Warning: Undefined variable $user_id in /home/ackyshine/personal/sidebar.php on line 36
Sidebar with Floating Button
AckySHINE πŸ”
☰
AckyShine

Baadhi ya misemo mikali ya leo

Featured Image

1. Mwanaume hata awe bahili vipi, hawezi kumpa mwanamke mimba nusu.

2. Hata uwe na magari mangapi chooni utaenda kwa miguu.

3. Kama ubinadamu kazi mbona hatupewi mishahara?

4. Ukichanganya wali na choroko unapata mseto, lakini hautibu malaria.

5. Hata njiwa nae ana makinda, lakini hawezi kuwa spika wa Bunge.

6. Hata uwe na haraka vipi kwenda Zenj, huwezi kupanda Jahazi ya Yusuph Mzee.

7. Umeme hauna kiuno lakini unaongoza kwa kukatika.

8. Hata uwe kauzu vipi, huwezi kujamba wakati unatongoza.

9. Hata uwe na imani kali vipi, huwezi kusali wakati unafanya mapenzi.

10. Hata kizibo ni mfuniko lakini hauwezi kufunika sufuria.

AckySHINE Solutions

Comments

Please log in or register to leave a comment or reply.

Richard Mulwa (Guest) on March 4, 2022

🀣 Hii kichekesho ni nzuri sana!

Betty Kimaro (Guest) on March 2, 2022

πŸ˜‚ Sijacheka hivi kwa muda mrefu sana!

Peter Mwambui (Guest) on March 1, 2022

πŸ˜‚πŸ˜†

Maimuna (Guest) on February 7, 2022

🀣 Hii imewaka moto!

Jane Muthui (Guest) on January 11, 2022

Hii imenifurahisha hadi nacheka kwa sauti! πŸ€£πŸ˜‚

Omari (Guest) on January 8, 2022

😁 Hii imenifanya siku yangu iwe bora!

Tabu (Guest) on December 26, 2021

πŸ˜‚ Ninaihifadhi hii!

Thomas Mwakalindile (Guest) on December 15, 2021

πŸ˜„πŸ˜…πŸ‘πŸ˜‚

Mtumwa (Guest) on December 8, 2021

🀣 Ninashiriki hii na kila mtu!

Peter Mbise (Guest) on December 6, 2021

πŸ˜„ Kali sana!

Thomas Mwakalindile (Guest) on October 22, 2021

Nimecheka hadi mbavu zinauma πŸ˜‚πŸ˜‚

Charles Wafula (Guest) on October 21, 2021

Ucheshi wenu unanifurahisha! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Josephine Nekesa (Guest) on October 4, 2021

πŸ˜„ Sikutarajia hiyo ikitokea!

Margaret Mahiga (Guest) on September 15, 2021

Nimecheka kwa sauti! 🀣🀣

Jamila (Guest) on September 12, 2021

πŸ˜† Ninacheka sana sasa hivi!

Edward Lowassa (Guest) on September 6, 2021

Nimecheka hadi nimepata furaha! πŸ˜ŠπŸ˜†

Janet Wambura (Guest) on September 6, 2021

🀣 Ninaituma sasa hivi!

Faith Kariuki (Guest) on August 11, 2021

Huyu mtu ni mcheshi sana! πŸ˜‚πŸ˜‚

Nancy Komba (Guest) on July 22, 2021

Sikutarajia hiyo punchlineβ€”kichekesho! 🀣

Victor Mwalimu (Guest) on June 14, 2021

πŸ˜† Siwezi kuacha kucheka!

Joseph Kiwanga (Guest) on May 28, 2021

Hii imenipa furaha ya siku! πŸ˜†πŸ‘Œ

Betty Cheruiyot (Guest) on May 9, 2021

πŸ˜… Bado nacheka!

