Warning: Undefined variable $user_id in /home/ackyshine/personal/sidebar.php on line 36
Sidebar with Floating Button
AckySHINE πŸ”
☰
AckyShine

Je, Chuoni kwako Kukoje?

Featured Image

FACT!
1.Ukiona geto lina feni, sabufa, meza ya plastic na kitanda ch sita kwa sita na Pc UJUE ni jamaa wa UDSM.

2. Ukaona geto lina nguo nyingi za watu tofauti tofauti, unga mwingi, vtunguu vng, nyanya halaf pembeni, Vitabu vya kutosha na lundo la karatasi za betting ujue huyu JAMAA ni wa SAUT.

3. Ukaona geto halina kitu ndani zaidi ya mkate wa bakheresa na kopo la maji UJUE huyu jamaa ni wa UDOMπŸ˜‚β˜

4. Ukaona geto lina visamaki vikavu mezani, Notes za kutosha mezani na jaba pembeni UJUE huyu ni MJAMAA WA MWENGE/MWECAUπŸ˜œπŸ‘€

5. Ukaona geto lina Mawigi mengi na dressing table pembeni, ngazi ya kuwekea viatu UJUE huyu mjamaa ni wa RUCO IRINGA😘

6. Ukaona geto lina spray za kila aina, Nguo nyingi hasa za mitumba ambazo zimemodolewa mpaka tight UJUE huyu MJAMAA ni wa USHIRIKA MOSHI.

7.Ukiona geto lina Nyanya na mikungu ya ndizi halafu halafu nje kuna jiko la Mkaa UJUE huyu mjamaa ni wa TEKU mbeya😳

8. Ukiona geto lina tranka na nje wamevulia buti, viatu vya matope UJUE huyu Mjamaa ni Wa SMUCO MWIKA.

9. Ukaona geto ndan mashuka ya kimasai kinabao, hapa usipatwe na Mashaka, Jua huyu ni Mjamaa wa MAKUMIRA. 😜😜😜😜

10. Ukaona geto lina vimodo, vimini, miwani za tittled, jiko la mafuta ya taa, kitandani mito zaidi ya Minne,Visarafu kwenye meza, Tshirt nyingi za semina za family planning, Ukimwi n.k halafu chini tv ya chogo na king'amuz cha continental Ujue huyu MJAMAA ni wa TIA DSM 😱😱😱😱😱😱😱

β¬β¬β¬β¬β¬β¬β¬β¬β€΅β¬πŸ†™πŸ†™πŸ†™πŸ†™
JE, KWAKO KUKOJE? ???
πŸ˜‹πŸ˜‹πŸ˜‹πŸ˜‹πŸ˜‹πŸ˜‹πŸ˜‹πŸ˜‹πŸ˜‹πŸ˜‹πŸ˜‹

AckySHINE Solutions

Comments

Please log in or register to leave a comment or reply.

Stephen Malecela (Guest) on July 3, 2024

πŸ€£πŸ‘πŸ‘Œ

Guest (Guest) on September 21, 2025

Unyama sana

Neema (Guest) on June 7, 2024

Nimependa hii! Endelea kuzileta! 😁

John Mushi (Guest) on June 1, 2024

Nimecheka hadi nina furaha sana! πŸ˜†πŸ˜‚

Peter Tibaijuka (Guest) on May 15, 2024

Hii imenichekesha sana! πŸ˜„πŸ˜‚

Nancy Kawawa (Guest) on April 24, 2024

Hii ndio nilihitaji leo! Asante! 😜

Mwafirika (Guest) on April 4, 2024

πŸ˜„ Kichekesho gani!

Joseph Mallya (Guest) on March 8, 2024

😁 Hii imenifanya siku yangu iwe bora!

Nancy Komba (Guest) on February 22, 2024

Hii imenifurahisha kweli! πŸ˜†πŸ˜‚

Betty Cheruiyot (Guest) on January 28, 2024

Nimecheka hadi nina furaha sana! 🀣😊

Sumaya (Guest) on January 26, 2024

πŸ˜„ Umenishika vizuri!

Victor Sokoine (Guest) on January 10, 2024

Hii imenikuna hadi nina furaha! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Lucy Mahiga (Guest) on December 26, 2023

πŸ˜‚πŸ˜…

Linda Karimi (Guest) on December 23, 2023

πŸ˜„ Siwezi hata kupumua, ni kichekesho sana!

