Warning: Undefined variable $user_id in /home/ackyshine/personal/sidebar.php on line 36
Sidebar with Floating Button
AckySHINE πŸ”
☰
AckyShine

Angalia nilivyoingizwa mjini na ujanja wangu wote

Featured Image

Ndio nilikuwa nimeshuka kwenye basi la SAI BABA pale Ubungo, nina Begi kubwa Mgongoni na begi Dogo la Lap Top mkononi, sura inatazama Mbele Very Serious kama nipo kwenye Gwaride la Uhuru!..Mabega juu yanafanya Cheers na Mawingu!, natembea kwa madoido…..leo nimetoka Likizo Moshi,

"Brother Simu ya ukweli hii..kitu cha Tecno C9 bei poa" hii ilikuwa sauti ya Teja mmoja hivi!

Yaani huyu Teja Bwege kweli,anataka kumuuzia nani sabuni? mimi sio wa kuja!…kamwe Siwezi kuibiwa hapa Town,hakuna wizi au utapeli nisioujua!, Mimi nimezaliwa Mwananyamala kwa Manjunju, nikalelewa Tandale kwa Mtogole, Shule ya msingi nimesoma Turiani Magomeni, Hivi Mbwa gani aniibie?…kwa Style ipi?

Sipendi kabisa Upuuzi!, Wajinga ndio wataibiwa, sio Mimi!…sasa Kwa mwendo wa haraka nikatoka nje kabisa ya Stendi ya Ubungo straight mpaka Stendi ya dala dala za Kariakoo, hapo ndipo nikakutana na Vijana wawili wadogo wakiwa na mzani wa kupimia uzito,…hakika napenda sana vijana wanaojituma kama hawa na sio ile Mijizi ya kule ndani Stendi!!,….hapa sasa nikapata wazo!

"Dogo mnapima uzito kwa shilingi ngapi?''

"Mia mbili tu Kaka!"

''Ok"

Kwa mwendo wa kikakamavu nikapanda juu ya mzani,lengo hapa ni kujua uzito wangu, Mtori niliokula mwezi mzima kule kwa Mshekuu sio mchezo, hapa nahisi nacheza kwenye kg za John Cena,

"Mama wee! Dogo mzani mzima huu kweli? Mbona nina kilo 134?" (Nilihamaki)

"Aaah! Brother huoni umepanda na Mabegi juu ya mzani?'''

Hahaha! kweli nimechanganyikiwa!…Sasa nikatoa mabegi yote mawili na kurudi juu ya Mzani, hapa ndipo Uzito ukashuka kutoka kg 134 mpaka kg 56!…My God kweli Body la "One Pack " haliongopi! thats means mabegi yaliniongezea kg 78! duh hii ni hatari!

"Yaani we Dogo kitambi chote hiki kg 56? huu Mzani Mzima kweli?"

Kimya…

"Dogo huu Mzani vipi?"

Kimya…

Dogo ana dharau huyu!…Sasa ndio nikabandua macho yangu toka kwenye kioo cha mzani ili nimtazame huyu dogo asiyejibu!….ndipo macho yangu yakakutana na Kigoda tupu kilichochongwa Mvomero!…Dogo hakuwepo!….na Mabegi pia hayapo!…lap top haipo!….NIMEPIGWA!

Ni dhahiri watoto wa Mjini walikuwa wameniacha juu ya Mzani, wamechukua Lap top ya Milioni na wameniachia Mzani chakavu wa elfu 40, what a stress!….sasa nilirudisha macho kwenye kioo cha uzito na sasa kilisoma KG 38!…yaani dakika hii hii nimepungua kilo zingine 18, Hakiyamama nahisi hata utumbo wangu wamebeba!…niitieni Ambulance!

πŸ™†πŸΌπŸ™†πŸΌπŸ™†πŸΌπŸ™†πŸΌπŸ™†πŸΌπŸ™†πŸΌπŸ™†πŸΌπŸ™†πŸΌπŸ™†πŸΌπŸ™†πŸΌπŸ™†πŸΌ

AckySHINE Solutions

Comments

Please log in or register to leave a comment or reply.

Rose Lowassa (Guest) on July 10, 2024

πŸ‘πŸ€£πŸ˜†πŸ˜‚

Safiya (Guest) on June 24, 2024

Siwezi kusubiri kuieleza kwenye sherehe yangu inayofuata! πŸŽ‰

Bakari (Guest) on June 5, 2024

πŸ˜„ Umenishika vizuri!

Victor Sokoine (Guest) on May 31, 2024

πŸ˜† Hiyo punchline!

Salum (Guest) on April 16, 2024

🀣 Hiyo punchline ilikuwa haikutarajiwa!

Grace Mligo (Guest) on April 4, 2024

Hii ni joke ya kufurahisha sana! πŸ‘πŸ˜†

Mary Mrope (Guest) on March 5, 2024

🀣 Ninashiriki hii sasa hivi!

