Warning: Undefined variable $user_id in /home/ackyshine/personal/sidebar.php on line 36
Sidebar with Floating Button
AckySHINE πŸ”
☰
AckyShine

Mzee wa kichaga na hela zake. Angalia anachofanya

Featured Image

Mzee moja alikuwa kila usiku anapita mbele ya bank anasimama,kisha anapiga honi,akitoka askari mlinzi,anaondoka.Hilo jambo likamkera sana askari mlinzi, askari akawa na mvizia yule mzee wa kichaga ,siku alipokuja tena akamkamata, akamuuliza kwa nini unakuja unapiga honi kisha unakimbia? Mzee akasema: Haki ya mungu babaangu , Nina pesa zangu ktk account hapa bank naogopa usilale usingizi ndo maana kila siku usiku napita kukuangalia kama umelala!!
πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚

AckySHINE Solutions

Comments

Please log in or register to leave a comment or reply.

Diana Mumbua (Guest) on February 16, 2022

🀣πŸ”₯😊

Philip Nyaga (Guest) on February 16, 2022

πŸ˜†πŸ˜…πŸ˜‚

Michael Mboya (Guest) on February 7, 2022

Hii imenifurahisha hadi nacheka kwa sauti! πŸ€£πŸ˜…

Amani (Guest) on January 23, 2022

πŸ˜… Nilihitaji hii!

Rose Mwinuka (Guest) on January 2, 2022

Lazima niihifadhi hii, ni kichekesho kali sana! πŸ˜†

Martin Otieno (Guest) on January 1, 2022

Hizi jokes zinanifanya nicheke kila siku! πŸ˜„πŸ˜†

Francis Mtangi (Guest) on December 31, 2021

Hii ni joke ya kipekee sana! πŸ˜‚πŸ‘

Esther Nyambura (Guest) on December 15, 2021

Hizi jokes ni za kipekee sana! πŸ˜†πŸ˜Š

Anna Mchome (Guest) on November 28, 2021

Nimefurahia hii sana! πŸ˜†πŸ˜Š

Irene Akoth (Guest) on November 26, 2021

Hii ni joke ya kipekee sana! πŸ˜ŠπŸ‘

Thomas Mtaki (Guest) on November 19, 2021

πŸ˜‚ Sijacheka hivi kwa muda mrefu sana!

David Chacha (Guest) on November 5, 2021

πŸ˜‚πŸ˜†

Alice Mrema (Guest) on October 30, 2021

Ucheshi wenu unanifurahisha sana! πŸ˜‚πŸ‘

Joy Wacera (Guest) on September 25, 2021

Haha, hii ni kicheko bora zaidi nilichopata wiki hii! 😁

Hellen Nduta (Guest) on September 12, 2021

Lazima nikumbuke hii kwa baadaye! πŸ˜†

Nicholas Wanjohi (Guest) on August 18, 2021

Mna talent ya jokes! πŸ‘πŸ˜‚

Zakaria (Guest) on August 5, 2021

πŸ˜‚ Hii ni ya kuhifadhi!

Nicholas Wanjohi (Guest) on July 13, 2021

πŸ˜‚ Lazima nihifadhi hii!

James Kimani (Guest) on July 5, 2021

🀣 Hiyo punchline ilikuwa haikutarajiwa!

Ahmed (Guest) on July 1, 2021

πŸ˜ƒ Hali imeboreshwa papo hapo!

John Lissu (Guest) on June 24, 2021

πŸ˜† Ninaihifadhi kwa baadaye!

Khadija (Guest) on June 10, 2021

πŸ˜‚ Nacheka hadi nalia!

Stephen Mushi (Guest) on June 2, 2021

πŸ‘πŸ€£πŸ˜†πŸ˜‚

Alice Mrema (Guest) on May 25, 2021

πŸ˜„πŸ˜…πŸ‘πŸ˜‚

Victor Malima (Guest) on May 6, 2021

πŸ˜† Ninakufa hapa!

