Warning: Undefined variable $user_id in /home/ackyshine/personal/sidebar.php on line 36
Sidebar with Floating Button
AckySHINE πŸ”
☰
AckyShine

Kilichotokea baada ya mzungu na mbongo kukaa siti moja, bongo wasanii wengi

Featured Image
Mzungu akamdharau sana Mbongo nakujiona anajua kila kitu duniani!, Akamwambia Mbongo waulizane maswali na Mbongo akishindwa anatoa sh.500 na endapo yeye atashindwa atatoa 100,000/=. Mzungu akauliza ni nchi ipi ilishindwa kwenye vita kuu ya kwanza ya Dunia? Mbongo akatoa 500 kuashiria hajui. Na yeye akamuuliza Mzungu ni kitu gani kikienda juu kina miguu minne na kikirudi chini kina miguu mitatu? Mzungu akafikiria akakosa jibu akatoa 100,000/= kuashiria hajui ila akataka kujua, akauliza ni nini hicho? Mbongo akatoa 500 kuashiria hata yeye hajui!. SHARE na marafiki kama umemkubali Mbongo kwa ujanja. Lakini unafikiri Mbongo huyu kwa akili hizi atakuwa ametokea mkoa gani!?.
AckySHINE Solutions

Comments

Please log in or register to leave a comment or reply.

Nahida (Guest) on December 26, 2021

Nimependa hii! Endelea kuzileta! 😁

Paul Kamau (Guest) on December 20, 2021

πŸ˜‚ Ninahitaji kuihifadhi hii milele!

Anna Sumari (Guest) on December 17, 2021

Kweli mna ucheshi! πŸ˜‚πŸ€£

Mwanais (Guest) on December 16, 2021

😁 Hii ni hazina ya kichekesho!

David Kawawa (Guest) on December 4, 2021

Hii imenifurahisha hadi ninacheka kwa sauti! πŸ˜„πŸ˜…

David Nyerere (Guest) on November 18, 2021

Ucheshi wenu unanifurahisha! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Nancy Kabura (Guest) on November 17, 2021

πŸ˜„ Umeshinda mtandao leo!

Diana Mallya (Guest) on October 28, 2021

Umeimaliza kabisa, kichekesho gani! πŸ˜„

Charles Mrope (Guest) on October 9, 2021

Hii imenipa kicheko cha siku! πŸ˜‚πŸ€£

Jacob Kiplangat (Guest) on October 4, 2021

Nimecheka hadi nimepata furaha! πŸ˜ŠπŸ˜†

Charles Mrope (Guest) on August 29, 2021

πŸ€£πŸ˜­πŸ˜†

Christopher Oloo (Guest) on August 22, 2021

Ucheshi wenu unanifurahisha sana! πŸ˜‚πŸ‘

Janet Mwikali (Guest) on July 11, 2021

Nimecheka hadi nimesahau shida! πŸ€£πŸ˜†

George Ndungu (Guest) on June 30, 2021

Hii ni bomba sana! πŸ€£πŸ‘

Miriam Mchome (Guest) on June 23, 2021

πŸ˜†πŸ˜…πŸ˜‚

Victor Kamau (Guest) on June 3, 2021

πŸ‘πŸ€£πŸ˜†πŸ˜‚

Peter Otieno (Guest) on May 26, 2021

Umetisha! πŸ‘ŒπŸ˜‚

George Tenga (Guest) on April 28, 2021

πŸ˜…πŸ˜ŠπŸ˜‚πŸ‘

Grace Majaliwa (Guest) on April 2, 2021

πŸ˜‚ Nacheka hadi nalia!

Monica Lissu (Guest) on March 31, 2021

Hizi jokes ni za kipekee sana! πŸ˜†πŸ˜Š

Joseph Njoroge (Guest) on March 19, 2021

🀣 Hii imenigonga vizuri!

