Warning: Undefined variable $user_id in /home/ackyshine/personal/sidebar.php on line 36
Sidebar with Floating Button
AckySHINE πŸ”
☰
AckyShine

Kwa hiki kilichonikuta sitadanganya tena kuanzia leo

Featured Image

Juzi nikitoka church nilipanda kihiace na kulikuwa na mrembo mkali hujawahi kuona,kila kijana alikuwa akimtupia macho,so me nilikuwa na wepesi wa kuongea naye kirahisi coz nilikuwa kando yake,,, Sasa kama unavyojuwa wanaume kwa kujikosha Nikaimigine mtto ananiangalia so nikaamuwa kupiga fake phone
"Hello Mr. Supervisor,nitachalewa kidogo coz kuna mahali nitapitia, so nipelekee tu hyo Ferrari yangu nyumbani"

Nikaona mrembo ameniangalia kwa macho ya husda apo nkajua nimeuwa ndege kwa jiwe moja, nkaamua kujikosha mtt wa kiume , "niaje mrembo", akanikazia macho kisha akaniambia,
"Shika battery yako uliangusha ukitoa simu"

Icho kicheko watu walicheka hujawahi ona jooo adi ikabidi dereva aegeshe gari watu wacheke kwanza πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
Nikaona isiwe tabu nikashukia pale pale🚢🏿🚢🏿🚢🏿

Tujifunze kusema ukweli kwani uongo sio mzuri hata kwa Mungu… πŸ™πŸ™πŸ™πŸ™πŸ™

AckySHINE Solutions

Comments

Please log in or register to leave a comment or reply.

Nancy Kawawa (Guest) on July 6, 2024

Hii ni joke ya ukweli kabisa! πŸ˜‚πŸ€£

Robert Ndunguru (Guest) on June 11, 2024

Huyu alikuwa na point! πŸ˜‚πŸ‘Œ

Mariam Hassan (Guest) on June 5, 2024

πŸ˜‚πŸ€£πŸ˜‚πŸ˜…

Kenneth Murithi (Guest) on June 2, 2024

Nimecheka hadi nimesahau shida zangu! πŸ˜ŠπŸ˜…

Nancy Kawawa (Guest) on April 23, 2024

πŸ˜ƒ Hii imenichekesha kwa sauti kweli!

Mchuma (Guest) on April 22, 2024

🀣 Kichekesho bora kabisa!

Tabitha Okumu (Guest) on April 19, 2024

Hii ni joke ya maana sana! πŸ˜‚πŸ‘Œ

Jacob Kiplangat (Guest) on March 31, 2024

Kweli mna ucheshi! πŸ˜‚πŸ€£

Grace Mushi (Guest) on March 19, 2024

Ucheshi wa hali ya juu! πŸ˜‚πŸ‘

George Wanjala (Guest) on March 4, 2024

Hii imenikumbusha kicheko cha zamani! πŸ˜‚πŸ˜…

Saidi (Guest) on February 25, 2024

πŸ˜… Nilihitaji kicheko hiki, asante!

Jamal (Guest) on January 23, 2024

😁 Hii ni dhahabu!

Peter Mwambui (Guest) on December 24, 2023

Ucheshi wenu ni wa hali ya juu! πŸ‘πŸ€£

Stephen Kangethe (Guest) on December 13, 2023

Hii imenipa kicheko cha siku! πŸ˜‚πŸ€£

Mary Sokoine (Guest) on December 7, 2023

Nimependa hii! Endelea kuzileta! 😁

Richard Mulwa (Guest) on November 5, 2023

Hii imenibamba sana! πŸ˜‚πŸ˜…

Agnes Sumaye (Guest) on October 5, 2023

Kweli mna kipaji cha ucheshi! πŸ‘πŸ˜†

Paul Kamau (Guest) on September 26, 2023

Hii imenipa furaha ya siku! πŸ˜†πŸ˜‚

David Kawawa (Guest) on August 19, 2023

Hii ni ya kufurahisha! πŸ˜„πŸ˜…

Dorothy Majaliwa (Guest) on August 15, 2023

Napenda jokes zenu! πŸ˜ŠπŸ˜…

Joseph Njoroge (Guest) on July 19, 2023

πŸ˜…πŸ˜ŠπŸ˜‚πŸ‘

Mary Kidata (Guest) on July 16, 2023

Siwezi kuamini jinsi hii ni kichekesho! πŸ˜‚

Baraka (Guest) on July 2, 2023

πŸ˜‚ Hii kichekesho imenifurahisha siku nzima!