Raha (Guest) on April 26, 2021

Wow, hii kichekesho ni mshindi kamili! πŸ†

Sarah Karani (Guest) on April 26, 2021

πŸ˜† Ninacheka sana sasa hivi!

Ruth Wanjiku (Guest) on April 19, 2021

Sikutarajia hiyo punchlineβ€”kichekesho! 🀣

Mariam Kawawa (Guest) on April 14, 2021

Ucheshi wenu ni wa hali ya juu! πŸ‘πŸ€£

Samson Mahiga (Guest) on April 4, 2021

Hii imenipa kicheko cha siku! πŸ˜ŠπŸ˜†

James Mduma (Guest) on April 3, 2021

Nimecheka hadi nina furaha sana! πŸ˜†πŸ˜‚

Joyce Aoko (Guest) on March 20, 2021

Nimefurahia sana hii joke! πŸ˜…πŸ˜‚

Sarah Achieng (Guest) on March 19, 2021

Mna kipaji cha ucheshi! πŸ‘πŸ˜‚

Faith Kariuki (Guest) on March 6, 2021

Hii ni kali sana! πŸ˜‚πŸ€£

Mwanaisha (Guest) on February 16, 2021

πŸ˜„ Sikutarajia hiyo ikitokea!

Samuel Omondi (Guest) on February 10, 2021

Huyu alikuwa na point! πŸ˜‚πŸ‘Œ

Alice Mwikali (Guest) on January 27, 2021

😁 Hii imenifanya siku yangu iwe bora!

Omar (Guest) on January 20, 2021

πŸ˜† Nacheka hadi chini!

Monica Nyalandu (Guest) on December 31, 2020

Ucheshi wa hali ya juu! πŸ˜‚πŸ‘

Rose Mwinuka (Guest) on December 12, 2020

πŸ€£πŸ˜­πŸ˜†

Joyce Aoko (Guest) on November 28, 2020

πŸ˜‚ Hii kichekesho imenifurahisha siku nzima!

Mustafa (Guest) on October 27, 2020

πŸ˜† Hii imenigonga kweli!

Joseph Mallya (Guest) on September 11, 2020

Nimecheka hadi mbavu zinauma πŸ˜‚πŸ˜‚

Agnes Lowassa (Guest) on September 4, 2020

Hii imenibamba sana! πŸ˜‚πŸ˜…

John Kamande (Guest) on August 30, 2020

πŸ˜‚πŸ‘Œ

Catherine Mkumbo (Guest) on August 22, 2020

πŸ€£πŸ€£πŸ˜„πŸ˜†

Henry Sokoine (Guest) on July 22, 2020

Hii imenifurahisha sana! πŸ˜‚πŸ˜‚

Martin Otieno (Guest) on July 4, 2020

Hii imenipa kicheko cha siku! πŸ˜‚πŸ€£

Janet Mwikali (Guest) on June 22, 2020

Haha! Sijacheka hivi kwa muda mrefu! 🀣

Mwagonda (Guest) on June 9, 2020

πŸ˜„ Kali sana!

