Warning: Undefined variable $user_id in /home/ackyshine/personal/sidebar.php on line 36
Sidebar with Floating Button
AckySHINE πŸ”
☰
AckyShine

Kilichotokea Baada ya mlevi na mchungaji kukutana

Featured Image

MCHUNGAJI; "Unakunywa bia!?
MLEVI; "Ndio.
MCHUNGAJI; "Kwa siku unakunywa bia ngapi!?

MLEVI; "Nakunywa bia tano!
MCHUNGAJI; "Bia moja bei gani!?
MLEVU; "2500/
MCHUNGAJI; "Ulianza lini kunywa bia!?
MLEVI; "Miaka 18 iliyopita!

MCHUNGAJI; "Kwa hiyo kwa siku unatumia zaidi ya 10,000??
MLEVI; "Ndio!
MCHUNGAJI; "Kama u gekuwa unatunza hiyo pesa 10,000 kwa siku leo hii si ungekuwa na Range Rover!?
MLEVI; "Samahani, naweza kukuuliza swali!?
MCHUNGAJI; "Uliza!
MLEVI; "Unakunywa bia!?
MCHUNGAJI; "Hapana!
MLEVI; "Nionyeshe Range Rover yako!
MCHUNGAJI; "akasepa"

AckySHINE Solutions

Comments

Please log in or register to leave a comment or reply.

Jackson Makori (Guest) on November 1, 2021

πŸ˜… Nilihitaji hii!

Victor Sokoine (Guest) on October 5, 2021

πŸ˜†πŸ˜‚πŸ‘

Joseph Njoroge (Guest) on October 5, 2021

Kweli ni jokes za ukweli! πŸ‘πŸ˜†

Rose Amukowa (Guest) on September 23, 2021

πŸ˜„ Umenishika vizuri!

David Sokoine (Guest) on September 19, 2021

Kweli mna ucheshi wa hali ya juu sana! πŸ‘πŸ˜†

Alice Wanjiru (Guest) on September 18, 2021

πŸ˜‚ Ninaituma hii kwa kila mtu ninayemjua!

Betty Akinyi (Guest) on September 15, 2021

Ucheshi wenu ni wa hali ya juu! πŸ‘πŸ€£

Diana Mumbua (Guest) on September 8, 2021

πŸ˜†πŸ‘πŸ˜‚πŸ˜„

Moses Kipkemboi (Guest) on September 4, 2021

Nimeipenda hii joke! πŸ˜„πŸ˜‚

Rose Waithera (Guest) on September 4, 2021

Nimecheka hadi nimesahau shida zangu! πŸ€£πŸ˜†

Anna Malela (Guest) on August 29, 2021

πŸ˜„ Siwezi hata kupumua, ni kichekesho sana!

George Mallya (Guest) on August 26, 2021

πŸ‘πŸ€£πŸ˜†πŸ˜‚

Stephen Kikwete (Guest) on August 22, 2021

Asante Ackyshine

John Mwangi (Guest) on August 8, 2021

🀣 Ujuzi wa hali ya juu!

Thomas Mtaki (Guest) on August 4, 2021

Nimecheka hadi nimemiss kicheko! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Moses Kipkemboi (Guest) on July 27, 2021

Nimecheka hadi nimesahau shida zangu! πŸ˜ŠπŸ˜…

Nancy Kabura (Guest) on June 28, 2021

Ucheshi wenu unanifurahisha! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Omari (Guest) on June 28, 2021

πŸ˜‚ Nitaiiba hii bila shaka!

