1. Ati wee ni m-black mpaka ukiingia kwa dinga(gari), dirisha zinakuwa tinted!
2. Kwenu kuchafu mpaka mende zinatema mate.
3. Vile wewe mfupi, ukipiga picha ya passport inatokea full.
4. Ati(house) yenu ina gate lakini hakuna fence.
5. Baba alienda ku buy ngombe akaona ikikojoa akasema sitaki hiyo imetoboka.
6.Wee mblack mpaka ukikutana na mzungu afternoon anakusalimia: Good evening.
7. Mko wengi kwa house mpaka kuna rush hours na kukinyesha kunakuwa na jam.
8. Paka yenu noma mpaka ikishika panya inaomba chumvi, fork na pilipili.
9. We ni mrefu mpaka ukikunywa maziwa inafika kwa tumbo ikiwa mgando.
10.Wewe ni mweusi ukikanyanga makaa unawacha footprint nyeusi.
11. Kwenyu mkikunywa maji mnaitisha toothpick
12. We ni mbishi hadi ulikataa kuzaliwa uchi
13. Kwenu kuna insecurity ikifika usiku hadi geti mnaingiza ndani
14. Kwenu ni wengi sana hadi mmeweka round about ndani.
15. Wewe ni mlafi hadi maji uliyochemshia mayai unayafanya supu.
16. We ni mjinga sana hadi blood test ulifeli.
17. Una chogo refu hadi ukigeuka haraka unaweza kuliona.
18. Una kichwa kikubwa hadi ukiingia kwenye daladala konda anakwambia "abiria usiingie na mizigo, tunaweka juu kwenye carrier
James Mduma (Guest) on July 15, 2024
ππ π
Guest (Guest) on December 2, 2025
singeri, ?ΒΏ
mhh iri goma noma. make kwanza ncheke watoto waefumbili mbona hawaelewekiiooo ooo ooo
hawazeeki??bit????
hawazeeki??bit???? hawazeeki??bit????
hawazeeki
aaoooo oooo oooo
myaka yote watoto paka lini..watoto waefumbili hamzeki nyinyi
au ndo stendi mpya myaka yote..so yazamanii
kunakigoma mtaa fulanii wanasuta watoto waefumbiliaoo bichikoko mara sinza kula nyama watoto waefumbiliaoo hawataki swaga kipenda roho chao mane watoto aoo kila kona mitandaon wametrend watoto aoo wana myaka namyaka kwaniniwao hawazeeki watoto aoo oooo ooo hawazeeki??biti?? hawazeeki??biti??
hawazeeki??biti??
.....?jamani huu niwimbo wasinger nimeuwandika mimi apa
ABU MAHEMBE ila sijapata sapoti atakaekuwa tayarikunisapoti nicheki 0681305278 nikumalizie mistar kibao kinaitwa hawazeeki2
hairuhusiwi kukopi bira lizaa yangu asante
Guest (Guest) on December 2, 2025
singeri, ?ΒΏ
mhh iri goma noma. make kwanza ncheke watoto waefumbili mbona hawaelewekiiooo ooo ooo
hawazeeki??bit????
hawazeeki??bit???? hawazeeki??bit????
hawazeeki
aaoooo oooo oooo
myaka yote watoto paka lini..watoto waefumbili hamzeki nyinyi
au ndo stendi mpya myaka yote..so yazamanii
kunakigoma mtaa fulanii wanasuta watoto waefumbiliaoo bichikoko mara sinza kula nyama watoto waefumbiliaoo hawataki swaga kipenda roho chao mane watoto aoo kila kona mitandaon wametrend watoto aoo wana myaka namyaka kwaniniwao hawazeeki watoto aoo oooo ooo hawazeeki??biti?? hawazeeki??biti??
hawazeeki??biti??
.....?jamani huu niwimbo wasinger nimeuwandika mimi apa
ABU MAHEMBE ila sijapata sapoti atakaekuwa tayarikunisapoti nicheki 0681305278 nikumalizie mistar kibao kinaitwa hawazeeki2
hairuhusiwi kukopi bira lizaa yangu asante
Guest (Guest) on December 2, 2025
singeri, ?ΒΏ
mhh iri goma noma. make kwanza ncheke watoto waefumbili mbona hawaelewekiiooo ooo ooo
hawazeeki??bit????
hawazeeki??bit???? hawazeeki??bit????
hawazeeki
aaoooo oooo oooo
myaka yote watoto paka lini..watoto waefumbili hamzeki nyinyi
au ndo stendi mpya myaka yote..so yazamanii
kunakigoma mtaa fulanii wanasuta watoto waefumbiliaoo bichikoko mara sinza kula nyama watoto waefumbiliaoo hawataki swaga kipenda roho chao mane watoto aoo kila kona mitandaon wametrend watoto aoo wana myaka namyaka kwaniniwao hawazeeki watoto aoo oooo ooo hawazeeki??biti?? hawazeeki??biti??
hawazeeki??biti??
