Warning: Undefined variable $user_id in /home/ackyshine/personal/sidebar.php on line 36
Sidebar with Floating Button
AckySHINE πŸ”
☰
AckyShine

Kwa hiki kilichonikuta sitadanganya tena kuanzia leo

Featured Image

Juzi nikitoka church nilipanda kihiace na kulikuwa na mrembo mkali hujawahi kuona,kila kijana alikuwa akimtupia macho,so me nilikuwa na wepesi wa kuongea naye kirahisi coz nilikuwa kando yake,,, Sasa kama unavyojuwa wanaume kwa kujikosha Nikaimigine mtto ananiangalia so nikaamuwa kupiga fake phone
"Hello Mr. Supervisor,nitachalewa kidogo coz kuna mahali nitapitia, so nipelekee tu hyo Ferrari yangu nyumbani"

Nikaona mrembo ameniangalia kwa macho ya husda apo nkajua nimeuwa ndege kwa jiwe moja, nkaamua kujikosha mtt wa kiume , "niaje mrembo", akanikazia macho kisha akaniambia,
"Shika battery yako uliangusha ukitoa simu"

Icho kicheko watu walicheka hujawahi ona jooo adi ikabidi dereva aegeshe gari watu wacheke kwanza πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
Nikaona isiwe tabu nikashukia pale pale🚢🏿🚢🏿🚢🏿

Tujifunze kusema ukweli kwani uongo sio mzuri hata kwa Mungu… πŸ™πŸ™πŸ™πŸ™πŸ™

AckySHINE Solutions

Comments

Please log in or register to leave a comment or reply.

Nancy Kawawa (Guest) on July 6, 2024

Hii ni joke ya ukweli kabisa! πŸ˜‚πŸ€£

Robert Ndunguru (Guest) on June 11, 2024

Huyu alikuwa na point! πŸ˜‚πŸ‘Œ

Mariam Hassan (Guest) on June 5, 2024

πŸ˜‚πŸ€£πŸ˜‚πŸ˜…

Kenneth Murithi (Guest) on June 2, 2024

Nimecheka hadi nimesahau shida zangu! πŸ˜ŠπŸ˜…

Nancy Kawawa (Guest) on April 23, 2024

πŸ˜ƒ Hii imenichekesha kwa sauti kweli!

Mchuma (Guest) on April 22, 2024

🀣 Kichekesho bora kabisa!

Tabitha Okumu (Guest) on April 19, 2024

Hii ni joke ya maana sana! πŸ˜‚πŸ‘Œ

Jacob Kiplangat (Guest) on March 31, 2024

Kweli mna ucheshi! πŸ˜‚πŸ€£

Grace Mushi (Guest) on March 19, 2024

Ucheshi wa hali ya juu! πŸ˜‚πŸ‘

George Wanjala (Guest) on March 4, 2024

Hii imenikumbusha kicheko cha zamani! πŸ˜‚πŸ˜…

Saidi (Guest) on February 25, 2024

πŸ˜… Nilihitaji kicheko hiki, asante!

Jamal (Guest) on January 23, 2024

😁 Hii ni dhahabu!

Peter Mwambui (Guest) on December 24, 2023

Ucheshi wenu ni wa hali ya juu! πŸ‘πŸ€£

Stephen Kangethe (Guest) on December 13, 2023

Hii imenipa kicheko cha siku! πŸ˜‚πŸ€£

Mary Sokoine (Guest) on December 7, 2023

Nimependa hii! Endelea kuzileta! 😁

Richard Mulwa (Guest) on November 5, 2023

Hii imenibamba sana! πŸ˜‚πŸ˜…

Agnes Sumaye (Guest) on October 5, 2023

Kweli mna kipaji cha ucheshi! πŸ‘πŸ˜†

Paul Kamau (Guest) on September 26, 2023

Hii imenipa furaha ya siku! πŸ˜†πŸ˜‚

David Kawawa (Guest) on August 19, 2023

Hii ni ya kufurahisha! πŸ˜„πŸ˜…

Dorothy Majaliwa (Guest) on August 15, 2023

Napenda jokes zenu! πŸ˜ŠπŸ˜…

Joseph Njoroge (Guest) on July 19, 2023

πŸ˜…πŸ˜ŠπŸ˜‚πŸ‘

Mary Kidata (Guest) on July 16, 2023

Siwezi kuamini jinsi hii ni kichekesho! πŸ˜‚

Baraka (Guest) on July 2, 2023

πŸ˜‚ Hii kichekesho imenifurahisha siku nzima!