Dorothy Mwakalindile (Guest) on March 1, 2024

Mna talent ya jokes! πŸ‘πŸ˜‚

David Ochieng (Guest) on February 24, 2024

Nimecheka hadi mbavu zinauma πŸ˜‚πŸ˜‚

Rose Amukowa (Guest) on February 24, 2024

Hii imenikuna hadi nina furaha! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Nancy Akumu (Guest) on February 21, 2024

πŸ€£πŸ˜­πŸ˜†

Wilson Ombati (Guest) on February 14, 2024

πŸ˜† Hii imenigonga kweli!

Monica Lissu (Guest) on February 5, 2024

🀣 Hii kichekesho ni nzuri sana!

Susan Wangari (Guest) on January 21, 2024

πŸ˜†πŸ˜…πŸ˜‚

Thomas Mwakalindile (Guest) on January 15, 2024

Ucheshi wa hali ya juu! πŸ˜‚πŸ‘

Alex Nyamweya (Guest) on December 24, 2023

Napenda vile mnaweka jokes kila siku! πŸ˜†πŸ‘

Fredrick Mutiso (Guest) on December 17, 2023

πŸ˜† Ninacheka sana sasa hivi!

Mary Sokoine (Guest) on October 29, 2023

Hizi jokes ni za kipekee sana! πŸ˜†πŸ˜Š

Peter Mugendi (Guest) on October 13, 2023

Kweli mna ucheshi wa kipekee! πŸ˜‚πŸ€£

Joseph Mallya (Guest) on September 28, 2023

πŸ˜…πŸ˜‚πŸ‘ŒπŸ˜Š

Selemani (Guest) on September 3, 2023

🀣 Ninashiriki hii na kila mtu!

Catherine Mkumbo (Guest) on August 20, 2023

Umeimaliza kabisa, kichekesho gani! πŸ˜„

Linda Karimi (Guest) on August 19, 2023

πŸ˜‚πŸ˜‚

Josephine Nekesa (Guest) on August 1, 2023

Haha, hii ni kicheko bora zaidi nilichopata wiki hii! 😁

Rose Mwinuka (Guest) on July 2, 2023

πŸ˜„πŸ˜…πŸ‘πŸ˜‚

Ibrahim (Guest) on June 19, 2023

πŸ˜… Bado nacheka!

Zubeida (Guest) on June 16, 2023

Wow, hii kichekesho ni mshindi kamili! πŸ†

Abubakari (Guest) on June 10, 2023

πŸ˜ƒ Hali imeboreshwa papo hapo!

Joseph Kawawa (Guest) on June 10, 2023

πŸ˜‚πŸ‘Œ

Dorothy Majaliwa (Guest) on May 11, 2023

Ninashiriki hii na marafiki zangu mara moja! πŸ˜†

Charles Mchome (Guest) on April 14, 2023

Kweli mna ucheshi wa kipekee! πŸ˜‚πŸ€£

Sarah Achieng (Guest) on March 27, 2023

Nimecheka hadi machozi yanatoka! 🀣😭

Catherine Naliaka (Guest) on March 14, 2023

😁 Hii imenifanya siku yangu iwe bora!

Paul Kamau (Guest) on March 8, 2023

Hii kichekesho ni ya kuhifadhi bila shaka! 😁

Moses Kipkemboi (Guest) on March 7, 2023

Nimecheka hadi nimesahau shida zangu! πŸ˜…πŸ˜Š

Lucy Wangui (Guest) on February 4, 2023

Hii ni ya kufurahisha sana! πŸ˜ŠπŸ˜„

Faiza (Guest) on February 2, 2023

πŸ˜„ Kichekesho kamili!

Mary Njeri (Guest) on January 27, 2023

πŸ˜‚ Nalia kwa kweli hapa!

Neema (Guest) on January 22, 2023

🀣 Hii imewaka moto!

Salima (Guest) on January 21, 2023

Hii imeniboresha wakati wangu wa mapumziko! β˜•πŸ˜†

Henry Mollel (Guest) on January 9, 2023

Hii ni ya kufurahisha! πŸ˜„πŸ˜…

Peter Tibaijuka (Guest) on January 3, 2023

Hii imenifurahisha sana! πŸ˜‚πŸ˜‚

Richard Mulwa (Guest) on January 2, 2023

Hii imenifurahisha kweli! πŸ˜†πŸ˜‚

Sarah Achieng (Guest) on December 28, 2022

πŸ˜†πŸ‘πŸ˜‚πŸ˜„

Raha (Guest) on December 22, 2022

🀣 Ujuzi wa hali ya juu!

Diana Mumbua (Guest) on November 29, 2022

Hii ni kali kabisa! Siwezi kushiba! πŸ˜‚

Agnes Sumaye (Guest) on November 12, 2022

🀣 Hiyo twist mwishoni, ingawa!