Nancy Kawawa (Guest) on June 16, 2023

Hii imeniboresha wakati wangu wa mapumziko! β˜•πŸ˜†

Jafari (Guest) on June 8, 2023

🀣 Hiyo twist mwishoni, ingawa!

Farida (Guest) on June 1, 2023

🀣 Hiyo punchline ilikuwa haikutarajiwa!

Elijah Mutua (Guest) on May 26, 2023

Nimecheka hadi nimesahau shida zangu! πŸ€£πŸ˜†

Alice Jebet (Guest) on May 16, 2023

Kweli mna kipaji cha ucheshi! πŸ‘πŸ€£

Umi (Guest) on May 9, 2023

🀣 Ninaituma sasa hivi!

Susan Wangari (Guest) on May 4, 2023

πŸ˜„ Kali sana!

Agnes Njeri (Guest) on April 3, 2023

πŸ˜… Bado ninacheka!

Patrick Akech (Guest) on April 2, 2023

πŸ˜‚πŸ€£πŸ˜†πŸ‘

Nancy Kawawa (Guest) on March 27, 2023

πŸ˜‚ Nacheka hadi nalia!

George Mallya (Guest) on March 19, 2023

πŸ˜‚ Ninaituma hii kwa kila mtu ninayemjua!

Brian Karanja (Guest) on March 14, 2023

πŸ˜‚ Siwezi kuacha kucheka!

Edith Cherotich (Guest) on February 22, 2023

Napenda jinsi mnavyofikiria! πŸ€”πŸ˜†

Jane Muthoni (Guest) on January 29, 2023

Haha, hii ni ya kuhifadhi! πŸ“Œ

Stephen Amollo (Guest) on January 18, 2023

Nimecheka hadi nina furaha sana! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Diana Mumbua (Guest) on December 29, 2022

Kweli mna ucheshi wa kipekee sana! πŸ˜„πŸ˜‚

Elizabeth Mrema (Guest) on December 12, 2022

πŸ˜‚πŸ˜†

Raha (Guest) on December 6, 2022

πŸ˜† Naihifadhi hii!

Joyce Mussa (Guest) on November 30, 2022

Hii ni joke ya kipekee sana! πŸ˜‚πŸ‘

Simon Kiprono (Guest) on November 11, 2022

πŸ˜† Ninaihifadhi kwa baadaye!

Alice Mwikali (Guest) on October 27, 2022

Hii imenifurahisha sana! πŸ˜ŠπŸ˜…

Robert Okello (Guest) on October 21, 2022

Umeimaliza kabisa, kichekesho gani! πŸ˜„

Francis Mtangi (Guest) on October 19, 2022

Nimecheka kwa sauti! 🀣🀣

Anna Sumari (Guest) on October 18, 2022

Hii imenichekesha sana! πŸ˜„πŸ˜‚

Rose Lowassa (Guest) on October 15, 2022

Ucheshi wenu ni wa hali ya juu sana! πŸ‘πŸ˜‚

Anna Kibwana (Guest) on October 13, 2022

🀣 Ninashiriki hii na kila mtu!

Lucy Kimotho (Guest) on September 27, 2022

😁 Hakika hii ni kichekesho changu kipya!

Francis Mtangi (Guest) on September 17, 2022

πŸ˜‚πŸ‘ŒπŸ˜†πŸ˜Š

Ann Awino (Guest) on August 2, 2022

πŸ˜„ Dhahabu ya vichekesho!

Michael Mboya (Guest) on July 10, 2022

Hizi jokes ni za kipekee sana! πŸ˜†πŸ˜Š

Francis Njeru (Guest) on July 8, 2022

🀣 Ninashiriki hii sasa hivi!