.....?jamani huu niwimbo wasinger nimeuwandika mimi apa
ABU MAHEMBE ila sijapata sapoti atakaekuwa tayarikunisapoti nicheki 0681305278 nikumalizie mistar kibao kinaitwa hawazeeki2
hairuhusiwi kukopi bira lizaa yangu asante
Guest (Guest) on December 1, 2025
]ukitaka kumpiga mkewako kumbuka kuweka laundi spika nasisi tusikie
Guest (Guest) on December 2, 2025
*TANGAZO RAKIFO tunasikitika kutangaza kifo chabwana ugari
kilichotokea saa7 mchana mazishi yatafanyika tumboni namaziko yatafanyika choni habar hizi zimfikie mwiko mkaa nakuni popote pale walipo alieuwa nimkono
Guest (Guest) on December 1, 2025
,stor yangu
kitaani kwetu kulikuwa nadem nampend sana ira kila nikimfata ananikataa kwavile nimaskini et tampa nini
siku moja
katika pita pita zangu nikaona kitamba kichafu kimefungwa fungwa vizuri watu wanakipita wanaenda wanakipit wanaenda mimi nilivokiona nikaona kama kunakitu ndani yakile kitambaa nilikuwa nimevaa nguo chafu sana maisha yangu yalikuwa dolo niko nazurula maeneo yasokoni nikainama nakukiogoa kile kitambaa watu wananishanga vp yule amekuwa chizi mimi kukifungua ivi kile kitambaa nikakuta pande ladhahabu nikatoka mbio kuelekea nyumba watu ndo wakanza amekuwa chiz chiz mana nilikimbia mwendo wangili mkia juu nilipofika hom nikapitiliza mbele kuiyuza nikaludi nyumbani namabod gad nagar kar nasut kali nadereva anaeniendesha
nabrufukes yahela bodi gadi akafungua mlango nikashuka namiwani mikali nasut nakiatu chabei uku nimeshika brufukes yapesa...?
PATI2 INAKUJA TUJUE IRIKUWAJE itafute pati tu umu umu ujue ilikuwaje hi nipati.1
Guest (Guest) on December 2, 2025
pati2 story yangu
yaa uku nimeshika ile brufukesi yapesa nalinga nikikumbuka shida nilizopitia madem wananizarau natamba vibaya nikiwa pale yule dem alie nikataaga akaja kwaharaka hakunijua akawa anawambia marafikizake duu ningepataga mwanaume kama huyu ila micjui namkos wanaume wote wanaonifata nimaskini2 wakutupwa apo hajajua kama uyo anaemzungumzia nimimi alienikataaga kisa nimaskini ndo marafikizake wakamwambia ww sulisemaga alikutongoza mkubali yule dem akajibu nani siyule mkaka ndo akajua kama nimimi apo nisha kuwa tajir wakutupwa sielewi nimenunua nyumba yaghorofa namagar.5 yakifahari alafu bado namipesa shazi yule dem alipojua nimimi akanita abuu nakupenda mimi nikamwangalia nikamjibu umenipenda kwavile umeona nahela nikamsonya kwazalau alafu nikamuamulu bodigad anifungulie mlango wagar nisepe zangu ile nageuka ningie kwenyegari nikaskia mtu ananipiga kofi lamgongo weeABU amka twende shamba ety kumbe mda wote uwo nilikuwa naota mama ndo ananiamsha asubuh twende shamba aaaaah ira ndoto
(0681305278)
Guest (Guest) on November 22, 2025
1.mbuzi wa maskini hazai
2.abiria poteza nauli ujue njia zamkato
3.ukubwa so madaraka hata mlango nimkubwa ira mwenye madalaka kufuri
4.hata babu alikuwa kijana
5.mtaji wamaskini nguvuzake mwenyewe
6.kura iri usife utashibaga mbele
7.maskini habagui chakula
8.jogoo washamba hawiki mjini
9.kuku mgeni hakosi kamba mguni
10.usishangae mimi kuwa maskini wanoti kashangae makaburini watu wanapandwa rakini hawaoti
11.alie sema sasampa maskini tunakosa madem uku kira dem toa sasampa
12.tambua kila lenyemwanzo linamwisho hatamwisho unamwishowake.....?
