Warning: Undefined variable $user_id in /home/ackyshine/personal/sidebar.php on line 36
Sidebar with Floating Button
AckySHINE πŸ”
☰
AckyShine

Vichekesho vya kukuondoa mawazo leo

Featured Image

Soma vichekesho hivi;

Mwizi wa atm

Jamaa aliibiwa kadi yake ya benk akaulizwa kama ameripoti polisi akajibu "sijaripoti bado, mwizi mwenyewe hamfikii matumizi kama mke wangu.

Cheka kidogo

Njia rahisi kusahau matatizo yako (japo kwa muda mfupi) vaa viatu vinavyokubana.

Mlizi mbio mbio

Tulikuwa bar moja jana mlinzi kaingia spidi, akamwambia jamaa mmoja aliyekaa kaunta, Mlinzi: Mzee gari lako limeibiwa Mzee: Umemtambua aliyeiba? Mlinzi: Hapana lakini nimeandika namba za gari hizi hapa.

13, 13…

Jamaa alikuwa anapita nje ya wodi ya vichaa akasikia mtu anasema, 13, 13, 13, 13, 13, 13,….. akaamua kuchungulia kwenye kitundu alichokiona ajue kuna nini, ile kuchungulia tu akamwagiwa mchanga wa machoni, sauti ikabadili ikaanza 14,14,14,14,14……

WATAALAM

Jamaa alikuwa anaumwa sana, mkewe akamwita daktari, alipofika akamkuta jamaa kafumba macho;
Dokta: Huyu mbona amekwisha kufa?
Jamaa: Sijafa bwana
Mke: Hebu nyamaza bwana acha kubishana na wataalamu.

Ya leo mgonjwa

Dokta alipotembelea wodi ya mgonjwa wake aliyepata ajali. Mgonjwa akiwa amening'inizwa mikono juu akauliza "dokta ntaweza kweli kupiga kinanda nkitoka hospitali?"
Dokta: Bila shaka utaweza, wewe ni mpiga kinanda mzuri enh?
Mgonjwa: Hapana sijawahi kabisa bado.

4WD

Mwanaume alimnunulia pete ya almasi mkewe, rafiki akauliza "si ulisema anapenda gari yenye four wheel drive, mbona umenunua pete?" Mume akajibu "unadhani wapi ntapata rav4 feki?"

Ajali ilivyotokea

Trafiki polisi akihoji palipotokea ajali "ahaa! Sasa naanza elewa embu nielezee jinsi ajali ilivyotokea wewe ukiwa kama dereva mhusika." Dereva akajibu "hata sikumbuki nlifumba macho"

Faini ya kukojoa

Polisi alimdaka jamaa anakojoa pembezoni mwa ukuta.
Polisi: Wewe unajua panakatazwa kukojoa hapa?
Jamaa: Sasa nimebanwa nifanyaje?
Polisi: Faini yake elfu tano.
Jamaa akatoa noti ya elfu 10.
Polisi: Sasa chenji tunaipataje?
Jamaa: Tafuta chenji unipe changu.
Polisi: Basi kojoa tena…

Mume anaenda kazini

Jamaa kaamka asubuhi sana Jumamosi, mvua inanyesha kang'ang'ania kuwa anaenda ofisini. Kawasha gari yake, kufika njiani hali ilikuwa mbaya kaamua kurudi. Kafika home kavua nguo kaingia tena kitandani, kamnong'oneza mkewe aliyekuwa usingizini; "Yaani hali ya hewa huko nje mbaya sana" Mke: Si ndio nimemshangaa huyu mpumbavu eti kaenda kazini…

Hasira za mtoto

Baba na mtoto:
Baba: Mwanangu ukiwa na hasira unafanya nini?
Mtoto: Naenda chooni.
Baba: Chooni? Kufanya nini?
Mtoto: Kusafisha.
Baba: Halafu ndio hasira zinaisha?
Mtoto: Ndio. Nasafisha choo kwa mswaki wako.

Mgonjwa na Dokta

Mgonjwa: Dokta nimekuja nahisi ninaumwa Malaria na kifua.
Dokta: Sasa ushajua unaumwa nini hapa umefuata nini kwangu?
Mgonjwa: Sasa si nimekuja kwa dokta.
Dokta: Wanaojua kuwa wanaumwa kama wewe wanapitiliza maabara.

Pilau la bachela

Bachela mmoja aliyekua akiishi kwa muda mrefu peke yake kwenye nyumba aliyopanga siku moja alitaka kupika pilau kwa mara ya kwanza. Sasa asijue nini kinachobadilisha rangi ya wali kuwa rangi ya brown, yeye akapika kama kawaida (wali) kisha wakati wa kula akavaa miwani yenye rangi ambayo ukiuangalia wali unauona kama pilau wakati anakula.

