Warning: Undefined variable $user_id in /home/ackyshine/personal/sidebar.php on line 36
Sidebar with Floating Button
AckySHINE πŸ”
☰
AckyShine

Sababu za kumuacha mke kama umemchoka

Featured Image

Ukimchoka mkeo, waweza kumtaftia sababu za kumuacha kama hizi

_
1. Missed calls 16? Umeua betri la simu yangu. Kwa hiyo hata mimi unaweza kuniua… It's Over!!!
_
2. Hata hunieshimu. Mi naongea na wewe lakini we upo bize unavuta pumzi? It's over!
_
3. Nimekupigia umepokea simu hapohapo. Huna subira. It’s over!!
_

4. Nilikwambia huwa napenda chakula cha moto lakini hujanipashia ice cream. Hunijali. It's over!
_
5. Nimekupa mayai mawili, moja uchemshe jingine ukaange. We umekaanga ambalo ulitakiwa kuchemsha na umechemsha ulilotakiwa kukaanga. Huniheshimu, It’s over!
_
6. Nimekuita DARLING na wewe ukaniita HONEY. Yani kwa maana nyingine unamuita mama yangu NYUKI. Huheshimu wazazi wangu, fungasha kilicho chako. its over.

πŸ˜„πŸ˜‚πŸ˜„πŸ˜‚πŸ˜„πŸ˜‚πŸ˜„πŸ˜‚πŸ˜„

AckySHINE Solutions

Comments

Please log in or register to leave a comment or reply.

Maimuna (Guest) on June 4, 2022

πŸ˜„ Umeimaliza kabisa!

Peter Mwambui (Guest) on May 4, 2022

Kweli ni jokes za ukweli! πŸ‘πŸ˜†

Rahma (Guest) on April 27, 2022

πŸ˜ƒ Hali imeboreshwa papo hapo!

Benjamin Masanja (Guest) on February 10, 2022

🀣 Hii kichekesho ni nzuri sana!

Nancy Kawawa (Guest) on January 16, 2022

Hii ni ya kufurahisha! πŸ˜„πŸ˜…

Anna Malela (Guest) on January 10, 2022

Ucheshi wenu unanifurahisha kila siku! πŸ˜ŠπŸ˜‚

John Lissu (Guest) on December 15, 2021

Ucheshi wenu unanifurahisha kila siku! πŸ˜†πŸ˜„

Martin Otieno (Guest) on December 11, 2021

πŸ˜‚πŸ€£

Lydia Mahiga (Guest) on December 9, 2021

Hii imenikumbusha kicheko cha zamani! πŸ˜‚πŸ˜…

Jafari (Guest) on December 8, 2021

🀣 Ninaituma sasa hivi!

Nancy Kabura (Guest) on December 2, 2021

Hii kichekesho imenifurahisha sanaβ€”imebamba! 🀣

Thomas Mwakalindile (Guest) on November 26, 2021

Hii kichekesho inastahili tuzo! πŸ†

Lucy Kimotho (Guest) on November 14, 2021

Kweli mna ucheshi! πŸ˜‚πŸ€£

Biashara (Guest) on November 13, 2021

πŸ˜„ Dhahabu ya vichekesho!

Alice Jebet (Guest) on November 11, 2021

πŸ€£πŸ€£πŸ‘πŸ˜†

Frank Macha (Guest) on October 21, 2021

Kweli mna kipaji cha ucheshi! πŸ‘πŸ€£

Alice Wanjiru (Guest) on October 12, 2021

πŸ˜‚ Nitaiiba hii bila shaka!

Janet Sumaye (Guest) on October 10, 2021

Hizi jokes ni za kipekee sana! πŸ˜†πŸ˜Š

David Musyoka (Guest) on September 26, 2021

🀣 Ujuzi wa hali ya juu!

