Warning: Undefined variable $user_id in /home/ackyshine/personal/sidebar.php on line 36
Sidebar with Floating Button
AckySHINE πŸ”
☰
AckyShine

Cheki masifa yalivyomponza huyu, Sifa nyingine ni mbaya jamani

Featured Image
Mbongo, Mganda, na Mkenya walikamatwa na makosa Uchina. Wakaambiwa adhabu ni ama kifo cha moja kwa moja au adhabu nyingine ambayo atakayeifaulu atakuwa huru, atakayeshindwa atauawa. Basi wao wakaomba wapewe hiyo adhabu nyingine wajaribu bahati yao. Wakapelekwa msituni wakaambiwa kila mmoja aende kwa njia yake halafu arudi na matunda kumi ya kufanana. Wakaingia msituni kila mtu njia yake. … Mganda akarudi wa kwanza na machungwa kumi. Akaambiwa adhabu yake ni kumeza moja moja likiwa zima bila kufumba macho bila kulia wala kucheka wala kujitikisa mpaka yote kumi yaishe. Akameza la kwanza. Safi. Kumeza la pili, akashindwa kuvumilia akafumba macho. Akapigiwa risasi akafa. Mkenya akaja. Ana vitunda vidogo vidogo kama pili vilaini. Akasomewa masharti. Akaanza kumeza bila kufumba macho wala kulia, wala nini… alipofika cha tisa akashindwa kuvumilia akaangua kicheko! Akapigwa risasi pia akafa. Wakiwa kuzimu Mganda akamwuliza Mkenya, β€œVipi, mbona ulishindwa kuvumilia wakati kilibaki kitunda kimoja tu?” Mkenya akamjibu: β€œMkuu, nilishindwa kuzuia kicheko maana nilimwona Mbongo anakuja na matikiti maji!”
AckySHINE Solutions

Comments

Please log in or register to leave a comment or reply.

Mary Njeri (Guest) on June 22, 2024

πŸ˜† Bado nacheka!

Esther Cheruiyot (Guest) on June 12, 2024

πŸ€£πŸ€£πŸ˜‚

Margaret Mahiga (Guest) on June 9, 2024

Bado nacheka, hiyo ilikuwa nzuri sana! 🀣

Peter Mugendi (Guest) on May 13, 2024

Mna talent ya jokes! πŸ‘πŸ˜‚

Latifa (Guest) on May 1, 2024

🀣 Hii kichekesho ni nzuri sana!

Leila (Guest) on April 27, 2024

πŸ˜‚ Lazima nihifadhi hii!

Janet Sumaye (Guest) on April 18, 2024

Hii ni kichekesho kali sana, ninashiriki na kila mtu! πŸ˜‚

James Mduma (Guest) on April 17, 2024

Mna kipaji cha ucheshi! πŸ‘πŸ˜‚

Rose Lowassa (Guest) on April 2, 2024

Nimecheka hadi machozi yanatoka! 🀣😭

Monica Lissu (Guest) on March 24, 2024

πŸ˜†πŸ˜…πŸ˜‚

Lydia Mahiga (Guest) on March 3, 2024

πŸ˜‚ Kali sana!

Anna Mchome (Guest) on February 17, 2024

Hizi jokes zinabamba sana! πŸ˜†πŸ˜‚

David Sokoine (Guest) on February 9, 2024

Nimecheka hadi nimesahau shida zangu! πŸ˜…πŸ˜Š

Amani (Guest) on February 6, 2024

Hii kichekesho imebadilisha kabisa hali yangu! πŸ˜ƒ

Lydia Mzindakaya (Guest) on January 27, 2024

πŸ‘πŸ€£πŸ˜†πŸ˜‚

Joseph Kitine (Guest) on January 7, 2024

Ucheshi wenu unanifurahisha sana! πŸ˜‚πŸ‘

Jamila (Guest) on January 6, 2024

πŸ˜† Naihifadhi hii!

Agnes Lowassa (Guest) on January 5, 2024

Nimefurahia sana hii! πŸ˜…πŸ˜Š

Mwajabu (Guest) on December 31, 2023

πŸ˜† Ninaihifadhi kwa baadaye!

