Warning: Undefined variable $user_id in /home/ackyshine/personal/sidebar.php on line 36
Sidebar with Floating Button
AckySHINE πŸ”
☰
AckyShine

Alichofanya mke baada ya mme wake kupenda kumchunga sana

Featured Image

Alifanya hivi;
Siku ya kwanza

MUME: Halooo vipi mke wangu salama weye?.
MKE: Salama tu
MUME: Uko wapi?
MKE: Jamani si niko nyumbani
MUME: Mhh kama kweli uko nyumbani washa blender nisikie…..mkeΒ­ akawasha blender
MKE: Umesikia?
MUME: Okay haya mi natoka kazini naja

Siku ya pili
MUME: Vipi mko salama huko?
MKE: Tupo kama ulivyotuacha
MUME: kwani uko wapi?
MKE: Niko nyumbani napika
MUME: Washa brender kama kweli uko nyumbani
Mke akawasha blender
MKE: Umesikia?
MUME: Poa ntarudi baada ya masaa mawili

Siku sita baadaeΒ mume akaamua kurudi bila kumtaarifu mkewe alipofika home kamkuta mdada wa kazi yuko peke yake.
MUME: We mama yako yuko wapi?
MDADA: Sijui ameondoka na blender toka asubuhi

AckySHINE Solutions

Comments

Please log in or register to leave a comment or reply.

Margaret Mahiga (Guest) on November 16, 2021

Hii imenikuna! πŸ˜†πŸ˜Š

Betty Cheruiyot (Guest) on November 9, 2021

Umetisha! πŸ‘ŒπŸ˜‚

Fredrick Mutiso (Guest) on October 28, 2021

πŸ˜ŠπŸ˜‚πŸ˜…πŸ‘

Rahim (Guest) on October 7, 2021

😁 Hii imenifanya siku yangu iwe bora!

Issack (Guest) on October 3, 2021

πŸ˜„ Umenishika vizuri!

Grace Mushi (Guest) on September 24, 2021

πŸ€£πŸ€£πŸ˜‚

Mwinyi (Guest) on September 16, 2021

🀣 Hii imewaka moto!

Ramadhan (Guest) on September 1, 2021

Asante Ackyshine

Monica Adhiambo (Guest) on July 5, 2021

Hii ni kali sana! πŸ˜‚πŸ€£

Nahida (Guest) on June 28, 2021

πŸ˜„ Kichekesho gani!

Anna Malela (Guest) on June 24, 2021

Nimecheka hadi nimesahau shida! πŸ€£πŸ˜†

Andrew Odhiambo (Guest) on June 5, 2021

πŸ€£πŸ€£πŸ˜„πŸ˜†

Fredrick Mutiso (Guest) on June 2, 2021

Napenda jokes zenu! πŸ˜ŠπŸ˜…

Alex Nakitare (Guest) on May 28, 2021

Nitaeleza hii kwa marafiki zangu bila shaka! πŸ˜„

Nancy Komba (Guest) on May 19, 2021

πŸ˜‚πŸ˜…

Alice Mwikali (Guest) on May 14, 2021

Hii imenifurahisha hadi ninacheka kwa sauti! πŸ˜„πŸ˜…

Ibrahim (Guest) on May 12, 2021

😁 Hii ni dhahabu!

Abdillah (Guest) on April 17, 2021

πŸ˜† Ninacheka sana sasa hivi!

Betty Kimaro (Guest) on April 14, 2021

Umeimaliza kabisa, kichekesho gani! πŸ˜„

Paul Ndomba (Guest) on April 9, 2021

Hii imenikuna hadi nina furaha! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Janet Wambura (Guest) on April 2, 2021

πŸ˜‚ Ninashiriki mara moja!

Lucy Wangui (Guest) on March 12, 2021

πŸ˜…πŸ˜‚πŸ˜„

Thomas Mtaki (Guest) on March 9, 2021

Lazima nikumbuke hii kwa baadaye! πŸ˜†

Joy Wacera (Guest) on March 7, 2021

πŸ˜‚πŸ€£πŸ˜†

Jane Malecela (Guest) on January 24, 2021

πŸ˜†πŸ˜‚πŸ˜Š

Janet Wambura (Guest) on January 22, 2021

πŸ˜‚ Lazima nihifadhi hii!

