Warning: Undefined variable $user_id in /home/ackyshine/personal/sidebar.php on line 36
Sidebar with Floating Button
AckySHINE πŸ”
☰
AckyShine

Huyu bibi kweli kiboko, cheki alichofanya akiwa na babu

Featured Image

Bibi na Babu walisafiri wakielekea kwa mtoto wao ambae hawajamuona zamani.

Walipofika njiani wakawa wamechoka Sanaa. Wakaamua kutafuta hotel ili walale.

Wakakubaliana walale kwa masaa 4. Wakalala, Walipoamka, mfanyakazi wa Hotel akawatoza Tsh. 500,000/=

Wale wazee wakashangaa hata kama ni hotel ya kisasa lakini sio laki tano kwa masaa 4.

Babu akagoma kulipa akasema aitiwe meneja.

Meneja akaja kuwasikiliza

Babu:Β " Kwanini bili ni kubwa hata kama ni hotel ya kisasa?"

Manager;"kuna maswiming puli, ya kisasa "

Babu;Β "Lakini hatukuyatumia"

Manager;Β "Ah ah ah. Lakini mungeweza kama mngetaka"

Babu:Β "Hata hivo bado haithamini kuwa laki 5"

meneja:Β "Pia Kuna waimbaji kutoka sauzi, Uganda , Congo"

Babu:Β "Lakini sisi hatukuwasikiliza"

Meneja:Β "Ndiooo. Lakini mngeweza kama mngetaka"

Babu;Β aka give up na kumwambia mkewe andika cheki uwape,,

Bibi akaandika akampa meneja.

Meneja anaangalia anaona sh. 50,000

Akashangaa na kusema. "VP mbona hamsini'"

Bibi akajibu "450,000 ya kulala na mimi"

Meneja akajibu; "Lakini sijalala"

Bibi :"ungeweza kama ungetaka"

AckySHINE Solutions

Comments

Please log in or register to leave a comment or reply.

Philip Nyaga (Guest) on July 18, 2024

πŸ˜ŠπŸ˜‚πŸ€£

Grace Minja (Guest) on July 7, 2024

Hii joke ni ya kufurahisha! 🀣🀣

Zakia (Guest) on July 3, 2024

πŸ˜† Hiyo punchline!

Raha (Guest) on June 17, 2024

πŸ˜… Ilibidi nishiriki hii na kila mtu!

Dorothy Nkya (Guest) on May 18, 2024

Kweli mna kipaji cha ucheshi! πŸ‘πŸ€£

Charles Mrope (Guest) on May 18, 2024

🀣 Sikutarajia hiyo!

Frank Sokoine (Guest) on April 24, 2024

Hii ni kali! Itaingia kwenye vipendwa vyangu! πŸ˜„

James (Guest) on April 19, 2024

Joke

James (Guest) on April 19, 2024

Funny

Joseph Kiwanga (Guest) on March 19, 2024

Kweli mna ucheshi wa kipekee sana! πŸ˜„πŸ˜‚

James Mduma (Guest) on March 17, 2024

Huyu mtu ni mcheshi sana! πŸ˜‚πŸ˜‚

Mariam Hassan (Guest) on March 16, 2024

Hii joke imenikumbusha enzi zile! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Margaret Mahiga (Guest) on March 15, 2024

πŸ˜† Naihifadhi hii!

David Ochieng (Guest) on February 29, 2024

Nitaeleza hii kwa marafiki zangu bila shaka! πŸ˜„

Jackson Makori (Guest) on February 23, 2024

Kweli mna ucheshi wa hali ya juu sana! πŸ‘πŸ˜†

Rose Waithera (Guest) on February 16, 2024

πŸ˜… Nilihitaji hii!

Robert Ndunguru (Guest) on December 31, 2023

πŸ˜‚πŸ‘Œ

Philip Nyaga (Guest) on December 24, 2023

Nimecheka hadi nimesahau shida! πŸ€£πŸ˜†

Rabia (Guest) on October 16, 2023

πŸ˜‚ Ninaihifadhi hii!

