Warning: Undefined variable $user_id in /home/ackyshine/personal/sidebar.php on line 36
Sidebar with Floating Button
AckySHINE πŸ”
☰
AckyShine

Cheki nilichomfanyia boss wangu

Featured Image

Bosi wangu karudi safari yake kutoka serengeti..! Si akanitumia picha, lakini ilikuwa network yenyewe tabu.. kwahio picha haikufunguka na kwa vile niliona itachelewa kufunguka na ataona sikumjibu basi nami..

Nikampelekea msg nikamuandikia umependeza saana bosi mashaallah…!!
sasa baada tu ya kumfika msg.. na huku picha ikafunguka kumbe picha ya Sokwe..!!
Basi Kaniambia kesho niende ofsini kwake kuna barua yangu..
Nahisi hyo barua ina pesa, hapa cjalala, nmekosa usingizi kabisa,nawaza ninunulie nn hyo pesa.Na kesho asubuhi sa 12 asubuhi atanikuta ofisini kwake naisubiri barua, sipendagi ujinga mimi.

AckySHINE Solutions

Comments

Please log in or register to leave a comment or reply.

Betty Cheruiyot (Guest) on July 8, 2022

πŸ€£πŸ‘πŸ‘Œ

Diana Mumbua (Guest) on June 29, 2022

Hii imenifurahisha hadi ninacheka kwa sauti! πŸ˜„πŸ˜…

John Kamande (Guest) on June 2, 2022

Hii ni joke ya kipekee! πŸ€£πŸ‘Œ

Alice Jebet (Guest) on May 31, 2022

Hii ni bomba sana! πŸ€£πŸ‘

Habiba (Guest) on May 31, 2022

πŸ˜‚ Ninahitaji kuihifadhi hii milele!

Peter Mwambui (Guest) on May 25, 2022

Nimecheka hadi nimesahau shida zangu! πŸ˜…πŸ˜Š

Halima (Guest) on May 4, 2022

πŸ˜‚ Hii ni ya kuhifadhi!

Nancy Kabura (Guest) on April 25, 2022

πŸ˜‚πŸ€£πŸ˜†πŸ˜…

George Ndungu (Guest) on April 24, 2022

πŸ˜‚πŸ€£πŸ˜ŠπŸ˜…

David Nyerere (Guest) on April 20, 2022

πŸ˜†πŸ˜…πŸ˜‚

Margaret Mahiga (Guest) on April 17, 2022

🀣πŸ”₯😊

Furaha (Guest) on April 11, 2022

Haha, hii ni kicheko bora zaidi nilichopata wiki hii! 😁

Zulekha (Guest) on April 1, 2022

🀣 Hiyo twist mwishoni, ingawa!

Violet Mumo (Guest) on March 10, 2022

πŸ˜… Ilibidi nishiriki hii na kila mtu!

Andrew Mchome (Guest) on February 14, 2022

Nimecheka hadi machozi yanatoka! 🀣😭

Betty Akinyi (Guest) on January 1, 2022

Hii kichekesho inastahili tuzo! πŸ†

Janet Mbithe (Guest) on December 19, 2021

Hii imenifurahisha hadi nacheka kwa sauti! πŸ€£πŸ˜…

Ali (Guest) on December 15, 2021

🀣 Hii kichekesho ni nzuri sana!

George Ndungu (Guest) on November 27, 2021

πŸ˜„ Sikutarajia hiyo ikitokea!

Joseph Mallya (Guest) on November 23, 2021

😁 Hakika hii ni kichekesho changu kipya!

Edwin Ndambuki (Guest) on November 20, 2021

Hii imenikumbusha kicheko cha zamani! πŸ˜‚πŸ˜…

Paul Kamau (Guest) on October 22, 2021

Hii imenipa kicheko cha siku! πŸ˜‚πŸ˜†

Ruth Mtangi (Guest) on October 22, 2021

πŸ˜‚πŸ‘ŒπŸ˜†πŸ˜Š

Miriam Mchome (Guest) on October 21, 2021

πŸ˜‚ Ninaihifadhi hii!

George Ndungu (Guest) on October 18, 2021

πŸ˜„ Umeshinda mtandao leo!

Dorothy Mwakalindile (Guest) on October 14, 2021

πŸ˜† Nacheka hadi chini sasa hivi!

Peter Tibaijuka (Guest) on October 12, 2021

Nimecheka kwa sauti! 🀣🀣

Josephine Nekesa (Guest) on September 6, 2021

🀣 Hiyo punchline ilikuwa haikutarajiwa!

Chiku (Guest) on August 3, 2021

Wow, hizi kichekesho ni dhahabu kabisa! πŸ’°

Elijah Mutua (Guest) on July 16, 2021

Huyu mtu ni mcheshi sana! πŸ˜‚πŸ˜‚

Betty Cheruiyot (Guest) on June 15, 2021

Ucheshi wenu ni wa hali ya juu! πŸ‘πŸ€£

James Kawawa (Guest) on June 6, 2021

Nimefurahia sana hii! πŸ˜…πŸ˜Š

Betty Kimaro (Guest) on April 28, 2021

πŸ˜†πŸ‘πŸ˜‚πŸ˜„

Latifa (Guest) on April 13, 2021

πŸ˜„ Hii ni ubunifu wa hali ya juu!