NIMIMI HAPA TAJIRI WAUPENDO
MASKINI WACHUKI BY ME ABU MAHEMBE
Guest (Guest) on November 28, 2025
:MASHAIRI:
mitihani yamungu
haina..darasa
nakitabu chashida.
hakioneshi ukulasa
mwanadam
changamoto
zinatunguza kwaghazabuu!
wengi wamepotea
kwaizi shida natabu..
usitwone kituko
kama kwako maisha angarau..?
maskini tunayoyapitia kilasiku twashuka dau... tunayavumilia ayaa maiisha.. ira yanatesa kwazamu
enjoi leo kunywa bia.. ira tambua maisha daraja ukiskia nyuma geuka
wakwanza wamwisho wakwanza..
elewa
mai shaa aa maisha du! du! du! ddu! maishaaaa hayaa
maisha oo maishaaa aaa maisha changamoto maishaaa aaa maisha biti|||!!! m m m m maishaaa aaaa maishaa kunamu.....
nicheki 0681305278
ABU MAHEMBE ME by
MUZIKI
Guest (Guest) on December 1, 2025
".nguvu".kazi".yataifa".
unalala hadi saa.4
ndugu mteja kifushi chako cha kulala kimekwisha tafadhar shuka kitandani ujiunge na kifushi chakufanya kazi kwaofazaidi piga *mswaki#
1.nawa uso
2.kunywa chai
3.piga mazoezi
4.kazi yaleo
kwamaelezo zaidi pg.0681305278 kunijulia hali
kwamaelezo zaidi wasiliana nandugu jamaa namarafiki
abu ee by
acheni uvivu
Guest (Guest) on November 28, 2025
:MASHAIRI:
mitihani yamungu
haina..darasa
nakitabu chashida.
hakioneshi ukulasa
mwanadam
changamoto
zinatunguza kwaghazabuu!
wengi wamepotea
kwaizi shida natabu..
usitwone kituko
kama kwako maisha angarau..?
maskini tunayoyapitia kilasiku twashuka dau... tunayavumilia ayaa maiisha.. ira yanatesa kwazamu
enjoi leo kunywa bia.. ira tambua maisha daraja ukiskia nyuma geuka
wakwanza wamwisho wakwanza..
elewa
mai shaa aa maisha du! du! du! ddu! maishaaaa hayaa
maisha oo maishaaa aaa maisha changamoto maishaaa aaa maisha biti|||!!! m m m m maishaaa aaaa maishaa kunamu.....
nicheki 0681305278
ABU MAHEMBE ME by
Guest (Guest) on November 18, 2025
ABU MAHEMBE
%kweli ubishi@sio mzur
"nacheo sio tishio
"waziri mmoja arienda " "kwenye mradi wanyuki naasari kufika getini "mrinzi akamzuiya akamwambia haruhusiwi mtu kuingia kwasasa "wazir akafoka "nakusema kwani haujui mininani huku anamwonesha kitambulisho
"mlinzi kwakutii akamruhusu haya ingia mueshimiwa akaingia "baada yamda kidg wazir aliskika akiiita mlinzi mlinzi nyuki wamenivamia "mlinzi akamjibu waoneshe kitambulisho wakujue weninani hahahahahahaha
Guest (Guest) on November 15, 2025
ABU MAHEMBE
abu boy-
mashairi muziki
nambayangu
ni 0681305278
|||
minajua tupowengi tunaosaka shiring ira tukumbuke siwapitanjia nayaona mengi kuyasema siwezi hayamaisha nayopitiaa
,hata ingekuwa story haya maishayangu nisingeweza kuaditia unaepitia meng kumbuka kunamungu usisahau kuweka niaa
tufanyeni yote mabaya mazur ira kwake tutalejeaa mwanamke zaa kwauchungu mwanaume haso ira tukumbuke hiii nidunia
unashinda kutwa hujamtaja mungu tunasahau letu kudio duniani ametuleta iri tumwabudu ira kwenyepesa tumekimbilia shetani niache nilud kwamungu mimii dhambi najiogopea aisee naokoka naokoka naokokaa|||naokoka naokoka naokokaa|||| naokoka naokoka naokokaa
....?
Guest (Guest) on November 18, 2025
WOYOOOOOOOOOOO "wasomi mpo
"kunaswali apa atake "atakaeweza kujibu " "kunavocha ya 2000/=
%swali
"mke wakipofu "Anatembea nakiziwi
"naanae ijuwa siri hiyo "nibubu " "je? "bubu "atawezaje kuitoa siri hiyo kwakipofu "ingarikuwa hajui kusoma wara kuwandika "nahatoi sauti fowadiya "nawengine paka tupate "jibu apa
ABU MAHEMBE ME by 0678 1305 278
Guest (Guest) on November 17, 2025
ABU MAHEMBE
ikiingia nitam kama asari ikikaa sana inapoteza radha...
