Warning: Undefined variable $user_id in /home/ackyshine/personal/sidebar.php on line 36
Sidebar with Floating Button
AckySHINE πŸ”
☰
AckyShine

Wachaga kweli kiboko: Mcheki huyu mchaga na mbuzi!!!

Featured Image

Mchaga alinunua mbuzi akamwambia mpishi Nyama nusu ipike pilau na ingine itie kwenye friza. Kichwa fanya supu, miguu fanya mchuzi chukuchuku. Ngozi usitupe tutafanya mswala, utumbo pikia ndizi na mifupa tutawauzia wenye mbwa. Kinyesi kihifadhi kwa mbolea ya bustani.

Mpishi akamuuliza Hutaki na sauti ya mbuzi tufanye ring tone kwenye simu yako? Mchaga akajibu Yesuu! hivi inawezekana? bac fanya hivyo tuwauzie na wengine hiyo ringtone. πŸ˜„πŸ˜„

AckySHINE Solutions

Comments

Please log in or register to leave a comment or reply.

Josephine Nduta (Guest) on July 23, 2024

Kama kawaida! Bado nacheka! πŸ˜„

Peter Otieno (Guest) on July 12, 2024

Hii imenikumbusha kicheko cha zamani! πŸ˜‚πŸ˜…

Alice Mwikali (Guest) on June 29, 2024

πŸ€£πŸ€£πŸ˜„πŸ˜†

David Chacha (Guest) on June 17, 2024

Hizi jokes ni za ukweli! πŸ˜†πŸ‘

Monica Nyalandu (Guest) on May 12, 2024

Nimecheka hadi nimesahau shida zangu! πŸ€£πŸ˜†

Josephine Nduta (Guest) on May 9, 2024

Hii imenibamba sana! πŸ˜‚πŸ˜…

Victor Kamau (Guest) on January 3, 2024

Nimecheka hadi mbavu zinauma πŸ˜‚πŸ˜‚

Sekela (Guest) on December 22, 2023

Hii imenigonga vizuri, punchline gani! πŸ˜†

Victor Malima (Guest) on December 19, 2023

😊🀣πŸ”₯

Patrick Mutua (Guest) on December 1, 2023

Hii imenipa furaha ya siku! πŸ˜†πŸ˜‚

Mohamed (Guest) on November 13, 2023

😁 Hii imenifanya siku yangu iwe bora!

Wilson Ombati (Guest) on October 29, 2023

Hii ni joke ya kufurahisha sana! πŸ‘πŸ˜†

Peter Otieno (Guest) on October 19, 2023

πŸ€£πŸ‘πŸ‘Œ

Abubakar (Guest) on October 12, 2023

πŸ˜‚ Ninahitaji kuihifadhi hii milele!

Baraka (Guest) on September 22, 2023

πŸ˜„ Kichekesho gani!

David Kawawa (Guest) on September 21, 2023

Nimecheka hadi nina furaha sana! πŸ˜†πŸ˜‚

Paul Ndomba (Guest) on September 5, 2023

Hizi jokes ni za kipekee sana! πŸ˜†πŸ˜Š

Mwafirika (Guest) on August 25, 2023

Hii ni kali kabisa! Siwezi kushiba! πŸ˜‚

Lucy Mushi (Guest) on August 24, 2023

Ucheshi wenu unanifurahisha kila siku! πŸ˜†πŸ˜„

Lydia Mutheu (Guest) on August 21, 2023

Hii ni kali! Itaingia kwenye vipendwa vyangu! πŸ˜„

Richard Mulwa (Guest) on August 5, 2023

Nimecheka kwa sauti! 🀣🀣

Ali (Guest) on August 1, 2023

😁 Hii imenifanya siku yangu iwe bora!

