza mafuta nije mjini kukupitia nikupeleke mahala walipoโ€ฆ!_

Baada ya dakika 2 message ikaingia, kuangalia balance yangu ya Mpesa, nikakuta kaingiza pesa zangu zote ninazo mdaiโ€ฆ!

Nikazima simu nikajilalia zangu kimyaaaโ€ฆ. Kama sio mie!

AckySHINE Solutions

Comments

Please log in or register to leave a comment or reply.

Elizabeth Malima (Guest) on July 18, 2024

Siwezi kuamini jinsi hii ni kichekesho! ๐Ÿ˜‚

Lydia Mzindakaya (Guest) on July 15, 2024

Kweli mnajua kuchekesha! ๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚

Elizabeth Mtei (Guest) on June 24, 2024

๐Ÿ˜†๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜Š

Janet Sumaye (Guest) on May 25, 2024

Hii imenifurahisha hadi nacheka kwa sauti! ๐Ÿคฃ๐Ÿ˜‚

Tabitha Okumu (Guest) on May 25, 2024

๐Ÿ˜ Hii imenifanya siku yangu iwe bora!

Khadija (Guest) on April 14, 2024

๐Ÿ˜… Nilihitaji kicheko hicho!

Mary Kidata (Guest) on March 22, 2024

๐Ÿ˜Š๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜…๐Ÿ‘

Hellen Nduta (Guest) on March 8, 2024

Nilikuwa na siku mbaya hadi niliposoma hii! ๐Ÿ˜…

Victor Sokoine (Guest) on February 23, 2024

๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜†

Shani (Guest) on February 16, 2024

๐Ÿ˜† Bado nacheka, siwezi kuacha!

Fikiri (Guest) on December 29, 2023

๐Ÿ˜ƒ Hii imenichekesha kwa sauti kweli!

Abubakar (Guest) on December 11, 2023

๐Ÿ˜„ Kichekesho gani!

Patrick Akech (Guest) on December 3, 2023

Hii ni dhahabu ya vichekesho! ๐Ÿ˜„

Shukuru (Guest) on November 27, 2023

๐Ÿ˜„ Hii ni ubunifu wa hali ya juu!

Joseph Kiwanga (Guest) on November 17, 2023

๐Ÿ˜‚ Lazima nihifadhi hii!

Lydia Mahiga (Guest) on November 13, 2023

๐Ÿ˜… Ilibidi nishiriki hii na kila mtu!

Alice Mwikali (Guest) on September 24, 2023

๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜…

Elizabeth Mtei (Guest) on September 22, 2023

Umesema kweli! ๐Ÿ‘Œ๐Ÿ˜‚

Jackson Makori (Guest) on September 7, 2023

๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚

David Chacha (Guest) on August 31, 2023

Hii imenikuna hadi nina furaha sana! ๐Ÿ˜Š๐Ÿ˜‚

Elijah Mutua (Guest) on August 31, 2023

Kweli mna kipaji cha ucheshi! ๐Ÿ‘๐Ÿ˜†

John Lissu (Guest) on August 23, 2023

๐Ÿ˜‚ Ninashiriki mara moja!

Anna Mahiga (Guest) on August 10, 2023

Nimecheka hadi nimesahau shida zangu! ๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜…

Lucy Wangui (Guest) on July 24, 2023

Lazima niihifadhi hii, ni kichekesho kali sana! ๐Ÿ˜†

Bernard Oduor (Guest) on July 21, 2023

Hizi jokes ni za kipekee sana! ๐Ÿ˜†๐Ÿ˜Š

Joseph Kitine (Guest) on July 13, 2023

๐Ÿ˜‚ Ninaihifadhi hii!

Fredrick Mutiso (Guest) on June 26, 2023

๐Ÿ˜ Kicheko bora ya siku!

Sarah Achieng (Guest) on June 22, 2023

Hii ni kichekesho kali sana, ninashiriki na kila mtu! ๐Ÿ˜‚

Hawa (Guest) on June 8, 2023

๐Ÿ˜… Bado nacheka!

