Warning: Undefined variable $user_id in /home/ackyshine/personal/sidebar.php on line 36
Sidebar with Floating Button
AckySHINE πŸ”
☰
AckyShine

Huyu bibi kweli kiboko, cheki alichofanya akiwa na babu

Featured Image

Bibi na Babu walisafiri wakielekea kwa mtoto wao ambae hawajamuona zamani.

Walipofika njiani wakawa wamechoka Sanaa. Wakaamua kutafuta hotel ili walale.

Wakakubaliana walale kwa masaa 4. Wakalala, Walipoamka, mfanyakazi wa Hotel akawatoza Tsh. 500,000/=

Wale wazee wakashangaa hata kama ni hotel ya kisasa lakini sio laki tano kwa masaa 4.

Babu akagoma kulipa akasema aitiwe meneja.

Meneja akaja kuwasikiliza

Babu:Β " Kwanini bili ni kubwa hata kama ni hotel ya kisasa?"

Manager;"kuna maswiming puli, ya kisasa "

Babu;Β "Lakini hatukuyatumia"

Manager;Β "Ah ah ah. Lakini mungeweza kama mngetaka"

Babu:Β "Hata hivo bado haithamini kuwa laki 5"

meneja:Β "Pia Kuna waimbaji kutoka sauzi, Uganda , Congo"

Babu:Β "Lakini sisi hatukuwasikiliza"

Meneja:Β "Ndiooo. Lakini mngeweza kama mngetaka"

Babu;Β aka give up na kumwambia mkewe andika cheki uwape,,

Bibi akaandika akampa meneja.

Meneja anaangalia anaona sh. 50,000

Akashangaa na kusema. "VP mbona hamsini'"

Bibi akajibu "450,000 ya kulala na mimi"

Meneja akajibu; "Lakini sijalala"

Bibi :"ungeweza kama ungetaka"

AckySHINE Solutions

Comments

Please log in or register to leave a comment or reply.

Philip Nyaga (Guest) on July 18, 2024

πŸ˜ŠπŸ˜‚πŸ€£

Grace Minja (Guest) on July 7, 2024

Hii joke ni ya kufurahisha! 🀣🀣

Zakia (Guest) on July 3, 2024

πŸ˜† Hiyo punchline!

Raha (Guest) on June 17, 2024

πŸ˜… Ilibidi nishiriki hii na kila mtu!

Dorothy Nkya (Guest) on May 18, 2024

Kweli mna kipaji cha ucheshi! πŸ‘πŸ€£

Charles Mrope (Guest) on May 18, 2024

🀣 Sikutarajia hiyo!

Frank Sokoine (Guest) on April 24, 2024

Hii ni kali! Itaingia kwenye vipendwa vyangu! πŸ˜„

James (Guest) on April 19, 2024

Joke

James (Guest) on April 19, 2024

Funny

Joseph Kiwanga (Guest) on March 19, 2024

Kweli mna ucheshi wa kipekee sana! πŸ˜„πŸ˜‚

James Mduma (Guest) on March 17, 2024

Huyu mtu ni mcheshi sana! πŸ˜‚πŸ˜‚

Mariam Hassan (Guest) on March 16, 2024

Hii joke imenikumbusha enzi zile! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Margaret Mahiga (Guest) on March 15, 2024

πŸ˜† Naihifadhi hii!

David Ochieng (Guest) on February 29, 2024

Nitaeleza hii kwa marafiki zangu bila shaka! πŸ˜„

Jackson Makori (Guest) on February 23, 2024

Kweli mna ucheshi wa hali ya juu sana! πŸ‘πŸ˜†

Rose Waithera (Guest) on February 16, 2024

πŸ˜… Nilihitaji hii!

Robert Ndunguru (Guest) on December 31, 2023

πŸ˜‚πŸ‘Œ

Philip Nyaga (Guest) on December 24, 2023

Nimecheka hadi nimesahau shida! πŸ€£πŸ˜†

Rabia (Guest) on October 16, 2023

πŸ˜‚ Ninaihifadhi hii!

