Warning: Undefined variable $user_id in /home/ackyshine/personal/sidebar.php on line 36
Sidebar with Floating Button
AckySHINE πŸ”
☰
AckyShine

Vichekesho kumi bora vya leo vya kuvunja mbavu

Featured Image

1. Maswali haya je una majibi? JIBU KISHA NITUMIE MAJIBU![mtihani wa maarifa ya dunia]
1. Kama hela haioti kwny miti, kwnn bank zina matawi?
2. Kwnn gundi haigandi kwenye chupa yake?
3. Kama tunatakiwa tusi-drive wkt tumekunywa, kwnn bar kuna parking?
4. Kama neno abbreviation linamaanisha ufupisho, kwnn lenyewe ni refu hvo?
5. Kama tunatakiwa kufanya sex ndani ya ndoa 2, kwnn tunabalehe kabla ya kufunga ndoa? Kazi kwako…



2.Taxi Mwanamke aliingia kwnye tax akiwa hana nguo,km alivyozaliwa!Dereva akawa anamshangaa,mwanamke akamuuliza hujawahi kuona uchi au! Dereva akajibu.ninachoshangaa c uchi wako,najiuliza pesa ya kunilipa utakuwa umeiweka wapi?


3.Siri Baba: mwanangu, enhe shika hii 500Tsh usimuambie mama yako kuwa nimelala na housegirl. Mtoto: sitaki, tatizo we baba ni mbahiri sana mwenzio mama akilala na dereva ananipaga 1,000Tsh.


4.Tendo la ndoa TENDO LA NDOA LINAVYOOMBWA:

WAMASAI: Mama Yeyo nipe ile kitu namesa mwensake

WAHAYA: Mama Koku infacti njoo tuperform

WACHAGA: Mama Manka Fungua Kibubu nitupe shilingi

WAPEMBA: Mama Ali panua paja mti waja!

WAZARAMO(hamna tafsida)andaa k*#, m*$$ yaja


5.Short na Long Call Kama haja ndogo ni ''short call'' Haja kubwa ni "long call" Basi kujamba iitwe "missed call"


6.Heshima Mtoto kaona nyeti ya baba yake, Akauliza "nini hii"? Baba,akajibu "ni Heshima", kesho yake wakaja wageni, baba akamwambia mtoto, "toa heshima kwa wageni", mtoto akatoa Nyeti yake, akaonesha, wageni wakashangaa! mtoto akasema "mnashangaa haka kadogo, baba anayo heshima kubwaaa……!


7.Kurudi shule Mtoto kamuuliza babake; " Eti baba, Unataka kuanza tena shule? Baba akauliza: "kwa nini Umeuliza hivyo? Mtoto akamwambia: Jana uthiku, nilickia ukimnong'oneza mama" Eti, kama anapenda, Muende la pili..! " Hivi Baba mimi niko la nne wewe na mama itakuwaje mwende la pili? Uthikubali hata kdogo"


8.Mchaga. Mchaga alipata ajali alipozinduka pale hospitali akauliza "nipo wapi hapa?" Nesi akajibu,"umepata ajali, hapa upo hospitali. Bahati mbaya umekatika mkono." Mgonjwa: Na je saa yangu ipo wapi ya Rolex? Ipo mzee, nesi alijibu. Nesi: Mkeo na watoto wapo hapa kukufariji. Mgonjwa: Yeuwi… Wamefunga duka?


9. Kimombo na sms Jamaa katumiwa msg na dem wake,kutokana na urefu wa msg ikashindwa kufika yote mwishoni ikaandika'some text missing'jamaa kizungu hajui hivyo maneno ya mwisho hakuelewa maana yake lkn akahisi litakuwa neno la kimahaba,kusudi aonekane mjanja akajibu, "some text missing too dear"


10.Vibweka vya housegirl Mama mwenye nyumba "jamani nyie watoto wa nyumba hii, vijiti vya meno nimeleta juzi tu leo vimeisha?" Ndipo hoousgirl akadakia na kusema "mama mimi simo humo maana kila nikitumia nikimaliza tu navirudishiaga humo humo."

AckySHINE Solutions

Comments

Please log in or register to leave a comment or reply.

Elizabeth Mrema (Guest) on November 20, 2022

Hii imenifurahisha hadi nacheka kwa sauti! πŸ€£πŸ˜‚

John Mwangi (Guest) on October 24, 2022

πŸ˜‚ Ninaituma hii kwa kila mtu ninayemjua!