Jane Muthoni (Guest) on April 14, 2023

Ucheshi wenu unanifurahisha! ๐Ÿ˜Š๐Ÿ˜‚

Joseph Kitine (Guest) on April 14, 2023

Hii imenifurahisha hadi nacheka kwa sauti! ๐Ÿคฃ๐Ÿ˜‚

Mariam (Guest) on February 19, 2023

๐Ÿคฃ Sikutarajia hiyo!

Joy Wacera (Guest) on February 2, 2023

๐Ÿ˜ Hakika hii ni kichekesho changu kipya!

Ann Awino (Guest) on January 31, 2023

๐Ÿ˜†๐Ÿ‘๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜„

Guest (Guest) on July 31, 2025

Nice nimependa hadi raha duh! Mko pw san

John Kamande (Guest) on January 24, 2023

Hii ni ya kufurahisha! ๐Ÿ˜„๐Ÿ˜…

Nicholas Wanjohi (Guest) on January 14, 2023

๐Ÿ˜‚๐Ÿคฃ๐Ÿ˜†๐Ÿ˜…

Bahati (Guest) on December 25, 2022

๐Ÿ˜ Hii ni hazina ya kichekesho!

Mary Mrope (Guest) on November 18, 2022

๐Ÿ˜ Hii imenifanya siku yangu iwe bora!

Daniel Obura (Guest) on November 11, 2022

Ucheshi wenu unanifurahisha kila siku! ๐Ÿ˜†๐Ÿ˜„

Charles Wafula (Guest) on October 29, 2022

Nimecheka hadi nina furaha sana! ๐Ÿ˜†๐Ÿ˜‚

Paul Ndomba (Guest) on October 28, 2022

Huu ucheshi hauna kifani! ๐Ÿคฃ๐Ÿ”ฅ

Khalifa (Guest) on October 14, 2022

๐Ÿ˜† Ninacheka sana sasa hivi!

Stephen Amollo (Guest) on October 11, 2022

Huyu mtu ni mcheshi sana! ๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚

Arifa (Guest) on July 9, 2022

Hii kichekesho imebadilisha kabisa hali yangu! ๐Ÿ˜ƒ

Violet Mumo (Guest) on July 5, 2022

Nimecheka hadi nimepata furaha! ๐Ÿ˜Š๐Ÿ˜†

David Nyerere (Guest) on June 25, 2022

๐Ÿคฃ๐Ÿคฃ๐Ÿ˜„๐Ÿ˜†

Kijakazi (Guest) on June 14, 2022

Sikutarajia hiyo punchlineโ€”kichekesho! ๐Ÿคฃ

Anna Sumari (Guest) on May 29, 2022

Nimeipenda hii joke! ๐Ÿ˜„๐Ÿ˜‚

Susan Wangari (Guest) on May 17, 2022

๐Ÿคฃ Ninaituma sasa hivi!

Francis Njeru (Guest) on April 26, 2022

Hii imenifurahisha sana! ๐Ÿคฃ๐Ÿ˜Š

Esther Nyambura (Guest) on April 13, 2022

Ucheshi wenu ni wa hali ya juu sana! ๐Ÿ‘๐Ÿ˜‚

Ramadhan (Guest) on April 8, 2022

๐Ÿ˜„ Sikutarajia hiyo ikitokea!

Patrick Akech (Guest) on February 24, 2022

Kweli mna ucheshi wa kipekee sana! ๐Ÿ˜„๐Ÿ˜‚

Sarah Mbise (Guest) on February 8, 2022

๐Ÿคฃ๐Ÿ”ฅ๐Ÿ˜Š

Frank Sokoine (Guest) on January 24, 2022

๐Ÿ˜† Nacheka hadi chini sasa hivi!

