Warning: Undefined variable $user_id in /home/ackyshine/personal/sidebar.php on line 36
Sidebar with Floating Button
AckySHINE ๐Ÿ”
โ˜ฐ
AckyShine

Majibu ya mkato ya kuchekesha Kutoka Kenya

Featured Image

Njeri:ย Roysambu ni ngapi?
Makanga:ย Roysambu ni moja tu. Pengine kama Chinese wamejenga ingine.

Odhis:ย Hii gari haina watu bana.
Makanga:ย Kwani hao wawili wenye wamekaa hapo ndani ni ngโ€™ombe?

Man:ย Wekeni nyimbo za Yesu tafadhali.
Makanga:ย Yesu bado hajatoa album. Akitoa tutaeka.

Mwikali:ย Excuse me condaโ€ฆgari za Mwingi zinapandiwa wapi?
Makanga:ย Ziliacha kupandwa juu hazimei.

Man:ย Kwani mwisho wa gari ni wapi?
Makanga:ย Mwisho ni hapo penye number plate iko.

Karis:ย Ruaka ni how much?
Makanga:ย Sijaskia Ruaka ikiuzwa. But nikiskia nitakwambia.

Passenger:ย Shukisha dere.
Makanga:ย Tukishukisha dere utaendesha gari?

Johnny:ย Maze, hii gari iko na joto sana.
Makanga:ย Basi shuka upande fridge

AckySHINE Solutions

Comments

Please log in or register to leave a comment or reply.

Charles Mchome (Guest) on March 8, 2022

๐Ÿ˜„๐Ÿ˜…๐Ÿ‘๐Ÿ˜‚

Warda (Guest) on March 2, 2022

๐Ÿ˜„ Dhahabu ya vichekesho!

Ramadhan (Guest) on February 12, 2022

Sikutarajia hiyo punchlineโ€”kichekesho! ๐Ÿคฃ

Samuel Omondi (Guest) on January 19, 2022

Nilikuwa na siku mbaya hadi niliposoma hii! ๐Ÿ˜…

Michael Mboya (Guest) on January 9, 2022

Ucheshi wenu unanifurahisha kila siku! ๐Ÿ˜Š๐Ÿ˜‚

Ruth Wanjiku (Guest) on January 6, 2022

Nimecheka hadi nimesahau shida! ๐Ÿคฃ๐Ÿ˜†

Zulekha (Guest) on November 7, 2021

๐Ÿ˜‚ Lazima nihifadhi hii!

Paul Kamau (Guest) on September 16, 2021

Hizi jokes zinanifanya nicheke kila siku! ๐Ÿ˜„๐Ÿ˜†

Irene Akoth (Guest) on September 3, 2021

Ucheshi wa hali ya juu! ๐Ÿ˜‚๐Ÿ‘

David Kawawa (Guest) on August 30, 2021

๐Ÿคฃ Sikutarajia hiyo!

Betty Akinyi (Guest) on August 28, 2021

๐Ÿ˜… Nilihitaji hii!

Tambwe (Guest) on August 15, 2021

Haha, hii ni ya kuhifadhi! ๐Ÿ“Œ

Hashim (Guest) on August 1, 2021

Hii ni dhahabu ya vichekesho! ๐Ÿ˜„

Kheri (Guest) on July 27, 2021

๐Ÿ˜† Ninaihifadhi kwa baadaye!

Rose Mwinuka (Guest) on July 25, 2021

๐Ÿคฃ Hiyo twist mwishoni, ingawa!

James Malima (Guest) on July 15, 2021

๐Ÿ˜‚๐Ÿคฃ

Sarah Karani (Guest) on June 27, 2021

Hii ni bomba sana! ๐Ÿคฃ๐Ÿ‘

Richard Mulwa (Guest) on June 21, 2021

๐Ÿ˜† Kali sana!

David Nyerere (Guest) on June 6, 2021

Ninashiriki hii na marafiki zangu mara moja! ๐Ÿ˜†

Kenneth Murithi (Guest) on May 30, 2021

Nimecheka hadi nina furaha sana! ๐Ÿคฃ๐Ÿ˜Š

Chris Okello (Guest) on May 23, 2021

Kweli mna ucheshi wa hali ya juu sana! ๐Ÿ‘๐Ÿ˜†

Dorothy Nkya (Guest) on April 17, 2021

๐Ÿ˜† Nacheka hadi chini!