Ann Wambui (Guest) on October 2, 2022

Nimecheka hadi nimepata furaha! πŸ˜ŠπŸ˜†

Michael Mboya (Guest) on September 26, 2022

Umetisha! πŸ‘ŒπŸ˜‚

Isaac Kiptoo (Guest) on September 2, 2022

Wow, hizi kichekesho ni dhahabu kabisa! πŸ’°

Paul Kamau (Guest) on August 15, 2022

Hii imenibamba sana! πŸ˜…πŸ€£

Grace Minja (Guest) on August 9, 2022

Hii kichekesho imenifurahisha sanaβ€”imebamba! 🀣

Stephen Mushi (Guest) on July 11, 2022

πŸ˜… Bado ninacheka!

Nora Lowassa (Guest) on July 3, 2022

πŸ€£πŸ‘πŸ‘Œ

Anna Sumari (Guest) on June 26, 2022

Hii kichekesho ni ya kuhifadhi bila shaka! 😁

Rose Amukowa (Guest) on June 25, 2022

😁 Hii imenifanya siku yangu iwe bora!

Tambwe (Guest) on June 15, 2022

πŸ˜† Hiyo punchline ilikuwa kali!

Mtumwa (Guest) on June 12, 2022

πŸ˜† Ninakufa hapa!

Mjaka (Guest) on June 8, 2022

Bado nacheka, hiyo ilikuwa nzuri sana! 🀣

Rose Kiwanga (Guest) on June 2, 2022

🀣 Sikutarajia hiyo!

Mary Sokoine (Guest) on May 30, 2022

Hii imenikuna hadi nina furaha! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Kevin Maina (Guest) on May 26, 2022

πŸ˜‚πŸ€£

Andrew Odhiambo (Guest) on April 22, 2022

Hii imenikuna! πŸ˜†πŸ˜Š

Miriam Mchome (Guest) on March 21, 2022

Brilliant! Muda wake ulikuwa kamili! ⏰

Stephen Kangethe (Guest) on March 10, 2022

🀣 Hii kichekesho ni nzuri sana!

Husna (Guest) on February 25, 2022

Sikutarajia hiyo punchlineβ€”kichekesho! 🀣

Esther Nyambura (Guest) on February 7, 2022

Hii kichekesho ilikuwa bora! Nimeipenda! 🎯

Nassar (Guest) on February 5, 2022

πŸ˜„ Siwezi hata kupumua, ni kichekesho sana!

Charles Mboje (Guest) on January 20, 2022

Hizi jokes zinabamba sana! πŸ˜†πŸ˜‚

Lydia Wanyama (Guest) on December 8, 2021

Kweli mna kipaji cha ucheshi! πŸ‘πŸ˜†

Zakia (Guest) on December 7, 2021

πŸ˜… Nilihitaji kicheko hicho!

Monica Nyalandu (Guest) on December 4, 2021

πŸ˜„ Umeshinda mtandao leo!

Ibrahim (Guest) on November 22, 2021

Haha, hii ni ya kuhifadhi! πŸ“Œ

Nahida (Guest) on October 23, 2021

🀣 Hiyo twist mwishoni, ingawa!

Lucy Kimotho (Guest) on October 10, 2021

πŸ˜‚ Ninaihifadhi hii!

Alex Nakitare (Guest) on September 19, 2021

Haha! Sijacheka hivi kwa muda mrefu! 🀣

Rose Lowassa (Guest) on September 2, 2021

πŸ˜‚πŸ˜‚

Moses Mwita (Guest) on August 28, 2021

Kweli mna kipaji cha ucheshi! πŸ‘πŸ€£

David Kawawa (Guest) on August 27, 2021

πŸ˜… Bado nacheka!

Irene Makena (Guest) on August 26, 2021

Kweli mna ucheshi wa kipekee! πŸ˜‚πŸ€£

Anthony Kariuki (Guest) on June 7, 2021

Hii imenipa kicheko cha siku! πŸ˜‚πŸ€£

Dorothy Mwakalindile (Guest) on June 4, 2021

Kila siku napenda jokes zenu! πŸ˜†πŸ˜‚

Patrick Mutua (Guest) on May 30, 2021

πŸ˜‚πŸ˜†

David Kawawa (Guest) on May 25, 2021

πŸ˜… Nilihitaji kicheko hiki, asante!

Alice Mwikali (Guest) on May 22, 2021

πŸ˜‚πŸ€£πŸ˜‚πŸ˜…

Rukia (Guest) on May 14, 2021

πŸ˜„ Umenishika vizuri!

Richard Mulwa (Guest) on April 22, 2021

πŸ€£πŸ€£πŸ˜„πŸ˜†

Maimuna (Guest) on April 11, 2021

Hii kichekesho inastahili tuzo! πŸ†

Edwin Ndambuki (Guest) on April 9, 2021

Hii imenifurahisha sana! πŸ˜‚πŸ˜‚

Stephen Amollo (Guest) on March 8, 2021

πŸ˜‚ Ninashiriki mara moja!

Monica Adhiambo (Guest) on March 7, 2021

πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ€£

Nora Kidata (Guest) on February 12, 2021

πŸ˜„ Sikutarajia hiyo ikitokea!

