Warning: Undefined variable $user_id in /home/ackyshine/personal/sidebar.php on line 36
Sidebar with Floating Button
AckySHINE πŸ”
☰
AckyShine

Angalia huyu msichana alichonifanyia

Featured Image

Kuna siku nilichalala kipesa nikaamua kuomba dem wangu aniazime 10,000/= akanipa.
Baada ya siku mbili nikapata pesa zaidi ya laki nne hivi, nikaamua kumpa 100,000/= mpenzi wangu bila yeye kuniomba.
Baada ya siku 3 akaja kuniambia:- "Bae, ile 10,000/- niliyokuazima mwenyewe amekuja kunidai, so kama unayo naomba unipe nimrudishie maana ananisumbua leo siku ya 3."
SAA HIZI NIPO ZANGU SINGLE NATAFUTA DEM MWINGINE

AckySHINE Solutions

Comments

Please log in or register to leave a comment or reply.

shayumastersr (User) on April 26, 2025

hahahaha madem bwana!!

Director J (User) on April 17, 2025

Daah! Live Bora nibaki single tu 🀣🀣

shayumastersr (User) on April 26, 2025

uakika

Samuel Omondi (Guest) on July 14, 2024

πŸ˜‚ Ninaituma hii kwa kila mtu ninayemjua!

Fikiri (Guest) on June 28, 2024

Haha, mbavu zangu zinauma kwa kucheka sana! 🀣

David Kawawa (Guest) on May 23, 2024

Ucheshi wenu unanifurahisha kila siku! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Nancy Kabura (Guest) on May 17, 2024

😁 Hii imenifanya siku yangu iwe bora!

Paul Kamau (Guest) on May 8, 2024

🀣 Hii imenifanya siku yangu iwe bora kabisa!

Mwagonda (Guest) on April 25, 2024

🀣 Sikutarajia hiyo!

Raphael Okoth (Guest) on April 25, 2024

πŸ˜† Hii imenigonga kweli!

Wande (Guest) on April 11, 2024

🀣 Hii imenigonga vizuri!

Alex Nyamweya (Guest) on March 13, 2024

Lazima nikumbuke hii kwa baadaye! πŸ˜†

Elizabeth Malima (Guest) on March 2, 2024

Kweli mna ucheshi! πŸ˜‚πŸ€£

Linda Karimi (Guest) on January 28, 2024

🀣 Hiyo twist mwishoni, ingawa!

Anna Kibwana (Guest) on January 13, 2024

Hii joke ni ya kufurahisha! 🀣🀣

Andrew Mahiga (Guest) on December 15, 2023

πŸ˜‚ Kali sana!

Joy Wacera (Guest) on December 14, 2023

Kweli ni jokes za ukweli! πŸ‘πŸ˜†

Amina (Guest) on December 6, 2023

πŸ˜† Naihifadhi hii!

Joy Wacera (Guest) on October 29, 2023

Hii imenipa kicheko cha siku! πŸ˜‚πŸ€£

Monica Adhiambo (Guest) on August 31, 2023

Nimeipenda hii joke! πŸ˜„πŸ˜‚

Mary Sokoine (Guest) on August 30, 2023

Hii ni joke ya kipekee sana! πŸ˜‚πŸ‘

Agnes Lowassa (Guest) on August 13, 2023

Hii ni joke ya maana sana! πŸ˜‚πŸ‘Œ

Nashon (Guest) on August 8, 2023

😁 Hii imenifanya siku yangu iwe bora!

Mwagonda (Guest) on July 22, 2023

Hii kichekesho ilikuwa bora! Nimeipenda! 🎯

Daniel Obura (Guest) on June 28, 2023

Hii ni ya kufurahisha! πŸ˜„πŸ˜…

Joyce Nkya (Guest) on June 22, 2023

πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ€£

Edith Cherotich (Guest) on June 3, 2023

Haha! Sijacheka hivi kwa muda mrefu! 🀣

Mwanaisha (Guest) on May 19, 2023

Hii imeniboresha wakati wangu wa mapumziko! β˜•πŸ˜†

Nora Kidata (Guest) on April 7, 2023

Napenda jokes zenu! πŸ˜ŠπŸ˜…

Edward Chepkoech (Guest) on March 31, 2023

πŸ˜‚ Sijacheka hivi kwa muda mrefu sana!

David Kawawa (Guest) on February 9, 2023

πŸ˜‚πŸ˜†

George Ndungu (Guest) on February 4, 2023

πŸ˜‚ Nalia kwa kweli hapa!

Thomas Mtaki (Guest) on January 11, 2023

πŸ˜„ Sikutarajia hiyo ikitokea!

Mchawi (Guest) on December 12, 2022

Hii kichekesho ni ya kuhifadhi bila shaka! 😁

Omari (Guest) on December 6, 2022

Ninashiriki hii na marafiki zangu mara moja! πŸ˜†

Joyce Mussa (Guest) on November 19, 2022

Nimecheka hadi machozi yanatoka! 🀣😭

Chiku (Guest) on November 14, 2022

πŸ˜‚ Siwezi kusubiri kushiriki hii!

Charles Wafula (Guest) on October 8, 2022

Hii ndio nilihitaji leo! Asante! 😜

Victor Kamau (Guest) on October 6, 2022

πŸ˜‚ Siwezi kuacha kucheka!