Kijakazi (Guest) on March 17, 2021

๐Ÿ˜† Bado nacheka!

Ann Wambui (Guest) on March 8, 2021

๐Ÿ˜…๐Ÿ˜Š๐Ÿ˜‚๐Ÿ‘

Selemani (Guest) on March 8, 2021

Siwezi kusubiri kuieleza kwenye sherehe yangu inayofuata! ๐ŸŽ‰

Janet Mbithe (Guest) on January 23, 2021

Hizi jokes ni za kipekee sana! ๐Ÿ˜†๐Ÿ˜Š

Peter Otieno (Guest) on January 22, 2021

Nitaeleza hii kwa marafiki zangu bila shaka! ๐Ÿ˜„

Alex Nyamweya (Guest) on January 14, 2021

Kweli ni jokes za ukweli! ๐Ÿ‘๐Ÿ˜†

Mariam Hassan (Guest) on January 8, 2021

๐Ÿ˜„ Umenishika vizuri!

Betty Akinyi (Guest) on December 28, 2020

๐Ÿ˜† Hiyo punchline ilikuwa kali!

John Kamande (Guest) on December 20, 2020

Umeimaliza kabisa, kichekesho gani! ๐Ÿ˜„

Jaffar (Guest) on December 11, 2020

Hii kichekesho itaingia moja kwa moja kwenye vipendwa vyangu! ๐Ÿ˜‚

Omari (Guest) on December 11, 2020

๐Ÿ˜ƒ Hali imeboreshwa papo hapo!

John Lissu (Guest) on December 5, 2020

๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚

Philip Nyaga (Guest) on December 3, 2020

๐Ÿ˜‚๐Ÿ‘๐Ÿ˜…๐Ÿคฃ

Victor Sokoine (Guest) on November 17, 2020

Lazima nikumbuke hii kwa baadaye! ๐Ÿ˜†

Amani (Guest) on October 31, 2020

๐Ÿ˜ Hii imenifanya siku yangu iwe bora!

Betty Cheruiyot (Guest) on October 7, 2020

Kweli mnajua kuchekesha watu! ๐Ÿคฃ๐Ÿ˜‚

Rose Waithera (Guest) on September 17, 2020

Nimecheka hadi machozi yanatoka! ๐Ÿคฃ๐Ÿ˜ญ

Irene Makena (Guest) on August 21, 2020

๐Ÿ˜„ Umeshinda mtandao leo!

Josephine (Guest) on July 31, 2020

Haha, mbavu zangu zinauma kwa kucheka sana! ๐Ÿคฃ

Lydia Wanyama (Guest) on July 10, 2020

Hii ni joke ya maana sana! ๐Ÿ˜‚๐Ÿ‘Œ

Faith Kariuki (Guest) on June 30, 2020

๐Ÿ˜‚๐Ÿคฃ๐Ÿ˜Š๐Ÿ˜…

Bakari (Guest) on May 15, 2020

๐Ÿ˜„ Hii ni ubunifu wa hali ya juu!

Maulid (Guest) on May 6, 2020

๐Ÿ˜‚ Hii ni ya kuhifadhi!

Nancy Akumu (Guest) on May 5, 2020

Hii imenichekesha sana! ๐Ÿคฃ๐Ÿ˜†

Violet Mumo (Guest) on May 3, 2020

๐Ÿ˜‚ Ninahitaji kuihifadhi hii milele!

Joseph Kawawa (Guest) on April 21, 2020

Napenda jinsi mnavyofikiria! ๐Ÿค”๐Ÿ˜†

Frank Macha (Guest) on March 15, 2020

๐Ÿคฃ Ujuzi wa hali ya juu!

