Warning: Undefined variable $user_id in /home/ackyshine/personal/sidebar.php on line 36
Sidebar with Floating Button
AckySHINE πŸ”
☰
AckyShine

Angalia huyu Jamaa alivyomuweza huyu mrembo

Featured Image

Nipo kwenye daladala siti ya nyuma kabisa nimekaa na mrembo mzurii.sasa nikawa namtongoza kwa sauti ya chini sana watu wengine wasiskie,akawa hanijibu kitu,mala gafra akapayuka kwanguvu na kwa sauti ya juu iliyomshtua kila mtu.​
​"Nimesema stakii,stakii tena unikome"β€‹πŸ˜³πŸ˜³

​Nami nikamjibu kwa sauti ya juu vile vile​
​"Kama umejamba nisikwambie bhanaa,kwani ww nani?"β€‹β˜Ή

πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
​​MIMI SIO MTU WA MCHEZO MCHEZO​
Sipendag ujuinga mim

AckySHINE Solutions

Comments

Please log in or register to leave a comment or reply.

Furaha (Guest) on March 2, 2022

🀣 Hii imenifanya siku yangu iwe bora kabisa!

Rose Lowassa (Guest) on February 17, 2022

Nimefurahia sana hii! πŸ˜…πŸ˜Š

Nancy Akumu (Guest) on February 7, 2022

😁 Hii ni hazina ya kichekesho!

Moses Kipkemboi (Guest) on January 26, 2022

πŸ˜…πŸ˜‚πŸ˜„

Nancy Komba (Guest) on January 22, 2022

πŸ€£πŸ‘πŸ‘Œ

Joseph Mallya (Guest) on December 19, 2021

Napenda jinsi mnavyofikiria! πŸ€”πŸ˜†

Betty Cheruiyot (Guest) on December 8, 2021

Napenda vile mnaweka jokes kila siku! πŸ˜†πŸ‘

Neema (Guest) on December 2, 2021

πŸ˜† Hii imenigonga kweli!

Ann Awino (Guest) on November 13, 2021

🀣 Hii kichekesho ni nzuri sana!

Andrew Mahiga (Guest) on November 7, 2021

πŸ€£πŸ€£πŸ‘πŸ˜†

Robert Okello (Guest) on October 18, 2021

πŸ€£πŸ€£πŸ˜‚

Benjamin Masanja (Guest) on October 17, 2021

πŸ˜† Naihifadhi hii!

Victor Malima (Guest) on October 15, 2021

πŸ˜† Hiyo punchline ilikuwa kali!

Violet Mumo (Guest) on September 29, 2021

Kweli mna ucheshi wa hali ya juu! πŸ˜‚πŸ€£

Mwanahawa (Guest) on September 19, 2021

πŸ˜† Bado nacheka, siwezi kuacha!

Bernard Oduor (Guest) on September 15, 2021

Hii imenifurahisha hadi ninacheka kwa sauti! πŸ˜„πŸ˜…

Faith Kariuki (Guest) on September 12, 2021

Hii imenifurahisha hadi nacheka kwa sauti! πŸ€£πŸ˜‚

Nora Lowassa (Guest) on August 26, 2021

Ucheshi wenu unanifurahisha kila siku! πŸ˜†πŸ˜‚

Joseph Kawawa (Guest) on August 25, 2021

Hii imenikuna hadi nina furaha sana! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Nancy Komba (Guest) on August 9, 2021

πŸ˜‚πŸ˜‚

Samuel Were (Guest) on July 31, 2021

🀣πŸ”₯😊

Nora Kidata (Guest) on July 26, 2021

🀣 Hiyo punchline ilikuwa haikutarajiwa!

John Kamande (Guest) on July 20, 2021

πŸ˜„ Umeimaliza kabisa!

Mariam Kawawa (Guest) on June 24, 2021

🀣 Hii imewaka moto!

Diana Mallya (Guest) on May 15, 2021

πŸ˜„ Hii ni ubunifu wa hali ya juu!