Guest (Guest) on November 10, 2025

Nimeshangaa!! Sana

Omari (Guest) on December 18, 2023

Hii kichekesho imebadilisha kabisa hali yangu! πŸ˜ƒ

Edith Cherotich (Guest) on December 16, 2023

Hii kichekesho ilikuwa bora! Nimeipenda! 🎯

Diana Mallya (Guest) on December 13, 2023

Nimecheka hadi nimesahau shida zangu! πŸ€£πŸ˜†

Grace Mligo (Guest) on November 20, 2023

πŸ˜…πŸ˜‚πŸ˜„

Bakari (Guest) on November 7, 2023

πŸ˜‚ Sijacheka hivi kwa muda mrefu sana!

Elijah Mutua (Guest) on November 1, 2023

πŸ˜‚πŸ€£πŸ˜†πŸ˜…

Samson Mahiga (Guest) on October 9, 2023

Hii ni ya kufurahisha sana! πŸ˜ŠπŸ˜„

Betty Kimaro (Guest) on October 7, 2023

πŸ˜„πŸ˜…πŸ‘πŸ˜‚

Ruth Kibona (Guest) on August 20, 2023

Ucheshi wenu unanifurahisha kila siku! πŸ˜†πŸ˜‚

Elijah Mutua (Guest) on July 26, 2023

Hii imenifurahisha sana! 🀣😊

Anna Malela (Guest) on July 23, 2023

Hizi jokes ni za kipekee sana! πŸ˜†πŸ˜Š

Joseph Kawawa (Guest) on June 30, 2023

Wow, hii kichekesho ni mshindi kamili! πŸ†

Nora Lowassa (Guest) on May 19, 2023

Wow, hizi kichekesho ni dhahabu kabisa! πŸ’°

Lydia Mutheu (Guest) on May 18, 2023

😁 Hii imenifanya siku yangu iwe bora!

Richard Mulwa (Guest) on May 12, 2023

πŸ€£πŸ€£πŸ˜„πŸ˜†

Nancy Komba (Guest) on April 28, 2023

πŸ˜…πŸ˜‚πŸ‘ŒπŸ˜Š

Stephen Kangethe (Guest) on April 15, 2023

Hii ni ya kufurahisha! πŸ˜„πŸ˜…

Edwin Ndambuki (Guest) on March 31, 2023

πŸ˜ƒ Hali imeboreshwa papo hapo!

Samson Tibaijuka (Guest) on March 12, 2023

Ucheshi wenu unanifurahisha kila siku! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Sarah Mbise (Guest) on March 10, 2023

Nimefurahia sana hii! πŸ˜…πŸ˜Š

Abubakari (Guest) on March 4, 2023

Hii kichekesho itaingia moja kwa moja kwenye vipendwa vyangu! πŸ˜‚

Carol Nyakio (Guest) on February 22, 2023

Huu ucheshi hauna kifani! 🀣πŸ”₯

Christopher Oloo (Guest) on February 2, 2023

Mna kipaji cha ucheshi! πŸ‘πŸ˜‚

Agnes Njeri (Guest) on January 31, 2023

Haha, mbavu zangu zinauma kwa kucheka sana! 🀣

Lucy Wangui (Guest) on January 28, 2023

πŸ˜† Hiyo punchline ilikuwa kali!

Janet Mwikali (Guest) on December 24, 2022

🀣 Ninashiriki hii sasa hivi!

Stephen Kikwete (Guest) on December 12, 2022

πŸ˜‚ Siwezi kusubiri kushiriki hii!

Agnes Njeri (Guest) on November 18, 2022

πŸ˜‚ Lazima nihifadhi hii!

Anna Mchome (Guest) on October 29, 2022

πŸ˜„ Dhahabu ya vichekesho!

Esther Cheruiyot (Guest) on October 24, 2022

Nimecheka hadi nimesahau shida zangu! πŸ˜…πŸ˜Š

Diana Mumbua (Guest) on October 19, 2022

Ninashiriki hii na marafiki zangu mara moja! πŸ˜†

Kiza (Guest) on October 12, 2022

🀣 Hii kichekesho ni nzuri sana!

Charles Mchome (Guest) on October 11, 2022

😁 Kicheko bora ya siku!