Sarah Achieng (Guest) on May 8, 2021

πŸ˜‚πŸ€£πŸ˜†πŸ‘

Elizabeth Mtei (Guest) on March 28, 2021

Kweli mnajua kuchekesha watu! πŸ€£πŸ˜‚

Mariam (Guest) on February 28, 2021

Bado nacheka, hiyo ilikuwa nzuri sana! 🀣

Samuel Were (Guest) on February 25, 2021

Kweli ni jokes za ukweli! πŸ‘πŸ˜†

Isaac Kiptoo (Guest) on February 14, 2021

Hii imenipa kicheko cha siku! πŸ˜‚πŸ˜†

Anthony Kariuki (Guest) on February 11, 2021

Hizi jokes ni za ukweli! πŸ˜†πŸ‘

Zakia (Guest) on February 2, 2021

🀣 Hii imenifanya siku yangu iwe bora kabisa!

Samson Tibaijuka (Guest) on February 1, 2021

πŸ˜„ Hii ni ubunifu wa hali ya juu!

Maneno (Guest) on January 24, 2021

πŸ˜‚ Lazima nihifadhi hii!

Grace Mligo (Guest) on January 13, 2021

Hii imenichekesha sana! πŸ€£πŸ˜†

Ruth Wanjiku (Guest) on December 13, 2020

πŸ˜†πŸ˜‚πŸ˜Š

Biashara (Guest) on December 1, 2020

Wow, hii kichekesho ni mshindi kamili! πŸ†

Tabitha Okumu (Guest) on November 30, 2020

Umesema kweli! πŸ‘ŒπŸ˜‚

Thomas Mtaki (Guest) on November 26, 2020

πŸ˜‚πŸ˜‚

David Chacha (Guest) on November 22, 2020

Nimecheka hadi machozi yanatoka! 🀣😭

Paul Kamau (Guest) on November 17, 2020

Ucheshi wenu ni wa hali ya juu sana! πŸ‘πŸ˜‚

Stephen Malecela (Guest) on November 15, 2020

🀣 Ujuzi wa hali ya juu!

Wande (Guest) on November 1, 2020

πŸ˜‚ Ninaituma hii kwa kila mtu ninayemjua!

Jane Muthoni (Guest) on October 26, 2020

πŸ˜… Nilihitaji kicheko hicho!

Ruth Kibona (Guest) on October 17, 2020

Hii joke imenikumbusha enzi zile! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Samuel Omondi (Guest) on October 2, 2020

Lazima niihifadhi hii, ni kichekesho kali sana! πŸ˜†

Violet Mumo (Guest) on September 30, 2020

πŸ˜‚ Siwezi kuacha kucheka!

Peter Tibaijuka (Guest) on September 17, 2020

πŸ˜‚ Siwezi kusubiri kushiriki hii!

Jafari (Guest) on September 16, 2020

πŸ˜‚ Nitaiiba hii bila shaka!

Robert Okello (Guest) on September 7, 2020

Huyu alikuwa na point! πŸ˜‚πŸ‘Œ

Victor Sokoine (Guest) on July 29, 2020

Hii ni ya kufurahisha sana! πŸ˜ŠπŸ˜„

Patrick Kidata (Guest) on July 27, 2020

Ucheshi wenu unanifurahisha sana! πŸ˜‚πŸ‘

Alice Mwikali (Guest) on July 17, 2020

Kweli mna ucheshi wa kipekee! πŸ˜‚πŸ€£

Diana Mallya (Guest) on June 11, 2020

πŸ˜„ Kichekesho kamili!

Richard Mulwa (Guest) on June 11, 2020

πŸ˜† Hii imenigonga kweli!

Tambwe (Guest) on June 10, 2020

πŸ˜‚ Siwezi kuacha kucheka!

Christopher Oloo (Guest) on June 8, 2020

πŸ˜‚ Nalia kwa kweli hapa!

