Warning: Undefined variable $user_id in /home/ackyshine/personal/sidebar.php on line 36
Sidebar with Floating Button
AckySHINE πŸ”
☰
AckyShine

Kuwa na mahusiano na msichana kama huyu ni changamoto, Mabinti bwana!

Featured Image

Binti:Β Hallow mpenzi, Mambo

Jamaa:Β Poa baby

Binti:Uko wapi?

Jamaa: Niko town napata lunch

Binti:Β Wow unarudi saa ngap? Nina njaa dear naomba uniletee msosi

Jamaa:Β Narudi baada ya nusu saa nikuletee nini?

Binti:Β Niletee chipsi kuku, soseji, mayai manne ya kukaangwa pembeni, baga, piza, coke take away baridi, mkate wa moto kwenye ile bekari ya wapemba na maji ya kunywa ya kiimanjaro.

Jamaa:Umesahau viti, meza, masufuria, sahani na beseni na vijiko.

Binti:Β Kwanini dear?

Jamaa:Β Naona hutaki kula unataka kufungua hoteli!

AckySHINE Solutions

Comments

Please log in or register to leave a comment or reply.

Zakaria (Guest) on April 4, 2022

πŸ˜… Nilihitaji kicheko hiki, asante!

Edith Cherotich (Guest) on March 24, 2022

Nimecheka hadi nimesahau shida zangu! πŸ˜‚πŸ˜…

Mwalimu (Guest) on March 9, 2022

🀣 Kichekesho bora kabisa!

Agnes Sumaye (Guest) on February 14, 2022

Huyu alikuwa na point! πŸ˜‚πŸ‘Œ

George Mallya (Guest) on January 10, 2022

Huu ucheshi hauna kifani! 🀣πŸ”₯

Mary Mrope (Guest) on January 3, 2022

Hii ni bomba sana! πŸ€£πŸ‘

Henry Mollel (Guest) on December 27, 2021

πŸ˜† Bado nacheka!

Josephine Nekesa (Guest) on December 6, 2021

Hii imenikumbusha kicheko cha zamani! πŸ˜‚πŸ˜…

Fredrick Mutiso (Guest) on November 9, 2021

Ucheshi wenu ni wa hali ya juu sana! πŸ‘πŸ€£

Moses Kipkemboi (Guest) on October 12, 2021

πŸ˜…πŸ˜‚πŸ˜„

Thomas Mwakalindile (Guest) on October 4, 2021

πŸ€£πŸ˜­πŸ˜†

Mary Kidata (Guest) on July 12, 2021

Hii imenichekesha sana! πŸ€£πŸ˜†

Grace Majaliwa (Guest) on July 8, 2021

Kweli mna ucheshi wa kipekee! πŸ˜‚πŸ€£

Rabia (Guest) on May 27, 2021

πŸ˜‚ Siwezi kusubiri kushiriki hii!

Lucy Kimotho (Guest) on May 24, 2021

Nimefurahia sana hii! πŸ˜…πŸ˜Š

Irene Makena (Guest) on May 18, 2021

Hii imenichekesha sana! πŸ˜„πŸ˜‚

Salma (Guest) on May 14, 2021

🀣 Hii imenigonga vizuri!

Leila (Guest) on April 27, 2021

Haha, mbavu zangu zinauma kwa kucheka sana! 🀣

Ann Wambui (Guest) on March 25, 2021

Nimefurahia hii sana! πŸ˜†πŸ˜Š

Stephen Kikwete (Guest) on March 22, 2021

Hizi jokes zinanifanya nicheke kila siku! πŸ˜„πŸ˜†

Elizabeth Mtei (Guest) on March 5, 2021

Nimeipenda hii joke! πŸ˜„πŸ˜‚

Joseph Mallya (Guest) on February 27, 2021

πŸ˜† Bado nacheka, siwezi kuacha!

Janet Mbithe (Guest) on February 9, 2021

πŸ˜† Ninacheka sana sasa hivi!