Victor Mwalimu (Guest) on July 8, 2022

πŸ‘πŸ€£πŸ˜†πŸ˜‚

Ruth Wanjiku (Guest) on July 5, 2022

Nimecheka hadi nimesahau shida zangu! πŸ˜‚πŸ˜…

Christopher Oloo (Guest) on June 27, 2022

πŸ˜† Nacheka hadi chini sasa hivi!

John Malisa (Guest) on June 18, 2022

🀣 Sikutarajia hiyo!

Patrick Akech (Guest) on June 17, 2022

🀣 Hii kichekesho ni nzuri sana!

Samson Tibaijuka (Guest) on June 10, 2022

πŸ˜… Nilihitaji hii!

Related Posts

Njia 3 rahisi za kuondoa kitambi

Njia 3 rahisi za kuondoa kitambi

JE, una KITAMBI na unataka kukiondoa?

FANYA HAYA;

1. Kopa mkopo mkubwa benkiRead More

Bongo usanii mwingi!!!

Bongo usanii mwingi!!!

BONGO USANII UMEZIDI DAAH!!

…yani nakupeleka dinner unakula sana vipaja vya kuku na chips... Read More

Kapresha kakiamua kuja kanakujaga tuu, cheki kilichompata huyu mme wa mtu mpenda michepuko

Kapresha kakiamua kuja kanakujaga tuu, cheki kilichompata huyu mme wa mtu mpenda michepuko

Kimchepuko chako kinakuandikia meseji kama hii…

…Samahani baby kama unavyojua nimeokoka... Read More

Hii ndio ndoto ya harusi ya kila msichana anayotamani

Hii ndio ndoto ya harusi ya kila msichana anayotamani

GIRL: Baby, hebu niambie harusi yetu itakuwaje? BOY: Yaani hii haijawahi kushuhudiwa, ngoja nikupe k... Read More
Angalia nilivyoingizwa mjini na ujanja wangu wote

Angalia nilivyoingizwa mjini na ujanja wangu wote

Ndio nilikuwa nimeshuka kwenye basi la SAI BABA pale Ubungo, nina Begi kubwa Mgongoni na begi Dog... Read More

Hiki ndicho kifo mbele ya Mwanamke

Hiki ndicho kifo mbele ya Mwanamke

Hiki ndiyo kifo.

KIFO NI NINI..

Kifo ni pale girlfriend w... Read More

Huyu Baba ni noma, Cheki anachomjibu huyu mtoto wake

Huyu Baba ni noma, Cheki anachomjibu huyu mtoto wake

Mtoto:Β baba eti Botwasna ipo wap?

Baba:Β angalia itak... Read More

Wanawake hii nayo ni romantic ?πŸ’ž

Wanawake hii nayo ni romantic ?πŸ’ž

Alaf wale Madem wanaowavua maboy wao KOFIA alaf wanakimbia nayo thinking its FUNNY and R... Read More

Watoto wa siku hizi ni shida! Angalia huyu mtoto anachomwambia baba yake

Watoto wa siku hizi ni shida! Angalia huyu mtoto anachomwambia baba yake

Ka ni wewe? DOGO: baba mi siendi tena shule inaonekana walimu hawana uhakika na majibu yao. BABA: ... Read More
Cheki hawa washikaji wanachokifanya baada ya kuvuta bangi, Bangi si mchezo

Cheki hawa washikaji wanachokifanya baada ya kuvuta bangi, Bangi si mchezo

Kuna washikaji walikuwa wakivuta bangi… kiberiti kikawaishia… wakamtuma mwenzao akatafute ki... Read More

Wanaume ni noma, Angalia wanachokifanyaga wakimwona mwanamke

Wanaume ni noma, Angalia wanachokifanyaga wakimwona mwanamke

Wanaume ni viumbe WASTAARABU sana..Mdada anapokua kavaa BIKINI na BRA tu, 98% ya mwili wake unak... Read More

Kilichonitokea leo baada ya kuona nungunungu

Kilichonitokea leo baada ya kuona nungunungu

Baada ya kukaa mda mlefu sijamuona nungu'nungu leo nikakuna nae nikajisikia furaha sana,

ni... Read More

πŸ“– Explore More Articles