Grace Majaliwa (Guest) on April 18, 2021

πŸ˜‚πŸ€£πŸ˜‚πŸ˜…

Kenneth Murithi (Guest) on April 16, 2021

πŸ˜… Nilihitaji kicheko hiki, asante!

Jafari (Guest) on February 28, 2021

πŸ˜‚ Siwezi kuacha kucheka na hii!

Khamis (Guest) on February 21, 2021

Lazima niihifadhi hii, ni kichekesho kali sana! πŸ˜†

Nuru (Guest) on February 9, 2021

πŸ˜‚ Kali sana!

Mary Sokoine (Guest) on January 16, 2021

Nimecheka hadi nimesahau shida zangu! πŸ˜…πŸ˜Š

Patrick Akech (Guest) on January 14, 2021

Kweli mna ucheshi! πŸ˜‚πŸ€£

Tabu (Guest) on December 23, 2020

πŸ˜‚ Sijacheka hivi kwa muda mrefu sana!

Ruth Wanjiku (Guest) on December 13, 2020

Hii imenichekesha sana! πŸ€£πŸ˜†

Alice Wanjiru (Guest) on December 6, 2020

Ninashiriki hii na marafiki zangu mara moja! πŸ˜†

Diana Mallya (Guest) on November 3, 2020

Hii kichekesho imebadilisha kabisa hali yangu! πŸ˜ƒ

Joyce Nkya (Guest) on October 27, 2020

🀣 Kichekesho bora kabisa!

John Kamande (Guest) on October 13, 2020

πŸ˜ŠπŸ˜‚πŸ˜…πŸ‘

Paul Kamau (Guest) on October 12, 2020

Hii imenipa furaha ya siku! πŸ˜†πŸ‘Œ

Benjamin Kibicho (Guest) on October 3, 2020

Hii imenipa kicheko cha siku! πŸ˜‚πŸ˜†

Samson Mahiga (Guest) on September 19, 2020

Hii imenifurahisha hadi nacheka kwa sauti! πŸ€£πŸ˜‚

Isaac Kiptoo (Guest) on September 17, 2020

πŸ˜„πŸ˜…πŸ‘πŸ˜‚

Paul Kamau (Guest) on September 6, 2020

Ucheshi wenu unanifurahisha kila siku! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Elizabeth Mrema (Guest) on September 1, 2020

Hii ni joke ya maana sana! πŸ˜‚πŸ‘Œ

David Kawawa (Guest) on August 28, 2020

Hii imenipa furaha ya siku! πŸ˜†πŸ˜‚

Robert Ndunguru (Guest) on August 23, 2020

Hii imenifurahisha hadi nacheka kwa sauti! πŸ˜‚πŸ€£

Kheri (Guest) on August 10, 2020

πŸ˜… Bado nacheka!

John Lissu (Guest) on August 6, 2020

πŸ˜† Naihifadhi hii!

Anna Sumari (Guest) on July 15, 2020

🀣 Nalia kwa kicheko kweli!

Charles Wafula (Guest) on June 28, 2020

πŸ‘πŸ€£πŸ˜†πŸ˜‚

James Mduma (Guest) on June 24, 2020

Nimecheka hadi nimesahau shida zangu! πŸ€£πŸ˜†

Fredrick Mutiso (Guest) on June 11, 2020

🀣 Hiyo twist mwishoni, ingawa!

Janet Mbithe (Guest) on April 18, 2020

πŸ˜‚πŸ€£πŸ˜ŠπŸ˜…

Abdillah (Guest) on March 28, 2020

πŸ˜‚ Ninaituma hii kwa kila mtu ninayemjua!

Nahida (Guest) on March 26, 2020

πŸ˜‚ Ninashiriki mara moja!

Khatib (Guest) on March 23, 2020

Bado nacheka, hiyo ilikuwa nzuri sana! 🀣

Paul Ndomba (Guest) on March 17, 2020

πŸ˜ƒ Hali imeboreshwa papo hapo!

