Warning: Undefined variable $user_id in /home/ackyshine/personal/sidebar.php on line 36
Sidebar with Floating Button
AckySHINE πŸ”
☰
AckyShine

Majibu ya mkato ya kuchekesha Kutoka Kenya

Featured Image

Njeri:Β Roysambu ni ngapi?
Makanga:Β Roysambu ni moja tu. Pengine kama Chinese wamejenga ingine.

Odhis:Β Hii gari haina watu bana.
Makanga:Β Kwani hao wawili wenye wamekaa hapo ndani ni ng’ombe?

Man:Β Wekeni nyimbo za Yesu tafadhali.
Makanga:Β Yesu bado hajatoa album. Akitoa tutaeka.

Mwikali:Β Excuse me conda…gari za Mwingi zinapandiwa wapi?
Makanga:Β Ziliacha kupandwa juu hazimei.

Man:Β Kwani mwisho wa gari ni wapi?
Makanga:Β Mwisho ni hapo penye number plate iko.

Karis:Β Ruaka ni how much?
Makanga:Β Sijaskia Ruaka ikiuzwa. But nikiskia nitakwambia.

Passenger:Β Shukisha dere.
Makanga:Β Tukishukisha dere utaendesha gari?

Johnny:Β Maze, hii gari iko na joto sana.
Makanga:Β Basi shuka upande fridge

AckySHINE Solutions

Comments

Please log in or register to leave a comment or reply.

Francis Njeru (Guest) on July 20, 2024

Hii imenikuna hadi nina furaha sana! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Diana Mallya (Guest) on July 19, 2024

Nimecheka hadi machozi 🀣😭

Fikiri (Guest) on July 5, 2024

πŸ˜† Bado nacheka, siwezi kuacha!

Binti (Guest) on June 27, 2024

πŸ˜„ Kichekesho gani!

Francis Mtangi (Guest) on June 13, 2024

Hii joke ni ya kufurahisha! 🀣🀣

Janet Mwikali (Guest) on June 12, 2024

πŸ˜†πŸ˜‚πŸ˜Š

Lucy Mushi (Guest) on June 7, 2024

πŸ˜† Hiyo punchline!

Nicholas Wanjohi (Guest) on June 5, 2024

Ucheshi wenu ni wa hali ya juu! πŸ‘πŸ€£

Thomas Mwakalindile (Guest) on June 3, 2024

Napenda vile mnaweka jokes kila siku! πŸ˜†πŸ‘

Kenneth Murithi (Guest) on May 24, 2024

Umesema kweli! πŸ‘ŒπŸ˜‚

Alex Nakitare (Guest) on April 28, 2024

Hii ni kali sana! πŸ˜‚πŸ€£

Charles Mchome (Guest) on April 15, 2024

πŸ˜†πŸ˜…πŸ˜‚

Joseph Kawawa (Guest) on February 24, 2024

Hii imenifurahisha sana! 🀣😊

Frank Sokoine (Guest) on December 21, 2023

πŸ€£πŸ˜†πŸ˜ŠπŸ˜‚

Kijakazi (Guest) on December 19, 2023

🀣 Sikutarajia hiyo!

Ruth Wanjiku (Guest) on December 8, 2023

Hii ni joke ya kufurahisha sana! πŸ‘πŸ˜†

Patrick Kidata (Guest) on November 17, 2023

πŸ˜ŠπŸ˜‚πŸ€£

Mwanaidha (Guest) on November 10, 2023

πŸ˜„ Kichekesho kamili!

Francis Mrope (Guest) on October 31, 2023

πŸ˜† Naihifadhi hii!

Yusuf (Guest) on October 26, 2023

πŸ˜… Bado ninacheka!