Fredrick Mutiso (Guest) on September 11, 2022

Kweli mna ucheshi wa kipekee! πŸ˜‚πŸ€£

David Ochieng (Guest) on September 10, 2022

Nitaeleza hii kwa marafiki zangu bila shaka! πŸ˜„

Zawadi (Guest) on August 30, 2022

πŸ˜† Bado nacheka!

Andrew Mahiga (Guest) on August 29, 2022

Hii ni kali sana! πŸ˜‚πŸ€£

Wilson Ombati (Guest) on August 26, 2022

πŸ˜‚ Siwezi kuacha kucheka!

Betty Kimaro (Guest) on August 18, 2022

Hii imenikumbusha enzi zile! πŸ˜…πŸ˜‚

Alice Jebet (Guest) on August 11, 2022

πŸ˜‚ Nacheka hadi nalia!

Faiza (Guest) on July 19, 2022

Brilliant! Muda wake ulikuwa kamili! ⏰

Linda Karimi (Guest) on June 30, 2022

Hii imenifurahisha sana! πŸ˜ŠπŸ˜…

Samuel Were (Guest) on June 20, 2022

πŸ€£πŸ˜†πŸ˜ŠπŸ˜‚

Betty Kimaro (Guest) on June 20, 2022

Ucheshi wenu unanifurahisha! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Kazija (Guest) on June 20, 2022

Asante Ackyshine

Related Posts

Angalia huyu boyfriend alivyomuweza huyu msichana wake

Angalia huyu boyfriend alivyomuweza huyu msichana wake

Siku moja msichana alikuwa anapita maeneo ya A.T.M gafla akamuona boyfriend wake anatoa pesa kwenye ... Read More
Angalia nilichomfanyia huyu mwizi

Angalia nilichomfanyia huyu mwizi

Et jana usiku mwiz kavunja mlango kwangu
akaanza kutafuta kitu kila kona ikabid
na mie ... Read More

Wachaga wana mambo mbele ya hela, angalia hii bili ilivyomchanganya MASSAWE

Wachaga wana mambo mbele ya hela, angalia hii bili ilivyomchanganya MASSAWE

MASSAWE alienda na marafiki zake bar kunywa, baada ya kumaliza kutumia akal... Read More

Nilichokifanya leo

Nilichokifanya leo

Leo nmemlipa konda nauli, akasahau kunishusha kituoni. Na mimi nkakaa KIMYAAA kumkomoa…..

... Read More
Hawa Machizi wamezidi sasa

Hawa Machizi wamezidi sasa

Chizi kakaa ukingoni mwa bahari analia kwa masikitiko na huku kakamata kijiko cha chai. M... Read More

Wazo la asubuh - penzi la kuku

Wazo la asubuh - penzi la kuku

Wazo la asubui

πŸ™ˆPenzi la kuku sekunde 2 ila vifaranga kibao.Lakini binadamu masaa kib... Read More

MAJIBU YA MAKONDA WA DALADALA ZETU GONGOLAMBOTO HUKU

MAJIBU YA MAKONDA WA DALADALA ZETU GONGOLAMBOTO HUKU

1. wewe Dada unaturingia nini na matiti yako mawili , mbwa pia ana matiti nane na haturingii eboo !!... Read More
Hapo sasa!! Ni shida!!

Hapo sasa!! Ni shida!!

Umeshawahi saidiwa homework na mzazi halafu unapata zero?

Hapo ndio unajua shida siyo we... Read More

Angalia alichojibu huyu mwanafunzi, Ungekua wewe ni mwalimu wake ungemfanyaje?

Angalia alichojibu huyu mwanafunzi, Ungekua wewe ni mwalimu wake ungemfanyaje?

Mwanafunz alikuwa kila siku anachelewa shule, na kila siku alikuwa anachapwa, basi siku moja mwal... Read More

Kilichowakuta boss, mke wake na mfanyakazi wao

Kilichowakuta boss, mke wake na mfanyakazi wao

Bakari ni house boy mara nyingi huiba wine ya boss wake na kisha kuongeza maji kwenye chupa ili b... Read More

Angalia Kiingereza kilivyoniponza

Angalia Kiingereza kilivyoniponza

Shikamoo kingereza..!

Baada ya kufika Kempiski nikaona menu imeandikwa:

Saute... Read More

Mambo ya mke na mume haya, chezea mchepuko!?

Mambo ya mke na mume haya, chezea mchepuko!?

Mume akamwambia mke wake:
"Funga macho yako tufanye maombi"
Akaanza k... Read More

πŸ“– Explore More Articles