Faith Kariuki (Guest) on July 30, 2023

Kweli mna ucheshi wa kipekee! πŸ˜‚πŸ€£

Lydia Wanyama (Guest) on July 25, 2023

Hii imenifurahisha sana! πŸ˜ŠπŸ˜…

Grace Wairimu (Guest) on July 12, 2023

Lazima nikumbuke hii kwa baadaye! πŸ˜†

James Malima (Guest) on July 9, 2023

πŸ˜…πŸ˜‚πŸ‘ŒπŸ˜Š

Stephen Kangethe (Guest) on July 7, 2023

πŸ˜ƒ Hii imenichekesha kwa sauti kweli!

John Mushi (Guest) on July 4, 2023

πŸ˜† Bado nacheka!

Monica Adhiambo (Guest) on June 16, 2023

Huyu alikuwa na point! πŸ˜‚πŸ‘Œ

Ali (Guest) on June 16, 2023

🀣 Ninashiriki hii sasa hivi!

Moses Kipkemboi (Guest) on June 9, 2023

Haha, hii ni kicheko bora zaidi nilichopata wiki hii! 😁

Susan Wangari (Guest) on May 23, 2023

πŸ˜† Nacheka hadi chini sasa hivi!

Nashon (Guest) on May 23, 2023

πŸ˜† Bado nacheka, siwezi kuacha!

Nancy Komba (Guest) on May 13, 2023

Nimecheka hadi nimesahau shida zangu! πŸ˜…πŸ˜Š

Victor Kamau (Guest) on May 9, 2023

Nimefurahia hii sana! πŸ˜†πŸ˜Š

Stephen Kikwete (Guest) on April 29, 2023

Nimecheka hadi machozi yanatoka! 🀣😭

Benjamin Kibicho (Guest) on March 30, 2023

πŸ˜‚πŸ€£πŸ˜†πŸ˜…

Linda Karimi (Guest) on March 20, 2023

πŸ˜†πŸ˜…πŸ˜‚

Juma (Guest) on March 1, 2023

πŸ˜† Naihifadhi hii!

Joseph Mallya (Guest) on February 28, 2023

🀣πŸ”₯😊

Vincent Mwangangi (Guest) on February 15, 2023

πŸ˜‚ Sijacheka hivi kwa muda mrefu sana!

James Kawawa (Guest) on January 29, 2023

πŸ˜‚ Siwezi kuacha kucheka!

Michael Onyango (Guest) on January 25, 2023

Hii ni ya kufurahisha sana! πŸ˜ŠπŸ˜„

Athumani (Guest) on January 25, 2023

😁 Imeongezwa kwenye vipendwa!

Linda Karimi (Guest) on December 4, 2022

Nimependa hii! Endelea kuzileta! 😁

Leila (Guest) on November 24, 2022

Hii kichekesho ni ya kuhifadhi bila shaka! 😁

Charles Mchome (Guest) on November 6, 2022

Hii ni bomba sana! πŸ€£πŸ‘

Victor Sokoine (Guest) on October 22, 2022

πŸ˜„ Hii ni ubunifu wa hali ya juu!

Richard Mulwa (Guest) on September 24, 2022

πŸ˜…πŸ˜‚πŸ˜„

Philip Nyaga (Guest) on September 13, 2022

Kweli mna ucheshi wa hali ya juu! πŸ˜‚πŸ€£

John Lissu (Guest) on August 6, 2022

πŸ˜‚πŸ€£πŸ˜ŠπŸ˜…

Margaret Mahiga (Guest) on August 4, 2022

Nimecheka hadi nimepata furaha! πŸ˜ŠπŸ˜†

George Mallya (Guest) on August 3, 2022

Hii ni joke ya ukweli kabisa! πŸ˜‚πŸ€£

Anna Mchome (Guest) on June 19, 2022

πŸ˜„ Umenishika vizuri!

Sharon Kibiru (Guest) on June 10, 2022

πŸ˜‚πŸ˜†

Mary Mrope (Guest) on May 27, 2022

Kweli ni jokes za ukweli! πŸ‘πŸ˜†

Edwin Ndambuki (Guest) on May 16, 2022

πŸ˜‚πŸ€£

Kiza (Guest) on May 11, 2022

πŸ˜‚ Ninashiriki mara moja!