%huwezi kupata "kama hauna pesa
kira mwenyepesa anatafunatu
.inaiimgia imesimama wima inatoka imeregea uku inanata nata haina radha tena nayo sinyingine ni jojo bgg
acha kuwaza ujinga ww
hahahahaha
Guest (Guest) on November 17, 2025
kwaumpendae2
. +"" ' " "+.+" " ""+ .
+ MAISHA + + MEMA + + + + + + NI KUPENDANA KUSALIMIANA kukumbukana kusameheana
*
*furaha yangu iwe kivuli chako upendo wangu iwe ndovazirako
nakuombea kwa MUNGU kira atakae kubariki nae abarikiwe kira atakae kulaani nae araniwe
dunia inawatu weng ira wenye utu niwachache sana kinacho mtamburisha mtu sio jinarake wara sura yake wala uzur wake kinacho mtambulisha mtu ni
*tabia nzur
*kaur nzur
*ustarabu
*uskivu
nipende nikupende dunia tunapita pesa wachie wao upendo nipe mimi wp imeandikwa mwanaume ndo awe napesatu hata mwanamke inatakiwa nae awe napesa ira mbona mimi nimekupenda japokuwa hauna pesa
ILOVYOU MI
NIYULE YULE TAJIRI WAUPENDO
MASKINI
WACHUKI
ABU MAHEMBE BY ME
0681305278
mesege tochat
Guest (Guest) on November 26, 2025
"SALI
"KABRA HUJASALIWA
"SOTE KWAKE "TUTALEJEA DUNIANI "TUMEKUJA "KUTEMBEA
Guest (Guest) on November 26, 2025
||""""""""""""""""""""""""""""""
||onyo usizime taa .*.
||yamwenzako
||huweenda kunasiku
||utahitaji mwanga wake
||wewe utakapokuwa ||gizani
||abu by
""""""""""""""""""""""""""""""
Guest (Guest) on November 26, 2025
:nyie wadada mnao semaga wanaume wote nimmbwa nababayako mzazi nimbwa au yeye so mwanaume hahahaha nasisi wanaume tunaosemaga wanawake wote hawana akili mamayako yeye so mwanamke mhh tubadilisheni lugha jamani
Guest (Guest) on November 14, 2025
ABU MAHEMBE
"we dada njoo njoo nikuto
nikutongozee unisikilizee
alafu njoo njoo nikufii
nikufiikishe kwamama akuoneee
"usijali napenda kuu
kuuongea sana
"nimejaliwa uboo
uboongo waakili
hata ukinipa umwo asee utainyoi
"siombeletu hata nyuma "
napitaga mlango wetu wanyuma huwa nawah kufunga
"nami mwenzako sichagui pakumwaga namwaga moto popote nikimaliza kukuwagaaa
acheni kumanisha
hahahahahahahahahaha
Guest (Guest) on November 13, 2025
ABU MAHEMBE
"utani huu jamaa "alinikuta....
"nimekaa chini yamti
"nimeshika soda naiyangalia nataka ninywe akafika nakuninya nganya
"akanywaa yotee nikamuangaria "
"nikaanza kuria "akaniambia
aaaaa mtani unalia kisa soda nilikuwa nakutania ngoja bas nikakununulie nyingine " namimi nikamwambia shida sio soda minaona leo nisiku yamajanga "nimenda kazini nimefukuzwa kazi "nimetoka njee gari langu limeibiwa naludi nyumbani ety mkewangu ameniacha "ndo nimeweka sumu kwenye soda ninywe nife2 we umeenda kunywa "nayeye kuckia ivo akazimia alivozinduka namimi nikamwambia aaaaaa mtani unazimia nini namimi nilikuwa nakutania
akabaki ameduwaa
Guest (Guest) on November 17, 2025
%inagongwa hazarani
%kira anaejickia huigonga %haina choyo..
%hutoa mayoe makari %sana unapoigonga
%paka watoto %wanashangiria
%haijawahi kuvaa nguo
%inagongwa sana lakin %haizai mda wote %imeninginizwa angani %kila kipindi hugongwa %namti wachuma
%nayo sinyingine nikengele yashuleni
ha ha ha acha ujinga
ABU MAHEMBE
Guest (Guest) on November 26, 2025
upendo ukizidi duu?