Jacob Kiplangat (Guest) on June 25, 2021

Lazima niihifadhi hii, ni kichekesho kali sana! πŸ˜†

Joseph Njoroge (Guest) on May 30, 2021

πŸ˜ŠπŸ˜‚πŸ€£

Mary Kidata (Guest) on May 13, 2021

Hii ni kali! Itaingia kwenye vipendwa vyangu! πŸ˜„

Victor Sokoine (Guest) on April 14, 2021

Kweli mnajua kuchekesha! πŸ˜‚πŸ˜‚

Edward Chepkoech (Guest) on March 23, 2021

πŸ€£πŸ˜†πŸ˜ŠπŸ˜‚

Fredrick Mutiso (Guest) on March 16, 2021

Hii imenikuna hadi nina furaha sana! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Monica Nyalandu (Guest) on February 28, 2021

πŸ˜‚πŸ‘Œ

Violet Mumo (Guest) on February 28, 2021

Nimecheka kwa sauti! 🀣🀣

Lydia Mahiga (Guest) on February 19, 2021

😁 Hii ni hazina ya kichekesho!

Joyce Nkya (Guest) on January 5, 2021

πŸ˜ƒ Hali imeboreshwa papo hapo!

Jabir (Guest) on December 24, 2020

Hii ni dhahabu ya vichekesho! πŸ˜„

Nancy Kawawa (Guest) on December 22, 2020

πŸ˜‚πŸ€£πŸ˜†

James Kimani (Guest) on December 19, 2020

Hii imenichekesha sana! πŸ€£πŸ˜†

John Kamande (Guest) on December 11, 2020

Ucheshi wenu unanifurahisha sana! πŸ˜‚πŸ‘

Alex Nyamweya (Guest) on December 7, 2020

Hii kichekesho itaingia moja kwa moja kwenye vipendwa vyangu! πŸ˜‚

Aziza (Guest) on November 4, 2020

Haha! Sijacheka hivi kwa muda mrefu! 🀣

Lucy Mushi (Guest) on October 29, 2020

Hii ni joke ya kufurahisha sana! πŸ‘πŸ˜†

Mohamed (Guest) on October 18, 2020

Haha, mbavu zangu zinauma kwa kucheka sana! 🀣

Mary Sokoine (Guest) on October 4, 2020

πŸ˜† Nacheka hadi chini sasa hivi!

Stephen Kikwete (Guest) on September 17, 2020

🀣 Sikutarajia hiyo!

Baridi (Guest) on September 10, 2020

πŸ˜„ Sikutarajia hiyo ikitokea!

Lucy Mahiga (Guest) on September 8, 2020

πŸ˜† Nacheka hadi chini!

Joy Wacera (Guest) on August 29, 2020

Siwezi kuamini jinsi hii ni kichekesho! πŸ˜‚

Zubeida (Guest) on August 27, 2020

πŸ˜‚ Siwezi kuacha kucheka!

Rose Kiwanga (Guest) on August 19, 2020

Hii imenipa kicheko cha siku! πŸ˜‚πŸ˜†

Andrew Odhiambo (Guest) on August 19, 2020

Kweli mna ucheshi wa kipekee sana! πŸ˜„πŸ˜‚

Nancy Kawawa (Guest) on August 15, 2020

😁 Kicheko bora ya siku!

Thomas Mwakalindile (Guest) on August 9, 2020

🀣 Hiyo punchline ilikuwa haikutarajiwa!

Andrew Odhiambo (Guest) on July 21, 2020

Ucheshi wa hali ya juu! πŸ˜‚πŸ‘

Alice Wanjiru (Guest) on July 18, 2020

Wow, hii kichekesho ni mshindi kamili! πŸ†

Habiba (Guest) on July 1, 2020

🀣 Hii imewaka moto!

Thomas Mwakalindile (Guest) on May 30, 2020

πŸ˜…πŸ˜‚πŸ˜„

Elizabeth Mrope (Guest) on April 2, 2020

πŸ˜… Bado nacheka!

Mary Kidata (Guest) on March 26, 2020

Nilikuwa na siku mbaya hadi niliposoma hii! πŸ˜…

Sarah Mbise (Guest) on March 26, 2020

πŸ˜† Naihifadhi hii!

Christopher Oloo (Guest) on March 26, 2020

Huyu alikuwa na point! πŸ˜‚πŸ‘Œ

Thomas Mtaki (Guest) on March 23, 2020

πŸ˜‚ Hii ni kali sana!

Sharon Kibiru (Guest) on February 17, 2020

πŸ˜‚ Sijacheka hivi kwa muda mrefu sana!