Nora Kidata (Guest) on April 19, 2022

😁 Hii ni hazina ya kichekesho!

Peter Tibaijuka (Guest) on April 18, 2022

πŸ˜… Bado ninacheka!

Related Posts

Kwa nini vitu vunavyoanza na "K" ni vitamu sana?

Kwa nini vitu vunavyoanza na "K" ni vitamu sana?

Zuzu kaniuliza, "Anko, unajua vitu vinavyoanzia na K ni vitamu sana." Nikashtuka, "Astaghafilulah we... Read More
Huyu mgeni wa huyu jamaa ni shida

Huyu mgeni wa huyu jamaa ni shida

Pale unapokuwa umefulia sana…

Mgeni anakutembelea Maskani kwako….Unaamua Kuchukua Ile S... Read More

Baada ya mwanamke kukataa kufungua mlango angalia kilichomkuta

Baada ya mwanamke kukataa kufungua mlango angalia kilichomkuta

MUME: Fungua mlango!

MKE: Leo sifungui! Nimechoshwa na ul... Read More

Mke alichomfanyia mme wake kabla ya kwenda safari, Chezea mawaifu walokole wewe!

Mke alichomfanyia mme wake kabla ya kwenda safari, Chezea mawaifu walokole wewe!

JAMAA alimuaga mke wake mlokole kuwa anaenda semina ya siku tatu, kumbe anakwenda kwa bi mdogo. Mke... Read More
Amri za chuo

Amri za chuo

Ndio hizi sasa

1.Hicho ndicho chuo chako usiwe na chuo kingine ila hicho.
2.Usilitaje ... Read More

Baadhi ya misemo mikali ya leo

Baadhi ya misemo mikali ya leo

1. Mwanaume hata awe bahili vipi, hawezi kumpa mwanamke mimba nusu.

2. Hata uwe na magari m... Read More

Huyu jamaa amekomeshwa, majambazi ni shida!

Huyu jamaa amekomeshwa, majambazi ni shida!

CHEKA KIDOGO
Majambaz waliliteka gar moja lililokua limeshehen abiria
Baada ya abiria k... Read More

Huu ndio uchawi unaweza kufanyika siku mpenzi wako akikutambulisha kwao

Huu ndio uchawi unaweza kufanyika siku mpenzi wako akikutambulisha kwao

πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
*UCHAWI* ni nini?

`Uchawi ni pale mpenzi wako anapokupeleka kwao ... Read More

Swali la kizushi kwa wadada wanaovaa mawigi

Swali la kizushi kwa wadada wanaovaa mawigi

Hivi wadada mnaovaa mawigi.

πŸ‘‰πŸ½Β Utajisikiaje siku Boyfriend ... Read More

Unakumbuka hizi Sheria zetu za mpira utotoni?

Unakumbuka hizi Sheria zetu za mpira utotoni?

1.Mwenye mpira Lazima acheze ata kama hajui mpira
2.Dogo mnene Lazima aw... Read More

Angalia nilichokifanya Jana kumkomoa x-wangu

Angalia nilichokifanya Jana kumkomoa x-wangu

Mwenzenu nilikatiwa umeme jana basi leo si nikaamua kwenda kununua luku ya 10,000. Kufika njiani ... Read More

Jinsi nilivyogundua kuwa nina kipaji leo

Jinsi nilivyogundua kuwa nina kipaji leo

LEO NIMEPITA MTAA FULANI NIKAKIMBIZWA NA MBWA, NDIO NIKAJUA NINA KIPAJI KINAPOTEA TU………

... Read More
πŸ“– Explore More Articles
🏠 Home πŸ“– Reading πŸ–ΌοΈ Gallery πŸ’¬ AI Chat πŸ“˜ About