Mary Sokoine (Guest) on March 18, 2021

Kweli mna kipaji cha ucheshi! πŸ‘πŸ˜†

Monica Adhiambo (Guest) on March 10, 2021

Nimecheka hadi machozi 🀣😭

Irene Akoth (Guest) on February 22, 2021

πŸ˜… Nilihitaji hii!

Nassor (Guest) on February 14, 2021

Bado nacheka, hiyo ilikuwa nzuri sana! 🀣

David Nyerere (Guest) on January 13, 2021

Hii imenipa kicheko cha siku! πŸ˜ŠπŸ˜†

Irene Makena (Guest) on January 7, 2021

πŸ˜‚ Siwezi kuacha kucheka!

Rose Amukowa (Guest) on January 6, 2021

Kweli mna ucheshi wa hali ya juu! πŸ˜‚πŸ€£

Stephen Kangethe (Guest) on January 4, 2021

Hizi jokes ni za ukweli! πŸ˜†πŸ‘

Elizabeth Mtei (Guest) on December 17, 2020

Nimecheka hadi machozi yanatoka! 🀣😭

Henry Sokoine (Guest) on December 4, 2020

Hii ni ya maana sana! πŸ˜‚πŸ‘Œ

Mgeni (Guest) on December 2, 2020

😁 Imeongezwa kwenye vipendwa!

James Kawawa (Guest) on November 14, 2020

πŸ˜† Bado nacheka!

Mary Kidata (Guest) on November 13, 2020

πŸ€£πŸ˜„πŸ˜Š

Vincent Mwangangi (Guest) on October 4, 2020

πŸ˜‚ Siwezi kuacha kucheka!

John Lissu (Guest) on October 2, 2020

Ucheshi wenu ni wa hali ya juu sana! πŸ‘πŸ€£

Christopher Oloo (Guest) on October 1, 2020

Nimecheka hadi nimesahau shida zangu! πŸ˜‚πŸ˜…

Raphael Okoth (Guest) on September 24, 2020

πŸ˜‚πŸ€£πŸ˜ŠπŸ˜…

Shabani (Guest) on September 4, 2020

😁 Hakika hii ni kichekesho changu kipya!

Ruth Wanjiku (Guest) on August 31, 2020

πŸ˜„ Siwezi hata kupumua, ni kichekesho sana!

Agnes Njeri (Guest) on August 1, 2020

🀣 Ninashiriki hii sasa hivi!

Victor Kamau (Guest) on April 22, 2020

πŸ˜‚ Nimeipenda kabisa hii!

Henry Mollel (Guest) on April 16, 2020

πŸ€£πŸ€£πŸ‘πŸ˜†

Lucy Mushi (Guest) on March 18, 2020

Hii imenipa kicheko cha siku! πŸ˜‚πŸ€£

Anna Mchome (Guest) on March 9, 2020

Hii ndio nilihitaji leo! Asante! 😜

Sarah Karani (Guest) on March 5, 2020

Hii ni ya kufurahisha! πŸ˜„πŸ˜…

Jafari (Guest) on March 4, 2020

Hii imeniboresha wakati wangu wa mapumziko! β˜•πŸ˜†

Josephine Nekesa (Guest) on February 22, 2020

Hii kichekesho itaingia moja kwa moja kwenye vipendwa vyangu! πŸ˜‚

Peter Mugendi (Guest) on February 21, 2020

πŸ˜† Ninaihifadhi kwa baadaye!

Joyce Mussa (Guest) on January 17, 2020

πŸ˜… Ilibidi nishiriki hii na kila mtu!

Andrew Mchome (Guest) on December 29, 2019

😁 Kicheko bora ya siku!

Moses Kipkemboi (Guest) on December 27, 2019

Hii imenifurahisha hadi nacheka kwa sauti! πŸ€£πŸ˜‚

Mary Mrope (Guest) on December 21, 2019

Nimecheka hadi nina furaha sana! πŸ˜†πŸ˜‚

Elizabeth Mrema (Guest) on December 11, 2019

Hii imenibamba sana! πŸ˜‚πŸ˜…

Sarah Karani (Guest) on November 15, 2019

πŸ˜‚πŸ€£πŸ˜†πŸ˜…

Salma (Guest) on November 10, 2019

πŸ˜‚ Sijacheka hivi kwa muda mrefu sana!

