Warning: Undefined variable $user_id in /home/ackyshine/personal/sidebar.php on line 36
Sidebar with Floating Button
AckySHINE πŸ”
☰
AckyShine

Padri Akimbia wakati wa kuungamisha, chanzo ni hiki

Featured Image

Padri alikuwa amekaa katika confession booth kanisani
peke yake.
Mara kukaingia jamaa mmoja akapiga magoti upande wa
pili, akafanya ishara ya msalaba kisha akaanza kuungama
{confess}
"Padri nimekuja kuungama dhambi zangu, leo nimefanya
dhambi kubwa sana."
Padri, "Endelea…"

"Bosi wangu aliniita nyumbani kwake, akaniambia
amegundua nimeiba shilingi millioni 100 kazini. Akasema
nisipozitoa atanipeleka polisi, sa kwa ukweli mi naogopa
kufungwa.
Nikatazama huku na huku nikagundua tuko wawili peke
yetu,nikatoa bastola nikamuua….. Yesu atanisamehe?"

Padri: "Utasamehewa."
"Basi wakati nataka kuondoka nikasikia mlango
unafunguliwa kutazama, Loh! Mke wa bosi, alipoona
kilichotokea akasema anapiga polisi simu.
Kutazama huku na huku nikagundua tuko wawili peke
yetu, nikamuua na yeye pia… Yesu atanisamehe hilo?"
Padri: "Utasamehewa."

Nikatoka nje, nikawasha gari niondoke, lakini mlinzi
akakataa kunifungulia, ati amesikia mlio wa
bastola. Nikaona ataniletea kizuizi huyu.
Nikatazama huku na huku nikagundua tuko wawili peke
yetu, nikamuua….. Yesu atanisamehe?"
Padri:"Utasamehewa."

"Nikajifungulia geti mwenyewe nikaenda
nyumbani, wakati napanga kuja kuungama mtoto wa bosi
akabisha hodi, nikawaza mambo gani tena, akasema alirudi
nyumbani na kukuta yaliyotokea akanionesha diary ya
babake, inayoonesha nilikuwa na appointment naye
wakati nilipomuua. Nikamuuliza nani mwingine anayejua?
Akasema ameanzia kwangu kisha anaenda polisi.

Nikatazama huku na huku nikakuta tuko wawili peke
yetu, nikamuua….. Yesu atanisamehe na hilo?"

Kimyaa….
"Padri yesu atanisamehe?"
kimya….

Jamaa akatazama kwenye confession booth padri
hayupo, lakini kwenye kona moja akaona kabati la nguo
za mapadri linatikisika. Kufungua akaona padri kajificha ndani anatetemeka huku akitokwa na jasho.

Jamaa, "Sasa baba mbona umekimbia?"
Padri kwa taabu akajibu, "Nilitazama huku na huku
nikagundua tuko wawili peke yetu……."

AckySHINE Solutions

Comments

Please log in or register to leave a comment or reply.

Rose Kiwanga (Guest) on December 1, 2021

Kama kawaida! Bado nacheka! πŸ˜„

Elijah Mutua (Guest) on November 24, 2021

Hii kichekesho imenifurahisha sanaβ€”imebamba! 🀣

Agnes Lowassa (Guest) on November 18, 2021

Hii kichekesho ilikuwa bora! Nimeipenda! 🎯

Mwanaidi (Guest) on November 17, 2021

Hii kichekesho ni ya kuhifadhi bila shaka! 😁

Zakia (Guest) on November 10, 2021

🀣 Hii imenigonga vizuri!

Paul Ndomba (Guest) on November 4, 2021

Ucheshi wa hali ya juu! πŸ˜‚πŸ‘

Christopher Oloo (Guest) on November 4, 2021

πŸ˜† Ninaihifadhi kwa baadaye!

Peter Mugendi (Guest) on October 28, 2021

Ucheshi wenu unanifurahisha! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Peter Tibaijuka (Guest) on September 24, 2021

Nimecheka hadi nina furaha sana! 🀣😊

Warda (Guest) on September 20, 2021

🀣 Ninaituma sasa hivi!

Sarah Mbise (Guest) on September 18, 2021

πŸ˜„ Hii ni ubunifu wa hali ya juu!

James Kimani (Guest) on September 12, 2021

πŸ˜‚πŸ€£πŸ˜ŠπŸ˜…

Majid (Guest) on August 7, 2021

Ninashiriki hii na marafiki zangu mara moja! πŸ˜†

Joseph Kawawa (Guest) on July 24, 2021

😊🀣πŸ”₯

Amani (Guest) on July 20, 2021

πŸ˜† Kali sana!