Jane Malecela (Guest) on September 19, 2023

πŸ˜„ Hii ni ubunifu wa hali ya juu!

Peter Tibaijuka (Guest) on September 2, 2023

πŸ˜‚ Nalia kwa kweli hapa!

Alice Wanjiru (Guest) on August 29, 2023

Hii imenifurahisha hadi nacheka kwa sauti! πŸ€£πŸ˜‚

Nassar (Guest) on August 24, 2023

😁 Kicheko bora ya siku!

Josephine Nekesa (Guest) on August 23, 2023

Nimependa hii! Endelea kuzileta! 😁

Elizabeth Malima (Guest) on August 8, 2023

πŸ˜… Bado nacheka!

Linda Karimi (Guest) on July 26, 2023

πŸ˜‚πŸ˜†

Rehema (Guest) on July 24, 2023

😁 Imeongezwa kwenye vipendwa!

Patrick Kidata (Guest) on July 17, 2023

πŸ€£πŸ€£πŸ˜„πŸ˜†

Shukuru (Guest) on June 20, 2023

Hii kichekesho imenifurahisha sanaβ€”imebamba! 🀣

Charles Mchome (Guest) on April 8, 2023

Nimecheka hadi machozi yanatoka! 🀣😭

John Lissu (Guest) on April 2, 2023

πŸ˜† Siwezi kuacha kucheka!

Jacob Kiplangat (Guest) on March 27, 2023

Hii ni ya kufurahisha sana! πŸ˜ŠπŸ˜„

Khatib (Guest) on February 24, 2023

πŸ˜‚ Ninaituma hii kwa kila mtu ninayemjua!

Faith Kariuki (Guest) on February 17, 2023

Huyu alikuwa na point! πŸ˜‚πŸ‘Œ

Joseph Kawawa (Guest) on January 15, 2023

πŸ˜† Ninaihifadhi kwa baadaye!

John Lissu (Guest) on January 10, 2023

πŸ˜…πŸ˜‚πŸ‘ŒπŸ˜Š

Janet Wambura (Guest) on December 10, 2022

🀣 Hii kichekesho ni nzuri sana!

Lydia Mutheu (Guest) on November 14, 2022

Hii imenibamba sana! πŸ˜…πŸ€£

Grace Minja (Guest) on November 11, 2022

πŸ˜‚πŸ‘πŸ˜…πŸ€£

Rahma (Guest) on October 4, 2022

😁 Hii ni dhahabu!

Francis Njeru (Guest) on October 2, 2022

Ucheshi wenu unanifurahisha kila siku! πŸ˜†πŸ˜‚

James Kimani (Guest) on September 15, 2022

Hii imenifurahisha sana! 🀣😊

Joyce Mussa (Guest) on September 12, 2022

πŸ˜… Bado ninacheka!

Michael Onyango (Guest) on September 8, 2022

Hii imenipa furaha ya siku! πŸ˜†πŸ˜‚

Sharon Kibiru (Guest) on September 7, 2022

Kweli mna ucheshi! πŸ˜‚πŸ€£

Mwanaidi (Guest) on August 22, 2022

🀣 Nalia kwa kicheko kweli!

Charles Mboje (Guest) on August 18, 2022

πŸ˜‚πŸ€£πŸ˜ŠπŸ˜…

Patrick Mutua (Guest) on July 19, 2022

Kweli mna ucheshi wa kipekee! πŸ˜‚πŸ€£

Robert Ndunguru (Guest) on July 4, 2022

πŸ˜†πŸ˜‚πŸ˜Š

Monica Adhiambo (Guest) on June 28, 2022

Hii imenichekesha sana! πŸ€£πŸ˜†

Ruth Wanjiku (Guest) on June 17, 2022

Hii ni ya kufurahisha! πŸ˜„πŸ˜…

Kevin Maina (Guest) on June 15, 2022

πŸ˜† Hiyo punchline ilikuwa kali!