Monica Adhiambo (Guest) on July 10, 2021

Hii kichekesho itaingia moja kwa moja kwenye vipendwa vyangu! πŸ˜‚

Mwanaisha (Guest) on July 4, 2021

πŸ˜‚ Siwezi kuacha kucheka!

Joyce Mussa (Guest) on May 6, 2021

Nimeipenda hii joke! πŸ˜„πŸ˜‚

Fikiri (Guest) on May 6, 2021

Hii ni dhahabu ya vichekesho! πŸ˜„

Rose Waithera (Guest) on April 18, 2021

πŸ˜‚πŸ€£πŸ˜‚πŸ˜…

Robert Ndunguru (Guest) on April 15, 2021

Napenda jinsi mnavyofikiria! πŸ€”πŸ˜†

Neema (Guest) on March 20, 2021

😁 Imeongezwa kwenye vipendwa!

Paul Ndomba (Guest) on March 15, 2021

😁 Hakika hii ni kichekesho changu kipya!

Thomas Mtaki (Guest) on March 1, 2021

Hii imeniboresha wakati wangu wa mapumziko! β˜•πŸ˜†

Elizabeth Mrope (Guest) on February 25, 2021

πŸ˜‚πŸ‘ŒπŸ˜†πŸ˜Š

Bernard Oduor (Guest) on February 25, 2021

Nimecheka hadi machozi yanatoka! 🀣😭

Jane Muthoni (Guest) on January 16, 2021

Hii ni joke ya kipekee! πŸ€£πŸ‘Œ

Mariam Hassan (Guest) on December 9, 2020

🀣πŸ”₯😊

Alice Jebet (Guest) on November 19, 2020

Hii imenibamba sana! πŸ˜…πŸ€£

Mwanahawa (Guest) on November 10, 2020

🀣 Sikutarajia hiyo!

Raha (Guest) on October 31, 2020

Bado nacheka, hiyo ilikuwa nzuri sana! 🀣

Charles Wafula (Guest) on October 28, 2020

Hii ni joke ya kufurahisha sana! πŸ‘πŸ˜†

Michael Onyango (Guest) on October 13, 2020

Hii imenifurahisha hadi nacheka kwa sauti! πŸ€£πŸ˜…

Betty Akinyi (Guest) on October 5, 2020

Hii imenikumbusha enzi zile! πŸ˜…πŸ˜‚

Selemani (Guest) on September 26, 2020

😁 Hii ni hazina ya kichekesho!

John Kamande (Guest) on September 2, 2020

Ucheshi wenu ni wa hali ya juu sana! πŸ‘πŸ€£

Maida (Guest) on September 2, 2020

Umeimaliza kabisa, kichekesho gani! πŸ˜„

Stephen Kangethe (Guest) on August 9, 2020

Hii imenikuna hadi nina furaha! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Alice Mwikali (Guest) on July 25, 2020

πŸ€£πŸ˜­πŸ˜†

Robert Ndunguru (Guest) on July 23, 2020

πŸ˜†πŸ˜…πŸ˜‚

Neema (Guest) on July 21, 2020

🀣 Hiyo punchline ilikuwa haikutarajiwa!

Rubea (Guest) on July 19, 2020

πŸ˜† Siwezi kuacha kucheka!

Edith Cherotich (Guest) on July 16, 2020

Hii imenipa kicheko cha siku! πŸ˜‚πŸ€£

Monica Adhiambo (Guest) on June 26, 2020

πŸ˜† Nacheka hadi chini sasa hivi!

John Lissu (Guest) on June 19, 2020

Nimecheka hadi nina furaha sana! 🀣😊

Rose Kiwanga (Guest) on June 17, 2020

πŸ˜†πŸ˜‚πŸ‘

Christopher Oloo (Guest) on June 14, 2020

πŸ˜‚πŸ€£πŸ˜†

Margaret Anyango (Guest) on June 5, 2020

Hii joke ni ya kufurahisha! 🀣🀣

Alice Jebet (Guest) on June 1, 2020

Hii imenikuna hadi nina furaha sana! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Lydia Mahiga (Guest) on May 10, 2020

πŸ˜† Nacheka hadi chini!