Victor Sokoine (Guest) on June 17, 2021

🀣πŸ”₯😊

Stephen Mushi (Guest) on May 25, 2021

Hii imenipa kicheko cha siku! πŸ˜ŠπŸ˜†

Dorothy Nkya (Guest) on May 23, 2021

Hii ni bomba sana! πŸ€£πŸ‘

George Wanjala (Guest) on May 1, 2021

Lazima nikumbuke hii kwa baadaye! πŸ˜†

Lucy Kimotho (Guest) on April 27, 2021

πŸ€£πŸ€£πŸ˜‚

Andrew Odhiambo (Guest) on April 22, 2021

Hii imenifurahisha kweli! πŸ˜†πŸ˜‚

Alice Wanjiru (Guest) on March 19, 2021

Hizi jokes zinanifanya nicheke kila siku! πŸ˜„πŸ˜†

Alice Mrema (Guest) on March 17, 2021

πŸ˜…πŸ˜‚πŸ˜„

Nora Kidata (Guest) on January 21, 2021

πŸ˜… Bado ninacheka!

Ann Awino (Guest) on January 13, 2021

πŸ˜†πŸ˜‚πŸ˜Š

Rose Amukowa (Guest) on January 10, 2021

🀣 Hii kichekesho ni nzuri sana!

Zubeida (Guest) on January 9, 2021

πŸ˜„ Sikutarajia hiyo ikitokea!

Vincent Mwangangi (Guest) on January 4, 2021

🀣 Nalia kwa kicheko kweli!

Nyota (Guest) on January 3, 2021

πŸ˜‚ Ninahitaji kuihifadhi hii milele!

Mgeni (Guest) on December 14, 2020

Nitaeleza hii kwa marafiki zangu bila shaka! πŸ˜„

Rose Amukowa (Guest) on November 25, 2020

😁 Hii imenifanya siku yangu iwe bora!

Tabitha Okumu (Guest) on November 15, 2020

Hii imenichekesha sana! πŸ€£πŸ˜†

Dorothy Mwakalindile (Guest) on October 10, 2020

πŸ˜ŠπŸ˜‚πŸ˜…πŸ‘

Zubeida (Guest) on September 23, 2020

Haha, hii ni kicheko bora zaidi nilichopata wiki hii! 😁

Alice Mwikali (Guest) on September 17, 2020

Ucheshi wenu ni wa hali ya juu! πŸ‘πŸ€£

Alice Mrema (Guest) on September 16, 2020

Ucheshi wenu ni wa hali ya juu sana! πŸ‘πŸ˜‚

Diana Mumbua (Guest) on August 30, 2020

Hii ni aina ya kichekesho usichosahau! πŸ˜‚

Joyce Aoko (Guest) on August 9, 2020

Hii imenifurahisha sana! πŸ˜ŠπŸ˜…

Grace Njuguna (Guest) on August 6, 2020

Napenda jinsi mnavyofikiria! πŸ€”πŸ˜†

Victor Kimario (Guest) on August 6, 2020

Nimecheka hadi nina furaha sana! πŸ˜†πŸ˜‚

Kazija (Guest) on July 12, 2020

πŸ˜… Nilihitaji hii!

Nancy Akumu (Guest) on June 13, 2020

πŸ˜ƒ Hali imeboreshwa papo hapo!

Raphael Okoth (Guest) on June 12, 2020

Hii kichekesho inastahili tuzo! πŸ†

Rabia (Guest) on May 18, 2020

πŸ˜† Hiyo punchline!

Samuel Omondi (Guest) on May 10, 2020

Napenda vile mnaweka jokes kila siku! πŸ˜†πŸ‘

Hellen Nduta (Guest) on May 7, 2020

Wow, hii kichekesho ni mshindi kamili! πŸ†

Frank Macha (Guest) on May 5, 2020

😁 Imeongezwa kwenye vipendwa!

Jacob Kiplangat (Guest) on April 11, 2020

Asante Ackyshine

Mchawi (Guest) on April 3, 2020

πŸ˜‚ Sijacheka hivi kwa muda mrefu sana!

Shamim (Guest) on February 21, 2020

πŸ˜‚ Siwezi kuacha kucheka na hii!