Betty Cheruiyot (Guest) on December 17, 2020

Napenda jinsi mnavyofikiria! πŸ€”πŸ˜†

Francis Mrope (Guest) on December 13, 2020

πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ€£

Nora Kidata (Guest) on December 10, 2020

🀣 Nalia kwa kicheko kweli!

Charles Wafula (Guest) on December 4, 2020

Nimefurahia hii sana! πŸ˜†πŸ˜Š

Rukia (Guest) on December 3, 2020

πŸ˜‚ Siwezi kuacha kucheka!

Lucy Wangui (Guest) on November 10, 2020

πŸ˜„ Siwezi hata kupumua, ni kichekesho sana!

Rose Amukowa (Guest) on November 1, 2020

Huu ucheshi hauna kifani! 🀣πŸ”₯

Brian Karanja (Guest) on October 15, 2020

🀣 Hii kichekesho ni nzuri sana!

Nancy Kawawa (Guest) on October 14, 2020

Huyu mtu ni mcheshi sana! πŸ˜‚πŸ˜‚

Samson Tibaijuka (Guest) on September 22, 2020

Ucheshi wenu unanifurahisha kila siku! πŸ˜†πŸ˜‚

Paul Kamau (Guest) on September 13, 2020

Kweli mnajua kuchekesha watu! πŸ€£πŸ˜‚

Philip Nyaga (Guest) on August 19, 2020

πŸ˜‚ Ninaihifadhi hii!

Thomas Mtaki (Guest) on August 15, 2020

πŸ˜…πŸ˜ŠπŸ˜‚πŸ‘

Jackson Makori (Guest) on August 12, 2020

Hii imenikumbusha kicheko cha zamani! πŸ˜‚πŸ˜…

Grace Minja (Guest) on August 5, 2020

Nimeipenda hii joke! πŸ˜„πŸ˜‚

Jane Muthui (Guest) on July 19, 2020

Lazima niihifadhi hii, ni kichekesho kali sana! πŸ˜†

Thomas Mwakalindile (Guest) on July 17, 2020

πŸ˜‚πŸ€£πŸ˜ŠπŸ˜…

Makame (Guest) on July 8, 2020

Siwezi kusubiri kuieleza kwenye sherehe yangu inayofuata! πŸŽ‰

Faith Kariuki (Guest) on July 6, 2020

πŸ˜‚πŸ€£πŸ˜†πŸ‘

Binti (Guest) on July 3, 2020

πŸ˜‚ Ninaituma hii kwa kila mtu ninayemjua!

Aziza (Guest) on June 30, 2020

πŸ˜„ Umenishika vizuri!

Michael Onyango (Guest) on June 25, 2020

Hii kichekesho inastahili tuzo! πŸ†

Charles Mchome (Guest) on May 23, 2020

Bado nacheka, hiyo ilikuwa nzuri sana! 🀣

Mariam Kawawa (Guest) on April 22, 2020

πŸ˜„ Umeimaliza kabisa!

Mary Kidata (Guest) on April 19, 2020

Hii imenibamba sana! πŸ˜…πŸ€£

Janet Sumaye (Guest) on April 4, 2020

πŸ˜… Nilihitaji hii!