Nancy Kawawa (Guest) on June 16, 2023

Hii imeniboresha wakati wangu wa mapumziko! β˜•πŸ˜†

Jafari (Guest) on June 8, 2023

🀣 Hiyo twist mwishoni, ingawa!

Farida (Guest) on June 1, 2023

🀣 Hiyo punchline ilikuwa haikutarajiwa!

Elijah Mutua (Guest) on May 26, 2023

Nimecheka hadi nimesahau shida zangu! πŸ€£πŸ˜†

Alice Jebet (Guest) on May 16, 2023

Kweli mna kipaji cha ucheshi! πŸ‘πŸ€£

Umi (Guest) on May 9, 2023

🀣 Ninaituma sasa hivi!

Susan Wangari (Guest) on May 4, 2023

πŸ˜„ Kali sana!

Agnes Njeri (Guest) on April 3, 2023

πŸ˜… Bado ninacheka!

Patrick Akech (Guest) on April 2, 2023

πŸ˜‚πŸ€£πŸ˜†πŸ‘

Nancy Kawawa (Guest) on March 27, 2023

πŸ˜‚ Nacheka hadi nalia!

George Mallya (Guest) on March 19, 2023

πŸ˜‚ Ninaituma hii kwa kila mtu ninayemjua!

Brian Karanja (Guest) on March 14, 2023

πŸ˜‚ Siwezi kuacha kucheka!

Edith Cherotich (Guest) on February 22, 2023

Napenda jinsi mnavyofikiria! πŸ€”πŸ˜†

Jane Muthoni (Guest) on January 29, 2023

Haha, hii ni ya kuhifadhi! πŸ“Œ

Stephen Amollo (Guest) on January 18, 2023

Nimecheka hadi nina furaha sana! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Diana Mumbua (Guest) on December 29, 2022

Kweli mna ucheshi wa kipekee sana! πŸ˜„πŸ˜‚

Elizabeth Mrema (Guest) on December 12, 2022

πŸ˜‚πŸ˜†

Raha (Guest) on December 6, 2022

πŸ˜† Naihifadhi hii!

Joyce Mussa (Guest) on November 30, 2022

Hii ni joke ya kipekee sana! πŸ˜‚πŸ‘

Simon Kiprono (Guest) on November 11, 2022

πŸ˜† Ninaihifadhi kwa baadaye!

Alice Mwikali (Guest) on October 27, 2022

Hii imenifurahisha sana! πŸ˜ŠπŸ˜…

Robert Okello (Guest) on October 21, 2022

Umeimaliza kabisa, kichekesho gani! πŸ˜„

Francis Mtangi (Guest) on October 19, 2022

Nimecheka kwa sauti! 🀣🀣

Anna Sumari (Guest) on October 18, 2022

Hii imenichekesha sana! πŸ˜„πŸ˜‚

Rose Lowassa (Guest) on October 15, 2022

Ucheshi wenu ni wa hali ya juu sana! πŸ‘πŸ˜‚

Anna Kibwana (Guest) on October 13, 2022

🀣 Ninashiriki hii na kila mtu!

Lucy Kimotho (Guest) on September 27, 2022

😁 Hakika hii ni kichekesho changu kipya!

Francis Mtangi (Guest) on September 17, 2022

πŸ˜‚πŸ‘ŒπŸ˜†πŸ˜Š

Ann Awino (Guest) on August 2, 2022

πŸ˜„ Dhahabu ya vichekesho!

Michael Mboya (Guest) on July 10, 2022

Hizi jokes ni za kipekee sana! πŸ˜†πŸ˜Š

Francis Njeru (Guest) on July 8, 2022

🀣 Ninashiriki hii sasa hivi!

