Warning: Undefined variable $user_id in /home/ackyshine/personal/sidebar.php on line 36
Sidebar with Floating Button
AckySHINE πŸ”
☰
AckyShine

Darasa lolote lile halikosi watu kama hawa

Featured Image

Darasa lolote lile (hasa vyuoni) lazima liwe na wanafunzi wafuatao:
1. Mrembo wa darasa.
2. Playboy/playgirl. Hawezi kutembea na msichana/mvulana mmoja mara mbili.
3. Group ya marafiki watatu. Kila mara wako pamoja.
4. Mtu mwenye maswali ya kuudhi/kukera.
5. Msongolist kimeo. Huyu huwa anasoma sana bt hana bahati ya kufanya vizuri. Yani msuli tembo, bt matokeo sisimizi.

6. Mlafi. Huyu huwa hakatai offer.
7. Mtoro wa kudumu. Haji darasani hata km hana sababu.
8. Mchelewaji wa kudumu. Anakuja kipindi kiko katikati au kinakaribia kuisha.
9. Miss/Mr.Misifa. kila mara ataeleza the way nyumbani kwao walivyo matajiri.
10. Less talkative bt kiwembe. Jamaa mkimya bt unakuta ametembea na karibu wasichana 15 hapo class.
11. Handsome boy ambaye hana mpango na wanawake.
12.Chips addicted. Hawa wanaweza kula chips asubuhi mchana na jioni. Jumatatu hadi jumatatu.
13. Back benchers. Hawa huwa watundu sana na ni watu wa jokes. Huwa hawajibu swali, but wanasubiri wakati wa kushangilia waongeze bezi.
14. Wambea. Hawapitwi na kitu darasani na washazoea kufeli.
15. Mchungaji/Mtumishi wa Mungu,
16. Waimbaji/Wasanii,
17.Walevi
18.Mabishoo.
19. Team popo. Hawa wewe na hela wasiwe na hela wanakesha club,
20.Mwenye aibu kusimama mbele za watu. Wakati wa Presentation anakimbilia kusimama nyuma ya wenzie,
21. Viherehere. Hawa mara nyingi hutokea kupendwa sana na waalimu.
22. Wanaosoma ili kushindana kwny GPA.
23. Kupe. Huyu boom likitoka atawaganda wenzie hadi ziishe, halafu yeye anaanza kula zake alone.
24. Wise man/woman. Huyu huwa ni mtu anayeaminika na kila mtu darasani. Hutumika sn kushauri pale mambo yanapoenda mrama. Mara nyingi huwa ni mtu mzima.
25.mpenda supu" yeye hata ya nyani atakunywa tu.
26.Fix man. Huyu atakuomba jero, akafuatilie dili la milioni kumi town, kumbe hana hela ya chai.
27. Photocopy machine. Huyu ukimuonesha majibu kwny mtihani anaweza kucopy hadi jina lako.
πŸ’₯Usposema wewe uko namba ngapi mwngine atakusemaπŸ˜œπŸ˜œπŸ˜…πŸ˜…πŸ˜…πŸ˜…πŸ˜…

AckySHINE Solutions

Comments

Please log in or register to leave a comment or reply.

John Lissu (Guest) on May 30, 2024

🀣πŸ”₯😊

Rukia (Guest) on May 26, 2024

Hii ni kali! Itaingia kwenye vipendwa vyangu! πŸ˜„

Peter Mugendi (Guest) on April 22, 2024

😊🀣πŸ”₯

Samuel Were (Guest) on April 20, 2024

Napenda jokes zenu! πŸ˜ŠπŸ˜…

Josephine Nekesa (Guest) on March 31, 2024

Nimecheka hadi nina furaha sana! πŸ˜†πŸ˜‚

Moses Kipkemboi (Guest) on March 22, 2024

Siwezi kuamini jinsi hii ni kichekesho! πŸ˜‚

Joyce Aoko (Guest) on March 12, 2024

Hii ni kali sana! πŸ˜‚πŸ€£

Simon Kiprono (Guest) on February 24, 2024

Umesema kweli! πŸ‘ŒπŸ˜‚

Peter Mugendi (Guest) on February 19, 2024

😁 Hii imenifanya siku yangu iwe bora!

Francis Mrope (Guest) on January 28, 2024

Umetisha! πŸ‘ŒπŸ˜‚

Diana Mallya (Guest) on December 31, 2023

😁 Imeongezwa kwenye vipendwa!