Mzee (Guest) on February 6, 2021

πŸ˜‚ Nimeipenda kabisa hii!

Andrew Mchome (Guest) on February 2, 2021

Nimecheka hadi nimesahau shida! πŸ€£πŸ˜†

Sarah Mbise (Guest) on January 22, 2021

🀣 Nalia kwa kicheko kweli!

Hellen Nduta (Guest) on January 4, 2021

Ucheshi wenu unanifurahisha kila siku! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Ndoto (Guest) on December 14, 2020

πŸ˜‚ Nacheka hadi nalia!

Amani (Guest) on October 30, 2020

πŸ˜… Bado ninacheka!

Amani (Guest) on October 28, 2020

Sikutarajia hiyo punchlineβ€”kichekesho! 🀣

Sarah Karani (Guest) on October 26, 2020

Hii joke ni ya kufurahisha! 🀣🀣

Charles Wafula (Guest) on October 3, 2020

πŸ˜† Ninaihifadhi kwa baadaye!

Irene Makena (Guest) on September 16, 2020

Hii imenipa kicheko cha siku! πŸ˜‚πŸ˜†

Amir (Guest) on September 6, 2020

Ninashiriki hii na marafiki zangu mara moja! πŸ˜†

Nora Lowassa (Guest) on August 25, 2020

Hii ni kali kabisa! Siwezi kushiba! πŸ˜‚

Stephen Kangethe (Guest) on August 13, 2020

Wow, hii kichekesho ni mshindi kamili! πŸ†

Moses Mwita (Guest) on August 12, 2020

Hii imenipa furaha ya siku! πŸ˜†πŸ˜‚

James Kawawa (Guest) on August 11, 2020

Lazima niihifadhi hii, ni kichekesho kali sana! πŸ˜†

David Chacha (Guest) on July 30, 2020

Hii ni ya maana sana! πŸ˜‚πŸ‘Œ

Mary Kidata (Guest) on July 19, 2020

πŸ˜†πŸ‘πŸ˜‚πŸ˜„

Grace Mushi (Guest) on July 19, 2020

πŸ˜„πŸ˜…πŸ‘πŸ˜‚

Ann Wambui (Guest) on July 15, 2020

Nimecheka hadi nina furaha sana! πŸ˜†πŸ˜‚

Josephine (Guest) on June 18, 2020

Asante Ackyshine

Thomas Mtaki (Guest) on June 15, 2020

Hii ni joke ya kipekee sana! πŸ˜ŠπŸ‘

David Sokoine (Guest) on June 13, 2020

πŸ˜‚ Hii kichekesho imenifurahisha siku nzima!

Elizabeth Mrema (Guest) on May 25, 2020

πŸ˜‚πŸ€£πŸ˜‚πŸ˜…

Grace Minja (Guest) on May 9, 2020

πŸ€£πŸ˜†πŸ˜ŠπŸ˜‚

Betty Akinyi (Guest) on May 7, 2020

Ucheshi wenu ni wa hali ya juu sana! πŸ‘πŸ˜‚

Asha (Guest) on May 2, 2020

πŸ˜‚ Hii ni kali sana!

Wande (Guest) on April 30, 2020

πŸ˜† Kali sana!

Lucy Mahiga (Guest) on April 25, 2020

Hii imenifurahisha hadi nacheka kwa sauti! πŸ€£πŸ˜…

Latifa (Guest) on April 25, 2020

πŸ˜„ Umenishika vizuri!

Anna Mchome (Guest) on April 9, 2020

Mna kipaji cha ucheshi! πŸ‘πŸ˜‚

Monica Lissu (Guest) on April 5, 2020

Wow, hizi kichekesho ni dhahabu kabisa! πŸ’°

Rose Kiwanga (Guest) on March 28, 2020

Kweli mna ucheshi wa kipekee! πŸ˜‚πŸ€£

Diana Mallya (Guest) on March 10, 2020

πŸ€£πŸ˜„πŸ˜Š

Sekela (Guest) on March 1, 2020

πŸ˜„ Sikutarajia hiyo ikitokea!