Lucy Mahiga (Guest) on March 19, 2020

Haha! Sijacheka hivi kwa muda mrefu! 🀣

Amani (Guest) on March 18, 2020

😁 Hii imenifanya siku yangu iwe bora!

Mercy Atieno (Guest) on March 17, 2020

Hii imenikuna! πŸ˜†πŸ˜Š

Linda Karimi (Guest) on January 14, 2020

Ucheshi wenu unanifurahisha kila siku! πŸ˜†πŸ˜‚

Ruth Kibona (Guest) on December 16, 2019

Hii ni joke ya ukweli kabisa! πŸ˜‚πŸ€£

Rose Mwinuka (Guest) on December 13, 2019

Nimecheka hadi nina furaha sana! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Related Posts

Cheki hawa wachungaji

Cheki hawa wachungaji

CHEKA KIDOGO

Wachungaji watatu walikutana kwa siri na kuelezana matatizo yao ili waweze kuo... Read More

Tofauti ya mke na mchepuko!!!

Tofauti ya mke na mchepuko!!!

MKE NA MCHEPUKO.

Mke ni kama Tv na Mchepuko ni kama Simu.
Nyumbani unaangalia Tv lakin... Read More

Baada ya kuumizwa kimapenzi haya ndiyo maneno

Baada ya kuumizwa kimapenzi haya ndiyo maneno

Mkishaumizwa ndo utasikia, Moyo sukuma damu sio mengine. wakati mnapenda mlizani moyo ul... Read More

Kilichotokea Leo mahakamani

Kilichotokea Leo mahakamani

Leo nimeenda mahakamani, mara judge akasema..
Order! Order…
Mimi na kiherehere changu... Read More

Huyu panya wa tatu ni noma

Huyu panya wa tatu ni noma

πŸ€ πŸ€ πŸ€Β Panya watatu walikua wakibishana nani Ni noma zaidi

Read More

BREAKING NEWS: WAZIRI ANASWA KOFI

BREAKING NEWS: WAZIRI ANASWA KOFI

Mkazi wa Mbagala Kibondemaji, Waziri Salum (23) amejikuta akinaswa makofi baada ya kupishana kau... Read More

Duh! Tamaa mbaya, cheki kilichompata Huyu

Duh! Tamaa mbaya, cheki kilichompata Huyu

HAHAHAHAHAAAAAA DUH TAMAA MBAYA

Muokota makopo katika uokotaji wak... Read More

Hii ndio ndoto ya harusi ya kila msichana anayotamani

Hii ndio ndoto ya harusi ya kila msichana anayotamani

GIRL: Baby, hebu niambie harusi yetu itakuwaje? BOY: Yaani hii haijawahi kushuhudiwa, ngoja nikupe k... Read More
Kweli mitandao imeharibu watu, angalia huyu anachokisema sasa

Kweli mitandao imeharibu watu, angalia huyu anachokisema sasa

πŸ˜‚πŸ˜‚ kweli nimeamin mitandao inahribu watu

Leo kuna jamaa kamuona Dada akipita barabara... Read More

Haya mawazo ya huyu Mtu kuhusu Shetani ni kiboko

Haya mawazo ya huyu Mtu kuhusu Shetani ni kiboko

Kuishi kijijini kunahitaji moyo sana

..unaenda kuoga, unakumbuka k... Read More

Kilichonitokea leo baada ya kuona nungunungu

Kilichonitokea leo baada ya kuona nungunungu

Baada ya kukaa mda mlefu sijamuona nungu'nungu leo nikakuna nae nikajisikia furaha sana,

ni... Read More

Dunia ina mambo, soma hii

Dunia ina mambo, soma hii

Dunia ina mambo

Kuna mama mmoja kavamia bank uchi cha kushangaza hakuna anae kumbuka uso... Read More