Rose Kiwanga (Guest) on February 3, 2020

Kila siku napenda jokes zenu! πŸ˜†πŸ˜‚

Lydia Mzindakaya (Guest) on January 21, 2020

πŸ˜‚ Siwezi kuacha kucheka!

Edith Cherotich (Guest) on December 31, 2019

πŸ˜‚ Ninahitaji kuihifadhi hii milele!

Joyce Aoko (Guest) on December 2, 2019

Kweli mna kipaji cha ucheshi! πŸ‘πŸ€£

Related Posts

Angalia uhuni wa huyu dereva

Angalia uhuni wa huyu dereva

Dereva alikamatwa kwa kosa la kusababisha ajari ya watu wa5 aliowagonga. Trafik akamuliza kwanin ume... Read More
Duh! Tamaa mbaya, cheki kilichompata Huyu

Duh! Tamaa mbaya, cheki kilichompata Huyu

HAHAHAHAHAAAAAA DUH TAMAA MBAYA

Muokota makopo katika uokotaji wak... Read More

Hii sasa kali kweli kweli! wazazi wanachofanya pale binti yao anapochelewa kuolewa

Hii sasa kali kweli kweli! wazazi wanachofanya pale binti yao anapochelewa kuolewa

Wazazi wengine wanaandikaΒ MBWA​MKALIΒ kwenye geti lao kama binti wao ana mia... Read More

Kilichompata huyu jamaa mroho wa nyama, Hata kaa arudie tena

Kilichompata huyu jamaa mroho wa nyama, Hata kaa arudie tena

Jamaa kaenda kumtembelea rafiki yake Levi, kule sehemu za kwetu, akakaribishwa bonge ya ugali na ... Read More

Angalia huyu mtoto anachomjibu baba yake baada ya kutoka kwenye mtihani

Angalia huyu mtoto anachomjibu baba yake baada ya kutoka kwenye mtihani

BABA: mwanangu kwenye huu mtihani uliofanya natumaini utafanya vizuri.
DOGO: ndio baba nitap... Read More

Cheki huyu mzee alichomfanyia muuzaji wa pharmacy

Cheki huyu mzee alichomfanyia muuzaji wa pharmacy

Mzee kaingia pharmacy, MZEE: Mambo mwanangu, kuna kitu naomba uonje nitakulipa MFAMASIA: Kitu gani?β... Read More
Wasichana wa leo

Wasichana wa leo

Jamaa yupo ndani ya Range rover yake mpya na msichana ambaye ni mpenzi wake.

#Jamaa: kuna s... Read More

Angalia huyu mwanafunzi anachomjibu huyu mwalimu wake

Angalia huyu mwanafunzi anachomjibu huyu mwalimu wake

1. Ticha:"Punda ni mnyama anaefugwa nyumbani,lakini akiwa mwituni anaitwa pundamilia….Je sungur... Read More

Kilichompata sista duu bishoo wakati akijidai kununua pete

Kilichompata sista duu bishoo wakati akijidai kununua pete

Mwanamke mmoja aliingia duka la vito vya thamani, akaona pete moja ya dhahabu nzuri sana amabayo ili... Read More
Nilichokifanya wakati naangalia taarifa ya habari

Nilichokifanya wakati naangalia taarifa ya habari

Jana wakati naangalia taarifa ya habar mtangazaji akasema "mpenz mtazamaji nataka nikupe... Read More

Angalia kilichomkuta huyu msanii wa mziki na mashabiki wake

Angalia kilichomkuta huyu msanii wa mziki na mashabiki wake

Msanii mmoja anaitwa ''KINYA'' alikuwa ana perfom jukwaan..!!!
Kawaida kila msanii lazima aj... Read More

Angalia huyu jamaa anachomwambia mwizi baada ya kumuibia simu yake

Angalia huyu jamaa anachomwambia mwizi baada ya kumuibia simu yake

Foleni ndeeeeefu jamaa yupo kwenye daladala anaenda kazini kaona heri amuandikie boss wake msg k... Read More

πŸ“– Explore More Articles