Raphael Okoth (Guest) on February 13, 2020

Nimecheka hadi machozi 🀣😭

Mwalimu (Guest) on January 19, 2020

πŸ˜† Nacheka hadi chini sasa hivi!

Chris Okello (Guest) on January 19, 2020

πŸ˜„ Siwezi hata kupumua, ni kichekesho sana!

Catherine Naliaka (Guest) on December 27, 2019

Mna kipaji cha ucheshi! πŸ‘πŸ˜‚

Dorothy Majaliwa (Guest) on November 28, 2019

πŸ˜‚πŸ‘πŸ˜…πŸ€£

Masika (Guest) on November 14, 2019

πŸ˜ƒ Hii imenichekesha kwa sauti kweli!

Binti (Guest) on November 3, 2019

πŸ˜‚ Siwezi kusubiri kushiriki hii!

Vincent Mwangangi (Guest) on October 12, 2019

Ucheshi wenu unanifurahisha kila siku! πŸ˜†πŸ˜„

Janet Sumaye (Guest) on September 22, 2019

Hii imenipa furaha ya siku! πŸ˜†πŸ˜‚

Edward Chepkoech (Guest) on September 4, 2019

Hii kichekesho imebadilisha kabisa hali yangu! πŸ˜ƒ

Related Posts

Sipendi ujinga. Cheki nilichokifanya

Sipendi ujinga. Cheki nilichokifanya

Nimeingia chumban nikakuta panya wamekula dawa yangu ya minyoo,

N... Read More

Haya ndiyo madhara ya kulala kanisani

Haya ndiyo madhara ya kulala kanisani

Tukiwa kanisani mdada alikuwa amelala , akaamka akasikia Pastor anasema
" SIMAMA"
Yule ... Read More

Angalia mchezo wa kutuma message mara zikubali mara zikatae.. Lilishakukuta hili???

Angalia mchezo wa kutuma message mara zikubali mara zikatae.. Lilishakukuta hili???

GARLFREND»»hellow sweetheart

BOYFREND»»hellow darling(SENDING FAILED)

GARLFRENDΒ»... Read More

Angalia huyu mgonjwa

Angalia huyu mgonjwa

Mngojwa: daktari Nina tatizo la kusahausahau kila dakika.

Daktari: hilo tatizo lilianza lin... Read More

Kilichompata huyu jamaa mroho wa nyama, Hata kaa arudie tena

Kilichompata huyu jamaa mroho wa nyama, Hata kaa arudie tena

Jamaa kaenda kumtembelea rafiki yake Levi, kule sehemu za kwetu, akakaribishwa bonge ya ugali na ... Read More

Mshahara usiobadilika

Mshahara usiobadilika

PAMOJA NA HALI NGUMU YA UCHUMI NCHINI HUWEZI AMINI MSHAHARA WA DHAMBI HAUJABADILIKA HATA ... Read More

Jambo la kufanya kama binti alikuachaga zamani na sahizi anakutaka

Jambo la kufanya kama binti alikuachaga zamani na sahizi anakutaka

Kuishi kijijini kunahitaji moyo sana

..unaenda kuoga, unakumbuka k... Read More

Kilichotokea baada ya polisi wa kibongo kukutana na mwizi mzungu

Kilichotokea baada ya polisi wa kibongo kukutana na mwizi mzungu

POLISI KAKAMATA MZUNGU 'yestaday I saw u at ze maize shop..(jana nilikuona dukani kwa muhindi) when ... Read More
Upendo wa kweli ni nini?

Upendo wa kweli ni nini?

*Upendo wa kweli ni nini?*
*πŸ‘‰Upendo wa kweli ni pale mwanaume anapomfumania mwanamke wake... Read More

Huyu jamaa ni shida, Chezea wimbo wa Taifa!

Huyu jamaa ni shida, Chezea wimbo wa Taifa!

Mke mmoja alimpa mme wake redio aende nayo chooni ili asiboreke kwa vile huwa anakaa muda mrefu.<... Read More

Angalia kile kitabia cha kufuta namba kwenye simu kilivyomponza huyu jamaa

Angalia kile kitabia cha kufuta namba kwenye simu kilivyomponza huyu jamaa

Jana nilijipa kazi ya kufuta vitu visivyo na umuhimu kwenye sm yangu. Katika futa futa si nimefut... Read More

Baadhi ya misemo mikali ya leo

Baadhi ya misemo mikali ya leo

1. Mwanaume hata awe bahili vipi, hawezi kumpa mwanamke mimba nusu.

2. Hata uwe na magari m... Read More