George Ndungu (Guest) on November 5, 2022

Kweli mna ucheshi wa kipekee sana! πŸ˜„πŸ˜‚

Andrew Odhiambo (Guest) on November 1, 2022

Kama kawaida! Bado nacheka! πŸ˜„

Mary Kendi (Guest) on October 28, 2022

πŸ€£πŸ‘πŸ‘Œ

Shani (Guest) on October 14, 2022

Hii kichekesho inastahili tuzo! πŸ†

Raphael Okoth (Guest) on September 29, 2022

πŸ˜† Bado nacheka, siwezi kuacha!

Alice Jebet (Guest) on September 25, 2022

Hii imenibamba sana! πŸ˜‚πŸ˜…

Agnes Lowassa (Guest) on September 22, 2022

Kweli mnajua kuchekesha! πŸ˜‚πŸ˜‚

Grace Majaliwa (Guest) on September 8, 2022

Hii joke ni ya kufurahisha! 🀣🀣

Francis Njeru (Guest) on September 5, 2022

πŸ˜ŠπŸ˜‚πŸ€£

Josephine Nekesa (Guest) on September 5, 2022

πŸ˜† Siwezi kuacha kucheka!

Mwanajuma (Guest) on August 22, 2022

πŸ˜‚ Nacheka hadi nalia!

James Kimani (Guest) on July 15, 2022

Hii kichekesho itaingia moja kwa moja kwenye vipendwa vyangu! πŸ˜‚

Mwanaidha (Guest) on July 10, 2022

πŸ˜‚ Ninaituma hii kwa kila mtu ninayemjua!

Related Posts

Duh! Angalia alichokula huyu mwizi! Wizi mwingine bwana!

Duh! Angalia alichokula huyu mwizi! Wizi mwingine bwana!

Baada ya mwizi kuvunja mlango huko Tarime, akaingia kwenye stoo akaona vinyama kwenye bakuli vik... Read More

SOMA HII: Kama wewe ndo baba au mama hapa ungefanyaje!???

SOMA HII: Kama wewe ndo baba au mama hapa ungefanyaje!???

Bakari ni house boy mara nyingi huiba wine ya boss wake na kisha kuongeza maji kwenye chupa ili b... Read More

Angalia Kiingereza kilivyoniponza

Angalia Kiingereza kilivyoniponza

Shikamoo kingereza..!

Baada ya kufika Kempiski nikaona menu imeandikwa:

Saute... Read More

Cheki masifa yalivyomponza huyu, Sifa nyingine ni mbaya jamani

Cheki masifa yalivyomponza huyu, Sifa nyingine ni mbaya jamani

Mbongo, Mganda, na Mkenya walikamatwa na makosa Uchina. Wakaambiwa adhabu ni ama kifo cha moja kwa ... Read More
Huyu mtoto kaongea point kweli, angalia anachomwambia baba yake

Huyu mtoto kaongea point kweli, angalia anachomwambia baba yake

Mtoto alimwuuliza baba yake,
Mtoto: Baba unaweza kumwachia hilo gari lako house boy/girl aka... Read More

Tatizo la kukuta nywele kwenye chakula

Tatizo la kukuta nywele kwenye chakula

Hapa ni shida

KUKUTA NYWELE KWENYE CHAKULA SIO TATIZO,TATIZO NI KUWAZA ITAKUWA IMET... Read More

Mtoto ni wa baba au wa mama? Angalia hoja za baba na mama kila mmoja anadai ni wake

Mtoto ni wa baba au wa mama? Angalia hoja za baba na mama kila mmoja anadai ni wake

Mtoto ni wa baba au wa mama? Mume alimpa mkewe talaka wakaenda mahakamani ili hakimu aamue nani aka... Read More
Baadhi ya misemo mikali ya leo

Baadhi ya misemo mikali ya leo

1. Mwanaume hata awe bahili vipi, hawezi kumpa mwanamke mimba nusu.

2. Hata uwe na magari m... Read More

Duh! Kizungu kigumu, cheki alichojibu huyu

Duh! Kizungu kigumu, cheki alichojibu huyu

```Nimetoka interview hapa ya job flani

Wameniuliza "so how far did you go with your edu... Read More

Huyu mke ni shida!

Huyu mke ni shida!

MUME: "Unajua mi unanishangaza sana, kila siku nakusikia mara useme TV yangu, gari yangu, chumban... Read More

Huyu jamaa amekomeshwa, majambazi ni shida!

Huyu jamaa amekomeshwa, majambazi ni shida!

CHEKA KIDOGO
Majambaz waliliteka gar moja lililokua limeshehen abiria
Baada ya abiria k... Read More

Kilichompata huyu jamaa mroho wa nyama, Hata kaa arudie tena

Kilichompata huyu jamaa mroho wa nyama, Hata kaa arudie tena

Jamaa kaenda kumtembelea rafiki yake Levi, kule sehemu za kwetu, akakaribishwa bonge ya ugali na ... Read More

πŸ“– Explore More Articles