Lucy Kimotho (Guest) on May 29, 2020

πŸ˜†πŸ˜…πŸ˜‚

Rose Lowassa (Guest) on May 12, 2020

Hii imenifurahisha hadi ninacheka kwa sauti! πŸ˜„πŸ˜…

Esther Nyambura (Guest) on May 10, 2020

Kweli mna ucheshi wa hali ya juu! πŸ˜‚πŸ€£

Anna Malela (Guest) on May 7, 2020

Hii ni joke ya kipekee sana! πŸ˜‚πŸ‘

Grace Wairimu (Guest) on April 27, 2020

Nimecheka hadi nina furaha sana! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Betty Cheruiyot (Guest) on April 9, 2020

Nimecheka hadi nimemiss kicheko! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Related Posts

Jee wajua! Maajabu ya whatsapp..

Jee wajua! Maajabu ya whatsapp..

JE WAJUA?

Je wajua kwamba kuku wa kwenye Whatsapp anamzidi tembo ukubwa? πŸ“πŸ‘‰πŸ½πŸ... Read More

Angalia pombe ilichomfanya huyu jamaa, kweli pombe haimuachi mtu salama

Angalia pombe ilichomfanya huyu jamaa, kweli pombe haimuachi mtu salama

Leo nimeiogopa pombe.

Nimetokea kuiogopa pombe baada ya kumwona jirani yangu akicheza muzik... Read More

Huyu mwanafunzi kweli kiboko

Huyu mwanafunzi kweli kiboko

Ticha: Wa kwanza kujibu swali langu ataenda Home mapema..

John kusikia hivyo....Karusha beg... Read More

Hizi hapa, Aina 10 za ndoa usizozijua

Hizi hapa, Aina 10 za ndoa usizozijua

Karibuni tuangalie aina hizi 10 za ndoa.

1. NDOA YA MKEKA

Inatokana na kufumaniwa... Read More

Angalia jamaa alivyouweza huu mchepuko wake

Angalia jamaa alivyouweza huu mchepuko wake

Kuna mchepuko nilimtumia nauli jana ili aje,.kwang sasa leo kaniambia eti " nimesahau ile line ye... Read More

Baada ya kunitumia SMS usiku ikawa hivi….

Baada ya kunitumia SMS usiku ikawa hivi….

Jana usiku kuna Jirani yangu..kanitumia text "mambo vipi?"…halafu tunakaa nae mtaa mmoja nikao... Read More

Hii ndiyo bongo sasa!!

Hii ndiyo bongo sasa!!

Hii ndio Bongo

Ilikuwa Ijumaa mida ya saa 10 jioni, mzee mmoja aliingia na kibinti kizuri k... Read More

Jinsi ya Kubana matumizi X-mass

Jinsi ya Kubana matumizi X-mass

Badala yakupika PILAU tutapika TAMBI kwenye Xmas maana tutakua tumeokoa sh.15,000/= Vitunguu swa... Read More

Angalia alichokifanya huyu mtu baada ya kuokota wallet ya thamani

Angalia alichokifanya huyu mtu baada ya kuokota wallet ya thamani

Jamaa aliokota wallet, alipofika nyumbani akapiga simu kwenye radio station "naitwa Juma nimepiga... Read More

Mlevi kazua tafrani, angalia alichokifanya hapa

Mlevi kazua tafrani, angalia alichokifanya hapa

MLEVI mmoja aliingia baa akavuta kiti na kukaa mhudumu akatokea kumsikiliza.
MHUDUMU: Nikusa... Read More

Angalia Kiingereza kilivyoniponza

Angalia Kiingereza kilivyoniponza

Shikamoo kingereza..!

Baada ya kufika Kempiski nikaona menu imeandikwa:

Saute... Read More

Kuwa na mahusiano na msichana kama huyu ni changamoto, Mabinti bwana!

Kuwa na mahusiano na msichana kama huyu ni changamoto, Mabinti bwana!

Binti: Hallow mpenzi, Mambo