Warning: Undefined variable $user_id in /home/ackyshine/personal/sidebar.php on line 36
Sidebar with Floating Button
AckySHINE πŸ”
☰
AckyShine

Angalia sababu ya mwanamme kubadili jina na Kuitwa jina la kike, hii dunia ina mambo kweli

Featured Image

Rashidi alimpa ujauzito mwanafunzi, akashtakiwa.
Kumbe Rashidi ana bibi yake mtaalamu wa yale mambo yao ya Sumbawanga, akampachika Rashidi i jinsia ya kike.

Alipofika mahakamani kuhojiwa Rashidi akasema sijampa ujauzito kwa sababu mimi pia nina jinsia ya kike.
Kwa kuthibitisha Rashid wakaenda kumkagua basi akashinda kesi, kufika nyumbani Rashid akawakuta watu wamejaa wanalia, akauliza kulikoni?
Akaambiwa bibi yako amefariki. πŸ˜­πŸ˜­πŸ˜­πŸ˜­πŸ˜­πŸ˜­πŸ˜°πŸ˜°πŸ˜°πŸ˜†πŸ˜†πŸ˜†πŸ˜†πŸ˜†πŸ˜†
Kwa sasa Rashid anaitwa LeilaπŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€

AckySHINE Solutions

Comments

Please log in or register to leave a comment or reply.

Atiliomgute (User) on August 29, 2025

Patam hapo

Jacob Kiplangat (Guest) on May 28, 2024

Haha, mbavu zangu zinauma kwa kucheka sana! 🀣

Joseph Njoroge (Guest) on May 20, 2024

Nimecheka hadi nimesahau shida! πŸ€£πŸ˜†

Nora Lowassa (Guest) on May 16, 2024

Nimecheka hadi nimesahau shida zangu! πŸ˜ŠπŸ˜…

Sarah Karani (Guest) on May 8, 2024

Hii imenikuna sana! πŸ˜†πŸ˜…

John Lissu (Guest) on April 23, 2024

πŸ˜„ Kali sana!

Jacob Kiplangat (Guest) on April 21, 2024

πŸ˜‚πŸ‘Œ

Jane Muthui (Guest) on April 3, 2024

Ucheshi wenu ni wa hali ya juu! πŸ‘πŸ€£

Alice Wanjiru (Guest) on March 21, 2024

Nimecheka hadi nimepata furaha! πŸ˜ŠπŸ˜†

Francis Mrope (Guest) on March 19, 2024

Hii ni kali sana! πŸ˜‚πŸ€£

Grace Mligo (Guest) on February 22, 2024

🀣 Ujuzi wa hali ya juu!

Victor Sokoine (Guest) on February 13, 2024

Hii imenipa furaha ya siku! πŸ˜†πŸ˜‚

Nancy Kawawa (Guest) on January 31, 2024

πŸ˜† Ninaihifadhi kwa baadaye!

Nora Lowassa (Guest) on January 31, 2024

Kweli ni jokes za ukweli! πŸ‘πŸ˜†

Samson Tibaijuka (Guest) on January 15, 2024

Umesema kweli! πŸ‘ŒπŸ˜‚

David Ochieng (Guest) on January 15, 2024

Napenda vile mnaweka jokes kila siku! πŸ˜†πŸ‘

Rahma (Guest) on January 2, 2024

Siwezi kuamini jinsi hii ni kichekesho! πŸ˜‚

Arifa (Guest) on December 12, 2023

Hii kichekesho imebadilisha kabisa hali yangu! πŸ˜ƒ

Asha (Guest) on November 16, 2023

πŸ˜† Hiyo punchline ilikuwa kali!