Jane Malecela (Guest) on September 19, 2023

πŸ˜„ Hii ni ubunifu wa hali ya juu!

Peter Tibaijuka (Guest) on September 2, 2023

πŸ˜‚ Nalia kwa kweli hapa!

Alice Wanjiru (Guest) on August 29, 2023

Hii imenifurahisha hadi nacheka kwa sauti! πŸ€£πŸ˜‚

Nassar (Guest) on August 24, 2023

😁 Kicheko bora ya siku!

Josephine Nekesa (Guest) on August 23, 2023

Nimependa hii! Endelea kuzileta! 😁

Elizabeth Malima (Guest) on August 8, 2023

πŸ˜… Bado nacheka!

Linda Karimi (Guest) on July 26, 2023

πŸ˜‚πŸ˜†

Rehema (Guest) on July 24, 2023

😁 Imeongezwa kwenye vipendwa!

Patrick Kidata (Guest) on July 17, 2023

πŸ€£πŸ€£πŸ˜„πŸ˜†

Shukuru (Guest) on June 20, 2023

Hii kichekesho imenifurahisha sanaβ€”imebamba! 🀣

Charles Mchome (Guest) on April 8, 2023

Nimecheka hadi machozi yanatoka! 🀣😭

John Lissu (Guest) on April 2, 2023

πŸ˜† Siwezi kuacha kucheka!

Jacob Kiplangat (Guest) on March 27, 2023

Hii ni ya kufurahisha sana! πŸ˜ŠπŸ˜„

Khatib (Guest) on February 24, 2023

πŸ˜‚ Ninaituma hii kwa kila mtu ninayemjua!

Faith Kariuki (Guest) on February 17, 2023

Huyu alikuwa na point! πŸ˜‚πŸ‘Œ

Joseph Kawawa (Guest) on January 15, 2023

πŸ˜† Ninaihifadhi kwa baadaye!

John Lissu (Guest) on January 10, 2023

πŸ˜…πŸ˜‚πŸ‘ŒπŸ˜Š

Janet Wambura (Guest) on December 10, 2022

🀣 Hii kichekesho ni nzuri sana!

Lydia Mutheu (Guest) on November 14, 2022

Hii imenibamba sana! πŸ˜…πŸ€£

Grace Minja (Guest) on November 11, 2022

πŸ˜‚πŸ‘πŸ˜…πŸ€£

Rahma (Guest) on October 4, 2022

😁 Hii ni dhahabu!

Francis Njeru (Guest) on October 2, 2022

Ucheshi wenu unanifurahisha kila siku! πŸ˜†πŸ˜‚

James Kimani (Guest) on September 15, 2022

Hii imenifurahisha sana! 🀣😊

Joyce Mussa (Guest) on September 12, 2022

πŸ˜… Bado ninacheka!

Michael Onyango (Guest) on September 8, 2022

Hii imenipa furaha ya siku! πŸ˜†πŸ˜‚

Sharon Kibiru (Guest) on September 7, 2022

Kweli mna ucheshi! πŸ˜‚πŸ€£

Mwanaidi (Guest) on August 22, 2022

🀣 Nalia kwa kicheko kweli!

Charles Mboje (Guest) on August 18, 2022

πŸ˜‚πŸ€£πŸ˜ŠπŸ˜…

Patrick Mutua (Guest) on July 19, 2022

Kweli mna ucheshi wa kipekee! πŸ˜‚πŸ€£

Robert Ndunguru (Guest) on July 4, 2022

πŸ˜†πŸ˜‚πŸ˜Š

Monica Adhiambo (Guest) on June 28, 2022

Hii imenichekesha sana! πŸ€£πŸ˜†

Ruth Wanjiku (Guest) on June 17, 2022

Hii ni ya kufurahisha! πŸ˜„πŸ˜…

Kevin Maina (Guest) on June 15, 2022

πŸ˜† Hiyo punchline ilikuwa kali!