Mwizi na chizi

Mwizi kaiba TV na kuanza kukimbia nayo, kumbe ile nyumba mlikuwa na chizi, akaanza kumkimbiza yule mwizi. Kila mwizi akiongeza mbio chizi nae huyo, mwishowe mwizi akasalimu amri na kusimama, yule chizi akamsogelea na kumwambia.. Daah umesahau remote hii hapa mwizi kafleti.

Chemsha bongo

Baba akimuuliza chemsha bongo mwanae anayesoma shule ya chekechea "haya niambie kitu gani hakiwezi kuliwa wakati wa breakfast?" Mtoto akajibu "hiyo mbona rahisi baba, si lunch na dinner"

AckySHINE Solutions

Comments

Please log in or register to leave a comment or reply.

Asajo the great (User) on May 8, 2026

I have satisfied with u're comedy thanks!

Guest (Guest) on June 28, 2026

Enjoy kuwa na namba yangu japo maisha ni popote lakini uwezi kuishi chooni <mapenz ulaya africa biashara kama kutoa ni moyo basi kujumlisha ni figo by melky by torong kindimb

Guest (Guest) on July 20, 2026

Djmonster255

Guest (Guest) on July 5, 2026

Mambo

Guest (Guest) on July 5, 2026

Jamani bc toen vchkesho vipya

Guest (Guest) on July 5, 2026

Jamani bc toen vipya

Guest (Guest) on June 28, 2026

Enjoy kuwa na namba yangu japo maisha ni popote lakini uwezi kuishi chooni <mapenz ulaya africa biashara kama kutoa ni moyo basi kujumlisha ni figo by melky by torong kindimb

Guest (Guest) on May 28, 2026

hii noma

Guest (Guest) on June 28, 2026

Jamaa alikula chakula bila kusali akaona chakula sio kitamu by chelew hapo torongi kindimba

Guest (Guest) on June 21, 2026

Umetisha

Guest (Guest) on June 26, 2026

BAHATi0702990167

Asajo the great (User) on May 8, 2026

I have satisfied with u're comedy thanks!

Susan Wangari (Guest) on May 22, 2024

Hii joke imenikumbusha enzi zile! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Guest (Guest) on February 10, 2026

ni maukali sana

Guest (Guest) on February 28, 2026

WAPI

Guest (Guest) on May 9, 2026

Safi sana

Guest (Guest) on July 20, 2026

#Djmonster255

Guest (Guest) on June 15, 2026

hatar

Guest (Guest) on May 24, 2026

Oy niaj apo

Guest (Guest) on June 26, 2026

Mambow

Guest (Guest) on June 22, 2026

Iko poa

Guest (Guest) on May 23, 2026

.

Guest (Guest) on February 9, 2026

PWWW

Guest (Guest) on January 29, 2026

Juliana cheyo

Guest (Guest) on May 2, 2026

HATARI

Guest (Guest) on May 9, 2026

Mm leo mke wangu katoka asubuhi namuulizia unaenda
Wap amenijibu nijue yangu yake haya nihusu hapa nipo kumupeleka kwao ambako yanawahusu

Guest (Guest) on May 4, 2026

Nimefurah sana

Guest (Guest) on May 24, 2026

Mamb fat

Guest (Guest) on March 30, 2026

ww mimi fatu unanikumbka

Guest (Guest) on May 9, 2026

Fatu mamb

Guest (Guest) on December 27, 2025

Enzi zip?

James Kawawa (Guest) on May 9, 2024

Napenda vile mnaweka jokes kila siku! πŸ˜†πŸ‘

Isaac Kiptoo (Guest) on May 4, 2024

πŸ˜‚πŸ‘ŒπŸ˜†πŸ˜Š

Guest (Guest) on March 4, 2026

Nice

Esther Nyambura (Guest) on April 13, 2024

Mna kipaji cha ucheshi! πŸ‘πŸ˜‚

Guest (Guest) on May 25, 2026

Xxx

Guest (Guest) on July 12, 2026

Mambo mambooo yamedinda mak k yanajiuza

Andrew Mchome (Guest) on March 26, 2024

πŸ˜‚πŸ‘πŸ˜…πŸ€£

Nancy Kabura (Guest) on January 18, 2024

πŸ˜‚πŸ€£πŸ˜†πŸ˜…

Guest (Guest) on March 7, 2026

Mambo ni fire

Nancy Kabura (Guest) on January 12, 2024

Wow, hii kichekesho ni mshindi kamili! πŸ†

Guest (Guest) on June 18, 2026

Nimekubali

Betty Akinyi (Guest) on November 1, 2023

πŸ˜† Ninakufa hapa!