Joseph Njoroge (Guest) on November 3, 2019

πŸ˜† Bado nacheka, siwezi kuacha!

James Malima (Guest) on October 13, 2019

Nimecheka hadi mbavu zinauma πŸ˜‚πŸ˜‚

Benjamin Kibicho (Guest) on October 8, 2019

🀣 Hii imenifanya siku yangu iwe bora kabisa!

Bakari (Guest) on September 27, 2019

πŸ˜† Kali sana!

Related Posts

Cheki huyu mwanamke anavyomkomoa mme wake baada ya kumsaliti

Cheki huyu mwanamke anavyomkomoa mme wake baada ya kumsaliti

MKE: Mbona unanukia pafyumu ya kike?
MUME: Yaa kuna mwanam... Read More

Madhara ya kwenda baa na mke ndo kama haya

Madhara ya kwenda baa na mke ndo kama haya

Jamaa alienda Bar na mke wake wa ndoa wakakaa kwenye viti, wakati wanasubiri vinywaji akapita bin... Read More

Angalia kilichojiri katika semina ya wanandoa kuhusu upendo

Angalia kilichojiri katika semina ya wanandoa kuhusu upendo

Kulikuwa na semina ya wanawake kuhusu namna ya kuishi kwa upendo katika ndoa.
Mwalimu aliwau... Read More

Angalia anachokisema Madenge sasa

Angalia anachokisema Madenge sasa

MWALIMU kaingia darasani na kusema. "Wanaojijua wajinga wasimame".

MADENGE akasimama peke y... Read More

Mambo ya pesa haya..

Mambo ya pesa haya..

MAMBO YA FEDHA AISEE……. Kuna jamaa alipewa shilingi 983628763600/= …acha uvivu, najua hujas... Read More

Jambo la kufanya ukitaka mwanaume akusaidie kazi jikoni

Jambo la kufanya ukitaka mwanaume akusaidie kazi jikoni

Fanya hivi

Ukitaka mwanaume akusaidie kazi jikoni mwambie "NAOMBA CM YAKO NIWASHE T... Read More

Ufugaji wa nguruwe kazi, Cheki jamaa hawa wake walivyompa mtihani

Ufugaji wa nguruwe kazi, Cheki jamaa hawa wake walivyompa mtihani

MWANAHARAKATI: Hawa nguruwe unawalishanini?
.

... Read More
Eti kwani wewe ni turubali?

Eti kwani wewe ni turubali?

Unakuta MTU mwaka Mzima

Umehudhuria,Β birthday... Read More

Angalia wanachokifanya Zuzu na msichana chumbani kwenye giza

Angalia wanachokifanya Zuzu na msichana chumbani kwenye giza

Zuzu: Mambo Anna!
Anna: Poa!
Zuzu: Kuna kitu nataka nikuonyeshe…
Anna: Kitu gan?... Read More

Nilichokifanya leo

Nilichokifanya leo

Leo nmemlipa konda nauli, akasahau kunishusha kituoni. Na mimi nkakaa KIMYAAA kumkomoa…..

... Read More
Angalia haya mazungumzo ya msichana na mvulana, mapenzi ya ajabu haya

Angalia haya mazungumzo ya msichana na mvulana, mapenzi ya ajabu haya

Demu: Hny mambo jamani! Man: Safi nipe habari wangu wa moyo Demu:Wafanya kazi gani vile wangu? Man: ... Read More
Hapa itakuaje?

Hapa itakuaje?

NAJISIKIA NIMEBOEKA…

SIJUI NIENDE KAMBI YOYOTE YA JESHI NITEREMSHE BENDERA

ALAFU NI... Read More

πŸ“– Explore More Articles