Joseph Kitine (Guest) on June 13, 2022

Nimefurahia sana hii joke! πŸ˜…πŸ˜‚

Esther Nyambura (Guest) on June 2, 2022

Brilliant! Muda wake ulikuwa kamili! ⏰

Frank Sokoine (Guest) on May 14, 2022

πŸ€£πŸ‘πŸ‘Œ

Andrew Mchome (Guest) on May 7, 2022

πŸ˜ƒ Hii imenichekesha kwa sauti kweli!

Jafari (Guest) on May 5, 2022

🀣 Ninaituma sasa hivi!

Arifa (Guest) on April 21, 2022

πŸ˜‚ Ninashiriki mara moja!

Paul Kamau (Guest) on April 5, 2022

πŸ˜ƒ Hali imeboreshwa papo hapo!

Related Posts

Hali za ndoa

Hali za ndoa

Kuna kijana alikua anajua kuwa mke wake anatoka nje ya ndoa basi akamwuliza mke, mkewe akakataa, aka... Read More
Cheki huyu jamaa alivyoumbuka akiwa ndani ya dala dala baada ya kupokea simu ya mkewe

Cheki huyu jamaa alivyoumbuka akiwa ndani ya dala dala baada ya kupokea simu ya mkewe

Jamaa kapokea simu kutoka kwa mke wake ndani ya daladala

jamaa: hellow hellow ( jamaa ak... Read More

Mkwe kazua mpya, Hii dunia ina mambo sana

Mkwe kazua mpya, Hii dunia ina mambo sana

Mama mkwe alimuuliza mkwewe "binti" samahani mbona mtoto hajafanana na mwanangu kabisa?

Bin... Read More

Tofauti ya mchaga na mhaya wakipata kazi

Tofauti ya mchaga na mhaya wakipata kazi

Mchaga hata apate kazi bank bado atasema yupoΒ kibaruani.

Acha sasa mha... Read More

Haya ndiyo madhara ya kutowapeleka watoto kanisani β›ͺ

Haya ndiyo madhara ya kutowapeleka watoto kanisani β›ͺ

MTOTO aliibiwa yeboyebo KANISANI akawa analia sana kwa uchungu mpaka MCHUNGAJI akamwambia usilie... Read More

Walevi wana Mambo! Angalia wanachokisema

Walevi wana Mambo! Angalia wanachokisema

WALEVI WAWILI KATIKA MAZUNGUMZO YAO

MLEVI 1Β hivi rafiki ... Read More

Wanawake wa leo mbele ya hela. Hii ni hatari

Wanawake wa leo mbele ya hela. Hii ni hatari

MDADA: Baby nikwambie kitu
MKAKA: Yeah Baby Uko huru nambie
MDADA: nilikua naomba hela ... Read More

Utajuaje kama unachoangalia ni filamu ya kibongo!!!!

Utajuaje kama unachoangalia ni filamu ya kibongo!!!!

Angalia hivi

-Mlinzi wa Getini lazima awe chizi
-Mtu yupo kijijini, maisha magumu ana ... Read More

Hiki ndicho kifo mbele ya Mwanamke

Hiki ndicho kifo mbele ya Mwanamke

Hiki ndiyo kifo.

KIFO NI NINI..

Kifo ni pale girlfriend w... Read More

Tenda Wema Uende Zako

Tenda Wema Uende Zako

Nimekuta panya ana struggle kuingia chini ya mlango wa jirani yangu…

Nikagonga mlango Jir... Read More

Angalia huyu mgeni anachokifanya, wageni wengine ni hatari

Angalia huyu mgeni anachokifanya, wageni wengine ni hatari

Hata kama ni Mgeni this is too much. Mwenyeji: Karibu mgeni karibu ukae,utapenda chai au soda? Mgeni... Read More
Haya mapenzi jamani! Umewah kumpenda kwa kihivi??

Haya mapenzi jamani! Umewah kumpenda kwa kihivi??

Sijui Kama ushawai fall in love ile haswaa..

yani unampenda mtoto hadi akikupigia ile sauti... Read More

πŸ“– Explore More Articles
🏠 Home πŸ“– Reading πŸ–ΌοΈ Gallery πŸ’¬ AI Chat πŸ“˜ About