Paul Ndomba (Guest) on December 16, 2023

Kweli mnajua kuchekesha! πŸ˜‚πŸ˜‚

Joseph Kitine (Guest) on September 10, 2023

Kweli ni jokes za ukweli! πŸ‘πŸ˜†

Nancy Komba (Guest) on September 8, 2023

Sikutarajia hiyo punchlineβ€”kichekesho! 🀣

Janet Mwikali (Guest) on September 5, 2023

Nimecheka hadi nimesahau shida! πŸ€£πŸ˜†

Mwalimu (Guest) on August 8, 2023

Hii ni kali kabisa! Siwezi kushiba! πŸ˜‚

Latifa (Guest) on July 14, 2023

Wow, hizi kichekesho ni dhahabu kabisa! πŸ’°

Elizabeth Malima (Guest) on June 23, 2023

🀣 Hii imewaka moto!

Catherine Naliaka (Guest) on May 31, 2023

Hii ni ya kufurahisha! πŸ˜„πŸ˜…

Grace Minja (Guest) on May 8, 2023

Kweli mna ucheshi wa kipekee sana! πŸ˜„πŸ˜‚

Grace Njuguna (Guest) on May 6, 2023

Kweli mna ucheshi wa kipekee! πŸ˜‚πŸ€£

Nancy Kawawa (Guest) on April 15, 2023

πŸ˜ƒ Hali imeboreshwa papo hapo!

Jamal (Guest) on March 31, 2023

Haha, hii ni ya kuhifadhi! πŸ“Œ

Patrick Mutua (Guest) on March 28, 2023

Lazima nikumbuke hii kwa baadaye! πŸ˜†

Nora Lowassa (Guest) on March 20, 2023

Hii imenifurahisha hadi ninacheka kwa sauti! πŸ˜„πŸ˜…

Alice Wanjiru (Guest) on March 1, 2023

Hii kichekesho itaingia moja kwa moja kwenye vipendwa vyangu! πŸ˜‚

Andrew Mahiga (Guest) on February 28, 2023

Huu ucheshi hauna kifani! 🀣πŸ”₯

Rose Lowassa (Guest) on February 12, 2023

πŸ˜† Ninakufa hapa!

James Kimani (Guest) on February 11, 2023

Hii imenikumbusha enzi zile! πŸ˜…πŸ˜‚

Aziza (Guest) on January 31, 2023

🀣 Hiyo twist mwishoni, ingawa!

Elijah Mutua (Guest) on January 23, 2023

Hii imenipa kicheko cha siku! πŸ˜‚πŸ˜†

Alice Wanjiru (Guest) on December 22, 2022

Nilihitaji kicheko hiki, asante kwa kushiriki! πŸ˜…

Mercy Atieno (Guest) on November 28, 2022

Hii imenichekesha sana! πŸ˜„πŸ˜‚

Mtumwa (Guest) on November 1, 2022

Nilikuwa na siku mbaya hadi niliposoma hii! πŸ˜…

Andrew Mahiga (Guest) on October 7, 2022

Napenda jokes zenu! πŸ˜ŠπŸ˜…

Lydia Mutheu (Guest) on September 1, 2022

Nimecheka kwa sauti! 🀣🀣

Rose Kiwanga (Guest) on August 31, 2022

πŸ€£πŸ‘πŸ‘Œ

Jane Muthui (Guest) on August 23, 2022

πŸ˜‚ Sijacheka hivi kwa muda mrefu sana!

Diana Mumbua (Guest) on August 19, 2022

Hii imenibamba sana! πŸ˜…πŸ€£

Benjamin Kibicho (Guest) on July 24, 2022

Nimecheka hadi nimesahau shida zangu! πŸ˜‚πŸ˜…

Michael Mboya (Guest) on July 20, 2022

Hizi jokes ni za ukweli! πŸ˜†πŸ‘

Sarah Karani (Guest) on June 8, 2022

Kweli mna ucheshi wa kipekee! πŸ˜‚πŸ€£

Edward Chepkoech (Guest) on May 19, 2022

Kweli mna ucheshi wa hali ya juu! πŸ˜‚πŸ€£

Latifa (Guest) on May 17, 2022

πŸ˜† Siwezi kuacha kucheka!

Edward Chepkoech (Guest) on April 25, 2022

πŸ˜„ Umeshinda mtandao leo!