Khatib (Guest) on March 28, 2020

Hii kichekesho itaingia moja kwa moja kwenye vipendwa vyangu! πŸ˜‚

Mohamed (Guest) on February 6, 2020

Haha, hii ni ya kuhifadhi! πŸ“Œ

Nancy Akumu (Guest) on January 24, 2020

πŸ˜‚πŸ˜†

Joy Wacera (Guest) on December 29, 2019

Hii imenibamba sana! πŸ˜‚πŸ˜…

Salma (Guest) on December 10, 2019

Hii ni kichekesho kali sana, ninashiriki na kila mtu! πŸ˜‚

Peter Mwambui (Guest) on November 21, 2019

πŸ˜‚πŸ‘ŒπŸ˜†πŸ˜Š

Grace Mushi (Guest) on November 12, 2019

πŸ˜…πŸ˜‚πŸ‘ŒπŸ˜Š

Lydia Mzindakaya (Guest) on November 12, 2019

πŸ˜‚πŸ€£πŸ˜‚πŸ˜…

Related Posts

Hii bahati mbaya hii haifai kusema Samahani

Hii bahati mbaya hii haifai kusema Samahani

(KIFO NI NIN)
KIFO ni pale unapokosea text na kumtumia

... Read More
Nilichojibu kwenye interview walipoulizia status

Nilichojibu kwenye interview walipoulizia status

Nimetoka kufanya interview wakaniuliza status yangu nikaawabia status yangu ni Hey there... Read More

Huyu mchaga kazidi sasa, angalia anavyomfanya huyu mbuzi

Huyu mchaga kazidi sasa, angalia anavyomfanya huyu mbuzi

Mchaga alinunua mbuzi akamwambia mpishi Nyama nusu ipike pilau na ingine itie kwenye friza. Kichwa f... Read More
Madhara ya kwenda baa na mke ndo kama haya

Madhara ya kwenda baa na mke ndo kama haya

Jamaa alienda Bar na mke wake wa ndoa wakakaa kwenye viti, wakati wanasubiri vinywaji akapita bin... Read More

Mke anamwambia mme wake kuwa angetamani mme wake awe tajiri cheki alichojibiwa

Mke anamwambia mme wake kuwa angetamani mme wake awe tajiri cheki alichojibiwa

Mke; mme wangu ungekuwa tajiri ningefurahi
Mimi; kwa nini?
Mke; ungekuta na sisi tuna g... Read More

Duh. mjamzito ana kazi

Duh. mjamzito ana kazi

πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚ukimuona mjamzito katema mate ujue mtoto kajamba

... Read More
Angalia alichojibu huyu mwanafunzi, Ungekua wewe ni mwalimu wake ungemfanyaje?

Angalia alichojibu huyu mwanafunzi, Ungekua wewe ni mwalimu wake ungemfanyaje?

Mwanafunz alikuwa kila siku anachelewa shule, na kila siku alikuwa anachapwa, basi siku moja mwal... Read More

Kisa cha mzaramo na mchaga

Kisa cha mzaramo na mchaga

MZARAMO V/S MCHAGA.
Mzaramo alitangaza anatibu magonjwa yooooooote
kwa tsh. 100,000/=Read More

Usichokijua kuhusu sungura, panya na jamii yao

Usichokijua kuhusu sungura, panya na jamii yao

JE WAJUA?

Sungura, panya na Jamii zao huwa na mwendo wa kukimbia na kuruka muda wote na umr... Read More

Duh! Angalia alichokula huyu mwizi! Wizi mwingine bwana!

Duh! Angalia alichokula huyu mwizi! Wizi mwingine bwana!

Baada ya mwizi kuvunja mlango huko Tarime, akaingia kwenye stoo akaona vinyama kwenye bakuli vik... Read More

KICHEKESHO: Ajira ngumu!! Cheki hawa walivyoamua kujiajiri

KICHEKESHO: Ajira ngumu!! Cheki hawa walivyoamua kujiajiri

Jamaa mmoja alienda kuomba kazi Mbuga ya Wanyama, akaambiwa nafasi ya Kazi ipo ila hakuna Sokwe,... Read More

Hizi swaga za huyu jamaa ni shida, Google!

Hizi swaga za huyu jamaa ni shida, Google!

Jamaa alikuwa kwenye daladala pembeni kuna
dada mrembo kakaa. Kamlia timing kwa muda
ki... Read More

πŸ“– Explore More Articles
🏠 Home πŸ“– Reading πŸ–ΌοΈ Gallery πŸ’¬ AI Chat πŸ“˜ About