Mary Mrope (Guest) on February 21, 2020

๐Ÿคฃ๐Ÿ˜„๐Ÿ˜Š

Joseph Kitine (Guest) on February 19, 2020

Nimecheka kwa sauti! ๐Ÿคฃ๐Ÿคฃ

Paul Ndomba (Guest) on February 11, 2020

Haha! Sijacheka hivi kwa muda mrefu! ๐Ÿคฃ

Janet Mbithe (Guest) on February 9, 2020

Hii ni kali kabisa! Siwezi kushiba! ๐Ÿ˜‚

Stephen Mushi (Guest) on December 28, 2019

Hii imenifurahisha hadi nacheka kwa sauti! ๐Ÿคฃ๐Ÿ˜…

Janet Wambura (Guest) on December 23, 2019

๐Ÿคฃ๐Ÿคฃ๐Ÿ˜‚

Peter Tibaijuka (Guest) on December 15, 2019

Hii kichekesho inastahili tuzo! ๐Ÿ†

Chiku (Guest) on November 22, 2019

Hii ndio nilihitaji leo! Asante! ๐Ÿ˜œ

Betty Kimaro (Guest) on November 19, 2019

Nimecheka hadi nimepata furaha! ๐Ÿ˜Š๐Ÿ˜†

James Kimani (Guest) on November 15, 2019

Napenda jokes zenu! ๐Ÿ˜Š๐Ÿ˜…

Kenneth Murithi (Guest) on November 5, 2019

Hii imenipa kicheko cha siku! ๐Ÿ˜‚๐Ÿคฃ

Related Posts

Hakuna mtu mwenye mbio duniani kama huyu

Hakuna mtu mwenye mbio duniani kama huyu

HAKUNA MTU MWENYE MBIO, KAMA MSICHANA ALIYEPAKA MAKE UP ALAFU MVUA INYESHEโ€ฆ..... Read More

Soma alichokisema mlevi baada ya kukuta watu wakimpiga mwizi

Soma alichokisema mlevi baada ya kukuta watu wakimpiga mwizi

Mlevi mmoja aliona wananchi wakipiga mwizi akawaambia "mwacheni msimpige, hii tabia yenu ya kupi... Read More

Angalia kile kitabia cha kufuta namba kwenye simu kilivyomponza huyu jamaa

Angalia kile kitabia cha kufuta namba kwenye simu kilivyomponza huyu jamaa

Jana nilijipa kazi ya kufuta vitu visivyo na umuhimu kwenye sm yangu. Katika futa futa si nimefut... Read More

Angalia hawa kina mama, ni shida..!

Angalia hawa kina mama, ni shida..!

Mama mdaku alishangaa kila siku mchungaji anaingia nyumba ya jirani yake ambaye hana mume, akawa... Read More

Kilichotokea baada ya kuzamia sherehe

Kilichotokea baada ya kuzamia sherehe

Pale unapozamia kwenye Dinner Party ya Jumuiya Fulani, sasa Lengo la Jumuiya hiyo ni kupata Fedha... Read More

Huyu mke ni shida!

Huyu mke ni shida!

MUME: "Unajua mi unanishangaza sana, kila siku nakusikia mara useme TV yangu, gari yangu, chumban... Read More

Ukimuona mbwa kwenye harusi hii ndiyo maana yake

Ukimuona mbwa kwenye harusi hii ndiyo maana yake

Hili nalo neneo.

Ukimuona mbwa๐Ÿถ harusini usimpige mawe wala kumfukuza inawezekana kilich... Read More

Angalia huyu jamaa alivyowafanyia watu uhuni bar

Angalia huyu jamaa alivyowafanyia watu uhuni bar

Jamaa kaingia Bar;
Jamaa: Muhudumu, nipe kinywaji na mpe kila mtu humu ndani kinywaji, maana... Read More

Namna wazazi wanavyoongea na mabinti katika umri tofauti

Namna wazazi wanavyoongea na mabinti katika umri tofauti

Miaka 13: Usipende wavulana ni wabaya.
Miaka 18: Sitaki nikuone na yule mvulana tena!
M... Read More

SOMA HII! Baba kampaka Sumu mkewe kafa Houseboy

SOMA HII! Baba kampaka Sumu mkewe kafa Houseboy

Baba mmoja Juzi alimpaka Sumu Mke wake kwenye Matiti akiwa amelala ili Mtoto akinyonya afe kwani... Read More

Wavuta bangi wa Colombia watoa mpya

Wavuta bangi wa Colombia watoa mpya

Asubuhi ya leo huko nchini Colombia baada ya serikali kuidhinisha matumizi ya bangi kuwa halali ... Read More

Haya ndiyo madhara ya kulala kanisani

Haya ndiyo madhara ya kulala kanisani

Tukiwa kanisani mdada alikuwa amelala , akaamka akasikia Pastor anasema
" SIMAMA"
Yule ... Read More

๐Ÿ“– Explore More Articles
๐Ÿ  Home ๐Ÿ“– Reading ๐Ÿ–ผ๏ธ Gallery ๐Ÿ’ฌ AI Chat ๐Ÿ“˜ About