Mwalimu (Guest) on January 21, 2021

πŸ˜ƒ Hali imeboreshwa papo hapo!

Nancy Akumu (Guest) on January 13, 2021

Kweli mna ucheshi! πŸ˜‚πŸ€£

Rubea (Guest) on December 24, 2020

πŸ˜‚ Lazima nihifadhi hii!

Moses Kipkemboi (Guest) on November 23, 2020

Hii ni dhahabu ya vichekesho! πŸ˜„

Dorothy Nkya (Guest) on October 26, 2020

Hii imenipa furaha ya siku! πŸ˜†πŸ‘Œ

Anna Kibwana (Guest) on September 22, 2020

Umesema kweli! πŸ‘ŒπŸ˜‚

Patrick Kidata (Guest) on September 16, 2020

Ucheshi wenu unanifurahisha kila siku! πŸ˜†πŸ˜‚

John Lissu (Guest) on September 10, 2020

πŸ€£πŸ€£πŸ‘πŸ˜†

David Ochieng (Guest) on July 17, 2020

Napenda jinsi mnavyofikiria! πŸ€”πŸ˜†

Andrew Mchome (Guest) on July 16, 2020

😁 Hii ni hazina ya kichekesho!

Joseph Kitine (Guest) on July 14, 2020

πŸ˜„ Kali sana!

Stephen Kikwete (Guest) on July 12, 2020

πŸ˜‚πŸ‘ŒπŸ˜†πŸ˜Š

George Mallya (Guest) on May 31, 2020

πŸ˜‚ Nacheka hadi nalia!

Related Posts

Huyu dogo nimsaidieje? Cheki alivyojichanganya

Huyu dogo nimsaidieje? Cheki alivyojichanganya

Nimekutana na dogo mmoja hivi hapa analia,namuliza analia nin??ananambia ''ALIPEWA MIA TANO ZIPO... Read More

Huku ndiko kuumbuka bila chuki

Huku ndiko kuumbuka bila chuki

Umeenda kutembea ukweni kwako baada ya chakula chausiku unapewa chumba chakulala inapofik... Read More

Wachaga kweli kiboko: Mcheki huyu mchaga na mbuzi!!!

Wachaga kweli kiboko: Mcheki huyu mchaga na mbuzi!!!

Mchaga alinunua mbuzi akamwambia mpishi Nyama nusu ipike pilau na ingine itie kwenye friza. Kich... Read More

Jambo la kufanya kama binti alikuachaga zamani na sahizi anakutaka

Jambo la kufanya kama binti alikuachaga zamani na sahizi anakutaka

Kuishi kijijini kunahitaji moyo sana

..unaenda kuoga, unakumbuka k... Read More

Cheki huyu mzee alichomfanyia muuzaji wa pharmacy

Cheki huyu mzee alichomfanyia muuzaji wa pharmacy

Mzee kaingia pharmacy, MZEE: Mambo mwanangu, kuna kitu naomba uonje nitakulipa MFAMASIA: Kitu gani?β... Read More
Cheki nilichomfanyia huyu dereva tax

Cheki nilichomfanyia huyu dereva tax

Nilipanda tax leo.dereva tax akaanza kuongea…

Naipenda sana kazi yang... Read More

Huyu Jamaa kaona bora afe kuliko mke wake ajue Siri zake

Huyu Jamaa kaona bora afe kuliko mke wake ajue Siri zake

Jamaa Mmoja Alimwambia Mke Wake Wasiliana Na Kitengo Cha Dharura Hospitali, Niko Taabani Nahisi ... Read More

Sio kwa wivu huu

Sio kwa wivu huu

Wanawake nilianza kuwachukia tokea shule ya msingi.

Ni pale mwanamke wangu aliponiacha na k... Read More

Unakumbuka haya enzi za shule?

Unakumbuka haya enzi za shule?

Kama umesoma st Kayumba utakuwa una aidia na haya…

1.Unaenda shule umechelewa unakuta mwa... Read More

Usichokijua kuhusu sungura, panya na jamii yao

Usichokijua kuhusu sungura, panya na jamii yao

JE WAJUA?

Sungura, panya na Jamii zao huwa na mwendo wa kukimbia na kuruka muda wote na umr... Read More

Angalia ndoto nyingine zilivyo na Majanga

Angalia ndoto nyingine zilivyo na Majanga

Ndoto zingine bwana usiombe zikupate

Mimi usiku wa kuamkia Leo nikiwa nimelala nimeota naen... Read More

Angalia huyu Jamaa alichomfanyia mke wake jana

Angalia huyu Jamaa alichomfanyia mke wake jana

Jana niligombana na mke wng, Akaniambia nibebe kila kitu changu niondoke, Bas kiustaarabu... Read More