Chris Okello (Guest) on February 27, 2020

Nimecheka hadi mbavu zinauma πŸ˜‚πŸ˜‚

Ruth Mtangi (Guest) on February 24, 2020

πŸ˜„ Kali sana!

Shabani (Guest) on February 17, 2020

🀣 Hii kichekesho ni nzuri sana!

Related Posts

Hii sasa ni kali

Hii sasa ni kali

Siku izi kujuana kumezidi hata ukienda msibani kama hauna connection hauli msosi

πŸ˜‚πŸ˜... Read More

Tofauti kati ya mwanamke na mwanamme

Tofauti kati ya mwanamke na mwanamme

UTOFAUTI KATI YA MWANAMKE NA MWANAUME
1. Kwenye mshituko; mwanaume hushituka halafu huangali... Read More

Duh! Angalia alichokula huyu mwizi! Wizi mwingine bwana!

Duh! Angalia alichokula huyu mwizi! Wizi mwingine bwana!

Baada ya mwizi kuvunja mlango huko Tarime, akaingia kwenye stoo akaona vinyama kwenye bakuli vik... Read More

Kilichompata huyu anayependa kusoma SMS za watu kwenye daladala

Kilichompata huyu anayependa kusoma SMS za watu kwenye daladala

Jana nilipanda daladala nikapata seat nikaketi, nikawa nimejiachia ninachati kwenye simu yangu(Sm... Read More

Huu ndio uhondo na raha ya kupanda daladala wajameni

Huu ndio uhondo na raha ya kupanda daladala wajameni

Wasiopanda dalaladala wanakosa uhondo wa kauli hizi
1. nitakupa
2. Atapewa mbele
3... Read More

Mimi ndio nimeelewa hivi!

Mimi ndio nimeelewa hivi!

Leo nimepishana na Vitz imeandikwa, "Never trust women"

Nikajua huyu mtu lazima alikuaga... Read More

Alichojibu dalali baada ya kufumwa na mke wa mtu ndani ya nyumba ya kupanga

Alichojibu dalali baada ya kufumwa na mke wa mtu ndani ya nyumba ya kupanga

Dalali aliwatafutia jamaa chumba Buguruni karibu na reli, nyumba nzuri sana. Jamaa na mkewe wakahami... Read More
Angalia Kiingereza kilivyoniponza

Angalia Kiingereza kilivyoniponza

Shikamoo kingereza..!

Baada ya kufika Kempiski nikaona menu imeandikwa:

Saute... Read More

Jamaa anayependa kuwafanyia watu uhuni leo kapatikana na huyu mdada

Jamaa anayependa kuwafanyia watu uhuni leo kapatikana na huyu mdada

Mdada alienda super-market kununua
kuku, bahati mbaya kwenye frij
kulikuwa na kuku mmoj... Read More

Kwa Wadada wanaotaka kuolewa

Kwa Wadada wanaotaka kuolewa

Kuishi kijijini kunahitaji moyo sana

..unaenda kuoga, unakumbuka k... Read More

Kweli tamaa ni mbaya, mke wa mtu kaponzwa na tamaa, ndio basi tena

Kweli tamaa ni mbaya, mke wa mtu kaponzwa na tamaa, ndio basi tena

Jamaa kaenda kwa mke wa rafiki yake:
JAMAA: Shem nakupenda!
MKE: Hebu... Read More

Cheki tabia za kuandika vimaneno vya ajabuajabu kwenye pikipiki na bodaboda ilivyomponza huyu

Cheki tabia za kuandika vimaneno vya ajabuajabu kwenye pikipiki na bodaboda ilivyomponza huyu

Jamaa mmoja dereva wa bajaji alianguka, sasa bajaji ikawa imem'bana akawa anafurukuta bil... Read More