Charles Mrope (Guest) on January 24, 2022

Hii ni joke ya kufurahisha sana! ๐Ÿ‘๐Ÿ˜†

John Lissu (Guest) on January 6, 2022

Nimecheka hadi mbavu zinauma ๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚

Kenneth Murithi (Guest) on December 27, 2021

Kila siku napenda jokes zenu! ๐Ÿ˜†๐Ÿ˜‚

Faith Kariuki (Guest) on October 31, 2021

๐Ÿคฃ Hii imewaka moto!

Related Posts

Cheki hawa washikaji wanachokifanya baada ya kuvuta bangi, Bangi si mchezo

Cheki hawa washikaji wanachokifanya baada ya kuvuta bangi, Bangi si mchezo

Kuna washikaji walikuwa wakivuta bangiโ€ฆ kiberiti kikawaishiaโ€ฆ wakamtuma mwenzao akatafute ki... Read More

Huyu bibi kazidi sasa

Huyu bibi kazidi sasa

Bibi kapigwa mtama na Kibaka na kuporwa simu,

Kainuka na kuanza k... Read More

KICHEKESHO: Ukiona masikini Kachinja kuku

KICHEKESHO: Ukiona masikini Kachinja kuku

Ukiona masikin kachinja kuku basi kat ya kuku au yeye kuna mmoja atakua mgonjwa... Read More

Angalia walichofanyiana hawa wanadoa, Kati ya huyu mme na mke nani zaidi?

Angalia walichofanyiana hawa wanadoa, Kati ya huyu mme na mke nani zaidi?

MUME wakati anakata roho huku mkewe akiwa amemshikilia alisema mke wangu, mi natubu kwako, kwani ... Read More

Makonda wana mambo, Kila mtu ni ndugu yao

Makonda wana mambo, Kila mtu ni ndugu yao

Hakuna m2 mwenye ndugu wengi kama konda wa daladala.

Utasikia,
"HAYA, DADA HAPO MBELE,... Read More

Duh! Hiki nacho chombo cha moto?

Duh! Hiki nacho chombo cha moto?

_Sheria inasema kila anaetembea na chombo cha moto barabarani sharti awe na leseni._
_Sasa h... Read More

Angalia nilivyoingizwa mjini na ujanja wangu wote

Angalia nilivyoingizwa mjini na ujanja wangu wote

Ndio nilikuwa nimeshuka kwenye basi la SAI BABA pale Ubungo, nina Begi kubwa Mgongoni na begi Dog... Read More

Duh, huyu mama alichokifanya

Duh, huyu mama alichokifanya

Mke:ย Naelekea london, nikuletee zawadi gani?

Mume:ย kitu... Read More

Alichokisema mtoto baada ya kusikia baba na mama wakiongea mambo yao usiku

Alichokisema mtoto baada ya kusikia baba na mama wakiongea mambo yao usiku

MUME: Mke wangu naomba nikubusu MKE: Sitaki MUME: Ntakununulia pete ya gold MKE: Staki MUME: Ntakun... Read More
Mbele ya hela binti usharobaro achia mbali

Mbele ya hela binti usharobaro achia mbali

Boy:- hallow
Dem:- hellow
Boy:- ivi jina lako nani vile
Dem:- am miss precious A. ... Read More

Angalia mchezo wa kutuma message mara zikubali mara zikatae.. Lilishakukuta hili???

Angalia mchezo wa kutuma message mara zikubali mara zikatae.. Lilishakukuta hili???

GARLFRENDยปยปhellow sweetheart

BOYFRENDยปยปhellow darling(SENDING FAILED)

GARLFRENDยป... Read More

Biashara ambayo imefeli

Biashara ambayo imefeli

*TEACHER*: _nielezee biashara ambayo imefeli kutokana na uzembe
*STUDENT*: Changudoa akipata... Read More

๐Ÿ“– Explore More Articles
๐Ÿ  Home ๐Ÿ“– Reading ๐Ÿ–ผ๏ธ Gallery ๐Ÿ’ฌ AI Chat ๐Ÿ“˜ About