Sarah Achieng (Guest) on March 17, 2020

Hii ni bomba sana! πŸ€£πŸ‘

Catherine Naliaka (Guest) on March 16, 2020

Kweli mna kipaji cha ucheshi! πŸ‘πŸ€£

Dorothy Mwakalindile (Guest) on March 3, 2020

Nimecheka hadi nimesahau shida zangu! πŸ˜‚πŸ˜…

Related Posts

Kwa nini vitu vunavyoanza na "K" ni vitamu sana?

Kwa nini vitu vunavyoanza na "K" ni vitamu sana?

Zuzu kaniuliza, "Anko, unajua vitu vinavyoanzia na K ni vitamu sana." Nikashtuka, "Astaghafilulah we... Read More
Sababu ya mke kupewa dawa badala ya mumewe

Sababu ya mke kupewa dawa badala ya mumewe

Dokta: Mama tumemchunguza mumeo kwa makini sana, jopo lote la madaktari tumekubaliana mumeo anahitaj... Read More
Angalia mtoto alivyowaumbua Baba na mama yake

Angalia mtoto alivyowaumbua Baba na mama yake

DOGO: Mama Jana Baba Alikuja Na Mwanamke Na
Akaanza Kumtoa Nguo Huku Akimuita Beib…
B... Read More

Angalia huyu mvulana anachomwambia huyu daktari baada ya rafiki yake wa kike kupata ujauzito

Angalia huyu mvulana anachomwambia huyu daktari baada ya rafiki yake wa kike kupata ujauzito

πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚

MVULANA:Β Daktari, rafiki yangu wa kike ni mjamzito, l... Read More

Huyu traffic noma, kweli ulevi mbaya

Huyu traffic noma, kweli ulevi mbaya

Trafik mlevi alisimamisha gari Mama akapaki pembeni akaona trafik anakuja akiwa anayumba! Alipofi... Read More

Ukimuona mbwa kwenye harusi hii ndiyo maana yake

Ukimuona mbwa kwenye harusi hii ndiyo maana yake

Hili nalo neneo.

Ukimuona mbwa🐢 harusini usimpige mawe wala kumfukuza inawezekana kilich... Read More

Wachaga kweli kiboko: Mcheki huyu mchaga na mbuzi!!!

Wachaga kweli kiboko: Mcheki huyu mchaga na mbuzi!!!

Mchaga alinunua mbuzi akamwambia mpishi Nyama nusu ipike pilau na ingine itie kwenye friza. Kich... Read More

Tofauti ya mke na mchepuko!!!

Tofauti ya mke na mchepuko!!!

MKE NA MCHEPUKO.

Mke ni kama Tv na Mchepuko ni kama Simu.
Nyumbani unaangalia Tv lakin... Read More

Dunia ina mambo! Angalia kilichotokea baada ya mgonjwa kuwekewa macho ya paka

Dunia ina mambo! Angalia kilichotokea baada ya mgonjwa kuwekewa macho ya paka

Kuna jamaa alipata ajali akapofuka machoπŸ‘€, akaenda hospital akawekewa macho ya paka🐈🐱, dokt... Read More
Je, hii ni kweli kwa wale wasichana wasiojibu meseji WhatsApp!!!?

Je, hii ni kweli kwa wale wasichana wasiojibu meseji WhatsApp!!!?

Ukiona hivyo ujue ndio hivi

Mwanaume mwenzangu ukiona unamtext msg msichana WhatsApp kaisom... Read More

Tabia za wachepukaji

Tabia za wachepukaji

WACHEPUKAJI WENGI WANATABIA HIZI

1.Hachezi mbali na simu yake kila wakati.
2.Inbox na ... Read More

Kilichotokea baada ya polisi wa kibongo kukutana na mwizi mzungu

Kilichotokea baada ya polisi wa kibongo kukutana na mwizi mzungu

POLISI KAKAMATA MZUNGU 'yestaday I saw u at ze maize shop..(jana nilikuona dukani kwa muhindi) when ... Read More
πŸ“– Explore More Articles
🏠 Home πŸ“– Reading πŸ–ΌοΈ Gallery πŸ’¬ AI Chat πŸ“˜ About