Mercy Atieno (Guest) on October 19, 2023

Nimecheka hadi nimesahau shida zangu! πŸ˜‚πŸ˜…

Jackson Makori (Guest) on September 27, 2023

Nimecheka hadi nimemiss kicheko! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Mary Mrope (Guest) on September 13, 2023

Nimecheka hadi mbavu zinauma πŸ˜‚πŸ˜‚

Sarah Mbise (Guest) on September 11, 2023

Huyu mtu ni mcheshi sana! πŸ˜‚πŸ˜‚

Wilson Ombati (Guest) on September 1, 2023

Mna kipaji cha ucheshi! πŸ‘πŸ˜‚

Grace Majaliwa (Guest) on August 22, 2023

Hii imenipa kicheko cha siku! πŸ˜‚πŸ˜†

Athumani (Guest) on August 18, 2023

😁 Hii ni dhahabu!

Khatib (Guest) on August 5, 2023

πŸ˜„ Umenishika vizuri!

Moses Kipkemboi (Guest) on July 22, 2023

Kweli mnajua kuchekesha! πŸ˜‚πŸ˜‚

Chris Okello (Guest) on July 2, 2023

πŸ˜„ Kali sana!

Jacob Kiplangat (Guest) on June 28, 2023

Hii imenifurahisha hadi nacheka kwa sauti! πŸ€£πŸ˜‚

Benjamin Kibicho (Guest) on June 27, 2023

πŸ˜‚ Sijacheka hivi kwa muda mrefu sana!

Grace Majaliwa (Guest) on June 20, 2023

πŸ˜‚ Nalia kwa kweli hapa!

Lucy Kimotho (Guest) on June 18, 2023

Kama kawaida! Bado nacheka! πŸ˜„

Lydia Mzindakaya (Guest) on March 7, 2023

πŸ˜† Nacheka hadi chini sasa hivi!

Michael Onyango (Guest) on February 13, 2023

😊🀣πŸ”₯

Janet Sumaye (Guest) on February 9, 2023

😁 Hakika hii ni kichekesho changu kipya!

Monica Adhiambo (Guest) on January 30, 2023

Hii ni joke ya kipekee! πŸ€£πŸ‘Œ

Robert Ndunguru (Guest) on January 9, 2023

πŸ˜‚ Ninaihifadhi hii!

Elizabeth Mrope (Guest) on January 7, 2023

Hii ni kali! Itaingia kwenye vipendwa vyangu! πŸ˜„

Fredrick Mutiso (Guest) on December 27, 2022

Hii imenifurahisha hadi nacheka kwa sauti! πŸ€£πŸ˜‚

Elizabeth Mrope (Guest) on December 19, 2022

πŸ€£πŸ€£πŸ˜„πŸ˜†

Ann Awino (Guest) on November 29, 2022

Ucheshi wenu ni wa hali ya juu sana! πŸ‘πŸ€£

Samson Tibaijuka (Guest) on November 3, 2022

Nimecheka hadi nimesahau shida zangu! πŸ˜…πŸ˜Š

Omar (Guest) on October 1, 2022

Hii kichekesho imebadilisha kabisa hali yangu! πŸ˜ƒ

Chum (Guest) on August 29, 2022

Bado nacheka, hiyo ilikuwa nzuri sana! 🀣

Janet Sumaye (Guest) on August 21, 2022

Nimecheka hadi nimesahau shida zangu! πŸ€£πŸ˜†

Daniel Obura (Guest) on July 25, 2022

Hii ni ya kufurahisha sana! πŸ˜ŠπŸ˜„

Diana Mumbua (Guest) on July 15, 2022

🀣 Hii imenifanya siku yangu iwe bora kabisa!

David Musyoka (Guest) on July 1, 2022

Hii imenikuna hadi nina furaha! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Shukuru (Guest) on June 24, 2022

πŸ˜„ Sikutarajia hiyo ikitokea!

Margaret Anyango (Guest) on June 23, 2022

Kweli mna ucheshi wa hali ya juu! πŸ˜‚πŸ€£

Kevin Maina (Guest) on May 25, 2022

Hii imenibamba sana! πŸ˜…πŸ€£

Michael Mboya (Guest) on May 22, 2022

Nimecheka hadi machozi yanatoka! 🀣😭

Janet Mbithe (Guest) on May 15, 2022

πŸ˜‚πŸ€£πŸ˜†

Rose Amukowa (Guest) on May 5, 2022

πŸ˜… Bado nacheka!