Joseph Kiwanga (Guest) on May 12, 2020

πŸ˜…πŸ˜‚πŸ˜„

John Mwangi (Guest) on April 27, 2020

Hii ni dhahabu ya vichekesho! πŸ˜„

Nasra (Guest) on April 9, 2020

Nilihitaji kicheko hiki, asante kwa kushiriki! πŸ˜…

Charles Mchome (Guest) on April 9, 2020

Hii imenichekesha sana! πŸ€£πŸ˜†

Peter Mugendi (Guest) on April 7, 2020

πŸ˜†πŸ˜‚πŸ˜Š

Edwin Ndambuki (Guest) on April 1, 2020

Hii ni ya kufurahisha! πŸ˜„πŸ˜…

Sarah Mbise (Guest) on March 26, 2020

Kweli mnajua kuchekesha! πŸ˜‚πŸ˜‚

Kevin Maina (Guest) on March 21, 2020

Nimefurahia sana hii! πŸ˜…πŸ˜Š

James Kawawa (Guest) on March 13, 2020

Nimecheka hadi nimesahau shida! πŸ€£πŸ˜†

Josephine Nekesa (Guest) on January 4, 2020

Napenda jinsi mnavyofikiria! πŸ€”πŸ˜†

Related Posts

Mume alichomjibu mchepuko wa mke wake

Mume alichomjibu mchepuko wa mke wake

😎 Jamaa kamuaga mkewe anaenda semina Songea kwa wiki nzima kumbe kahamia kwa demu nyu... Read More

Angalia huyu baba alichowafanya mtoto wake wa kike na boyfriend wake

Angalia huyu baba alichowafanya mtoto wake wa kike na boyfriend wake

BABA OYEEEEEEπŸ’ͺπŸ’ͺ
Soma hii…

Msichana alikuwa amekaa na baba yake kibarazani, mar... Read More

Angalia nilivyoingizwa mjini na ujanja wangu wote

Angalia nilivyoingizwa mjini na ujanja wangu wote

Ndio nilikuwa nimeshuka kwenye basi la SAI BABA pale Ubungo, nina Begi kubwa Mgongoni na begi Dog... Read More

Kichekesho cha mtalii na mbongo

Kichekesho cha mtalii na mbongo

Duh! Sikubali bora mbavu zituume wote!

Watalii wana dharau sana bana, Mtalii alikodi boti a... Read More

Dogo alivyomchomea dada wa kazi kwa mama yake kuhusu baba

Dogo alivyomchomea dada wa kazi kwa mama yake kuhusu baba

Dogo: mama hivi malaika si wanapaa? Mama: ndiyo wanapaa, kwanini umeniuliza hivyo? Dogo: nimesikia b... Read More
Sifa 10 za mwanaume ambaye kila binti anayetaka aolewe angependa aolewe naye!!

Sifa 10 za mwanaume ambaye kila binti anayetaka aolewe angependa aolewe naye!!

1. Awe na pesa nyingi

2.Siyo lazima awe mzuri wa sura

3. Ajenge ukweni

4.Awe mp... Read More

Baada ya walevi wawili kuokota kioo hiki ndicho kilifuata

Baada ya walevi wawili kuokota kioo hiki ndicho kilifuata

Angalia kilichotokea Walevi wawili waliokota kioo, mlevi wa 1 akaangalia muda mrefu kisha akasema "... Read More
Kuwa single nao ugonjwa eh, cheki huyu alichokifanya

Kuwa single nao ugonjwa eh, cheki huyu alichokifanya

Et

Umexhawah kuwa single had ukaamua kununua viatu vya kike kix... Read More

Kilichotokea kwa binti na mvulana wake walipotaitishwa na baba yake msichana

Kilichotokea kwa binti na mvulana wake walipotaitishwa na baba yake msichana

Msichana alikuwa amekaa na baba yake kibarazani, mara akamuona MVULANAfrien... Read More

BREAKING NEWS!!! Nyoka wa ajabu agundulika

BREAKING NEWS!!! Nyoka wa ajabu agundulika

HABARI MPASUKO..

jana katika taasisi ya wanyama pori ya Nat Geo ilitangazwa kuwa ametokea N... Read More

Ikitokea hii kwenye chumba cha mtihani

Ikitokea hii kwenye chumba cha mtihani

Upo kwenye chumba cha mtihani,
maswalii yamekupiga kinyama
Unaamua kuchukua smartphone ... Read More

SOMA HII: Kama wewe ndo baba au mama hapa ungefanyaje!???

SOMA HII: Kama wewe ndo baba au mama hapa ungefanyaje!???

Bakari ni house boy mara nyingi huiba wine ya boss wake na kisha kuongeza maji kwenye chupa ili b... Read More

πŸ“– Explore More Articles