Sharon Kibiru (Guest) on September 20, 2022

Hii ni ya maana sana! πŸ˜‚πŸ‘Œ

Peter Mwambui (Guest) on September 15, 2022

πŸ˜‚πŸ€£πŸ˜†

Nyota (Guest) on September 9, 2022

Nimependa hii! Endelea kuzileta! 😁

Edward Lowassa (Guest) on August 13, 2022

πŸ˜† Siwezi kuacha kucheka!

Janet Wambura (Guest) on July 26, 2022

πŸ˜„ Dhahabu ya vichekesho!

Faith Kariuki (Guest) on July 5, 2022

Ucheshi wenu unanifurahisha! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Josephine Nduta (Guest) on July 4, 2022

Hii imenikuna sana! πŸ˜†πŸ˜…

Mercy Atieno (Guest) on July 3, 2022

Nimefurahia sana hii! πŸ˜…πŸ˜Š

Anna Mahiga (Guest) on July 3, 2022

Hii imenikuna hadi nina furaha! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Agnes Njeri (Guest) on July 3, 2022

πŸ˜† Nacheka hadi chini sasa hivi!

John Mwangi (Guest) on June 23, 2022

Nimecheka hadi nimesahau shida zangu! πŸ˜‚πŸ˜…

Agnes Sumaye (Guest) on June 23, 2022

Nimecheka hadi nina furaha sana! πŸ˜†πŸ˜‚

Tambwe (Guest) on June 4, 2022

Brilliant! Muda wake ulikuwa kamili! ⏰

Patrick Kidata (Guest) on May 8, 2022

πŸ€£πŸ€£πŸ‘πŸ˜†

Irene Makena (Guest) on May 1, 2022

Nimecheka hadi nimepata furaha! πŸ˜ŠπŸ˜†

Patrick Akech (Guest) on April 2, 2022

Bado nacheka, hiyo ilikuwa nzuri sana! 🀣

Yusuf (Guest) on March 31, 2022

😁 Hii ni dhahabu!

Emily Chepngeno (Guest) on March 30, 2022

πŸ˜„ Umeshinda mtandao leo!

Christopher Oloo (Guest) on March 24, 2022

Hii imenibamba sana! πŸ˜…πŸ€£

Amani (Guest) on February 28, 2022

😁 Kicheko bora ya siku!

Grace Wairimu (Guest) on January 27, 2022

πŸ˜† Kali sana!

Related Posts

Wazo la jioni hii

Wazo la jioni hii

πŸ“’WAZO LA JIONI HII πŸ“’

KAMA MWAKA JANA ULIPIGA HATUA NA HUJAFIKIA MALENGO MWAKA HUU... Read More

Safari ni safari

Safari ni safari

FUNDISHO : SAFARI NI SAFARI

Maisha ni ya ajabu sana, wakati mwingine maish... Read More

Nilichokifanya leo

Nilichokifanya leo

Leo nmemlipa konda nauli, akasahau kunishusha kituoni. Na mimi nkakaa KIMYAAA kumkomoa…..

... Read More
Padri Akimbia wakati wa kuungamisha, chanzo ni hiki

Padri Akimbia wakati wa kuungamisha, chanzo ni hiki

Padri alikuwa amekaa katika confession booth kanisani
peke yake.
Mara... Read More

Kilichotokea baada ya jambazi kuvamia kanisa

Kilichotokea baada ya jambazi kuvamia kanisa

Jambazi mmoja aliingia kanisani na bunduki akapiga risasi juu ya bati akasema "asiyempenda YESU a... Read More

Kilichotokea baada ya kumdanganya mchungaji wangu

Kilichotokea baada ya kumdanganya mchungaji wangu

Jumapili baada ya kutoka KANISANI, Pastor akaona simu yangu niliyonunua LAKI 5,akaniuliza hiyo s... Read More

Haya ndiyo madhara ya kutowapeleka watoto kanisani β›ͺ

Haya ndiyo madhara ya kutowapeleka watoto kanisani β›ͺ

MTOTO aliibiwa yeboyebo KANISANI akawa analia sana kwa uchungu mpaka MCHUNGAJI akamwambia usilie... Read More

Eti kwa nini Watu hawapostigi hii? Hata selfie sijaonaga

Eti kwa nini Watu hawapostigi hii? Hata selfie sijaonaga

Vijana mkiwa mnaendesha magari mna post mukiwa mpo beach mna post mkiwa kwenye masherehe mna pos... Read More

Mjini shule. Soma hii

Mjini shule. Soma hii

Kuna mdada nilimkopesha pesa kwa ahadi kuwa baada ya wiki moja atanirejeshea pesa zangu.

Ba... Read More

Angalia huyu mwanamke mwenye wivu kwa mumewe alivyoumbuka, Mme wake kamuweza kweli

Angalia huyu mwanamke mwenye wivu kwa mumewe alivyoumbuka, Mme wake kamuweza kweli

WIVU HUU NI NOMA Mke: Hivi mume wangu una wanawake wangapi huko nje? Mume: Kama nywele za kichwa c... Read More
Nilichojibu kwenye interview walipoulizia status

Nilichojibu kwenye interview walipoulizia status

Nimetoka kufanya interview wakaniuliza status yangu nikaawabia status yangu ni Hey there... Read More

Kilichompata sista duu bishoo wakati akijidai kununua pete

Kilichompata sista duu bishoo wakati akijidai kununua pete

Mwanamke mmoja aliingia duka la vito vya thamani, akaona pete moja ya dhahabu nzuri sana amabayo ili... Read More
πŸ“– Explore More Articles
🏠 Home πŸ“– Reading πŸ–ΌοΈ Gallery πŸ’¬ AI Chat πŸ“˜ About