Faith Kariuki (Guest) on October 19, 2023

πŸ˜„ Dhahabu ya vichekesho!

Guest (Guest) on February 15, 2026

vichesho vipya

Catherine Naliaka (Guest) on October 11, 2023

πŸ€£πŸ˜†πŸ˜ŠπŸ˜‚

Guest (Guest) on June 28, 2026

Tuko

Jane Muthui (Guest) on October 2, 2023

πŸ˜„ Umeshinda mtandao leo!

Janet Mbithe (Guest) on September 11, 2023

Hii imenifurahisha sana! πŸ˜ŠπŸ˜…

Lucy Kimotho (Guest) on September 6, 2023

Nilihitaji kicheko hiki, asante kwa kushiriki! πŸ˜…

James Kawawa (Guest) on July 4, 2023

πŸ˜‚ Siwezi kuacha kucheka!

Related Posts

Huyu mtoto kaongea point kweli, angalia anachomwambia baba yake

Huyu mtoto kaongea point kweli, angalia anachomwambia baba yake

Mtoto alimwuuliza baba yake,
Mtoto: Baba unaweza kumwachia hilo gari lako house boy/girl aka... Read More

Kwa nini watu hawapendi hesabu!! Sababu hii hapa!

Kwa nini watu hawapendi hesabu!! Sababu hii hapa!

Sababu ni hii

AL-SHABAB
AL-QAEDA
Kwenye MATHEMATICS pia kuna kundi linaitwa

Read More
Kapresha kakiamua kuja kanakujaga tuu, cheki kilichompata huyu mme wa mtu mpenda michepuko

Kapresha kakiamua kuja kanakujaga tuu, cheki kilichompata huyu mme wa mtu mpenda michepuko

Kimchepuko chako kinakuandikia meseji kama hii…

…Samahani baby kama unavyojua nimeokoka... Read More

Kilichompata huyu jamaa mroho wa nyama, Hata kaa arudie tena

Kilichompata huyu jamaa mroho wa nyama, Hata kaa arudie tena

Jamaa kaenda kumtembelea rafiki yake Levi, kule sehemu za kwetu, akakaribishwa bonge ya ugali na ... Read More

Kali ya mwaka iliyotokea Benki Baada ya wezi kuiba

Kali ya mwaka iliyotokea Benki Baada ya wezi kuiba

Kuishi kijijini kunahitaji moyo sana

..unaenda kuoga, unakumbuka k... Read More

Kweli shilingi yaua, Huyu jamaa kapatikana, angalia anachomjibu mke wake,

Kweli shilingi yaua, Huyu jamaa kapatikana, angalia anachomjibu mke wake,

Jamaa alikuwa anagombana na mkewe,hatimae akamwambia kwa ukali "Unajua nimechoka sasa, haya kusanya ... Read More
Tofauti ya mwanamke wa Kizaramo, Kitanga, Kihaya, na wa Kichaga

Tofauti ya mwanamke wa Kizaramo, Kitanga, Kihaya, na wa Kichaga

Mwanamke wakizaramo: Unampa hela ana nunua dela anaenda ana msutia jirani, anali... Read More

Maajabu ya wananchi wa Tanzania, Je, wajua hili?

Maajabu ya wananchi wa Tanzania, Je, wajua hili?

JE WAJUA TANZANIA NI NCHI PEKEE AMBAYO WATU WANAPOANZA KUCHAT huanza kwa kiingereza 'morning' na... Read More

Hii ndiyo maana ya matatizo

Hii ndiyo maana ya matatizo

SWALI: Nini maana ya matatizo..?

JIBU: matatizo ni pale unapopewa adhabu na mwanajeshi t... Read More

Duh! Angalia alichokula huyu mwizi! Wizi mwingine bwana!

Duh! Angalia alichokula huyu mwizi! Wizi mwingine bwana!

Baada ya mwizi kuvunja mlango huko Tarime, akaingia kwenye stoo akaona vinyama kwenye bakuli vik... Read More

Angalia haya maswali ya huyu mtoto yalivyomagumu, ndio maana wazee wetu walikua wanatudanganya

Angalia haya maswali ya huyu mtoto yalivyomagumu, ndio maana wazee wetu walikua wanatudanganya

Mtoto: Mama, hivi kabla hujanizaa uliniona!?