Joseph Kitine (Guest) on June 13, 2022

Nimefurahia sana hii joke! πŸ˜…πŸ˜‚

Esther Nyambura (Guest) on June 2, 2022

Brilliant! Muda wake ulikuwa kamili! ⏰

Frank Sokoine (Guest) on May 14, 2022

πŸ€£πŸ‘πŸ‘Œ

Andrew Mchome (Guest) on May 7, 2022

πŸ˜ƒ Hii imenichekesha kwa sauti kweli!

Jafari (Guest) on May 5, 2022

🀣 Ninaituma sasa hivi!

Arifa (Guest) on April 21, 2022

πŸ˜‚ Ninashiriki mara moja!

Paul Kamau (Guest) on April 5, 2022

πŸ˜ƒ Hali imeboreshwa papo hapo!

Related Posts

Ndoa zina mambo, cheki haya mambo ya mtu na mke wake

Ndoa zina mambo, cheki haya mambo ya mtu na mke wake

Mke: mume wangu leo 2badilishe stail kwani nimechoka kla siku hiyo hiyo tu
Mme: kwel mke wan... Read More

Kuwa na Binti aliyeacha shule

Kuwa na Binti aliyeacha shule

Kuwa na binti aliyeacha shule ni BALAA.

Anaweza kukuacha kwa s... Read More

Kweli tamaa ni mbaya, mke wa mtu kaponzwa na tamaa, ndio basi tena

Kweli tamaa ni mbaya, mke wa mtu kaponzwa na tamaa, ndio basi tena

Jamaa kaenda kwa mke wa rafiki yake:
JAMAA: Shem nakupenda!
MKE: Hebu... Read More

Angalia kilichompata huyu mwanafunzi kilaza anayejiamini

Angalia kilichompata huyu mwanafunzi kilaza anayejiamini

Teacher: Who is a pharmacist?

Shemdoe raised up his hand.

Teacher: So it’s only She... Read More

Hizi swaga za huyu jamaa ni shida, Google!

Hizi swaga za huyu jamaa ni shida, Google!

Jamaa alikuwa kwenye daladala pembeni kuna
dada mrembo kakaa. Kamlia timing kwa muda
ki... Read More

Haya nayo ni maajabu mengine kwa wazazi wa mabinti

Haya nayo ni maajabu mengine kwa wazazi wa mabinti

BABA MWEUSI
MAMA MWEUSI

na ww walikuzaa mweusi lakini umefikisha miaka 20 umeanza kua ... Read More

Hii dunia ina mambo, cheki kilichotokea wakati mme anakata roho akiwa na mke wake

Hii dunia ina mambo, cheki kilichotokea wakati mme anakata roho akiwa na mke wake

Bwana mmoja wakati anakata roho alimwambia mkewe hivi:

MUME - mke wangu natubu mbele yako k... Read More

Baadhi ya misemo mikali ya leo

Baadhi ya misemo mikali ya leo

1. Mwanaume hata awe bahili vipi, hawezi kumpa mwanamke mimba nusu.

2. Hata uwe na magari m... Read More

Kuwa single nao ugonjwa eh, cheki huyu alichokifanya

Kuwa single nao ugonjwa eh, cheki huyu alichokifanya

Et

Umexhawah kuwa single had ukaamua kununua viatu vya kike kix... Read More

Bongo usanii mwingi!!!

Bongo usanii mwingi!!!

BONGO USANII UMEZIDI DAAH!!

…yani nakupeleka dinner unakula sana vipaja vya kuku na chips... Read More

Bangi si mchezo, Angalia kilichowakuta hawa

Bangi si mchezo, Angalia kilichowakuta hawa

Bangi si mchezo! Jamaa kaikoleza si ikamtuma avue nguo! Akavua nguo zote akaenda kwenye kioo, kujita... Read More
Angalia kile kitabia cha kufuta namba kwenye simu kilivyomponza huyu jamaa

Angalia kile kitabia cha kufuta namba kwenye simu kilivyomponza huyu jamaa

Jana nilijipa kazi ya kufuta vitu visivyo na umuhimu kwenye sm yangu. Katika futa futa si nimefut... Read More

πŸ“– Explore More Articles