Azima (Guest) on April 16, 2022

πŸ˜‚ Ninaituma hii kwa kila mtu ninayemjua!

Sarah Mbise (Guest) on April 10, 2022

Nimecheka hadi nina furaha sana! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Monica Adhiambo (Guest) on April 9, 2022

Hizi jokes zinabamba sana! πŸ˜†πŸ˜‚

George Mallya (Guest) on March 27, 2022

Brilliant! Muda wake ulikuwa kamili! ⏰

Related Posts

Alichofanya maasai baada ya kupanda Tax

Alichofanya maasai baada ya kupanda Tax

Baada ya kupanda daladala aina ya DSM kutoka Mbagala chalambe mpaka Mwenge na kulipa sh 500.Masai... Read More

Ulishawahi kupenda kwa namna hii??!!

Ulishawahi kupenda kwa namna hii??!!

Ushawai kumpenda dem na kumfia mazima kiasi kwmb anakwambia ye ana msela lkn we huelewi..unamkaz... Read More

Angalia uhuni wa huyu dereva

Angalia uhuni wa huyu dereva

Dereva alikamatwa kwa kosa la kusababisha ajari ya watu wa5 aliowagonga. Trafik akamuliza kwanin ume... Read More
Lugha za namba ni noma

Lugha za namba ni noma

Leo kuna mdogo wangu nimemtumia meseji nimemuomba aniazime chaja yake ya simu. AkanijibuΒ Read More

Cheki hawa washikaji wanachokifanya baada ya kuvuta bangi, Bangi si mchezo

Cheki hawa washikaji wanachokifanya baada ya kuvuta bangi, Bangi si mchezo

Kuna washikaji walikuwa wakivuta bangi… kiberiti kikawaishia… wakamtuma mwenzao akatafute ki... Read More

Wanawake wanavyopenda hela, hadi kutoka kwa nyani na ngedere

Wanawake wanavyopenda hela, hadi kutoka kwa nyani na ngedere

Kama Nyani na ngedere wangekuwa na pesa…

Trust me Kuna wanawa... Read More

Tofauti ya mke na mchepuko!!!

Tofauti ya mke na mchepuko!!!

Mke ni kama Tv na Mchepuko ni kama Simu.
Nyumbani unaangalia Tv lakini ukitoka unatoka na si... Read More

Cheki wanachokisema vichaa baada ya kuona ndege inapita angani

Cheki wanachokisema vichaa baada ya kuona ndege inapita angani

Vichaa wawili walikuwa wamekaa sehemu ghafla ikapita ndege angani kichaa mmoja akasema ndege ile... Read More

Angalia alichokifanya huyu mkaka alipoenda benki 🏦

Angalia alichokifanya huyu mkaka alipoenda benki 🏦

At the bank..

Teller: Hii pesa ni fake

Mkaka: Shida iko wapi..pesa ni yangu..acc... Read More

Angalia nilichomjibu huyu kuhusu kabila langu

Angalia nilichomjibu huyu kuhusu kabila langu

Kuna mtu kanikeraΒ et nmemkubalia urafiki Leo tuΒ Faceb... Read More

Tatizo la kukuta nywele kwenye chakula

Tatizo la kukuta nywele kwenye chakula

Hapa ni shida

KUKUTA NYWELE KWENYE CHAKULA SIO TATIZO,TATIZO NI KUWAZA ITAKUWA IMET... Read More

Ulevi noma! Angalia huyu mlevi alichomfanyia huyu jamaa usiku! Ungekua wewe ungefanyaje?

Ulevi noma! Angalia huyu mlevi alichomfanyia huyu jamaa usiku! Ungekua wewe ungefanyaje?

Jamaa alikuwa amelaa na mkewe saa tisa ya usiku akastuka baada ya kusikia mtu anabisha hodi kwenda k... Read More