Jackson Makori (Guest) on November 12, 2023

πŸ˜‚πŸ€£πŸ˜†

Edward Lowassa (Guest) on November 2, 2023

πŸ˜‚πŸ˜…

Janet Mbithe (Guest) on October 31, 2023

Hii imenibamba sana! πŸ˜…πŸ€£

Nancy Kawawa (Guest) on October 24, 2023

πŸ˜ŠπŸ˜‚πŸ€£

John Mwangi (Guest) on October 2, 2023

Hii ni kichekesho kali sana, ninashiriki na kila mtu! πŸ˜‚

Jane Malecela (Guest) on September 26, 2023

Hii ni joke ya kipekee sana! πŸ˜‚πŸ‘

Andrew Mchome (Guest) on September 22, 2023

🀣 Ninashiriki hii sasa hivi!

Nassar (Guest) on August 15, 2023

πŸ˜‚ Ninaituma hii kwa kila mtu ninayemjua!

Salum (Guest) on August 7, 2023

πŸ˜† Bado nacheka, siwezi kuacha!

Margaret Anyango (Guest) on July 23, 2023

πŸ˜‚ Siwezi kuacha kucheka na hii!

Mtumwa (Guest) on July 10, 2023

πŸ˜‚ Hii ni kali sana!

Rose Mwinuka (Guest) on June 23, 2023

🀣 Hii imewaka moto!

George Mallya (Guest) on June 18, 2023

Hii ni joke ya kipekee sana! πŸ˜ŠπŸ‘

Joseph Kawawa (Guest) on June 17, 2023

πŸ˜† Ninacheka sana sasa hivi!

Peter Mwambui (Guest) on June 13, 2023

Hii imenikuna hadi nina furaha! πŸ˜ŠπŸ˜‚

David Musyoka (Guest) on June 11, 2023

πŸ‘πŸ€£πŸ˜†πŸ˜‚

Jane Malecela (Guest) on March 30, 2023

Hii ni joke ya kufurahisha sana! πŸ‘πŸ˜†

Frank Sokoine (Guest) on March 22, 2023

πŸ˜„ Siwezi hata kupumua, ni kichekesho sana!

James Kimani (Guest) on March 1, 2023

Ucheshi wenu unanifurahisha kila siku! πŸ˜†πŸ˜„

Edward Chepkoech (Guest) on January 7, 2023

Hii ni joke ya kipekee! πŸ€£πŸ‘Œ

Diana Mumbua (Guest) on December 30, 2022

Hii imenipa kicheko cha siku! πŸ˜‚πŸ€£

Vincent Mwangangi (Guest) on December 17, 2022

Asante Ackyshine

Khamis (Guest) on December 12, 2022

😁 Hii imenifanya siku yangu iwe bora!

Michael Onyango (Guest) on December 8, 2022

πŸ€£πŸ€£πŸ˜‚

Betty Akinyi (Guest) on October 1, 2022

Hii kichekesho ni ya kuhifadhi bila shaka! 😁

Abubakari (Guest) on September 21, 2022

🀣 Nalia kwa kicheko kweli!

Rose Lowassa (Guest) on August 24, 2022

Hii imenifurahisha hadi nacheka kwa sauti! πŸ˜‚πŸ€£

Frank Macha (Guest) on July 27, 2022

πŸ˜†πŸ‘πŸ˜‚πŸ˜„

Betty Kimaro (Guest) on July 24, 2022

πŸ˜‚ Nalia kwa kweli hapa!

Saidi (Guest) on July 20, 2022

πŸ˜„ Kichekesho kamili!

Tabu (Guest) on July 15, 2022

Bado nacheka, hiyo ilikuwa nzuri sana! 🀣

Mwachumu (Guest) on July 11, 2022

🀣 Hii kichekesho ni nzuri sana!