Janet Sumari (Guest) on November 26, 2023

Hii imenifurahisha hadi nacheka kwa sauti! πŸ˜‚πŸ€£

Elizabeth Malima (Guest) on November 16, 2023

Haha, hii ni kicheko bora zaidi nilichopata wiki hii! 😁

Ndoto (Guest) on November 6, 2023

πŸ˜† Ninacheka sana sasa hivi!

Violet Mumo (Guest) on November 5, 2023

πŸ˜ŠπŸ˜‚πŸ˜…πŸ‘

Elizabeth Mtei (Guest) on October 30, 2023

Hii imenifurahisha sana! πŸ˜ŠπŸ˜…

Ahmed (Guest) on October 16, 2023

Nilikuwa na siku mbaya hadi niliposoma hii! πŸ˜…

Robert Ndunguru (Guest) on October 3, 2023

πŸ€£πŸ˜­πŸ˜†

Irene Akoth (Guest) on October 3, 2023

Mna talent ya jokes! πŸ‘πŸ˜‚

Nicholas Wanjohi (Guest) on July 23, 2023

🀣 Hii imenigonga vizuri!

Michael Mboya (Guest) on July 6, 2023

Hii ni joke ya maana sana! πŸ˜‚πŸ‘Œ

Monica Adhiambo (Guest) on June 19, 2023

πŸ˜† Naihifadhi hii!

Stephen Mushi (Guest) on June 14, 2023

Hii ni ya kufurahisha! πŸ˜„πŸ˜…

Sarah Achieng (Guest) on June 14, 2023

Ucheshi wenu unanifurahisha! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Hekima (Guest) on June 2, 2023

🀣 Ninaituma sasa hivi!

Monica Lissu (Guest) on May 21, 2023

Lazima niihifadhi hii, ni kichekesho kali sana! πŸ˜†

Sumaya (Guest) on May 16, 2023

πŸ˜„ Sikutarajia hiyo ikitokea!

Saidi (Guest) on May 1, 2023

πŸ˜‚ Siwezi kusubiri kushiriki hii!

Mwanahawa (Guest) on May 1, 2023

πŸ˜† Naihifadhi hii!

Mwalimu (Guest) on April 29, 2023

πŸ˜ƒ Hali imeboreshwa papo hapo!

George Mallya (Guest) on April 28, 2023

Hii ni joke ya kipekee! πŸ€£πŸ‘Œ

Michael Mboya (Guest) on April 17, 2023

Nimecheka hadi nimesahau shida zangu! πŸ˜…πŸ˜Š

Francis Mrope (Guest) on April 13, 2023

πŸ˜† Ninaihifadhi kwa baadaye!

George Ndungu (Guest) on April 5, 2023

Hii imenifurahisha sana! πŸ˜‚πŸ˜‚

Safiya (Guest) on April 2, 2023

Hii kichekesho ilikuwa bora! Nimeipenda! 🎯

Jackson Makori (Guest) on March 26, 2023

Hii imenibamba sana! πŸ˜‚πŸ˜…

Brian Karanja (Guest) on March 21, 2023

Siwezi kusubiri kuieleza kwenye sherehe yangu inayofuata! πŸŽ‰

Joseph Kiwanga (Guest) on March 17, 2023

Mna kipaji cha ucheshi! πŸ‘πŸ˜‚

Peter Mugendi (Guest) on February 18, 2023

Hii imenichekesha sana! πŸ˜„πŸ˜‚

Andrew Mahiga (Guest) on January 24, 2023

Hii ni joke ya kipekee sana! πŸ˜‚πŸ‘

Esther Nyambura (Guest) on January 17, 2023

πŸ˜‚πŸ‘Œ

Mariam Kawawa (Guest) on December 23, 2022

Kweli mna ucheshi wa kipekee! πŸ˜‚πŸ€£

Sarah Mbise (Guest) on November 27, 2022

πŸ˜…πŸ˜‚πŸ˜„

Samson Mahiga (Guest) on October 7, 2022

πŸ˜… Bado nacheka!

Frank Sokoine (Guest) on October 7, 2022

Hii imenifurahisha hadi nacheka kwa sauti! πŸ€£πŸ˜‚

Lucy Wangui (Guest) on October 6, 2022

Nimecheka hadi nimesahau shida zangu! πŸ€£πŸ˜†

Frank Sokoine (Guest) on September 14, 2022

🀣 Hii kichekesho ni nzuri sana!