:sikumoja
:jamaa mwenye watoto wawili alikuwa
anaeishi namama pamoja nababayake
:sikumoja
:IZRA ERI akashuka akamwambia kijana leo nisiku yakufa duniani kati yababa yako au mama unaona nani bora afe jamaa akajibu bora afe baba mara nayeye akafa wakiwa mbinguni wakajikuta wote walio kufa niwanaume yule kijana akauliza maraika mbona nilisema afe baba namimi nimekufa malaika akajibu kwani wewe nimama nawewe simwanaume wote mlokufa apa mlisema bora baba ndo afe ha!ha!ha!ha!ha!ha!ha!haΒ‘kumpenda mama kukizid niasala
Guest (Guest) on November 13, 2025
ABU MAHEMBE "kunaomba omba "amekuja nyumbani
"akanikuta mimi " akaniambia naomba unisaidie kama unahata buku mia amsini mi napokea
"nikamwambia sina hela "akaniambi nisaidie basi hata nguo sina nguo "nikamwambia sina " ""akasema nisaidie hata chakula naskia njaa
"nikamwambia hamna chakula
"akasema eee braza "unaonaje tuongozane kuomba omba wote mana nawewe nikama mimitu hauna kilakitu duu?jamani naombeni hata buku nimpe aendee ila kwel
Salima (Guest) on June 26, 2024
Kama kawaida! Bado nacheka! π
Peter Mwambui (Guest) on June 16, 2024
Hii imenichekesha sana! ππ
Mwajuma (Guest) on May 26, 2024
π Ninacheka sana sasa hivi!
Joyce Nkya (Guest) on May 18, 2024
Hii kichekesho inastahili tuzo! π
Mwajuma (Guest) on May 8, 2024
π Hii ni hazina ya kichekesho!
Ann Wambui (Guest) on April 21, 2024
π πππ
Anna Mchome (Guest) on April 8, 2024
Ucheshi wenu ni wa hali ya juu sana! ππ
Kheri (Guest) on April 2, 2024
Hii ni kali kabisa! Siwezi kushiba! π
Joseph Kiwanga (Guest) on April 1, 2024
Hii imenikumbusha kicheko cha zamani! ππ
Maimuna (Guest) on March 31, 2024
π Siwezi hata kupumua, ni kichekesho sana!
Grace Mligo (Guest) on March 29, 2024
πππ π
Rose Mwinuka (Guest) on March 2, 2024
Hii imenipa kicheko cha siku! ππ€£
Charles Wafula (Guest) on February 16, 2024
ππππ
Thomas Mwakalindile (Guest) on January 13, 2024
π€£ Ujuzi wa hali ya juu!
Joseph Kitine (Guest) on December 14, 2023
ππ€£ππ
Catherine Naliaka (Guest) on December 7, 2023
π€£π€£ππ
Amani (Guest) on November 27, 2023
Siwezi kuamini jinsi hii ni kichekesho! π
Josephine (Guest) on October 30, 2023
Sikutarajia hiyo punchlineβkichekesho! π€£
Jacob Kiplangat (Guest) on October 1, 2023
Kweli mna kipaji cha ucheshi! ππ€£
Philip Nyaga (Guest) on September 7, 2023
Umesema kweli! ππ
Alice Mwikali (Guest) on August 28, 2023
Hii imenipa kicheko cha siku! ππ
Stephen Amollo (Guest) on August 25, 2023
πππ π€£
Robert Okello (Guest) on August 23, 2023
ππ
Biashara (Guest) on August 21, 2023
π Siwezi kuacha kucheka na hii!
Benjamin Kibicho (Guest) on July 20, 2023
π€£ππ
Elijah Mutua (Guest) on July 20, 2023
Hii ni ya maana sana! ππ
Nancy Akumu (Guest) on July 11, 2023
π Bado nacheka, siwezi kuacha!
Andrew Odhiambo (Guest) on July 3, 2023
Kweli mna ucheshi wa kipekee! ππ€£
Amani (Guest) on May 25, 2023
π Kicheko bora ya siku!
Lydia Mutheu (Guest) on May 12, 2023
π Hii imenichekesha kwa sauti kweli!
Victor Kamau (Guest) on May 11, 2023
Nilikuwa na siku mbaya hadi niliposoma hii! π
Victor Kimario (Guest) on May 8, 2023
π Hakika hii ni kichekesho changu kipya!
Chiku (Guest) on May 7, 2023
π Naihifadhi hii!
Khamis (Guest) on April 10, 2023
π Nilihitaji kicheko hicho!
Alice Mrema (Guest) on March 7, 2023
Hii imenifurahisha hadi ninacheka kwa sauti! ππ