Brian Karanja (Guest) on May 30, 2022

Nimecheka hadi nina furaha sana! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Lydia Mzindakaya (Guest) on May 28, 2022

Hii imenifurahisha kweli! πŸ˜†πŸ˜‚

Kenneth Murithi (Guest) on May 9, 2022

Nimefurahia sana hii joke! πŸ˜…πŸ˜‚

Peter Mugendi (Guest) on April 30, 2022

πŸ˜†πŸ˜‚πŸ‘

George Ndungu (Guest) on April 20, 2022

Nimecheka hadi nina furaha sana! πŸ˜†πŸ˜‚

Vincent Mwangangi (Guest) on April 13, 2022

Umetisha! πŸ‘ŒπŸ˜‚

Ibrahim (Guest) on March 21, 2022

Hii ni aina ya kichekesho usichosahau! πŸ˜‚

John Lissu (Guest) on March 9, 2022

πŸ˜‚πŸ€£πŸ˜ŠπŸ˜…

Alex Nyamweya (Guest) on January 2, 2022

Nimecheka hadi mbavu zinauma πŸ˜‚πŸ˜‚

Related Posts

Kilichotokea baada ya polisi wa kibongo kukutana na mwizi mzungu

Kilichotokea baada ya polisi wa kibongo kukutana na mwizi mzungu

POLISI KAKAMATA MZUNGU 'yestaday I saw u at ze maize shop..(jana nilikuona dukani kwa muhindi) when ... Read More
Huyu Jamaa kawaweza polisi kweli

Huyu Jamaa kawaweza polisi kweli

Et jamaa kawekwa jela kwa kosa la kupoteza mamiilion.ya kampun akiwa gerezan babayake alituma bar... Read More

Angalia kilichotokea baada ya dogo kupewa ada na kuitumia kubeti

Angalia kilichotokea baada ya dogo kupewa ada na kuitumia kubeti

Dogo kampigia simu baba yake;
DOGO: Baba katika zile shilingi laki mbili ulizonipa
nika... Read More

Hakuna siku mbaya maishani kama hii

Hakuna siku mbaya maishani kama hii

Hakuna siku mbaya maishan kuona mtu uliyesoma naye darasa moja, anakupita na private car,, afu w... Read More

Eti kwa nini Watu hawapostigi hii? Hata selfie sijaonaga

Eti kwa nini Watu hawapostigi hii? Hata selfie sijaonaga

Vijana mkiwa mnaendesha magari mna post mukiwa mpo beach mna post mkiwa kwenye masherehe mna pos... Read More

Kali za leo: Misemo ya kuchekesha na kuvunja mbavu

Kali za leo: Misemo ya kuchekesha na kuvunja mbavu

1. Ati wee ni m-black mpaka ukiingia kwa dinga(gari), dirisha zinakuwa tinted!

2. Kwenu kuc... Read More

Angalia huyu secretary anavyomjibu bosi wake

Angalia huyu secretary anavyomjibu bosi wake

Boss mmoja aliingia kazini kwake kasahau kufunga zipu ya suruali yake sasa secretary wake akamfuata ... Read More
Tofauti ya mke na mchepuko!!!

Tofauti ya mke na mchepuko!!!

Mke ni kama Tv na Mchepuko ni kama Simu.
Nyumbani unaangalia Tv lakini ukitoka unatoka na si... Read More

Kilichotokea baada ya jambazi kuvamia kanisa

Kilichotokea baada ya jambazi kuvamia kanisa

Jambazi mmoja aliingia kanisani na bunduki akapiga risasi juu ya bati akasema "asiyempenda YESU a... Read More

Bongo usanii mwingi!!!

Bongo usanii mwingi!!!

BONGO USANII UMEZIDI DAAH!!

…yani nakupeleka dinner unakula sana vipaja vya kuku na chips... Read More

Angalia huyu mwanafunzi anachomjibu huyu mwalimu wake

Angalia huyu mwanafunzi anachomjibu huyu mwalimu wake

1. Ticha:"Punda ni mnyama anaefugwa nyumbani,lakini akiwa mwituni anaitwa pundamilia….Je sungur... Read More

Angalia jamaa alivyouweza huu mchepuko wake

Angalia jamaa alivyouweza huu mchepuko wake

Kuna mchepuko nilimtumia nauli jana ili aje,.kwang sasa leo kaniambia eti " nimesahau ile line ye... Read More

πŸ“– Explore More Articles
🏠 Home πŸ“– Reading πŸ–ΌοΈ Gallery πŸ’¬ AI Chat πŸ“˜ About