Shamsa (Guest) on September 11, 2022

πŸ˜† Nacheka hadi chini!

Fadhila (Guest) on September 6, 2022

Lazima nikumbuke hii kwa baadaye! πŸ˜†

Francis Njeru (Guest) on August 17, 2022

Nimecheka hadi nimesahau shida! πŸ€£πŸ˜†

Henry Mollel (Guest) on August 9, 2022

Nitaeleza hii kwa marafiki zangu bila shaka! πŸ˜„

Catherine Mkumbo (Guest) on July 28, 2022

Hii kichekesho inastahili tuzo! πŸ†

Kenneth Murithi (Guest) on July 26, 2022

Ucheshi wenu ni wa hali ya juu sana! πŸ‘πŸ˜‚

Mashaka (Guest) on June 4, 2022

Hii kichekesho ni ya kuhifadhi bila shaka! 😁

Daniel Obura (Guest) on May 22, 2022

😁 Kicheko bora ya siku!

Joyce Nkya (Guest) on May 5, 2022

Hii imenipa kicheko cha siku! πŸ˜‚πŸ€£

Michael Mboya (Guest) on April 28, 2022

πŸ˜†πŸ‘πŸ˜‚πŸ˜„

Frank Macha (Guest) on April 27, 2022

πŸ˜… Nilihitaji kicheko hiki, asante!

Jacob Kiplangat (Guest) on April 16, 2022

πŸ˜‚ Hii ni kali sana!

Henry Mollel (Guest) on April 6, 2022

Huyu mtu ni mcheshi sana! πŸ˜‚πŸ˜‚

Related Posts

Misemo ya kina dada

Misemo ya kina dada

Misemo ya kina dada

walianza na halohalooo!
Wakaja unalo babu weee!
Ikafuata utaj... Read More

Hii sasa kali kweli kweli! wazazi wanachofanya pale binti yao anapochelewa kuolewa

Hii sasa kali kweli kweli! wazazi wanachofanya pale binti yao anapochelewa kuolewa

Wazazi wengine wanaandikaΒ MBWA​MKALIΒ kwenye geti lao kama binti wao ana mia... Read More

Mabinti wengine kwa kupenda hela! cheki huyu anachokifanya

Mabinti wengine kwa kupenda hela! cheki huyu anachokifanya

Phone call gal: hellow Boy: sweety mambo vipi? Girl: poa Boy: utakuwa free weekend? nilikuwa nataka ... Read More
Angalia hawa machizi walichokisema baada ya kuona ndege angani

Angalia hawa machizi walichokisema baada ya kuona ndege angani

Machizi wamekaa sehemu mara ghafla ikapita ndege angani.
Chizi wa kwanza... Read More

Cheki hawa wachungaji

Cheki hawa wachungaji

CHEKA KIDOGO

Wachungaji watatu walikutana kwa siri na kuelezana matatizo yao ili waweze kuo... Read More

Kilichotokea baada ya jambazi kuvamia kanisa

Kilichotokea baada ya jambazi kuvamia kanisa

Jambazi mmoja aliingia kanisani na bunduki akapiga risasi juu ya bati akasema "asiyempenda YESU a... Read More

Angalia huyu mtoto anachomjibu baba yake baada ya kutoka kwenye mtihani

Angalia huyu mtoto anachomjibu baba yake baada ya kutoka kwenye mtihani

BABA: mwanangu kwenye huu mtihani uliofanya natumaini utafanya vizuri.
DOGO: ndio baba nitap... Read More

Dunia ina mambo! Angalia kilichotokea baada ya mgonjwa kuwekewa macho ya paka

Dunia ina mambo! Angalia kilichotokea baada ya mgonjwa kuwekewa macho ya paka

Kuna jamaa alipata ajali akapofuka machoπŸ‘€, akaenda hospital akawekewa macho ya paka🐈🐱, dokt... Read More
Soma hii, Nani haelewi kati ya hawa?

Soma hii, Nani haelewi kati ya hawa?

Dogo: Bro naomba nitumie hela.

Padri alikuwa amekaa katika confession booth kanisani
peke yake.
Mara... Read More

Sio kwa wivu huu

Sio kwa wivu huu

Wanawake nilianza kuwachukia tokea shule ya msingi.

Ni pale mwanamke wangu aliponiacha na k... Read More

πŸ“– Explore More Articles
🏠 Home πŸ“– Reading πŸ–ΌοΈ Gallery πŸ’¬ AI Chat πŸ“˜ About