Victor Mwalimu (Guest) on July 8, 2022

πŸ‘πŸ€£πŸ˜†πŸ˜‚

Ruth Wanjiku (Guest) on July 5, 2022

Nimecheka hadi nimesahau shida zangu! πŸ˜‚πŸ˜…

Christopher Oloo (Guest) on June 27, 2022

πŸ˜† Nacheka hadi chini sasa hivi!

John Malisa (Guest) on June 18, 2022

🀣 Sikutarajia hiyo!

Patrick Akech (Guest) on June 17, 2022

🀣 Hii kichekesho ni nzuri sana!

Samson Tibaijuka (Guest) on June 10, 2022

πŸ˜… Nilihitaji hii!

Related Posts

Huyu mchungaji ni noma, cheki alichomwambia pedeshe

Huyu mchungaji ni noma, cheki alichomwambia pedeshe

Mchungaji kamfuata pedeshe moja maarufu kwa kumwaga pesa kwenye kumbi za muziki; MCHUNGAJI: Kijana, ... Read More
Madogo wa sikuizi ni kiboko, cheki huyu alichokifanya akiwa darasani na mwalimu wake

Madogo wa sikuizi ni kiboko, cheki huyu alichokifanya akiwa darasani na mwalimu wake

Muda wa kwenda nyumbani ulikuwa umefika, mwalimu
akasema: yeyote atakaye jibu swali langu lo... Read More

Angalia nilichomfanyia huyu dereva sasa

Angalia nilichomfanyia huyu dereva sasa

Tulikua kwa basi tunaelekea arusha,ile namcheki dereva kumbe ni best yangu na basi ilikua... Read More

Aina mojawapo ya watoto ambao ni hasara kuwa nao

Aina mojawapo ya watoto ambao ni hasara kuwa nao

Alipelekwa Hospitali na baba yake, baada ya vipimo Doctor akawa anamuandikia dawa, baba yake akatoka... Read More
Haya nayo ni maajabu mengine kwa wazazi wa mabinti

Haya nayo ni maajabu mengine kwa wazazi wa mabinti

BABA MWEUSI
MAMA MWEUSI

na ww walikuzaa mweusi lakini umefikisha miaka 20 umeanza kua ... Read More

Wazo la asubuh - penzi la kuku

Wazo la asubuh - penzi la kuku

Wazo la asubui

πŸ™ˆPenzi la kuku sekunde 2 ila vifaranga kibao.Lakini binadamu masaa kib... Read More

Hii mitoto mingine mijinga, cheki alichokifanya huyu

Hii mitoto mingine mijinga, cheki alichokifanya huyu

Nimeamka asubuhi nikiwa na elfu 1 tu mfukoni, nikamtuma mtoto wa jirani akaninunulie maa... Read More

Angalia sababu ya mke Mtarajiwa kuzimia kabla ya harusi

Angalia sababu ya mke Mtarajiwa kuzimia kabla ya harusi

*Jihadharini* na wachapaji wa kadi za harusi. Hakikisha unasoma maandishi yaliyochapwa kabla ya k... Read More

Kichekesho cha mwalimu na wanafunzi

Kichekesho cha mwalimu na wanafunzi

Mtoto: Mwalimu mimi nataka nisome darasa la nne kwani hili la3 halinifai.

Mwalimu: Kwa nini... Read More

Kilichompata huyu anayependa kusoma SMS za watu kwenye daladala

Kilichompata huyu anayependa kusoma SMS za watu kwenye daladala

Jana nilipanda daladala nikapata seat nikaketi, nikawa nimejiachia ninachati kwenye simu yangu(Sm... Read More

Mambao ya saluni ni shida, cheki kilichotokea kwa huyu

Mambao ya saluni ni shida, cheki kilichotokea kwa huyu

DADA alienda Salon wakati anasukwa akaingia
MKAKA mtanashati,
DADA akaamua kujaribu bah... Read More

Mke anamwambia mme wake kuwa angetamani mme wake awe tajiri cheki alichojibiwa

Mke anamwambia mme wake kuwa angetamani mme wake awe tajiri cheki alichojibiwa

Mke; mme wangu ungekuwa tajiri ningefurahi
Mimi; kwa nini?
Mke; ungekuta na sisi tuna g... Read More

πŸ“– Explore More Articles