Martin Otieno (Guest) on March 15, 2021

Huyu alikuwa na point! πŸ˜‚πŸ‘Œ

Josephine Nduta (Guest) on January 19, 2021

Ucheshi wenu unanifurahisha sana! πŸ˜‚πŸ‘

Kenneth Murithi (Guest) on January 9, 2021

πŸ€£πŸ€£πŸ‘πŸ˜†

Edward Chepkoech (Guest) on December 10, 2020

Hii imenigonga vizuri, punchline gani! πŸ˜†

Esther Cheruiyot (Guest) on December 2, 2020

πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ€£

Mary Sokoine (Guest) on November 20, 2020

πŸ˜‚πŸ˜†

Lydia Mutheu (Guest) on October 21, 2020

Hii ni kali sana! πŸ˜‚πŸ€£

Joyce Mussa (Guest) on October 13, 2020

πŸ€£πŸ˜†πŸ˜ŠπŸ˜‚

Miriam Mchome (Guest) on October 13, 2020

Huu ucheshi hauna kifani! 🀣πŸ”₯

Agnes Lowassa (Guest) on October 10, 2020

Hii ni ya kufurahisha sana! πŸ˜ŠπŸ˜„

Alice Mwikali (Guest) on September 25, 2020

πŸ˜‚πŸ€£πŸ˜†

Joseph Kiwanga (Guest) on September 22, 2020

Hii imenikumbusha enzi zile! πŸ˜…πŸ˜‚

Moses Mwita (Guest) on September 12, 2020

Nitaeleza hii kwa marafiki zangu bila shaka! πŸ˜„

Patrick Kidata (Guest) on September 9, 2020

Brilliant! Muda wake ulikuwa kamili! ⏰

Daniel Obura (Guest) on August 26, 2020

πŸ˜‚ Lazima nihifadhi hii!

Samuel Omondi (Guest) on August 4, 2020

Hii kichekesho ilikuwa bora! Nimeipenda! 🎯

Andrew Mchome (Guest) on July 23, 2020

Nimefurahia sana hii joke! πŸ˜…πŸ˜‚

David Sokoine (Guest) on June 18, 2020

πŸ˜† Bado nacheka!

Biashara (Guest) on June 16, 2020

πŸ˜ƒ Hali imeboreshwa papo hapo!

Mwakisu (Guest) on June 15, 2020

Nilikuwa na siku mbaya hadi niliposoma hii! πŸ˜…

Alice Mrema (Guest) on June 7, 2020

Nimefurahia hii sana! πŸ˜†πŸ˜Š

Samson Mahiga (Guest) on May 20, 2020

Kweli mna ucheshi wa kipekee! πŸ˜‚πŸ€£

Wilson Ombati (Guest) on May 19, 2020

Hii joke ni ya kufurahisha! 🀣🀣

Margaret Anyango (Guest) on May 8, 2020

Hii imenipa furaha ya siku! πŸ˜†πŸ‘Œ

Ann Wambui (Guest) on April 24, 2020

Hii kichekesho itaingia moja kwa moja kwenye vipendwa vyangu! πŸ˜‚

Hellen Nduta (Guest) on April 9, 2020

Kweli mna kipaji cha ucheshi! πŸ‘πŸ˜†

Related Posts

Mabinti wengine kwa kupenda hela! cheki huyu anachokifanya

Mabinti wengine kwa kupenda hela! cheki huyu anachokifanya

Phone call gal: hellow Boy: sweety mambo vipi? Girl: poa Boy: utakuwa free weekend? nilikuwa nataka ... Read More
Cheki tabia za kuandika vimaneno vya ajabuajabu kwenye pikipiki na bodaboda ilivyomponza huyu

Cheki tabia za kuandika vimaneno vya ajabuajabu kwenye pikipiki na bodaboda ilivyomponza huyu

Jamaa mmoja dereva wa bajaji alianguka, sasa bajaji ikawa imem'bana akawa anafurukuta bil... Read More

Tofauti kati ya mwanamke na mwanamme

Tofauti kati ya mwanamke na mwanamme

UTOFAUTI KATI YA MWANAMKE NA MWANAUME
1. Kwenye mshituko; mwanaume hushituka halafu huangali... Read More

Angalia huyu jamaa anachomwambia mwizi baada ya kumuibia simu yake

Angalia huyu jamaa anachomwambia mwizi baada ya kumuibia simu yake

Foleni ndeeeeefu jamaa yupo kwenye daladala anaenda kazini kaona heri amuandikie boss wake msg k... Read More

Angalia alichokifanya huyu mtu baada ya kuokota wallet ya thamani

Angalia alichokifanya huyu mtu baada ya kuokota wallet ya thamani

Jamaa aliokota wallet, alipofika nyumbani akapiga simu kwenye radio station "naitwa Juma nimepiga... Read More

Angalia alichokifanya huyu sharobaro kanisani

Angalia alichokifanya huyu sharobaro kanisani

Huu usharobaro mwingine uchizi. Jamaa kamzimia demu kanisani, mara ukafika mda wa kutoa sadaka, eti ... Read More
Google, Facebook, WhatsApp, Internet na Umeme nani zaidi?

Google, Facebook, WhatsApp, Internet na Umeme nani zaidi?

Google alisema : mimi nina kila kitu

Facebook ikasema : mimi najua watu wote

Wha... Read More

Angalia haya maswali ya huyu mtoto yalivyomagumu, ndio maana wazee wetu walikua wanatudanganya

Angalia haya maswali ya huyu mtoto yalivyomagumu, ndio maana wazee wetu walikua wanatudanganya

Mtoto: Mama, hivi kabla hujanizaa uliniona!?