Rashid (Guest) on February 6, 2022

Hii ni kali! Itaingia kwenye vipendwa vyangu! πŸ˜„

Rose Waithera (Guest) on January 28, 2022

πŸ€£πŸ˜†πŸ˜ŠπŸ˜‚

Juma (Guest) on January 25, 2022

Hii ni aina ya kichekesho usichosahau! πŸ˜‚

Diana Mallya (Guest) on January 7, 2022

Nimecheka hadi mbavu zinauma πŸ˜‚πŸ˜‚

Benjamin Kibicho (Guest) on December 29, 2021

πŸ˜† Bado nacheka, siwezi kuacha!

Rahma (Guest) on October 29, 2021

Haha, hii ni kicheko bora zaidi nilichopata wiki hii! 😁

Ann Wambui (Guest) on October 22, 2021

πŸ˜†πŸ‘πŸ˜‚πŸ˜„

Related Posts

Nilichokifanya jana baada ya kushuka kwenye basi Ubungo

Nilichokifanya jana baada ya kushuka kwenye basi Ubungo

Jana nateremka kwenye BASI UBUNGO nataka nichukue TEKSI hadi KIMARA naambiwa sh.15,000/=.
Wa... Read More

Jamaa alikuwa na tabia ya kutembea na binamu yake cheki kilichomkuta

Jamaa alikuwa na tabia ya kutembea na binamu yake cheki kilichomkuta

Jamaa alikuwa na tabia ya kutembea na binamu yake….

Alikuwa anasubiri mjomba na mkewe wal... Read More

Wadada acheni hizo

Wadada acheni hizo

Mfalme Sulemani alikuwa na wake 700 na alichepuka(cheated)na vimada 300 . Mpenzi wako/Mume wako u... Read More

Mambo ya kijijini haya!

Mambo ya kijijini haya!

Kuishi kijijini kunahitaji moyo sana

..unaenda kuoga, unakumbuka k... Read More

Mkalimani alivyoharibu ibada ya leo

Mkalimani alivyoharibu ibada ya leo

Leo nikaamua niingie misa ya asubuhi kwenye kanisa moja la kilokole kulikua na ugeni wa mchungaji... Read More

Ni wazo tuu!

Ni wazo tuu!

Siyo watu wote wanaokuuliza kwamba watoto hawajambo,wanakuuliza kwa nia nzuri,wengine wanaulizia ... Read More

Angalia alichokifanya huyu mtu baada ya kuokota wallet ya thamani

Angalia alichokifanya huyu mtu baada ya kuokota wallet ya thamani

Jamaa aliokota wallet, alipofika nyumbani akapiga simu kwenye radio station "naitwa Juma nimepiga... Read More

Huyu jamaa kawaweza polisi watatu, cheki alichowaambia

Huyu jamaa kawaweza polisi watatu, cheki alichowaambia

Polisi::: hodi, hodi
Jamaa::: kimya
Polisi::: hodi, hodi
Jamaa::: ... Read More

Wazo la asubuh - penzi la kuku

Wazo la asubuh - penzi la kuku

Wazo la asubui

πŸ™ˆPenzi la kuku sekunde 2 ila vifaranga kibao.Lakini binadamu masaa kib... Read More

KICHEKESHO: Ukiona masikini Kachinja kuku

KICHEKESHO: Ukiona masikini Kachinja kuku

Ukiona masikin kachinja kuku basi kat ya kuku au yeye kuna mmoja atakua mgonjwa... Read More

BREAKING NEWS!!! Nyoka wa ajabu agundulika

BREAKING NEWS!!! Nyoka wa ajabu agundulika

HABARI MPASUKO..

jana katika taasisi ya wanyama pori ya Nat Geo ilitangazwa kuwa ametokea N... Read More

Angalia sababu ya mke Mtarajiwa kuzimia kabla ya harusi

Angalia sababu ya mke Mtarajiwa kuzimia kabla ya harusi

*Jihadharini* na wachapaji wa kadi za harusi. Hakikisha unasoma maandishi yaliyochapwa kabla ya k... Read More

πŸ“– Explore More Articles
🏠 Home πŸ“– Reading πŸ–ΌοΈ Gallery πŸ’¬ AI Chat πŸ“˜ About